RAYVAANY Alivyomtembeza DIAMOND & ZUCHU kwenye STUDIO yake MPYA ya NEXT LEVEL MUSIC

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 03. 2021
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram rickmediatz...
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
  • Zábava

Komentáře • 173

  • @haronmwendia1708
    @haronmwendia1708 Před 2 lety +3

    Njia moja yakuonesha heshima kwa king Simba congratulations vii vanyboy papaa

  • @theslaveofallah8691
    @theslaveofallah8691 Před 3 lety +16

    Kaka utaniuwa na hiyo camera zuchu kama umemskia weka like

  • @ismaillysadick3108
    @ismaillysadick3108 Před 3 lety +15

    WCB ft NLV respect. Lebo zingine zitatukoma mwaka huu na miaka zingine zote . Pamoja Vivanny boy ft Diamond

  • @hamismahem913
    @hamismahem913 Před 3 lety +5

    Ongeza juhudi utafikia malengo yako my friend trie to live well with every person in the world

  • @surferboy1426
    @surferboy1426 Před 3 lety +10

    Hakika mondi kastahili kuitwa simba. Mondi Ni mzazi wa kweli Na mungu Azidishe baraka kwake.🙏🙏🙏

  • @ninsiimasuzy8468
    @ninsiimasuzy8468 Před 3 lety +4

    Much love from Uganda respect guyz

  • @titusmasila2029
    @titusmasila2029 Před 3 lety +11

    Diamond ni kiongozi na mzazi mkubwa.amekuza vijana wenye wanafanya kazi kubwa kumzidi.alikiba alijaribu kwa akina cheedy ikamshinda.RESPECT SIMBA!!

  • @msumenoja6048
    @msumenoja6048 Před 3 lety +21

    Kama umesikia sauti ya kwanza ikisema kaka utania gonga like hapa

  • @mwadimeevence5178
    @mwadimeevence5178 Před 3 lety +4

    Wapi wale kondegang,mlivyo support ubaya wake pia uzuri wake muushambulie hvyohvyo

  • @kathuri44
    @kathuri44 Před 3 lety +6

    Lava lava my man...sauti yko kwa supper woman iliua

  • @marharobert4
    @marharobert4 Před 3 lety +1

    Hatushindani na wao acha wateseke kwani nani hajui kuwa NLM on fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kabangenoma4047
    @kabangenoma4047 Před 3 lety

    Safi sana Ray umeondoka vzr you will be a blessing and the man of God is backing you up

  • @bensoneregae9223
    @bensoneregae9223 Před 2 lety +2

    Wow

  • @araplimousinessnr3917
    @araplimousinessnr3917 Před 3 lety +4

    No facemasks woow, good job Rayvanny

  • @omarymsi6832
    @omarymsi6832 Před 3 lety +1

    Brother usifanye kazi kwa kushindana fanya wewe bless

  • @emmanuelntaboba3838
    @emmanuelntaboba3838 Před 3 lety +8

    Big up rayvanny 👍

  • @bwanaikimohamed8241
    @bwanaikimohamed8241 Před 3 lety +8

    Respect WCB

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 Před 3 lety +2

    WCB na NLM👏👏👏💪🌞🙏🇰🇪@Kenya.

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Před 3 lety +5

    Lovely!!

  • @wahiduitsverycommentmane5421

    Lavalava usjaliii pia wewe tunakungoja kwa hamuu brother upo vizuru

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Před 2 lety +1

    Chuiii NEXTl LEVO MISIC RAVNNYN macvoice NEXTI LEVO MISiC

  • @thobiethalibutu1465
    @thobiethalibutu1465 Před 3 lety +4

    Baba levoooo uturihi jaman😀😀😀 keep up van boy😂😂

  • @marharobert4
    @marharobert4 Před 3 lety

    Bro ray, hatucheki na kima mwaka huu ngoja waone maana ya next level music (NLM)🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤 vanny boy chui mtu mbaya

  • @eliafimament6206
    @eliafimament6206 Před 3 lety +1

    Good brother mungu azid kukubaliki

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Před rokem +1

    Nextilevo misic RAVNNYN CHUIII

  • @Agavaddy
    @Agavaddy Před 3 lety +1

    Good heart chibuu

  • @ramadhanmohamed1712
    @ramadhanmohamed1712 Před 3 lety +3

    Safi Sana chui

  • @hamissaid2465
    @hamissaid2465 Před 3 lety +12

    Nani kamuona chawa Ana chekacheka tu Kama mwehu 🤣🤣🤣

  • @amrecansirya881
    @amrecansirya881 Před 3 lety +1

    Pongziii vanny,,,kwa juhudi zko,,ila chamsing zidi kupiga kazi na Mond,,,bro utazid kupanuka,,,usiwe umepat branch ukamtorok Mondo bro ,,,,tamaaa kando piga kazi,,hongra xan

  • @benkagecha
    @benkagecha Před 3 lety +1

    Very nice but sielewi vayvanny lukamba diamond lavalava mbona vidumu kushuka nywele?!!?

  • @danielhaule155
    @danielhaule155 Před 3 lety +13

    Baba levo Sasa alvyonyumanyuma Kwa diamond ka mwarabu fighter😂

  • @surferboy1426
    @surferboy1426 Před 3 lety +2

    Very Nice

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před 3 lety +5

    WCB FOR LIFE 🔥

  • @antoinebakevya8911
    @antoinebakevya8911 Před 3 lety +5

    Simba unakuza wadogo zako vizuri, tuachane na panya

  • @nzogoropatson1787
    @nzogoropatson1787 Před 3 lety +7

    Ba levo unacheka cheka tu

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Před 2 lety

    Chuiiii nexti levo music

  • @uncleapten2378
    @uncleapten2378 Před 3 lety +3

    Jaman adi fraha

  • @jafarmaseta3618
    @jafarmaseta3618 Před 3 lety +1

    Gud Sana

  • @bensonosike2897
    @bensonosike2897 Před 3 lety +2

    Big up

  • @ndihokubwayoadelphine3323

    WCB 4life🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @saidiramadhan3994
    @saidiramadhan3994 Před 3 lety

    Rayvaany pow mwanangu hayo ndio maendeleo

  • @user-ev2nq6qd9j
    @user-ev2nq6qd9j Před 8 měsíci +1

    chuiiii❤❤

  • @davidnyondo5173
    @davidnyondo5173 Před 3 lety +1

    Hongera chui

  • @kelvinpaul2464
    @kelvinpaul2464 Před 3 lety +1

    Tatizi beat ikojuu Sana mpaka maneno hayasikiki

  • @Tonnie_Dee
    @Tonnie_Dee Před 3 lety

    Hongera broo

  • @benjoe3868
    @benjoe3868 Před 3 lety +3

    How old were most Tanzanians when they found out that 'changamoto ya kupumua' was actually covid?

  • @ashadaud5669
    @ashadaud5669 Před 3 lety +1

    Nice

  • @jenywalker5246
    @jenywalker5246 Před 3 lety +5

    Ninavyomuona mondi anavyofurahia waah

  • @michaelmwasia7914
    @michaelmwasia7914 Před 3 lety

    Njia nzuri

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Před 2 lety

    Nexti levo misic

  • @skybgarcon3
    @skybgarcon3 Před 3 lety +4

    I follow this 🇷🇼

  • @ramadhanomary7300
    @ramadhanomary7300 Před 3 lety +9

    Nan kam mskia zuchu kuwa kamara itamuua jmn😂😂

  • @flinchclassic1726
    @flinchclassic1726 Před 3 lety +2

    Levo leo haongei

  • @SingitonRuduga
    @SingitonRuduga Před 4 měsíci

    Courage

  • @erickkoome2157
    @erickkoome2157 Před 3 lety

    Wenye wako na simu haina ya spark 5 pro tu like hapa

  • @nicholausmeza7563
    @nicholausmeza7563 Před 2 lety

    INAWEZA ONANA NA VANNY BOY MM NI MTAZANIA MZAWA WA MWANZA KWA SASA NIPO MASAKI NATAMANI NIIGIE HAPO STUDIO NINA NYIMBO ZANGU NATAMANI NIRECOND NIPO SERIOUS KABISA

  • @beatricejoseph7311
    @beatricejoseph7311 Před 3 lety +2

    Chui nakubari

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 Před 3 lety +1

    Baba levo tega mikeka ya bet utatusua tu😀

  • @thobiethalibutu1465
    @thobiethalibutu1465 Před 3 lety +2

    Zuchuu tulia jamen 😂😂😂Nan anakuua huyoooo😆😆😆

  • @beckaahmada5196
    @beckaahmada5196 Před 3 lety

    Anajikosha

  • @kennedyngumbitv4744
    @kennedyngumbitv4744 Před 3 lety +1

    iyo studio ina weza wee

  • @marryjack6332
    @marryjack6332 Před 3 lety

    Ongera

  • @user-ny3ls9qp9i
    @user-ny3ls9qp9i Před 4 měsíci

    Wewe ulitoka wazafi kwanini nawewe dei next mwaka kesho

  • @mauwaryam5560
    @mauwaryam5560 Před 3 lety

    Mboss uko wap jmn

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar4838 Před 3 lety +5

    Chui

  • @Noah-zt5zf
    @Noah-zt5zf Před 3 lety +4

    Eti mbosso yukoapi😂😂😂😂😂😂😂

  • @fliqjunior189
    @fliqjunior189 Před 3 lety

    Harmonize ako wapi aonge sasa

  • @annahmasae5204
    @annahmasae5204 Před 3 lety +2

    Vivanny umepiga atua

  • @marharobert4
    @marharobert4 Před 3 lety

    Kijana wako grey

  • @justinechangoka9169
    @justinechangoka9169 Před 2 lety

    Konde boy jeshii

  • @trisamilob3652
    @trisamilob3652 Před 3 lety

    Hadi pruuu

  • @shariffnsubuga5585
    @shariffnsubuga5585 Před 3 lety

    Mungu aibariki Kati yako

  • @suleimanabeid2275
    @suleimanabeid2275 Před 3 lety +1

    Hhhhh👍

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 Před 3 lety

    Mbona Paula sijuona jaman

  • @salumulongwa9461
    @salumulongwa9461 Před 3 lety +1

    🔥🔥🔥💥💥💥

  • @a1savageonly419
    @a1savageonly419 Před 3 lety

    Watu wanataka kujiunga... Unawapa vigezo gani.....

  • @justinechangoka9169
    @justinechangoka9169 Před 3 lety

    Baba levo aimbe ujinga na upuzi

  • @smithjones4099
    @smithjones4099 Před 3 lety

    sunglasses usiku ma star gani hao washamba tu

  • @mambotv1233
    @mambotv1233 Před 2 lety

    napenda mnavo pendana

  • @eveliusrespicius6859
    @eveliusrespicius6859 Před 3 lety

    Atar

  • @smithjones4099
    @smithjones4099 Před 3 lety

    Studio yake mpya ama kaburi lake

  • @smartyboy5999
    @smartyboy5999 Před 3 lety

    Iyo kitu kubwa sana rayvanny so simbaa ni mtu mwenye rohoo ya upendo sana pga kazi na usije kumzarau mondi kama harmonize sabbu kaa kusaporti ww kufka hapo kama utamuona hana maana hata sisi mashabiki tuta umia sana kikubwa ushirikiano

  • @silvanuskashindi1178
    @silvanuskashindi1178 Před 3 lety

    Wenzakoo walipost sku ile ile we unatupostia leo

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 Před 3 lety +3

    Mboso anaandaliwa na yeye

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před 3 lety +4

    Baba Levo pua yake inachukuwa nafasi ya watu 5 ndo maana chumba kinakuwa kidogo

  • @starlionmusiciantz7077

    Asa barnaba kwann asifanye collabo na simba jamani

  • @bittostar3524
    @bittostar3524 Před 3 lety +2

    Waandishi wabishi 😂😂😂

  • @brandmusic7720
    @brandmusic7720 Před 3 lety

    Wengine mlituomba hela mbna sawa tu

  • @leahkitundulu7004
    @leahkitundulu7004 Před 3 lety

    Tz hakuna corona

  • @juniornicklove190
    @juniornicklove190 Před 3 lety

    Baba Levo Anakuza Kitambi t

  • @fficiallymasue1903
    @fficiallymasue1903 Před 3 lety

    Hii tunasema bay bay konde gan

  • @frednyaonge7350
    @frednyaonge7350 Před 3 lety

    BABALEVO nachekacheka...tu

  • @salehjuma5242
    @salehjuma5242 Před 3 lety

    Lava lava unakwama wapi unafata kundi kama kumbikumbi uliekatika mbawa

  • @kingmadosh3325
    @kingmadosh3325 Před 3 lety

    Umeumiza

  • @MohammedAli-vq2dk
    @MohammedAli-vq2dk Před 3 lety +1

    Mmeshasuka Sana bado mvae Madera tu jmn😂😂maisha yanaenda kasi sana

  • @samsk3445
    @samsk3445 Před 3 lety +2

    Hapo ndipo mtambue kuwa Diamond ana akili sana, huwez amini anachokifanya hapa ni kutanua wigo kwa kufungua matawi ya wasafi japo anataka tuamini kuwa hii ni lebo ya Vannyboy, na pia amini kwamba hii ni mikakati ya kuangamiza lebo ya Konde Gay!!!

  • @masundelwa
    @masundelwa Před 3 lety

    Waandishi wa habari Kama wanafunzi wenye kelele darasani .... 🤣🤣🤣

  • @alfylegit9573
    @alfylegit9573 Před 3 lety

    Baba levo hana lolote. Kazi kuchekacheka tu akitarajia afunguliwe studio pia

  • @jacklinewambura6720
    @jacklinewambura6720 Před 3 lety +1

    FANGASI NA U.TI SUGU SASA BAAASI!!!
    (PIGA 0682042666)
    Je wewe ni mwanamke na unahangaika na matatizo yafuatayo
    1:Fangasi sehemu za siri
    2:U.T.I isiyoisha
    3:Muwasho sehemu za siri
    4:Kutokwa na uchafu sehemu za siri
    5:HARUFU MBAYA
    Hali hii inakera sana kwa wanawake wengi na wengi hawajui wafanye nini kutatua matatizo haya kwani njia nyingi zitumiwazo kutatua matatizo haya hazisaidii
    Pole sana mwanamke leo nitakujuza kwa ninitatatizo haya hutokea na dawa take ya kujikinga ni nini?
    KWA NINI MATATIZO HAYA HUTOKEA??
    Inasemekana kwamba kati ya wanawake 100 wanawake 95 wana matatizo haya niliyoyaorothesha hapo juu kwa hiyo wewe mwanamke ninaeongea na wewe matatizo haya sio aibu ni kawaida kwa akina mama
    Kwa kitaalamu matatizo haya huitwa VAGINITIS, ambayo huambatana na ukuaji usiokuwa wa kawaida wa bacteria na fangasi sehemu za siri za mama
    -KWA NINI UKUAJI WA BACTERIA NA FANGASI USIOKUWA WA KAWAIDA???
    Kawaida sehemu za siri za mwanamke(ukeni) kuna viumbe vinaishi(bacteria na fangasi)ambao hawana madhara na kazi yake kubwa ni kuulinda uke na bacteria na fangasi wenye madhara kwa hiyo huwa kama askari
    -Sasa ili hawa viumba(fangasi na bacteria wasiona madhara) waweze kuishi vyema wanahitaji mazingira rafiki ya kuishi kama vile hewa ya kutosha ,joto kiasi n.k
    -Sasa kutokana na matumizi ya pedi za nylon,uvaaji wa skinny jeans, kukaa sana kwenye viti kwa wanawake wa maofisini, kutokufanya mazoezi hawa bacteria walinzi hufa, hali hii husaidia bacteria wabaya kuzaliana kwa kasi sana sehemu za siri za mama(ukeni) hivyo mwanamke ataanza kuhisi hali ya kukera sehemu za siri, kama muwasho
    -Pia matumizi mabaya antibiotics huua hawa bacteria walinzi,
    -Bacteria na fangasi walinzi wanapokufa uke wa mama unakosa mlinzi hivyo mama anapotumia public toilets(vyoo vya jumuia),anapofanya tendon la ndoa ni rahisi kuambukizwa bacteria na fangasi wabaya kwa sababu ukeni kwake hakuna.mlinzi tena.
    TUMIA FEMICARE FEMININE CLEAN NJIA SALAMA YA KUJITIBU NA KUJIKINGA KABISAA
    Hii ni lotion maalum ambayo mwanamke hutumia kujisafishia sehemu za siri(ukeni)
    -Ni ya asili, haina madhara na hutumika maalumu kwa Ku safina sehemu za siri
    1:FEMICARE inachokifanya huua bacteria wote wabaya na kutengeneza mazingira rafiki kwa bacteria walinzi kuishi
    2:Huua fangasi wote wabaya
    3:Hufanya uke use na uwezo binafsi wa kupambana na bacteria na fangasi wabaya huna haja ya kukimbia vyoo vya public
    4:Huondoa harufu mbaya na uchafu ukeni
    5:Femicare imetengenezwa na madini maalum,vitamini, protini hivyo huuponya uke na kuzitibu kura zake hivyo humrudisha mama kuwa msafi na mkavu pia humfanya awe kama zamani.
    Angalia Video Hii KUMUELIMISHA zaidi
    PIGA NAMBA 0682042666

  • @stephenmwingira3986
    @stephenmwingira3986 Před 3 lety

    Bado mboso na lava lava