Lusinde: Ukweli Huwezi Kuufunika I Ngorongoro Ghorofa Linafuata Nini..? I Ni Nyumba ya Kimila
Vložit
- čas přidán 9. 02. 2022
- “Mheshimiwa Rais alisema tuchague jambo moja kati ya mambo mawili au tuache hifadhi ya Ngorongoro ife ibaki makazi ya Watu moja kwa moja au tuiache ile hifadhi iendelee kuishi kwa manufaa yetu na Vizazi vyetu, hii ni kauli nzito sana kutoka kwa Mkuu wa Nchi.
Ukweli huwezi kuufunika, ukitazama maudhui ya kuwaruhusu wale Watu 8000 waishi na Wanyama kulikuwa na mashrti yake, usijenge Nyumba ya kudumu, jenga Nyumba za Kimila ambazo zitawavutia watalii wanapokuja, sasa Ghorofa ni nyumba ya kimila…?”Mhe. Livingstone Lusinde alipochangia siku ya jana Bungeni baada ya taarifa ya mwaka ya shughuli za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kwa kipindi cha kuanzia Januari 2021-Februari 2022 iliwasilishwa Bungeni Jijini Dodoma.
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates - Zábava
Lusinde big up
Mhe Olesendeka atakuwa na Ng'ombe ndani ya ile ifadhi.
Big Up Mh Lusinde
Unaonge pumba jinga wew
Huyu Mheshimiwa Yuko very simple! Ukitumia muda vizuri na kusikiliza kwa kina; utagundua ni Mtu makini ktk HOJA Zake!.
Hii ni hasara ya kutokuwa na national vision kuhusu nini kinachotakiwa kubakia kwa mda mrefu kwa maendeleo ya vizazi vijavyo. Tunaangalia leo wala si keshokutwa na mtondogoo.tujisahihishe
Olesendeka anamkata dogo jocho kihun 🙄🙄🙄
Kumbe hao wanao watia fitna ndio wenye mifugo sasa wa nasema kuna mwaraabu kanunua heeehe watazania kwanini mmekuwa kwe ulimwengu wa samaki mkubwa anakula mdogo 💔💔💔💔
Unawakika?
The Future of the Maasai being discussed by non Maasai!
Hata waseme nini wamaasai watanzania wanathulumiwa
We lusinde hili swala lipo nje ya uwezo wako
Bora hifadhi hiyo ife watu waishi
Ivi mweshimiwa anatafuta watalii kwa mbuga zip?
Duuu qa
Ningekuwa mbunge sendeka ningemjibu simple Sana Hana evidence publicity leader
Acha kudanya uma ya waTanzania
Punguani
Hapo umenena Ngorongoro haitaji magorofa
Na hotel za mwaarabu za kitaliii sio ghorofa???
Wamasai kweli ni watanzania?
Mbwa wewe chawa huyu
Ngorongoro ni mali ya Tanzania tupige kura ili maamuzi yafanywe na wa Tanzania wote
Wabunge ndo wanakuwakilisha acha watoe uamuzi maake ndo watunga sheria