KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA MORNING GLORY (THE SCHOOL OF HEALING) 09/ 07/ 2024
Vložit
- čas přidán 7. 07. 2024
- KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA MORNING GLORY (THE SCHOOL OF HEALING) 09/ 07/ 2024
SEMINA YA NENO LA MUNGU:
MADA:
"HOFU YA MABADILIKO"
(FEAR OF CHANGE)
SOMO LA LEO:
''UKUTA WA HOFU YA MABADILIKO''
(YESU PALE GETHSEMANE)
Marko 14 : 32 - 38
Luka 22 : 40 : 44
NENO KUU:
"UTABARIKIWA UINGIAPO, UTABARIKIWA NA UTOKAPO"
KUMBUKUMBU LA
TORATI 28 : 6
&
Yohana 12 : 24
24 Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.
MAANDIKO YA LEO:
Marko 14 : 32 - 38
32 Kisha wakaja mpaka bustani iitwayo Gethsemane; akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa muda niombapo.
33 Akamtwaa Petro na Yakobo na Yohana pamoja naye, akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.
34 Akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa mkeshe.
35 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akiomba ya kuwa, ikiwezekana, saa hiyo imwepuke.
36 Akasema, Aba, Baba, yote yawezekana kwako; uniondolee kikombe hiki; walakini, si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe.
37 Akaja akawakuta wamelala usingizi, akamwambia Petro, Je! Simoni, umelala? Hukuweza kukesha saa moja?
38 Kesheni mwombe, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu.
Luka 22 : 40 : 44
40 Alipofika mahali pale aliwaambia, Ombeni kwamba msiingie majaribuni.
41 Mwenyewe akajitenga nao kama kiasi cha kutupa jiwe, akapiga magoti akaomba,
42 akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke.
43 Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.
44 Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; hari yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.
Mhubiri: Mch. Dr. Eliona Kimaro.
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga
Simu: +255 713 553 443
CZcams: Kijitonyama Lutheran church
Barua Pepe: Kijitonyamalutheran@gmail.com
Somo limenibariki Sana na Nimeelewa sana Mifano hai ninazo sana tu Wacha nipambane katika Hali niliyopo maana somo hili limekuja kwa wakati Muafaka sana katika Maisha yangu haya niliyoanza 2024
Halooooo Mch kimaro libarikiwe tumbo lililokuleta duniani Wewe ni wa baraka sana kwa kizazi hiki Mungu akutunze sanaa Baraka za Mungu zisikome kwenye maisha yako Milele Yotee
Amen
Ameeeeeeeen napokea baraka zakuingia na kutoka kwa jina la yesu
Somo zuri na nilawakati kwangu,ashukuriwe Mungu wa mbinguni aliyempa mchungaji ufunuo huu mkuu
Amen mch umenibariki na kunipa nguvu ya kutokukata tamaa
Mwisho wangu akawe mkubwa kuliko mwanzo ukajitokeze katika maisha yangu yabadilike na kuwa ya ushindi.
Amen
Amen Amen baba 🙏🏼
Amen we conquer the spirit of fear
Napokea baraka ya kuingia na kutoka kwa jina la yesu kristo
Amen Amen
Jitambulishe ee Mungu! Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Napokea baraka kwa jina la yesu kristo amina
Amen 🙏
Amen
Amen🙏🙏🙏
Ameen
Na barikiwa Sana na hili somo
Ameeeeeen.
Ameni
Amen 🙏 🙏 🙏
Hofu ya mabadiliko nimeishinda kwa Jina la huyu MWAMBA
Amen
Amen