USO KWA USO HARMONIZE NA DIAMOND MSIBANI KWA BABU TALE NO STORY MIKAUSHO MIKALI
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- HARMONIZE NA DIAMOND WAMEKUTANA USO KWA USO KWENYE MSIBA WA BABU TALE HAKUNA CHA SALAM WALA MAZOEA TAZAMA HAPA FULL VIDEO
#HARMONIZE #DIAMONDPLATNUMZ #BABUTALE #SALLAMSK #MSIBANI
Its Evident that Harmonize and his group are just amazing people ,,like they are just simple and smart ...I know y'all agree❤
Harmonize we ni mwanaume nimekupenda bure bifu sion maana yake ni utoto huo Harmonize Mungu akubaliki mno😍😍😍
Mwambie asibishane na baba
Masha Allah..hamo..umeonesha mfano mzr..chuki sio nzr binadamu twapita Aina aja ya kuekeana kinyongo
Ndugu usijali mungu ujua kila sababu zote
Pole sana Babu Tale
Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Pumzika kwa Amani kipenzi chetu tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi
Mtoto wa tandale nakukubali..👍👍👍 hukaagi nyuma...big up saana..mungu aendelee kukuweka juu na akupe mwisho mwema.
Hee subhanallah. Icho kilichofanyika katika msiba wa da shamy si sahihi. Kwani kitakacho mfaa uko aendako si ivyo mnavyo vifanya bali ni kukaa chini na kumuombea dua na maghfira kwa allah na kumtolea sadaka kwa wengi. Kubwa zaidi ni yale alio yatenda mema alijitangulizia nafsi yake na yale mabaya allah amsamehe na amrehem.
Na wala sio uzushi huo mnao ufanya kwa kuzua. Zua mambo. Dini ya uislam imekamilika na wala haitaji cha kupunguza wala kuongeza
SubhannaAllah mungu awasamehe awapekujitambua mtihani mzito marehem adhabu mnayompa lau kama mngelijua mngeacha upuuz huo na kukazania dua mkasoma Qur,an nasio ujinga huo
Wallahy na kuna watu washerehekea hayo mtihani mkubwa sana Waislamu kuacha kusoma dini kufuata mkumbo tu
Allah ampokee Shammy amjaalie kaul thabit Inshallah ampunguzie adhb za kabri Yaarab mtie nguv babu Tale pamoja na wtto wake Yaarab Allahumaa Amiin
Welldone Harmonize u have done well.R.I.P shamsa.🤲
Mimi hata sielewi hii dini yetu na vituko tunavyoviona ktk huu msiba...Mungu atustiri
Hawa ni waShia hawa.
Hakika yaan mapicha picha
Makurafi wote hao
N hatari
Sivituko vidogo lkn ndio mambo ya sanaaa acha Allh amsamehe huyo alofarik tu
Diamond ako n uoga mwingi🙈🙈🙈
Harmonize katimiza ungwana alio mpa karima Allah atuongoze
Pole sana mluguru mwenzangu Babu Tale, namuona Waziri wangu wa Maliasili na Utalii, wajina wangu Mh. Dr. Hamisi A. Kigwangallah (Mb). Karibu tena Morogoro. Harmonize umefanya kitu cha mfano was kuigwa sana, Diamond saf San kujumuika na wengine katika dhikri. Nimefurah cn.
The prayer,wish and andhappiness of every father is to see the success of his children whether obedient or rebel.remember the story of the prodigal son in the Holy Bible!Diamond,pls learn to love and let it go.a bird feeds its young ones when little n when they grow wings,they fly..and being of the same kind,they fly together..
Dah pole sana kaka angu maana Allah ampokee mkeo kwa mkono wa kulia na amuondelee adhabu ya kabri Bora hata wanakufariji kwa dhikri
Inalillah wainalillah raujun mungu nakuomba utupe mwisho mwema kwaiyo ngoma warahi sijaiyelewa tunawaiga manaswala huu ni msiba tena mkubwa
I'm so sorry for you're lose please don't cry take heart and look after the little ones left behind God knows best we can't question him
Mwacha mila ni mtumwa,hongera kwenu kwa kua waislamu na vile vile kufuata utamaduni wenu
Poleni sana wcb aswa babu tale na familia mola awape nguvu tuko pamoja
Harmonize bigap Sana Kaka mungu akulinde na wabaya wako wanataka uharibikiwe nakupenda Sana kwa tabiya zako nimsanii unaye jielewa na unae elewa vp msanii a natakiwa kuwa❤️🙏💪
I dnt think in a such place need abodygurds sasa watu wameka jamaa wameenda furisha vifua.its ok ni hio rizki ya mjaa kutia siku
amiin mungu amlaze mahali pema na ampokea kwa uzuri babu tare pore futa machozi jikaze iyo ndodunia msiba unauma asa kufiwa na mtu wakaribu zaidi
"Makofi" ni muito wa watu wa motoni (Jahannam) baada ya kukaukwa na sauti wakimuita Allah (Mwenyezi Mungu) awape msamaha na awatoe motoni. Ombi walilo takiwa kuliombaa duniani walipo kuwa na uhai. Hivyo hilo linalo fanywa hapo halina thamani yoyote mbele ya Allah! Si kwa marehemu wala wazishi!
Hivi niulize,wanaume ndio wanaimba na kupiga makofi? Mbona sio wanawake au hiyo ndio kanuni za waislamu?
Sjui ndo nn mm sjawah onaa...Msiba wa kislamu weny upuuz kam huuuu
@@dillysmith9020 watu hawataki kufuatilia dini. Ndo shida
@@paulinemuhonja6901 hao ni Islamic Illiterate. Hawana walijualo.
Izo ni uzushi na kila uzushi ni upotofu na kila upootovu mwishowe ni motoni. Allah atuongoze njia ilio sahihi
Inalilaahy wainalilahy ranjuun alaaah ampee moyo wa subraaa babu taleeee
Babu Tale kajikaza lkn ingawa some time uchungu Mungu atakupa nguvu na Mungu atawakuza wanetu salama na Mungu amuondoshee azabu za kaburi marehemu . Aaaamin
Subhanallah!! Hii ni mila au ukristo?? Hakuna mambo haya kwenye uislamu... huu ni ujahilia, someni dini. Munasifiwa bure tu ulimwenguni hapa hakuna dini. Mambo ya kusikitisha sana.wapi masheikh hapa?? Kipozeo plz elekezeni Hawa watu kwenye haq .🇰🇪😭😭☝️
Wewe Zubeda Kwani uislam umezsliwa nao au umesilimu ulikuwa mkristo?? Inakuwaje huijui Dhikir au Kenya kuna Uislam Gani Ambapo Leo wewe unaishangaa Dhikir.
We zubeda mbwa koko wewe ukristo umetokea wapi hapa? Nyinyi wenyewe na Dini zenu mnafanya vituko unaigiza ukristo ndani. We unavyojiona utaenda mbinguni?? Fala.
Bro harmonize umefanya kitendo cha kiungwana Sana respect bro
Poleni kwa msiba...
Poleni sana kwa wakati mgumu
Mimi hao ma bodyguard msibani jamani punguzeni wa sanii mbna mnabowa kiukweri kwa tafsri nyingine mna haribu utamaduni wa ki TZ, bongo msibani tunakuwa huru tuu
Huo ni mtazamo wako, ila ni wamuhimu saaana we umeona kunajitu liko msiban lakin linaonyesha chuki tu
Unajua hamonize alishako.sana na diamond,lazima awe na walinzi hujui kilicho moyoni mwa mwenzako
Lazima ujiengeze iyo sehemu kila mtu ana nia yake moyoni uwepo wao ni muhimu sana kijana
@@sarahyvonne4580 ata ivyo awajafanya kibaya mbona mwenye msiba mwenyewe ndo bado anakinyongo chake lkn harmonize kajitaidi tupendane sisi wote waja wake kwake tunarejea Kama walikua na ugomvi waho angempa tu mkono daaa
Innailahi wainailhi rajiuni. Death is inevitable. Thanks Mbooso Harmonise and Diamond platinums. For sure you are our brothers in Islam.
Mungeelewana mana munaona dunia mapito watu mukaaca chuki hainamwisho mutu naboss wake mukarudi kama zama uyumama simujuwi ameniliza sana mpolesana kbs mungu amupokey
Huyo salam hanaakir. Hajui nn maana ya utu hamoniz ametumia busara na uugwana . Hamo amekuwa mfano mzr sana.
Subuhanallh sijawahi kuona dini ya hivi allh awaongoze na mashehe wetu ndo wanaongoza allh atupe mwisho mwema
Safi
Dangote baba lao. Mungu ampe neema
Poleni sana Kwa lilompata
Zikri nzuri
Alla ha u naxariisto maamada shams aamin dhaha
Poleni sana
Mungu akupe neema na Subra Babu... Just when I started following Tanzania starts and cellebraties with Kibonge.., Ruge... Nnandi... I'm so suddennend... Keep well and safe my people
AINA ZA WATU MSIBANI. jiulize wew uko wapi. Gusa link hapo chin kujua
czcams.com/video/HJZqNd8fEM8/video.html
Hiyo mi body guard inatisha wananchi hapo jmn heeee
Harm. Keep burning.. kifo nikifo jameni
I think Diamond is coolest and maturity
Nmemtaftaa Rayvanyyy....afadhali hapa nmemwonaaa
Mungu AIWEKE PEMA roho ya marehem SHAMSA..Innalilahi wainnailaihi raajiun
Fty bro
Mungu mkali mungu akupesubra katika. Kipindi iki kigum kaka angu akunakitachobaki dah
Mswameh kareeeeem. Amefanya wajeeb .Alhamdulillaah. kama nimwengine hataa hangefikaaa ,imani na hurumaa yakee imemfanyaa kujaa na ndipoo pakuswameehanaaa.duniyaa mapitoo.hakuna anae jijuwaa nani mwenginee Atakaaee kufaa nyumaa ya marehemuh.siri yake Allaah.
Makofi sasa inamaanisha nn??? Kweli uislamu tumeihama 🥺🥺🥺
Rest in peace dada yangu sham 😭😭kumbe babu tale kwetu wote mkuyuni morogoro hee
I trust u diamond he never have bifu but people are so mmmm.
Diamond is coolest and mature person l EVER seen. He brought his team on top
Safi sana ndivyo inavyotakiwa m/ngu tujalie namjalie malehem uyu safariyakehii alieiyanza
On behalf of all the Wasafi family here in Nigeria, we ask Babutale to accept our condolences and talk heart. Is not easy to bear but God knows the best
Subhannallah
Keep going
Inauma sana
Sisi sote ni wa Allah na kwake tutarejea hatuna ujanja
Sana Ndugu yangu
Mond unalamba mdomo kam unashoot video ya jeje
Dah
@@TheJacob2030 kabsa
Konde gang 4 every bady
Maashaallah hamon mutu wamung kwer pongez kwakijana anaye juwa kwamba dunia nimapito
Jaman kiukweli harmonize kutoka wcb imekua homa inayowasumbua watu wote label ya ya wcb ila inabidi muzoee
Pole sana Babu tare yote ya yote tumwachie mungu Mumbai wa mbingu na nchi
BDE news Kenya inawapa pole kwanza na pia napenda harmonize vile anaonekana akiwa mtulivu kabisa.
Mimi kitu ninachoweza kuwafaamisha ni kuwa kila kitu kitakuwa shawari. RIP
Hii ngoma si ktk mafundisho ya rasul llah(swala llahu aleyhi wasalam))ni mambo ya kijahiyr hayo
Naam mtume hakufundisha haya watu msibani wanapiga makofi utafkjdia mazury yani allah awasamehe tu
Majini tu na jini mwenzake
Mfiwaa anaangusha dhikir km hajafiwaa daah good saan broo ndo inavytakiwaa 😂😂😂
Minaona kama kuna kitu katumia akili siyake
Said sadik Kim mungu anakuona kalia sana mkaka wa watu
Mlitaka agaregare ndo mfurahi??
Hahahahaha nimecheka sana
Unatakaje maana km kulia kalia sana
Jamani tuacheni kuchezea dini uislamu hauruhusu haya mambo munayo yafanya ndugu zetu watanzania kama ni mambo ya mila basi musiweke mchezo na dini Allah ni mwingi wa rehma wala sio kufanya mchezo nae shukran
Acheni izo bi daah
Kam umemuona king kiba uslike
Jaman hamujamuona Rich mavok kwa Babu Tale😥
Babu tale mwenyewe alia kinafki amemtoa mkewe kafara
Jamani mashekh mupo wapi mukemee hizi habari
Hongera konde boy moyo kama wako ni wachache sana ndo wanao
Pole sana babu tale
Jamani mashekhe hampo apo msibani mtume hakufundidha mambo Ayo, dah,uislamu unaondoka jamani,
Mimi nimeshangaa😢😢😢
hii ni gani tena sijawahi kukiona kitu kama hii
Chuki na bifu zisizo msingi hazifai jaman pendanen maisha yenyew mafupi mno, Pumzika kwa Aman mamy 😭
There is something mythical with this dance😑
Pôle ya camera tu mbona Harmonize hajampa mkono
Ila babu tale amejua kujikaza😭😭 napenda anavyo smile
Vocês são irmãos devem se saudar
Pongezi kwako mzee baba
Mashaallah
Meu deus
Je suis très fière de vous la religion avant tout paix à l'âme du défunt
Huuu babu tale mlofanya ni upuuuzi mkubwa sana hapo mlikua mtoe juzuu wato wasome huku wana subiria marehem kupelekwa mavan
Dah!!!!! Atari sana kwa Mondi
Mondiii ana lanaaa uyooo hahahaha
Kila nafsi itaonja umauti mwenyez mungu awape moyo wa subra wafiwa wote
Pole sana kwamusiba
Harmonize amefanya vizuri usijali wala usidrudi nyuma songa mbele wewe umeonyesha maturity as always. Let him be; nobody knows tomorrow.
Nikidhani umepata nafasi kutazama video kaliii🔥🔥🔥👇
czcams.com/video/1yLj7R1mSyY/video.html
Polen
Kenya matanga n sherehe
Hamonize don't compare your self na platinamz bana bado hautoshi mboga kwa platinamz bana, platinamz is on a fox magazine he is one of the most successful and richest arts in East and Central africa so please kua mpole
Ina lilahi waina ilaihi rajuun
Naona mond haelew chochote hapo amejaribu kucheza kashindwa
Hii zikl mhh
Wa2 awajajaa wakat mastar weng wapo
Allah amuondolee adhabu za kaburini marehemu ampanulie kaburi lake ila hiyo manhaji haifai kabisa siku za uzuni wao wapo Kama kwenye sherehe uchache wa ilimu
Inallillah wainaillah rajiuun