ISMAIL JUSSA HAJAPOA AAMUA KUWEKA WAZI UCHAFU MWENGINE WA CCM NA SERIKALI YAKE.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 66

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Před měsícem +3

    Ndio baba tunawakubali nyote kura kwa act wazalendo kuelekea mamlaka kamili ya zanzibar. 2025❤❤❤❤

  • @Abdullyussuf
    @Abdullyussuf Před měsícem +3

    Nyinyi kweli mmevaa viatu cha maalim

  • @Mahirwazanzibar
    @Mahirwazanzibar Před 2 měsíci +5

    Udhu usioka mikonon kufanya vile ni Dalil ya hofu na kutokua na confidence😂😂😂

  • @KhamisMustafa
    @KhamisMustafa Před měsícem +2

    Nakukubali baba kwa dozi

  • @stonetown578
    @stonetown578 Před 2 měsíci +8

    Hongera mh. Jussa kwa kuanika ukweli.

  • @Issa-n6v
    @Issa-n6v Před 2 měsíci +7

    Ww ni brofessa jussa❤

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před měsícem +2

    jusa ni hero

  • @OmarMohammedOmarMohammed-h9u
    @OmarMohammedOmarMohammed-h9u Před 2 měsíci +2

    Hata mungu pia ameamrisha haki itendeke nahuwewezi kumtii kiongozi ambae anakuamrisha kumuasi yeye allah namtume wake ambayo anazungumza jussa nikweli

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před měsícem +2

    Anayoyaongea jussa ukiwa na akili timamu bila chama bc yatakugusa maana kila kitu kwasasa kimepandishwa bei ukiwemo umeme na tunaoumia ni sisi wananchi wa chini

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před 2 měsíci +6

    Mh Jussa nakuvulia kofia kwa hotuba hii

  • @Issa-n6v
    @Issa-n6v Před 2 měsíci +4

    Pamoja sanaaaaa

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před měsícem +1

    Mazroi kasahau mateso yote, mauwaji na kubakwa kwa watu. Sina imani nae

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 Před 2 měsíci +5

    na umeme washapandisha bei

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Před 2 měsíci +5

    Fact

  • @YahyaRodri
    @YahyaRodri Před 2 měsíci

    Asante san Jussa ❤

  • @abdallaabdalla4416
    @abdallaabdalla4416 Před 2 měsíci +1

    Siasa au dini? Nyote ni ulaji tu hamutusaidii wanyonge wala hamuumwi na shida zetu ndio maana Mungu hawapi uwezo siku mukijirekebisha MMungu atasimama nanyi Musimtegemee Sefu wala Asumani kuweni waadilifu tendeni haki muhadae

  • @Issa-n6v
    @Issa-n6v Před 2 měsíci +4

    Huna mbayaaa mh jussa

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 2 měsíci

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar Kikatiba haya makubaliano hata yakifanyika na leo ni BATILI, Katiba ipo ifuatwe.

  • @user-xe7kg9zk3v
    @user-xe7kg9zk3v Před měsícem

    Kazen ka mba musiwape pumzi

  • @alimcha9843
    @alimcha9843 Před 17 dny

    Huyu machongo ashasahau

  • @AbubakarZubeir
    @AbubakarZubeir Před 17 dny

    Tupo teyari

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 Před 2 měsíci

    😢😢😢😢

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq Před 2 měsíci

    Haviwezi

  • @feyxalbarry4595
    @feyxalbarry4595 Před měsícem

    Kwani jussa mzanzibar au mbona kma muhindi huyu iyo roho ya kuumwa na Zanzibar anaitolea wapi kma sio mnafiki

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i Před měsícem +1

      Kwan we mZanzibar we mtangnyika rudi kwen na mzanzbar lazma alilie znzbr yk

  • @khamisbedui3323
    @khamisbedui3323 Před měsícem

    Mi nalia.😢 Maneno mengi matamu,,,lakini mwajua vijana wengi hawana vitambulisho na hawapewi? Muda umekaribia...TAFAKAR!!!!

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 Před 2 měsíci +6

    WATU WASIOJULIKANA
    KATIKA
    ZANZIBAR NA TANGANYIKA
    1) ZANZIBAR
    a) Kifo Cha Karume (1972)
    b) Vifo 21: Waislam (2020)
    2) TANGANYIKA
    a) Risasi 16 za Lissu (2017)
    ALLAH TUNUSURU WATU WASIOJULIKANA (2025)

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před 2 měsíci

      Allahumma ameen Allahumma ameen

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 2 měsíci

    Yani nyie ACT wajinga sn mmeona wapi Ccm kukubali matakwa yenu ccm ni wabaya sio wakuwamini nyie kwa ujinga wenu mkenda kuwamini

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před 2 měsíci +1

    Mungu Mlinde Raisi wangu Dr Mwinyi ❤❤❤❤❤❤

    • @ramlaaly5314
      @ramlaaly5314 Před 2 měsíci +5

      hawez milnd wakati nidhalimu finari jahanm nyote sisiemu

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před 2 měsíci +3

      Vizuri ulivyosema raisi wako kwani wazanzibari tunamjua kama ni silent killer

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem

      Laanatullah

  • @alisalehsaleh2564
    @alisalehsaleh2564 Před 2 měsíci

    Jenga hoja usizungumze mambo yashapita

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem

      Yamepita kwako kwetu sisi ni kovu la maisha

    • @alikidungura9419
      @alikidungura9419 Před 28 dny +1

      Kina moja husema analoliona kwamweziw mwache aongee

    • @alikidungura9419
      @alikidungura9419 Před 28 dny

      Hakuna wakweli wote wana siasa waongo Iwe chama Tawala iwe CCm iwe cuf iw chadema

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz Před 2 měsíci

    Uislam umemkataza kabisa mambo ya siasa za kikafiri yana mambo demokrasia uchafu mtupu hakuna haki kabisa wote maslahi ya dunia tu kutukanana dini haipendi kabisa

  • @HassanKingi-r5z
    @HassanKingi-r5z Před 15 dny

    Xx ww jussa utamuongoza nani wakati ata familia huna kwanz ungeatafuta mke 😂😂😂😂😂

  • @user-bo2ms3pu6u
    @user-bo2ms3pu6u Před měsícem

    Weye kwenu hapa nenda uko mshatutemea sana mate mjinga sana kumbe weye

  • @Shdy2569
    @Shdy2569 Před 2 měsíci

    Kuwa na adabu kwa viongozi wako hata dini imesema tuheshimu viongozi wetu siasa sio ugomvi

    • @kassim1262
      @kassim1262 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂Unaijua dini lkn ustadhi kwaio hayo anayoongea co kweli au

  • @kingmaina1151
    @kingmaina1151 Před 2 měsíci

    MWINYI MITANO TENA🙃 NA IKIWEZEKANA AONGEZEWE MDA ZAID NA ZAIDI

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem +1

      Atufutie nchi yetu kwenye ramani ya dunia ... na akamalizie miaka 5 mkurunga

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i Před měsícem +1

      Mpelk kwa mama yk ampe mtno

    • @kingmaina1151
      @kingmaina1151 Před měsícem

      @@SuleimanMussa-x5i kwa mama yk ushampelek

  • @user-bo2ms3pu6u
    @user-bo2ms3pu6u Před měsícem

    Hamtopata j
    Maisha yenu mtabakia ivoivo angalie chama chenu wahindi warabu ubaguzi mtupu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před měsícem

    Punguza roho mbaya ya kwa nini.unajifanya mtu wa dini kumbe mnafiki eti dozi unao misukule kuwatumia akili zao na nyie ndio wachafu wa mazingira tupa taka ovyo ovyo kuharibu.

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i Před 2 měsíci

    WEWE MTU UMESOMA TENA MWANASHERIA. UNGEMSHAURI MAALIM HUU SI WAKATI WA AHADI . JEE KWA NINI HAYAKUWEKWA KTK MAANDISHI?. NA MKABADILISHANA NYARAKA. HAYO UNAYOSEMA WAKATI HUU NI SAWA NA HADITHI ZA ALINACHA

    • @fahmysaid-zw4np
      @fahmysaid-zw4np Před 2 měsíci +3

      watoke hadharan waseme km hawakukubaliana na maalim

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i Před 2 měsíci

      HAYO YATAKUWA MAMBO YA KIKE KUSUTANA . CHAMA NI TAASISI MAANDISHI NI MUHIMU

    • @isakhamisi8923
      @isakhamisi8923 Před 2 měsíci

      Maalim alikuwa msomi na wewe msomi lakini mbona hayo makubaliano hamkuweka kwenye maandishi.

    • @hajiharoub8125
      @hajiharoub8125 Před 2 měsíci +2

      Hata waandike maandish sehemu Gani ccm itabaki kuwa wakaidi TU maana hawajawahi kushinda ila wanatangaziana uraisi tu

  • @user-bo2ms3pu6u
    @user-bo2ms3pu6u Před měsícem

    Muwalipe nyie mnowatia ushawishi wa kufanya vurugu ilipe serikali tena unawazimu nini hujapona

  • @user-ud4rk1vw7l
    @user-ud4rk1vw7l Před 2 měsíci

    Wacha siasa ya zilipendwa .kama huna la kusema tafuta pampati .

    • @hajiharoub8125
      @hajiharoub8125 Před 2 měsíci +2

      Unataka aseme vp wakati ccm hajijawah kushinda

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před 2 měsíci +1

      Naona umeishiwa na comments bora ukatafute mavi ya kuku ubanje

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 2 měsíci

      ​@@hajiharoub8125Wapi?

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 2 měsíci

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar Kikatiba haya makubaliano hata yakifanyika na leo ni BATILI, Katiba ipo ifuatwe.