Annoint Amani = Wewe ni Nani ? ( official video )
Vložit
- čas přidán 21. 09. 2022
- #weweninani#
Nikweli ni vizuri kusaidiana ili kila mtu afikie malengo,Lakini unapo pokea msaada Kumbuka Mungu ndie alie mleta kwako huyo mtu, ili usaidiwe kwa jambo lako kama ni Jema,
hivyo kwakua Mungu ndo anae tuletea watu ili watusaidie kwa mambo mema,
Bas usijarbu kukubali msaada utakao vunja uhusiano wako na Mungu au kuvuka mipaka kias cha kusahau kuwa wote ni wanadamu na Mungu aliwapa wengine kwanza ili wasaidie wengine.
( Kila mtu Duniani ana jambo ambalo linaweza kumpeleka kwenye hatima yake kama atalifanyia kaz mapema na kwa uwaaminifu)
hivyo wale wote wenye moyo wa kusaidia watu walio pungukiwa msivunjwe moyo,
Na wale wasio na shukuran wasikufanye uache kutoa misaada,
Kumbuka alie kutuma kwa huyo mtu ni Mungu hivyo malipo ya iyo kazi yako njema utayapata kwa Mungu mwenyewe)
👇
It is true that it is good to help each other so that everyone can reach their goals, but when you receive help, remember that God brought that person to you, so that you can be helped in your matter if it is good.
so God wants us to bring people to help us with good things,
So don't try to accept help that will break your relationship with God or go beyond the limits of forgetting that they are all human and God gave them to others first so that they can help others.
(Every person in the world has something that can lead him to his destiny if he works early and honestly)
so all those who have the heart to help people who are in need, do not be discouraged,
And those who are ungrateful should not make you stop giving aid,
Remember that the one who sends to that person is God, so the reward for your good work you will get from God himself )
Artist,Annoint Amani
Song,Wewe ni Nani
Album,Kiboko yake ni Usingizi, Album vol 6
Language Swahili)
Annoint Amani booking
Instagram Annoint Amani
+255767240181 = +255755099942 Dar es Salaam Tanzania )
VIDEO,DIRECTED BY KHERI ONE +255693 354 566 ( HANSCANA DRAND )
AUDIO ,A.E.A TONES PRODUCER BY MEDDY ) - Hudba
Yani kila neno la huo wimbo linanihusu mimi,Mungu anisaidie washira🙏
Acha mchezo bro 😂😂😂
1:08 1:08
Pia Mimi
Wewe ni nani
Ha were
Mungu hatoki kijijini kwenu
Wewe ni nan? Mungu ndo Kila kitu ktk maisha ya mwanadamu
mulize yeye ninani congratulations my brother
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Hi we are going to talk to you how are you so far..... mwanadamu tu
Congratulations
Mungu ni mtu tu .
Ongerala Sasa kaka nausikia kutoka Kenya
gud sana kija wangu
Usijalibu kuwa kama Mungu kwangu 💯💯💯💯🙋🙋
Wimbo nzuri sana God bless you 🙏🙏🇰🇪
@@masilinenechesa8625 saaana Mungu mwema
czcams.com/video/TEAlGc-eCh4/video.html
Nice song,tubarikiwe zte🙏🙏🙏
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Ww n NANI JAMENIIII.ALAAH.KAA KADO.
Wewe n nani uuuuiiii what a song I love your songs 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Hakuna wa kuchukua nafasi ya Mungu maishani mwangu🙏🏿🙏🏿
wimbo mzuri. barikiwa baba
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Hio wimbo imenibariki Sana yeah tunaenda kiroho hatuendi kimwili barikiwa Sana
Ujawahi kukosea mungu akubariki sana
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Hii iliwahi kutokea kwangu baba lakini Mungu ndie mukubwa hutoa liziki bilakinyongo akatoa nawatu wanabaki wanashangaa
Kijana napenda nyimbo zako, you're my favorite
Wambie wasikieungu ndie mwenye riziki changanya from nairobi
Congregation mtumishi nabarikiwa San San MUNGU azidi kukutumia uzidi kiondoa udhaifu
WEWE NI Nani
Unaye sumbuwa maisha yangu
WIMBO MUKUBWA ƙwakweli
Usinipunguziye mwendo mwanadamu mwenzangu
Baba yangu Mungu akubariki sana
Wimbo mtamu sana jamani 💪
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Akuna mwenye anaweza chukua nafaxi ya mungu
Amen 🙏 amen 🙏 ubalikiwe mimbo mzuli sana
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Hongera kwa kazii nzurii ujumbe mzurii mtumishii
Ww ni nani unaeh sumbuah maisha yangu huu wimbo unisaiidieh mm unaeh toah lidhiki ni. Ww nmeipend hii
Congrats sir ❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kazi nzuri San 👍👍
Wewe ni nice song 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇦🇪
Napitia tu haya alafu nikakutana na huu nyimbo Mungu unaye toa riziki ni wewe nisaidie Mungu wangu 😢😢😢
100% wewe ni nani kwangu thanks annoint for that song
Kaka wimbo umenigusa kabisa na umelenga changamoto zote ninazo pitia asante sana mtumishi mungu azudi kukuinua na kukufungua
Bapebda msg zilizoko ndani ya nyimbo hiiii;annoint hongera sanaaaa unagusa jamiiii..
Woooow Amazing be blessed 🙌 hii safi
Am here 2024 from kenya may God continue blessing you
Ndugu utafika mbali salimia mum sana
Barikiwa mtumishi ujumbe mzuri kwa wanaosumbua imani za watu, ila ktk yeye atutiaye nguvu tunayaweza
Emen 🙏🏻
Wimbo mzuri nimebarikiwa Sana
Hi bro hii kweli imenitachi Sana be blessed Mungu akulinde🙏🙏🙏🙏
Nice one,
Hawajui calendar ya Mungu ,wao ni nani?????????????
Amen when God says yes nobody else can say no,washidwe wanajaribu kushikilia Baraka zetu 🙌
Dady hongera kabisa mwanadamu nae hata ni nani umwangalie
Wewe ni nani usumbue maisha yangu ❤❤amen
🔥🔥🔥
NCE bro annoint amani I love you so much
nimekuwa nikiskia huu wimbo radio nimejaribu kutafuta mwimbaji ni nani nisearch niuskie to ndio huu sasa asante mungu nimeupata inanibariki to🙏🙏
Wow annoint huwa unanibariki sana congrats my brother (SIRAJI SOKA) kutoka kenya
Wow yy n mwanadamu tu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🎉full message to the world🎉
Napebda songs zako sanaaaaaaa bigup annoint
Wewe ni nani uhulize maisha yangu
A very good song
Wow may God give more strength kumtumikia
Hakika mungu ni mungu tu na mwanadamu ni mwadamu hakuna amshindae mung maneno Yao hayana nguvu yapepeluka na upepo tu
m.czcams.com/video/AWx8S5KoHjY/video.html
🎥 KASSIANO#KASSEBO #AHSANTE#OFFICIAL#VIDEO
m.czcams.com/video/AWx8S5KoHjY/video.html
🎥 KASSIANO#KASSEBO #AHSANTE#OFFICIAL#VIDEO
lam blessed bro nimeona hii song TikTok nikasema mbona nisifike CZcams Thanks 🙏🙏
On fireeeeeee
Nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu,amen
Kaz bola Sana mtumish wa Mungu 🙏🙏🙏 🇹🇿🇹🇿
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Kabisa kabisa
Nimekumbuka anae nitafuta kazi ananichongania kwa Bosse
🙏
Hongra sana kaka,huuu wimbo naona kama nimeimbiwa mimi kwa niyapitiayo,ila Mungu ni mkuu sana namshukuru kila iitwayo leo.
Wewe ni Nani unaye sumbua maisha yangu
Wewe ninani 🙄🙄🙄💪💪💪
This Amani,nyimbo zake huyu kijana! Are wonderful
Mungu nikumbuke na mm
Hongera Sana Kaka kila kipegele Cha hii nyimbo umejua kuwapa ukweli wanao tuharibia sn wao ninani
Wooow wewe ni nani??? 💕💕💕💕💕💕
Wow kazi nzuri sana Amen wewe ni nani mungu akuinue zaidi mtumishi wa mungu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🇰🇪🇰🇪
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Amen and amen 🙏🙏🙏🙏
Mwana wa dady e.machea Zanzibar
Nice one 👍
Wakenya tnakupenda sn kwakila wimbo unaotoa mngu akubariki sn mtumsi w mngu
Barikiwa man of God.yeye ni nani kweli?Hongeta kaka
From TikTok.....this song blessed my life......be blessed amani
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
One love hujawa kukosea
Nakupenda bure
Barikiwa kaka mungu wetu ni mkuu kila jambo tuzidi kubarikiwa
Wow nice song,wewe ni nani unayesumbua maisha yangu
Amen 🙏, Mungu hakubariki sana dear 🙏 nice song nice video
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Amen mtumishi wa Mungu
Wow wimbo unaonibariki Kaka. Upendo mwingi kutoka🇰🇪🇰🇪
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Wewe nani very nice song 🔥🔥🔥🎁💝💖🦅🦅🇫🇷🇨🇩
Wimbo huu uwafumbue macho wanaojiona ndyo mungu watu
Wimbo unatia nguvu sana kwA waliofujika moyo thanks bro
Wow ujumbe mzito sana, barikiwa shujaa wangu🙏🔥
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
Pacha ❤️ amina
Big up bro
Good.mulize.yy.ninani
Wimbo umenigusa Sana mungu akubariki sana na huduma yako izidi kukua
Mwanadamu hana mamlaka kabisaa 🙏 🙏 🙏
Hayo ni maisha yangu ndugu umeyanenea Mungu akubariki na akuinue kwa huduma zaidi!
Amen.nakusupport napenda nyimbo zako from 🇺🇸
Congratulation brother
Kilaninapousikiliz huu wimbo ninaurudia marambili. Safi sana kaka
Sure God is greater
Wambie ukweli Mungu pekee ndie anapeana riziki ujumbe mkali sana
Mungutupekendiyemuwesayote,Ameeeen
Amen wewe ni nani hata ushindane nami so touching 🙏🙏🙏 humbled
Congratulations bro
😂😂😂😂😂😂 mwambie huyooo Mungu hatoki kijijini kwaoooo😂😂😂😂..,.... Amen ujumbe imefika kaka barikiwaa
Much love from 🇹🇿 I really like this man this song is touchebly
Amani,Niko narok Kenya I do like your gospel songs. forever God ni pure!
Asante bwana muziiki wako iko Mzuri.njema njema zaidi papa
Amen , mtumish nice song
tena yeye n nan katika maisha yangu ashidwe