Anayoyaongea jussa ukiwa na akili timamu bila chama bc yatakugusa maana kila kitu kwasasa kimepandishwa bei ukiwemo umeme na tunaoumia ni sisi wananchi wa chini
Siasa au dini? Nyote ni ulaji tu hamutusaidii wanyonge wala hamuumwi na shida zetu ndio maana Mungu hawapi uwezo siku mukijirekebisha MMungu atasimama nanyi Musimtegemee Sefu wala Asumani kuweni waadilifu tendeni haki muhadae
WATU WASIOJULIKANA KATIKA ZANZIBAR NA TANGANYIKA 1) ZANZIBAR a) Kifo Cha Karume (1972) b) Vifo 21: Waislam (2020) 2) TANGANYIKA a) Risasi 16 za Lissu (2017) ALLAH TUNUSURU WATU WASIOJULIKANA (2025)
Uislam umemkataza kabisa mambo ya siasa za kikafiri yana mambo demokrasia uchafu mtupu hakuna haki kabisa wote maslahi ya dunia tu kutukanana dini haipendi kabisa
Punguza roho mbaya ya kwa nini.unajifanya mtu wa dini kumbe mnafiki eti dozi unao misukule kuwatumia akili zao na nyie ndio wachafu wa mazingira tupa taka ovyo ovyo kuharibu.
WEWE MTU UMESOMA TENA MWANASHERIA. UNGEMSHAURI MAALIM HUU SI WAKATI WA AHADI . JEE KWA NINI HAYAKUWEKWA KTK MAANDISHI?. NA MKABADILISHANA NYARAKA. HAYO UNAYOSEMA WAKATI HUU NI SAWA NA HADITHI ZA ALINACHA
Ndio baba tunawakubali nyote kura kwa act wazalendo kuelekea mamlaka kamili ya zanzibar. 2025❤❤❤❤
Nyinyi kweli mmevaa viatu cha maalim
Udhu usioka mikonon kufanya vile ni Dalil ya hofu na kutokua na confidence😂😂😂
Nakukubali baba kwa dozi
Hongera mh. Jussa kwa kuanika ukweli.
Ww ni brofessa jussa❤
jusa ni hero
Hata mungu pia ameamrisha haki itendeke nahuwewezi kumtii kiongozi ambae anakuamrisha kumuasi yeye allah namtume wake ambayo anazungumza jussa nikweli
Anayoyaongea jussa ukiwa na akili timamu bila chama bc yatakugusa maana kila kitu kwasasa kimepandishwa bei ukiwemo umeme na tunaoumia ni sisi wananchi wa chini
Mh Jussa nakuvulia kofia kwa hotuba hii
Pamoja sanaaaaa
Mazroi kasahau mateso yote, mauwaji na kubakwa kwa watu. Sina imani nae
na umeme washapandisha bei
Fact
Asante san Jussa ❤
Siasa au dini? Nyote ni ulaji tu hamutusaidii wanyonge wala hamuumwi na shida zetu ndio maana Mungu hawapi uwezo siku mukijirekebisha MMungu atasimama nanyi Musimtegemee Sefu wala Asumani kuweni waadilifu tendeni haki muhadae
Huna mbayaaa mh jussa
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar Kikatiba haya makubaliano hata yakifanyika na leo ni BATILI, Katiba ipo ifuatwe.
Kazen ka mba musiwape pumzi
Huyu machongo ashasahau
Tupo teyari
😢😢😢😢
Haviwezi
Kwani jussa mzanzibar au mbona kma muhindi huyu iyo roho ya kuumwa na Zanzibar anaitolea wapi kma sio mnafiki
Kwan we mZanzibar we mtangnyika rudi kwen na mzanzbar lazma alilie znzbr yk
Mi nalia.😢 Maneno mengi matamu,,,lakini mwajua vijana wengi hawana vitambulisho na hawapewi? Muda umekaribia...TAFAKAR!!!!
WATU WASIOJULIKANA
KATIKA
ZANZIBAR NA TANGANYIKA
1) ZANZIBAR
a) Kifo Cha Karume (1972)
b) Vifo 21: Waislam (2020)
2) TANGANYIKA
a) Risasi 16 za Lissu (2017)
ALLAH TUNUSURU WATU WASIOJULIKANA (2025)
Allahumma ameen Allahumma ameen
Yani nyie ACT wajinga sn mmeona wapi Ccm kukubali matakwa yenu ccm ni wabaya sio wakuwamini nyie kwa ujinga wenu mkenda kuwamini
Mungu Mlinde Raisi wangu Dr Mwinyi ❤❤❤❤❤❤
hawez milnd wakati nidhalimu finari jahanm nyote sisiemu
Vizuri ulivyosema raisi wako kwani wazanzibari tunamjua kama ni silent killer
Laanatullah
Jenga hoja usizungumze mambo yashapita
Yamepita kwako kwetu sisi ni kovu la maisha
Kina moja husema analoliona kwamweziw mwache aongee
Hakuna wakweli wote wana siasa waongo Iwe chama Tawala iwe CCm iwe cuf iw chadema
Uislam umemkataza kabisa mambo ya siasa za kikafiri yana mambo demokrasia uchafu mtupu hakuna haki kabisa wote maslahi ya dunia tu kutukanana dini haipendi kabisa
Sio kwli
Xx ww jussa utamuongoza nani wakati ata familia huna kwanz ungeatafuta mke 😂😂😂😂😂
Weye kwenu hapa nenda uko mshatutemea sana mate mjinga sana kumbe weye
We tuna taka tukujue kuwa ni mtangnyika au mzanzbar
Kuwa na adabu kwa viongozi wako hata dini imesema tuheshimu viongozi wetu siasa sio ugomvi
😂😂😂😂Unaijua dini lkn ustadhi kwaio hayo anayoongea co kweli au
MWINYI MITANO TENA🙃 NA IKIWEZEKANA AONGEZEWE MDA ZAID NA ZAIDI
Atufutie nchi yetu kwenye ramani ya dunia ... na akamalizie miaka 5 mkurunga
Mpelk kwa mama yk ampe mtno
@@SuleimanMussa-x5i kwa mama yk ushampelek
Hamtopata j
Maisha yenu mtabakia ivoivo angalie chama chenu wahindi warabu ubaguzi mtupu
Punguza roho mbaya ya kwa nini.unajifanya mtu wa dini kumbe mnafiki eti dozi unao misukule kuwatumia akili zao na nyie ndio wachafu wa mazingira tupa taka ovyo ovyo kuharibu.
We choko vp😂😂😂
WEWE MTU UMESOMA TENA MWANASHERIA. UNGEMSHAURI MAALIM HUU SI WAKATI WA AHADI . JEE KWA NINI HAYAKUWEKWA KTK MAANDISHI?. NA MKABADILISHANA NYARAKA. HAYO UNAYOSEMA WAKATI HUU NI SAWA NA HADITHI ZA ALINACHA
watoke hadharan waseme km hawakukubaliana na maalim
HAYO YATAKUWA MAMBO YA KIKE KUSUTANA . CHAMA NI TAASISI MAANDISHI NI MUHIMU
Maalim alikuwa msomi na wewe msomi lakini mbona hayo makubaliano hamkuweka kwenye maandishi.
Hata waandike maandish sehemu Gani ccm itabaki kuwa wakaidi TU maana hawajawahi kushinda ila wanatangaziana uraisi tu
Muwalipe nyie mnowatia ushawishi wa kufanya vurugu ilipe serikali tena unawazimu nini hujapona
We shizi kwli sie tuna kujua we mtangnyika
Mzanzbar wwte ana taka mamlaka kamili we mwenztu wa wap
Wacha siasa ya zilipendwa .kama huna la kusema tafuta pampati .
Unataka aseme vp wakati ccm hajijawah kushinda
Naona umeishiwa na comments bora ukatafute mavi ya kuku ubanje
@@hajiharoub8125Wapi?
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar Kikatiba haya makubaliano hata yakifanyika na leo ni BATILI, Katiba ipo ifuatwe.