Annoint Amani Ft Fenny Kerubo - Wanashangaa namimi nashangaa ( Official Video )
Vložit
- čas přidán 15. 04. 2024
- #fennykerubo#annointamani#
Huu wimbo ni ushuhuda wa namna Yesu Kristo alivyo tuokoa na kututendea mambo makubwa yanayo shangaza wengi,🙏
Song,Namimi Nashangaa
Annoint Amani Ft Fenny Kerubo
🇹🇿 & 🇰🇪 💪
Tiktok ,Annoint Amani Tz,
👇
whatsaApp & call
+255767240181 = +255755099942 🇹🇿 )
👇
Video ,Directed by Steve Hunter ( +254 703 201576
stevehunterglobal@gmail.com 🇰🇪 )
Audio ,A.E.A Tones studio,
prod by Meddy +255748262634 🇹🇿 ) - Hudba
Hakika tunao ushuhuda
TUMEMUONA YESU KWA NAMNA YA AJABU 🙏💪
Nakubali sana MAKAMANDA WA MUNGU tusonge MBELE
Aye baby girl wewe ni wa level ya nyingine na juu juu sana❤❤
Jambo kutoka Congo asate sana
❤❤❤❤
Safi sana watumishi,,, mie naona wanashoboka sa sijui niwashobokee pia cx wanaduwaa nami nabaki kuduwaa tu,, ngoma droo... Acha tushaangaane kikubwa nimeinuliwa... 😂😂😂😆😆ame fa fanya mambo too much love for me,,, wanashangaa.... Imefika hiyo...
🤣🤣🤣Hapo penyewe kabisaaa
Amina, Kahama Manispaa na Kanda ya ziwa wanaomkubal annoint gongeni like
Tupo
our own mama Fenny kerubo ,kwetu twasema "Nyasae agatoa ekeewa Korwa gusii" indeed she blesses many
Anoint Amani ft Fenny kerubo....hii ni kali 🔥🔥🔥🔥
Amani apo mmeweza yaaani imefanya. Vizuri sana ikilinganisha uzito pia iko poa
Hata mimi nashangaa
Mmenona nyinyi waah huyu yesu amewabariki na mwili pia ❤❤❤❤
Ameeeen kubwa hata mimi najifunza kwenu barikiweni sana
Uko juu 🙏🙏 umeweza kabisa jaman🤔💃💃
Very woesome song watumishi wa mungu tuchape injili adi mwisho wa dahari
❤❤❤ Amen mtumishi keep it up 🇰🇪🇰🇪
Kama unampenda huyu boss nipe likes
We are waiting 4 u in zimbabwe fenny u r well come
Kijana mdogo lakini anatoa vibao vya kunguza mioyo za wengi barikiweni sana watumishi wa Mungu
Imeniingia pakandan mungu akup nguv Zaid nakukubar Annoit amani
Keep shinning my bro and my sister 🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana Tena nakukaribisha sana Kenya ANNOIT AMANI kutoka Tanzania ❤ kweli wananishangaa❤🎉🎉🎉
hapa kenya twakuamini...
Huduma yako ni njema Sana ubarikiwe sana na Mungu akuinue kwa viwango vingine
Wooow, what a song ♥️♥️ nice song be blessed
Amina huyo mungu anashangaza sana kwakweli mubalikiwe
Kemmy and annoit you are a blessing ❤❤❤❤
Amina kaka angu barikiwa Sana
Yes ata mm nashangaa..Barikiwa sana Amani na Fenny wetu proud of you our gal❤🎉 keep shinning 🎉
Amen na Mungu wa mbinguni ☝️awabariki sana🙏
Namkubali Sana uyu mwamba wa yesu❤❤❤
Congratulations 🎊 👏 💐 🥳 ❤
Wow!!!! congrats sana watu wangu👏👏👏👏👏 fenny ft Annoint mungu awabariki sana,,nyimbo zenu imenitoa mbali sina Cha kuwapa lakini shukrani🙏🙏🙏🙏🙏
Kabisa Amani unamungu ndani yako
Our very orm kisii finest 😍
Hyo studio ya annoint inafinya sauti yako ,haikai original
😢KAMA NI MKE WAKO. MNAFANANA. HONGERA. GO A HEARD.
Fenny understood the statement
Jmn mungu akizidi kukuinukua kwa viwango vya juuu
Gauni la bamed.
Hongera sana mtumishi wa mungu 🎉❤
You never disappoint me,God bless
Mbon na mie nashangaaa
🎉🎉🎉🔥🔥
Amen mtumishi wa Mungu nakukubaki sana endlea kupiga mbio usikubali kuendedhwa kwa namna ya hii Dunia inavoenda
Amani I love ur songs xna ila naomba ile wimbo wenye uliimba ukisema yule amekuja mjini ila wengine mashamban wanasema anakula rada mjini hiyo ndio wmbo yambo I loveit
Congrats
Amen. Glory be to King Jesus for giving you a testimony and lifting you to higher grounds. Keep going...Powerful piece 🙏
Amen ed amen watumishi wa Mungu,,Mungu azidi kuwainua sana
Weee barikiwe sana watumishi wa Mungu nawapenda bure🎉❤
God bless you 🥰💕😘❤️💕 amen ❤❤
Kaka hakika tujifunze kwako kweli
Blessings mummy💕💕💕
Amina Amina,ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Mr Amani and Madam Fenny be blessed more 🙏❤️huu wimbo unabariki
Kazi nzuri, all the best watumishi
Hata Mimi nakushangaaaaa!
❤❤❤❤❤SAUDI Arabia tunakukubali ujembe wa kutupa nguvu
Amani more Grace Amos form Zambia
Hakika MUNGU hazoeleki ❤
Amina beautiful lady from kisii yetu mmhaa ❤
Congrats kerubo from my mother land
Vazi la mdada limechomesha..Ile the real spiritual gospel message... sister you have burnt 🔥the tent🛖..🤣🤣
Amina barikiwa Sana hazoeleki
Ameen and Ameen God bless you ijn Nami God. Give that kibawa for singing ijn Napokea napokea napokea
Wimbo mzuri awesome job
Glory... Powerful
Weuh so nice song with Fenny wetu❤❤❤😊
Wimbo Mukubwa sana Kabisa BABA Yangu kipenzi Annoint 🎉
Aminaa watumishi
Kabisa nakusubiri Tanzania tunakupenda Sanaa love you too much
Amina watu wa Mungu aliye hai
Ninafwatilia nyimbo zenu teketeke mungu awabariki sana❤
I can’t even get tired of listening and watching this video for real
Amen Amen and Amen
Tushagae pamoja , nashukuru zaidi nipitieni
Wananishagaa
Amen 🙏
Congratulations my able artists. Anoint hongera sana
Congratulations bro annoint and sister kerubo, great work your doing,i remember Ile day nilikua Embakasi tassia,you really blessed us..may God uplift you level to levels and higher and higher in this ministry.🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤keep going, support back
Amina nawapenda sana mubarikiwe sana kwazinzuri munayoyi fanya
Amani ahamie kenya support na mwito wako wa injili unapokelewa humu
barikiwa watumishi wa mungu 👏👏🙏🙏🙏🙏🙏💃💃💃🎉🎉🎉🎉🎉
Fenny voice is mwaa
Wimbo mzuri Yesu hazoeleki kamwe
KAZI NZURI WATUMISHI WA MUNGU 💪💪💪 TUKUTANE GOSPEL SUPPORTERS 🙏🙏🙏
Well-done Minister Annoint Amani.
Wow keep it up never give up
Amen Amen
Bro annoint ed sister keriubu, God bless you, your songs bless me bless me always all the way spain
Hpn sawa
Kaka ubarikiwe sanaaa 🙏🙏
I love you servant of Jesus ❤ God bless you abundantly
Ndio ndio ndio hallelujah and Amen 🎉🎉🎉🎉❤❤
Kuokoka jameni Raha
Kwa yesu kuna Raha sn
Amen enyewe wanashangaa❤❤
Kabisa mungu acha aitwe mungu huaa ahuaa anafanya samples😊
Barikiwa Sanaa mtumishi ❤❤❤
Amen barikiwa
Kisii finest keep going
Shalom shalom na amiina nyingi barikiwa cna mutumishi wa 💃💃💃💃🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏
mum fenny kerubo always talented❤❤❤
Amani kazi POA Sana
Jameni,Sauti zenu na maana nyimbo ni Ajabu tupu ❤❤❤
Muzidi kuinuliwa
Barikiweni sana in Jesus name 🙏
Tujitahidi mavazi