Daa Kevin ume tisha bba hhha mmi niko na dota tv milele mna wana weza asante kwa cinema zenye eleimu na busara mola azidi kuwa bariki na yake mema ameen..naku tazama sna kk God bless you and your friends
shida yetu wafrika hatujiamini kimaadil kwani hatuezi igiza filamu mpka mabinti wakae uchii kumbuka kuna wazazi na jamii kwa jumla tusiwe wapumbavu wafikra heshima kitu cha bure i say
*Mapacha wanaweza kufanana kila kitu lakini sio Sauti, sauti lazima ziwe tofauti*
*umejifunza kitu kipya gonga like 👇*
Very nice movie for twin sisters.Kelvin kaa rada usije ukarudia kosa tena.nawapenda Bure from Kenya watching you guys
Naipenda kazi yenu mm ni mashabiki wenu naomba mzidi kupambana zaidi
Pacha wa chuo anatamaaaa hafai kuigwa ktk jamiii
Kevin kanumba mwenyew love from Burundi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wow nice movies good work keep it up ❤❤❤
mimi nikiangalia movie yenye kelvin hayuko huwa siimalizi haki huyu kijana haboeshi kabisa nampenda tena sana
Walai hii ingekwa na part two.tamu sana nawapenda❤
Napenda sana movie zinazomhusu kelvin love you so much
Good kbx mzee baba najifunza mengi saana
Jaman move zenu Zina fundisha sana hongera sana
Jaman keven nakpenda sana unavo cheza nilikua na . Mm naomba nijiunge kwenye kikundi cha kuigiza❤❤❤❤❤
Nawapenda san na najifunza mambo mengi xan kutoka kwenu❤❤❤
Kelvin napenda sana movie zako
Leo nimejua 2 kazi nzuri mungu awabariki❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kevin ,brown .
,loveness kendy nawapendaaa
Woe ongera kelvin kwa kweli umeweza
Kevin me nakuita we ni master plans noma sana kaka
❤❤❤❤❤❤❤❤ naomba mungu azidi kuwafikisha mbali zaidi
kusema ukweli jamani kelvin mzuri sana uko vizuri yaan🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍😄😍😍🤩
Hongela broo huna baya👍👍👍👍💚💚💚💛💛💛💛💛
Leo nimekua wa kwanza kazi nzuri sn nawapenda 🥰mungu abarik kipaji chenu 🙏
Asante sana 🙌
Ongera sana
Asante sana
@@Latifa-is5bj11111aq
Daa Kevin ume tisha bba hhha mmi niko na dota tv milele mna wana weza asante kwa cinema zenye eleimu na busara mola azidi kuwa bariki na yake mema ameen..naku tazama sna kk God bless you and your friends
Nawapenda sanaa tz ndugu yenu kutoka kenya bongo za nibamba sanaa jmaa mzid kwa kipaji hichi kazi yenu smart sanaa❤
Nimeikubali kinoma🍎🍎❤️🌹
KeVin nakupena sana❤❤❤ kwagisi unavyo cheza
Nakuaminia movie zako kelvin huboeshi❤ Yan Raha kazi nzuri kipenzi ❤❤❤❤
😅x 😅 2:59 3:00
😂
L😮 3:50 😮😢
Napenda San mumvi zako kaka nafulahi San nikiangaria 💪
Utafika mbaali sana ila dumu sana na mungu
Daah yani hadi mm huwa sielewag kuwatofautisha kwa mlivyofanana 😪😜😂😂 daah mnaendana sana
😂😂😂😂
254 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Napenda sana party ya maula na kevin..i really love that couple
Asante sana
You are the best actors I've ever seen and I can't wait watching your performances❤
You are best actor kelvin
❤❤🎉🎉 maua yak chukua
Naenjoy
Nzuri sana nafurai kutoka burundi❤
Woooow movie zenu nzuri much love from Kenya ❤❤❤
Asante sana
Wow ni mependa sana
Tunakupenda sana kevin
Good job...hongera sana kaka
Much appreciate kaz zenu ni nzr sana movie zenu zinaelimisha mungu azid kupanua vipaj vyenu
😂😂😂😂 navile nimesubiria harusi Kelvin hauko seriously ❤❤❤ Kaz nzuri jamen
Much love from kwenya
Kelvin u are the best actor may I join u plz nakuomba tu
Twangoja baba kijacho sehemu ya 7 yaani mmetukata steam baba kelvin somoo baba twaisubiri Sana iyo
Gudy movie chukua maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉
❤ naipenda tu sana hii mvi
Much love maura kipaji unacho dada
Oh my gosh 😂😂😂 kelvin Sasa hapo utajua nani ndio nani jamani😂😂 kelvin kimekuramba 🤣🤣🤣 nawapenda Sana 🌹🌹🌹🌹♥️♥️♥️♥️ from 🇰🇪 kelvin 🤝🤝😂😂😂
Mnajitahid sana ndugu zangu mungu awafikishe malengo yenu
Daaah Kelvin kakaaa upo vzr jmn mnatishaa jmn
So nice and enjoyable
Kaz nzur san nawapenda saw mung awabariki kipaji cheny amen❤
Asante sana
Good job nmefrahi pale Kelvin kasamehewa maana hakujua
❤daaah iI kali🎉mashallah
Kiukwl vijana mpo sw ongezen bidii bt glad
One love from arusha
Safi Sana nmeipenda ,,, congrats ❤️
Asante sana
Kwel kelvin dactor
Much love from saud❤
Movi kali sana
Naenda sana mumvi zako kaka nafulahi San mumvi zako 😛
Kazi nzuri ❤ one day yes
Kabisaa
Mwenyez mungu akufkishe mbali zaid
More love ❤ from U.S.A
Good jobu
Mmh kevin hatali unakipaji san daa hongera
Mnajua sana❤
Mabinti wakisoma wajikuta dunia Ni yao
Yani Kevin ww move zako nzr woooh
Lov U Kelvin Kaz zako nazielewa Sana
💯🙏 kiukwel tunaburudika na kuelimika heko sana Khan
Pamoja sana
Nilipomwona katokea chuo nljua hamna ndoa tena 😢😢😢😢😢😢
hv ni mapacha kweli au wanaigiza tuu
Nawakubali kbx kuroko burundi
Aki hiyo yenu ni kali I love it
Mbon😢hukutumalizia siku moja kabila ya doa yangu.je uliowa boss wako
Safi sana keivoh
Doreen unabusar sana ep nyingine bas
Ujue Kelvin unajua sana kijana mwenzangu nataka namba ya lavnes
😂😂😂
Kervini nyie mnakuja kazi sema nierekeze jinsi ya kuripa iyo elfu kumi napenda taree sita nijumuike pamoja nanyi
Sema nn mwanangu mnajituma ety
Nice Movie ❤❤❤🎉🎉🎉🇧🇮🇸🇦
Kwel kev unamanen mazur ww huy mkeo anaenjoy akiwa na ww
Mungu 🎉awazidishie alili anamarifa
Much love from Australia
Nzuri zaidi❤❤
Asante sana
Chiff wetu mmetunyima sawa Donta mungu anawaona
shida yetu wafrika hatujiamini kimaadil kwani hatuezi igiza filamu mpka mabinti wakae uchii kumbuka kuna wazazi na jamii kwa jumla tusiwe wapumbavu wafikra heshima kitu cha bure i say
Kelvin nduguangu,na penda sana movie zako
Kazi nzuri san mungu azidi kuwatia nguvu🎉🎉🎉🎉🎉
Nzuri sana inaendelea ama imeisha
Itaendelea
Hivyi kweli huyo mpenz wake kelvin ana pacha wake make siamini mpaka sasa
Kevin unapenda Sana kutongoza
❤❤❤❤❤ mashallah 🙏
Kutoka burundi🇧🇮 mupo?gonga hapa tuendelee
Sema nn boy huyo girl mrembo sana anafaa kabisa kwenye movie
Nyie wapumbavu kwel😂😂😂😂😂😂😂😂😂 et nyumba ikiwaka moto......
Safi sana
Asante
wanachuo nd wengi wako hvo hvooo 😂
❤❤❤kazi nzuri
Asante sana
Mpira unaubonda mwanangu kevi na unanikumbusha mbali kichiz mwanangu 😂😂😂😂😂😂
Nawapenda sana
😄😄😄😄😄Pacha kaliwaaa Kelvin kala vifaranga vyote
You are best actor kelvin...from kenya