Lusinde: Ukweli Huwezi Kuufunika I Ngorongoro Ghorofa Linafuata Nini..? I Ni Nyumba ya Kimila

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 02. 2022
  • “Mheshimiwa Rais alisema tuchague jambo moja kati ya mambo mawili au tuache hifadhi ya Ngorongoro ife ibaki makazi ya Watu moja kwa moja au tuiache ile hifadhi iendelee kuishi kwa manufaa yetu na Vizazi vyetu, hii ni kauli nzito sana kutoka kwa Mkuu wa Nchi.
    Ukweli huwezi kuufunika, ukitazama maudhui ya kuwaruhusu wale Watu 8000 waishi na Wanyama kulikuwa na mashrti yake, usijenge Nyumba ya kudumu, jenga Nyumba za Kimila ambazo zitawavutia watalii wanapokuja, sasa Ghorofa ni nyumba ya kimila…?”Mhe. Livingstone Lusinde alipochangia siku ya jana Bungeni baada ya taarifa ya mwaka ya shughuli za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kwa kipindi cha kuanzia Januari 2021-Februari 2022 iliwasilishwa Bungeni Jijini Dodoma.
    #KutokaBungeni
    #CloudsDigitalUpdates
  • Zábava

Komentáře • 25