USO KWA USO HARMONIZE NA DIAMOND MSIBANI KWA BABU TALE NO STORY MIKAUSHO MIKALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • HARMONIZE NA DIAMOND WAMEKUTANA USO KWA USO KWENYE MSIBA WA BABU TALE HAKUNA CHA SALAM WALA MAZOEA TAZAMA HAPA FULL VIDEO
    #HARMONIZE #DIAMONDPLATNUMZ #BABUTALE #SALLAMSK #MSIBANI

Komentáře • 483

  • @addrianaeleen2270
    @addrianaeleen2270 Před 4 lety +26

    Its Evident that Harmonize and his group are just amazing people ,,like they are just simple and smart ...I know y'all agree❤

  • @ezekielisanka9234
    @ezekielisanka9234 Před 4 lety +39

    Harmonize we ni mwanaume nimekupenda bure bifu sion maana yake ni utoto huo Harmonize Mungu akubaliki mno😍😍😍

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar8793 Před 4 lety +28

    Masha Allah..hamo..umeonesha mfano mzr..chuki sio nzr binadamu twapita Aina aja ya kuekeana kinyongo

  • @rosejoseph2228
    @rosejoseph2228 Před 4 lety +4

    Pole sana Babu Tale
    Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
    Pumzika kwa Amani kipenzi chetu tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi

  • @divia0037
    @divia0037 Před 4 lety

    Mtoto wa tandale nakukubali..👍👍👍 hukaagi nyuma...big up saana..mungu aendelee kukuweka juu na akupe mwisho mwema.

  • @jmbelieve3853
    @jmbelieve3853 Před 4 lety +10

    Hee subhanallah. Icho kilichofanyika katika msiba wa da shamy si sahihi. Kwani kitakacho mfaa uko aendako si ivyo mnavyo vifanya bali ni kukaa chini na kumuombea dua na maghfira kwa allah na kumtolea sadaka kwa wengi. Kubwa zaidi ni yale alio yatenda mema alijitangulizia nafsi yake na yale mabaya allah amsamehe na amrehem.
    Na wala sio uzushi huo mnao ufanya kwa kuzua. Zua mambo. Dini ya uislam imekamilika na wala haitaji cha kupunguza wala kuongeza

  • @noorumounir9386
    @noorumounir9386 Před 4 lety +1

    SubhannaAllah mungu awasamehe awapekujitambua mtihani mzito marehem adhabu mnayompa lau kama mngelijua mngeacha upuuz huo na kukazania dua mkasoma Qur,an nasio ujinga huo

    • @fatmasaloum1821
      @fatmasaloum1821 Před 4 lety

      Wallahy na kuna watu washerehekea hayo mtihani mkubwa sana Waislamu kuacha kusoma dini kufuata mkumbo tu

  • @abbysauko3725
    @abbysauko3725 Před 4 lety +2

    Allah ampokee Shammy amjaalie kaul thabit Inshallah ampunguzie adhb za kabri Yaarab mtie nguv babu Tale pamoja na wtto wake Yaarab Allahumaa Amiin

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 Před 4 lety +13

    Welldone Harmonize u have done well.R.I.P shamsa.🤲

  • @hassanalawy4325
    @hassanalawy4325 Před 4 lety +41

    Mimi hata sielewi hii dini yetu na vituko tunavyoviona ktk huu msiba...Mungu atustiri

  • @counselorelaah2971
    @counselorelaah2971 Před 4 lety +2

    Diamond ako n uoga mwingi🙈🙈🙈

  • @hijahsaidy1562
    @hijahsaidy1562 Před 4 lety +25

    Harmonize katimiza ungwana alio mpa karima Allah atuongoze

  • @ismailihaji3212
    @ismailihaji3212 Před 4 lety

    Pole sana mluguru mwenzangu Babu Tale, namuona Waziri wangu wa Maliasili na Utalii, wajina wangu Mh. Dr. Hamisi A. Kigwangallah (Mb). Karibu tena Morogoro. Harmonize umefanya kitu cha mfano was kuigwa sana, Diamond saf San kujumuika na wengine katika dhikri. Nimefurah cn.

  • @puritykathure6637
    @puritykathure6637 Před 4 lety +5

    The prayer,wish and andhappiness of every father is to see the success of his children whether obedient or rebel.remember the story of the prodigal son in the Holy Bible!Diamond,pls learn to love and let it go.a bird feeds its young ones when little n when they grow wings,they fly..and being of the same kind,they fly together..

  • @sharifaseleman4344
    @sharifaseleman4344 Před 4 lety +1

    Dah pole sana kaka angu maana Allah ampokee mkeo kwa mkono wa kulia na amuondelee adhabu ya kabri Bora hata wanakufariji kwa dhikri

    • @fatmasaid5985
      @fatmasaid5985 Před 4 lety

      Inalillah wainalillah raujun mungu nakuomba utupe mwisho mwema kwaiyo ngoma warahi sijaiyelewa tunawaiga manaswala huu ni msiba tena mkubwa

  • @jenniferwanja2654
    @jenniferwanja2654 Před 4 lety +7

    I'm so sorry for you're lose please don't cry take heart and look after the little ones left behind God knows best we can't question him

  • @kevinochieng6458
    @kevinochieng6458 Před 4 lety

    Mwacha mila ni mtumwa,hongera kwenu kwa kua waislamu na vile vile kufuata utamaduni wenu

  • @andaregeorge9196
    @andaregeorge9196 Před 4 lety

    Poleni sana wcb aswa babu tale na familia mola awape nguvu tuko pamoja

  • @sharifamohammed809
    @sharifamohammed809 Před 3 lety

    Harmonize bigap Sana Kaka mungu akulinde na wabaya wako wanataka uharibikiwe nakupenda Sana kwa tabiya zako nimsanii unaye jielewa na unae elewa vp msanii a natakiwa kuwa❤️🙏💪

  • @mohamedmusa2279
    @mohamedmusa2279 Před 4 lety +8

    I dnt think in a such place need abodygurds sasa watu wameka jamaa wameenda furisha vifua.its ok ni hio rizki ya mjaa kutia siku

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 Před 4 lety

    amiin mungu amlaze mahali pema na ampokea kwa uzuri babu tare pore futa machozi jikaze iyo ndodunia msiba unauma asa kufiwa na mtu wakaribu zaidi

  • @greatiq4649
    @greatiq4649 Před 4 lety +19

    "Makofi" ni muito wa watu wa motoni (Jahannam) baada ya kukaukwa na sauti wakimuita Allah (Mwenyezi Mungu) awape msamaha na awatoe motoni. Ombi walilo takiwa kuliombaa duniani walipo kuwa na uhai. Hivyo hilo linalo fanywa hapo halina thamani yoyote mbele ya Allah! Si kwa marehemu wala wazishi!

    • @paulinemuhonja6901
      @paulinemuhonja6901 Před 4 lety +1

      Hivi niulize,wanaume ndio wanaimba na kupiga makofi? Mbona sio wanawake au hiyo ndio kanuni za waislamu?

    • @dillysmith9020
      @dillysmith9020 Před 4 lety +3

      Sjui ndo nn mm sjawah onaa...Msiba wa kislamu weny upuuz kam huuuu

    • @greatiq4649
      @greatiq4649 Před 4 lety +1

      @@dillysmith9020 watu hawataki kufuatilia dini. Ndo shida

    • @greatiq4649
      @greatiq4649 Před 4 lety +1

      @@paulinemuhonja6901 hao ni Islamic Illiterate. Hawana walijualo.

    • @jmbelieve3853
      @jmbelieve3853 Před 4 lety

      Izo ni uzushi na kila uzushi ni upotofu na kila upootovu mwishowe ni motoni. Allah atuongoze njia ilio sahihi

  • @aishaomari5192
    @aishaomari5192 Před 4 lety +2

    Inalilaahy wainalilahy ranjuun alaaah ampee moyo wa subraaa babu taleeee

  • @safiasuleiman3119
    @safiasuleiman3119 Před 4 lety +2

    Babu Tale kajikaza lkn ingawa some time uchungu Mungu atakupa nguvu na Mungu atawakuza wanetu salama na Mungu amuondoshee azabu za kaburi marehemu . Aaaamin

  • @zubedadayo871
    @zubedadayo871 Před 4 lety +1

    Subhanallah!! Hii ni mila au ukristo?? Hakuna mambo haya kwenye uislamu... huu ni ujahilia, someni dini. Munasifiwa bure tu ulimwenguni hapa hakuna dini. Mambo ya kusikitisha sana.wapi masheikh hapa?? Kipozeo plz elekezeni Hawa watu kwenye haq .🇰🇪😭😭☝️

    • @othmanmohamed4465
      @othmanmohamed4465 Před 4 lety

      Wewe Zubeda Kwani uislam umezsliwa nao au umesilimu ulikuwa mkristo?? Inakuwaje huijui Dhikir au Kenya kuna Uislam Gani Ambapo Leo wewe unaishangaa Dhikir.

    • @janetlorena3088
      @janetlorena3088 Před 4 lety

      We zubeda mbwa koko wewe ukristo umetokea wapi hapa? Nyinyi wenyewe na Dini zenu mnafanya vituko unaigiza ukristo ndani. We unavyojiona utaenda mbinguni?? Fala.

  • @hamzalaus9599
    @hamzalaus9599 Před 4 lety

    Bro harmonize umefanya kitendo cha kiungwana Sana respect bro

  • @divia0037
    @divia0037 Před 4 lety

    Poleni kwa msiba...

  • @AsAs-ko3ny
    @AsAs-ko3ny Před 3 lety

    Poleni sana kwa wakati mgumu

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 Před 4 lety +13

    Mimi hao ma bodyguard msibani jamani punguzeni wa sanii mbna mnabowa kiukweri kwa tafsri nyingine mna haribu utamaduni wa ki TZ, bongo msibani tunakuwa huru tuu

    • @wagwan1941
      @wagwan1941 Před 4 lety +1

      Huo ni mtazamo wako, ila ni wamuhimu saaana we umeona kunajitu liko msiban lakin linaonyesha chuki tu

    • @sarahyvonne4580
      @sarahyvonne4580 Před 4 lety

      Unajua hamonize alishako.sana na diamond,lazima awe na walinzi hujui kilicho moyoni mwa mwenzako

    • @khamiskhamis6286
      @khamiskhamis6286 Před 4 lety

      Lazima ujiengeze iyo sehemu kila mtu ana nia yake moyoni uwepo wao ni muhimu sana kijana

    • @monicamonica4597
      @monicamonica4597 Před 4 lety

      @@sarahyvonne4580 ata ivyo awajafanya kibaya mbona mwenye msiba mwenyewe ndo bado anakinyongo chake lkn harmonize kajitaidi tupendane sisi wote waja wake kwake tunarejea Kama walikua na ugomvi waho angempa tu mkono daaa

  • @boassicha9029
    @boassicha9029 Před 4 lety

    Innailahi wainailhi rajiuni. Death is inevitable. Thanks Mbooso Harmonise and Diamond platinums. For sure you are our brothers in Islam.

  • @estherirambona3460
    @estherirambona3460 Před 4 lety

    Mungeelewana mana munaona dunia mapito watu mukaaca chuki hainamwisho mutu naboss wake mukarudi kama zama uyumama simujuwi ameniliza sana mpolesana kbs mungu amupokey

  • @أمينهالحبسي
    @أمينهالحبسي Před 4 lety +1

    Huyo salam hanaakir. Hajui nn maana ya utu hamoniz ametumia busara na uugwana . Hamo amekuwa mfano mzr sana.

  • @sabiyuzk1052
    @sabiyuzk1052 Před 4 lety

    Subuhanallh sijawahi kuona dini ya hivi allh awaongoze na mashehe wetu ndo wanaongoza allh atupe mwisho mwema

  • @hossenmtuliya3971
    @hossenmtuliya3971 Před 3 lety

    Safi

  • @veronicapeter1493
    @veronicapeter1493 Před 4 lety

    Dangote baba lao. Mungu ampe neema

  • @kahindijoseph9959
    @kahindijoseph9959 Před 3 lety

    Poleni sana Kwa lilompata

  • @fatmachizenga3400
    @fatmachizenga3400 Před 4 lety

    Zikri nzuri

  • @axmedbaazi6256
    @axmedbaazi6256 Před 4 lety

    Alla ha u naxariisto maamada shams aamin dhaha

  • @bonny1087
    @bonny1087 Před 4 lety

    Poleni sana

  • @Millie-rm2wj
    @Millie-rm2wj Před 4 lety

    Mungu akupe neema na Subra Babu... Just when I started following Tanzania starts and cellebraties with Kibonge.., Ruge... Nnandi... I'm so suddennend... Keep well and safe my people

  • @rechrontv2453
    @rechrontv2453 Před 4 lety

    AINA ZA WATU MSIBANI. jiulize wew uko wapi. Gusa link hapo chin kujua
    czcams.com/video/HJZqNd8fEM8/video.html

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Před 4 lety +9

    Hiyo mi body guard inatisha wananchi hapo jmn heeee

  • @muheirweug1648
    @muheirweug1648 Před 4 lety +1

    Harm. Keep burning.. kifo nikifo jameni

  • @mouricesaidi5348
    @mouricesaidi5348 Před 4 lety

    I think Diamond is coolest and maturity

  • @hawaashaban3879
    @hawaashaban3879 Před 4 lety +1

    Nmemtaftaa Rayvanyyy....afadhali hapa nmemwonaaa

  • @fatmachizenga3400
    @fatmachizenga3400 Před 4 lety

    Mungu AIWEKE PEMA roho ya marehem SHAMSA..Innalilahi wainnailaihi raajiun

  • @krishkim8794
    @krishkim8794 Před 2 lety

    Fty bro

  • @subiraomary8252
    @subiraomary8252 Před 4 lety

    Mungu mkali mungu akupesubra katika. Kipindi iki kigum kaka angu akunakitachobaki dah

  • @faridaalwaily4260
    @faridaalwaily4260 Před 4 lety

    Mswameh kareeeeem. Amefanya wajeeb .Alhamdulillaah. kama nimwengine hataa hangefikaaa ,imani na hurumaa yakee imemfanyaa kujaa na ndipoo pakuswameehanaaa.duniyaa mapitoo.hakuna anae jijuwaa nani mwenginee Atakaaee kufaa nyumaa ya marehemuh.siri yake Allaah.

  • @bintsaid9313
    @bintsaid9313 Před 4 lety +7

    Makofi sasa inamaanisha nn??? Kweli uislamu tumeihama 🥺🥺🥺

  • @angelluanda4221
    @angelluanda4221 Před 4 lety +3

    Rest in peace dada yangu sham 😭😭kumbe babu tale kwetu wote mkuyuni morogoro hee

  • @jenlisa1972
    @jenlisa1972 Před 4 lety +6

    I trust u diamond he never have bifu but people are so mmmm.

    • @mouricesaidi5348
      @mouricesaidi5348 Před 4 lety

      Diamond is coolest and mature person l EVER seen. He brought his team on top

  • @saidimohamedi7474
    @saidimohamedi7474 Před 4 lety

    Safi sana ndivyo inavyotakiwa m/ngu tujalie namjalie malehem uyu safariyakehii alieiyanza

  • @onowuizuchukwu7257
    @onowuizuchukwu7257 Před 4 lety

    On behalf of all the Wasafi family here in Nigeria, we ask Babutale to accept our condolences and talk heart. Is not easy to bear but God knows the best

  • @kenyantube7205
    @kenyantube7205 Před 4 lety

    Subhannallah

  • @abdullahiakoffical4445

    Keep going

  • @nadasukum7770
    @nadasukum7770 Před 4 lety

    Inauma sana

  • @omaryshafii1174
    @omaryshafii1174 Před 4 lety +8

    Sisi sote ni wa Allah na kwake tutarejea hatuna ujanja

  • @lukalinataly6777
    @lukalinataly6777 Před 4 lety +3

    Mond unalamba mdomo kam unashoot video ya jeje

  • @limbomambo9728
    @limbomambo9728 Před 4 lety

    Konde gang 4 every bady

  • @ntirampebaodila5237
    @ntirampebaodila5237 Před 4 lety

    Maashaallah hamon mutu wamung kwer pongez kwakijana anaye juwa kwamba dunia nimapito

  • @shanganisaidi8165
    @shanganisaidi8165 Před 4 lety

    Jaman kiukweli harmonize kutoka wcb imekua homa inayowasumbua watu wote label ya ya wcb ila inabidi muzoee

  • @husseinmasoudwacheenjaahao2140

    Pole sana Babu tare yote ya yote tumwachie mungu Mumbai wa mbingu na nchi

  • @bdenews187
    @bdenews187 Před 4 lety

    BDE news Kenya inawapa pole kwanza na pia napenda harmonize vile anaonekana akiwa mtulivu kabisa.
    Mimi kitu ninachoweza kuwafaamisha ni kuwa kila kitu kitakuwa shawari. RIP

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 4 lety +4

    Hii ngoma si ktk mafundisho ya rasul llah(swala llahu aleyhi wasalam))ni mambo ya kijahiyr hayo

    • @khadijafakih4518
      @khadijafakih4518 Před 4 lety

      Naam mtume hakufundisha haya watu msibani wanapiga makofi utafkjdia mazury yani allah awasamehe tu

  • @vincentkyalo7038
    @vincentkyalo7038 Před 4 lety

    Majini tu na jini mwenzake

  • @saidsadikkim4049
    @saidsadikkim4049 Před 4 lety +7

    Mfiwaa anaangusha dhikir km hajafiwaa daah good saan broo ndo inavytakiwaa 😂😂😂

  • @swalehzuma1505
    @swalehzuma1505 Před 4 lety

    Jamani tuacheni kuchezea dini uislamu hauruhusu haya mambo munayo yafanya ndugu zetu watanzania kama ni mambo ya mila basi musiweke mchezo na dini Allah ni mwingi wa rehma wala sio kufanya mchezo nae shukran

  • @issamasoud4756
    @issamasoud4756 Před 4 lety +1

    Acheni izo bi daah

  • @johnjulius3084
    @johnjulius3084 Před 4 lety +1

    Kam umemuona king kiba uslike

  • @babawema7630
    @babawema7630 Před 4 lety +1

    Jaman hamujamuona Rich mavok kwa Babu Tale😥

  • @limbomambo9728
    @limbomambo9728 Před 4 lety +1

    Babu tale mwenyewe alia kinafki amemtoa mkewe kafara

  • @mohammedomar7280
    @mohammedomar7280 Před 4 lety +1

    Jamani mashekh mupo wapi mukemee hizi habari

  • @aishakabogo8189
    @aishakabogo8189 Před 4 lety

    Hongera konde boy moyo kama wako ni wachache sana ndo wanao

  • @nshimirimanarahma3147
    @nshimirimanarahma3147 Před 4 lety

    Pole sana babu tale

  • @alanami2846
    @alanami2846 Před 4 lety +2

    Jamani mashekhe hampo apo msibani mtume hakufundidha mambo Ayo, dah,uislamu unaondoka jamani,

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 Před 4 lety +6

    Chuki na bifu zisizo msingi hazifai jaman pendanen maisha yenyew mafupi mno, Pumzika kwa Aman mamy 😭

  • @salimually4534
    @salimually4534 Před 4 lety +1

    There is something mythical with this dance😑

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Před 2 lety

    Pôle ya camera tu mbona Harmonize hajampa mkono

  • @Ms.mulambe
    @Ms.mulambe Před 4 lety

    Ila babu tale amejua kujikaza😭😭 napenda anavyo smile

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 Před 3 lety

    Vocês são irmãos devem se saudar

  • @papaesco156
    @papaesco156 Před 4 lety +1

    Pongezi kwako mzee baba

  • @KHAIRIYYAONLINETV
    @KHAIRIYYAONLINETV Před 4 lety +1

    Mashaallah

  • @deizzydarg8791
    @deizzydarg8791 Před 4 lety

    Meu deus

  • @boubacardiallo8995
    @boubacardiallo8995 Před 4 lety

    Je suis très fière de vous la religion avant tout paix à l'âme du défunt

  • @abdulimalikhamadi1078
    @abdulimalikhamadi1078 Před 4 lety

    Huuu babu tale mlofanya ni upuuuzi mkubwa sana hapo mlikua mtoe juzuu wato wasome huku wana subiria marehem kupelekwa mavan

  • @lupesilopembealonda2684
    @lupesilopembealonda2684 Před 4 lety +2

    Dah!!!!! Atari sana kwa Mondi

  • @allybakar2402
    @allybakar2402 Před 4 lety

    Kila nafsi itaonja umauti mwenyez mungu awape moyo wa subra wafiwa wote

  • @yanobreezzy2923
    @yanobreezzy2923 Před 4 lety

    Pole sana kwamusiba

  • @williaellymarawiti4937
    @williaellymarawiti4937 Před 4 lety +1

    Harmonize amefanya vizuri usijali wala usidrudi nyuma songa mbele wewe umeonyesha maturity as always. Let him be; nobody knows tomorrow.

  • @amucherll9654
    @amucherll9654 Před 4 lety +1

    Nikidhani umepata nafasi kutazama video kaliii🔥🔥🔥👇
    czcams.com/video/1yLj7R1mSyY/video.html

  • @benjaminelias3728
    @benjaminelias3728 Před 3 lety

    Polen

  • @eugineroylandz
    @eugineroylandz Před 4 lety

    Kenya matanga n sherehe

  • @ibrahimchelangat1710
    @ibrahimchelangat1710 Před 4 lety +2

    Hamonize don't compare your self na platinamz bana bado hautoshi mboga kwa platinamz bana, platinamz is on a fox magazine he is one of the most successful and richest arts in East and Central africa so please kua mpole

  • @mumaziku1881
    @mumaziku1881 Před 4 lety

    Ina lilahi waina ilaihi rajuun

  • @ayubusalum4103
    @ayubusalum4103 Před 4 lety

    Naona mond haelew chochote hapo amejaribu kucheza kashindwa

  • @mussakiula7481
    @mussakiula7481 Před 4 lety

    Hii zikl mhh

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 Před 4 lety

    Wa2 awajajaa wakat mastar weng wapo

  • @husseinrashidi5828
    @husseinrashidi5828 Před 4 lety

    Allah amuondolee adhabu za kaburini marehemu ampanulie kaburi lake ila hiyo manhaji haifai kabisa siku za uzuni wao wapo Kama kwenye sherehe uchache wa ilimu

  • @nyamburawacoast305
    @nyamburawacoast305 Před 4 lety

    Inallillah wainaillah rajiuun