HELLO MR RIGHT SEASON 05 EPISODE 01 FULL SHOW Featuring Mc Gara B, Aaliyah & Lulu Diva
Vložit
- čas přidán 5. 12. 2023
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Zábava
Safi sana kwakutulushia kipande chote cha mr right kwa msimu huu mko bora sana zaidi ya sana niwape mauwa yenu
I'm so a proud with this episode I give you congratulations mr
Nampenda sana Aaliya yupo vizuri sana kwa kuwapa warembo ushauri
Kuna elimu halafu kuna shule huyu ana shule sio elimu😂😂😂😂😂
Hello
I love show
just want to advise to reduce background music because it is higher than conversation
(It make some boring)
Mtoe hiyo background music hatuskii vizuri
Nelly ako very beautiful na amevalia poa,...Jacky ako na figa poa kisha mrembo,kisha anakaa demu mtulivu...Florah ako freshy sana,
Punguza iyo beat wakati mkiwa mnaongea inakela
Mim napenda kufika hapo mr..right ila sifaham mpo sehemu gani naomban mlielekeze wadau wenzanguu😅😅😅
Napenda diva jinsi anapenda vaa🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Jamanii tuleteeni mwijakuuuuuuu🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️
Liked Hamas & Davis match, the fact that Hamas has interest and can do make up and do hair
Aiseee kipindi kizur San Yan mmepatia kuanzia beat Yan good San hongereni
Uyu mister lighth ni andsome sana angekubali kunyoa yuko pw sana jaman we kaka me nimekupenda bule
Not the girls being delulu😂
My Goodness, so beautifull
Bora mlivoamua kutuwekea full 🥰🥰
Lkn mkaka wa nywele Handsome❤
Kuku wa kufuga hanunuliwi sokoni .
Alijua je kama anapelekwa kwa waganga kama yey huwa haendi😂😂😂😂😂😂
Advocate my foot!!!
Sijapenda kumkataa mtu kwa hukumu ya jumla (kabila, dini, nk)
Hyo frola kakusanya kijiji kizm cha nyumbn kwao ndo maan
Jaman mhhhhh hii mbn kama maigizo
❤❤❤❤❤
basi ndio mtupunguzie background track watu wakiongea, inaudhi sana
Background sound Ina sumbua next time muipunguze kiasi
Muongo huyo
Ni kweli had wanafungag ndoa au utan
Hello mnapatikana wapi
Judges mnaongeaa sana 😢show ndefuuu
Sasa mumepevuka kuweka hizi Episode live na vinaenda kimataifa vipindi vyenu vitakuwa sana
Zarish unazingua
Naezaje pata MR RIGHT wangu jamn nipo kenya plz
Njoo Tz
Nikweli 😢
Je kama anamwanamke mwingine mana anaonekana ni baba mwenye familia yake
Mm nataka kuja huko naweza fika aje huko.
I missed Lulu diva.watching from Kenya
tunataka muendelezo mbona mmekawa sana kuiweka yote full
it is not right to keep the girls waiting for over 30 minutes standing for unstructured introductions... who is the guest here? i mean the host talks too much. what has happened to the guest?
Kaka Ngara B kwel hizi ndo zinadumu ama nimaigizo tu mnafanya kama biashara ya sanaa?
Garage B sio ngara B lol
Hakuna ndoa hapo zinaa tupuu
@@nahlahassan-fd6le mie meshuhudia ndoa ya mmoja wapo kwa hao na mc alkua hyo hyo gara b
Minilijuwa ngara mton kumbe anasema gara b😂😂😂@@subrynerysegerow1323
Pia umekosea cyo gerage B ni Garab@@subrynerysegerow1323
Wakati wa kuongea tunaomba hako kamziki mkatoe kanaumiza masikio tunataka tusikie sauti peke yakeeee
Mnauhakuka huyu ni m tz au ni mrundi!?🙄😩🤔😆
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huku lnaka soko heri kujitafutia mtaaa hila usijari utapata mke mwema
Huo mziki mgetoa unazingua
The show is good but you guys are making the show about you the host is not doing a good job kabisa hajui hajui hajui kuweka suspence making the show extremely boring jamani we need to watch wenzetu wanafanya vipi hizi show hata wakenya tu wametuzidi mara elfu daaah producer director hamuoni hiliiiiii ahhhhh 😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡