RAYVAANY Alivyomtembeza DIAMOND & ZUCHU kwenye STUDIO yake MPYA ya NEXT LEVEL MUSIC
Vložit
- čas přidán 8. 03. 2021
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
----------------------------------------------------------------------------------- - Zábava
Njia moja yakuonesha heshima kwa king Simba congratulations vii vanyboy papaa
Kaka utaniuwa na hiyo camera zuchu kama umemskia weka like
WCB ft NLV respect. Lebo zingine zitatukoma mwaka huu na miaka zingine zote . Pamoja Vivanny boy ft Diamond
Ongeza juhudi utafikia malengo yako my friend trie to live well with every person in the world
Hakika mondi kastahili kuitwa simba. Mondi Ni mzazi wa kweli Na mungu Azidishe baraka kwake.🙏🙏🙏
Yani mzazi mzuri sana
Much love from Uganda respect guyz
Diamond ni kiongozi na mzazi mkubwa.amekuza vijana wenye wanafanya kazi kubwa kumzidi.alikiba alijaribu kwa akina cheedy ikamshinda.RESPECT SIMBA!!
Kweli kabisaaa
Alikiba n kama House boy tu kwa mond
@@afterfull-time1348 hamna hakili timamu Kiba is other level
@@alfredirankunda3698 Another level anamjua nan kweny hizo levels
Kama umesikia sauti ya kwanza ikisema kaka utania gonga like hapa
Wapi wale kondegang,mlivyo support ubaya wake pia uzuri wake muushambulie hvyohvyo
Lava lava my man...sauti yko kwa supper woman iliua
Hatushindani na wao acha wateseke kwani nani hajui kuwa NLM on fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Safi sana Ray umeondoka vzr you will be a blessing and the man of God is backing you up
Wow
No facemasks woow, good job Rayvanny
Brother usifanye kazi kwa kushindana fanya wewe bless
Big up rayvanny 👍
Respect WCB
WCB na NLM👏👏👏💪🌞🙏🇰🇪@Kenya.
Lovely!!
Lavalava usjaliii pia wewe tunakungoja kwa hamuu brother upo vizuru
Iloveyou
Ako na bite gang
Chuiii NEXTl LEVO MISIC RAVNNYN macvoice NEXTI LEVO MISiC
Baba levoooo uturihi jaman😀😀😀 keep up van boy😂😂
Bro ray, hatucheki na kima mwaka huu ngoja waone maana ya next level music (NLM)🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤 vanny boy chui mtu mbaya
Good brother mungu azid kukubaliki
Nextilevo misic RAVNNYN CHUIII
Good heart chibuu
Safi Sana chui
Nani kamuona chawa Ana chekacheka tu Kama mwehu 🤣🤣🤣
Pongziii vanny,,,kwa juhudi zko,,ila chamsing zidi kupiga kazi na Mond,,,bro utazid kupanuka,,,usiwe umepat branch ukamtorok Mondo bro ,,,,tamaaa kando piga kazi,,hongra xan
Very nice but sielewi vayvanny lukamba diamond lavalava mbona vidumu kushuka nywele?!!?
Baba levo Sasa alvyonyumanyuma Kwa diamond ka mwarabu fighter😂
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆
Very Nice
WCB FOR LIFE 🔥
Maishani safali
Simba unakuza wadogo zako vizuri, tuachane na panya
Ww mwenyewe panya tena panya mpunga
Ba levo unacheka cheka tu
Chuiiii nexti levo music
Jaman adi fraha
Gud Sana
Big up
WCB 4life🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Rayvaany pow mwanangu hayo ndio maendeleo
chuiiii❤❤
Hongera chui
Tatizi beat ikojuu Sana mpaka maneno hayasikiki
Hongera broo
How old were most Tanzanians when they found out that 'changamoto ya kupumua' was actually covid?
is abig step br
Non of yah business
Tunajua ni covid, hata hvyo havihusiani na video husika.
🤣🤣🤣🤣
RIP MANGUFULI say hi to my dad
Nice
Ninavyomuona mondi anavyofurahia waah
Anafurai matunda ya watoto wake
Mzazi mzuri akiona mtoto wake kabarki yafaa afurahi
Njia nzuri
Nexti levo misic
I follow this 🇷🇼
Nan kam mskia zuchu kuwa kamara itamuua jmn😂😂
Queen darling 😂
Levo leo haongei
Courage
Wenye wako na simu haina ya spark 5 pro tu like hapa
INAWEZA ONANA NA VANNY BOY MM NI MTAZANIA MZAWA WA MWANZA KWA SASA NIPO MASAKI NATAMANI NIIGIE HAPO STUDIO NINA NYIMBO ZANGU NATAMANI NIRECOND NIPO SERIOUS KABISA
Chui nakubari
Baba levo tega mikeka ya bet utatusua tu😀
Zuchuu tulia jamen 😂😂😂Nan anakuua huyoooo😆😆😆
Anajikosha
iyo studio ina weza wee
Ongera
Wewe ulitoka wazafi kwanini nawewe dei next mwaka kesho
Mboss uko wap jmn
Chui
Eti mbosso yukoapi😂😂😂😂😂😂😂
Harmonize ako wapi aonge sasa
Vivanny umepiga atua
Kijana wako grey
Konde boy jeshii
Hadi pruuu
Mungu aibariki Kati yako
Hhhhh👍
Mbona Paula sijuona jaman
🔥🔥🔥💥💥💥
Ki
Watu wanataka kujiunga... Unawapa vigezo gani.....
Baba levo aimbe ujinga na upuzi
sunglasses usiku ma star gani hao washamba tu
napenda mnavo pendana
Atar
Studio yake mpya ama kaburi lake
Iyo kitu kubwa sana rayvanny so simbaa ni mtu mwenye rohoo ya upendo sana pga kazi na usije kumzarau mondi kama harmonize sabbu kaa kusaporti ww kufka hapo kama utamuona hana maana hata sisi mashabiki tuta umia sana kikubwa ushirikiano
Wenzakoo walipost sku ile ile we unatupostia leo
Mboso anaandaliwa na yeye
Baba Levo pua yake inachukuwa nafasi ya watu 5 ndo maana chumba kinakuwa kidogo
😂😂😂😂jameni
🤣🤣🤣🤣
Daaaah jaman mbavu zangu jamaniii hahahaaaa
Asa barnaba kwann asifanye collabo na simba jamani
Waandishi wabishi 😂😂😂
Wengine mlituomba hela mbna sawa tu
Tz hakuna corona
Baba Levo Anakuza Kitambi t
Hii tunasema bay bay konde gan
BABALEVO nachekacheka...tu
Lava lava unakwama wapi unafata kundi kama kumbikumbi uliekatika mbawa
Umeumiza
Mmeshasuka Sana bado mvae Madera tu jmn😂😂maisha yanaenda kasi sana
Kweli" kabisaa" kama" wasenge vile!
Hapo ndipo mtambue kuwa Diamond ana akili sana, huwez amini anachokifanya hapa ni kutanua wigo kwa kufungua matawi ya wasafi japo anataka tuamini kuwa hii ni lebo ya Vannyboy, na pia amini kwamba hii ni mikakati ya kuangamiza lebo ya Konde Gay!!!
Kabisa hamna jinsi acha maisha yaendelee
Hapana kama harmonize kaweza kwanini Rayvany ashindwe uweza vibaya
Konde gay n genge la wahuni
Waandishi wa habari Kama wanafunzi wenye kelele darasani .... 🤣🤣🤣
Baba levo hana lolote. Kazi kuchekacheka tu akitarajia afunguliwe studio pia
FANGASI NA U.TI SUGU SASA BAAASI!!!
(PIGA 0682042666)
Je wewe ni mwanamke na unahangaika na matatizo yafuatayo
1:Fangasi sehemu za siri
2:U.T.I isiyoisha
3:Muwasho sehemu za siri
4:Kutokwa na uchafu sehemu za siri
5:HARUFU MBAYA
Hali hii inakera sana kwa wanawake wengi na wengi hawajui wafanye nini kutatua matatizo haya kwani njia nyingi zitumiwazo kutatua matatizo haya hazisaidii
Pole sana mwanamke leo nitakujuza kwa ninitatatizo haya hutokea na dawa take ya kujikinga ni nini?
KWA NINI MATATIZO HAYA HUTOKEA??
Inasemekana kwamba kati ya wanawake 100 wanawake 95 wana matatizo haya niliyoyaorothesha hapo juu kwa hiyo wewe mwanamke ninaeongea na wewe matatizo haya sio aibu ni kawaida kwa akina mama
Kwa kitaalamu matatizo haya huitwa VAGINITIS, ambayo huambatana na ukuaji usiokuwa wa kawaida wa bacteria na fangasi sehemu za siri za mama
-KWA NINI UKUAJI WA BACTERIA NA FANGASI USIOKUWA WA KAWAIDA???
Kawaida sehemu za siri za mwanamke(ukeni) kuna viumbe vinaishi(bacteria na fangasi)ambao hawana madhara na kazi yake kubwa ni kuulinda uke na bacteria na fangasi wenye madhara kwa hiyo huwa kama askari
-Sasa ili hawa viumba(fangasi na bacteria wasiona madhara) waweze kuishi vyema wanahitaji mazingira rafiki ya kuishi kama vile hewa ya kutosha ,joto kiasi n.k
-Sasa kutokana na matumizi ya pedi za nylon,uvaaji wa skinny jeans, kukaa sana kwenye viti kwa wanawake wa maofisini, kutokufanya mazoezi hawa bacteria walinzi hufa, hali hii husaidia bacteria wabaya kuzaliana kwa kasi sana sehemu za siri za mama(ukeni) hivyo mwanamke ataanza kuhisi hali ya kukera sehemu za siri, kama muwasho
-Pia matumizi mabaya antibiotics huua hawa bacteria walinzi,
-Bacteria na fangasi walinzi wanapokufa uke wa mama unakosa mlinzi hivyo mama anapotumia public toilets(vyoo vya jumuia),anapofanya tendon la ndoa ni rahisi kuambukizwa bacteria na fangasi wabaya kwa sababu ukeni kwake hakuna.mlinzi tena.
TUMIA FEMICARE FEMININE CLEAN NJIA SALAMA YA KUJITIBU NA KUJIKINGA KABISAA
Hii ni lotion maalum ambayo mwanamke hutumia kujisafishia sehemu za siri(ukeni)
-Ni ya asili, haina madhara na hutumika maalumu kwa Ku safina sehemu za siri
1:FEMICARE inachokifanya huua bacteria wote wabaya na kutengeneza mazingira rafiki kwa bacteria walinzi kuishi
2:Huua fangasi wote wabaya
3:Hufanya uke use na uwezo binafsi wa kupambana na bacteria na fangasi wabaya huna haja ya kukimbia vyoo vya public
4:Huondoa harufu mbaya na uchafu ukeni
5:Femicare imetengenezwa na madini maalum,vitamini, protini hivyo huuponya uke na kuzitibu kura zake hivyo humrudisha mama kuwa msafi na mkavu pia humfanya awe kama zamani.
Angalia Video Hii KUMUELIMISHA zaidi
PIGA NAMBA 0682042666
Bado mboso na lava lava