AIC SHINYANGA CHOIR/BWANA NI NURU YANGU / ZILIZOPENDWA AFRICA MASHARIKI.
Vložit
- čas přidán 9. 06. 2020
- #MsalabaMEDIA #DirectorAbson #MsalabaSOS #TanzaniGospleMusic #UpendoUpatanishoUkombozi
©2020 Administered Msalaba MEDIA
+255767957191 /+255 710 132 291
Msalaba SOS & MEDIA
Forward We Go 🚶🚶🏃🏃💪
Efeso 2:16. 2Wakoritho5:17-19.
WITO (Isaya 49:1-26.)
(A-Kurudisha Sauti Ya Mungu tuliyoipoteza
(B-Kutufanya Silaha
(C-Jina la Yesu Kutukuka kupitia Sisi
(D-Kuwarudisha Waliopotea Kwa Mungu
(E-Wafalme, Watawala Na Wakuu Kusujudu kwa Mungu
(F-Kufanya Agano Na Mungu
(G-Kanisa kutembea ktk nguvu za Mungu
(H-Ardhi Kupatanishwa Na Mungu
(I- Ulimwengu kuinuliwa Upya
(J-Kurithishwa Urithi tuliokuwa tumeibiwa
(K-Uhuru Kwa Wana wa Mungu
(L-Giza kuwa Nuru
(M-Walio Na Njaa Kushibishwa
(N-Kutokusahaulika Na Mungu
(O-Ongezeko La Haraka
(P-Kutoonewa Na Shetani
KUSUDI (Mathayo 28:19-20.)
UTUME - Enendeni
UALIMU - Mkafundishe
MISSION
Zaburi 24:7-10
Waefeso 6:10-20
2Wakoritho 10:3-5
MFUMO
Mitume
Manabii
Walimu
Wachungaji
Wainjilisti
Waimbaji
Jicho
Karama.
Uhusiano & Taarifa.
#Msalaba SOS For the Peoples. - Hudba
Bonge moja la choir 2024 bado nasikiliza ❤❤
Naupenda sana hu wimbo mbarikiwe sanaa❤
Amina Nabarikiwa na hii Choir...Mbarikiwe sana
Hakika Mungu ni wa ajabu, nmeanza kusikilza wimbo huu nikiwa bado mdogo sana, leo tena nmepata baraka kusikilza nikiwa chuo kikuu
Hakika Mungu ni mwema
Mbarikiwe tena watumishi tangu 2007 nikiwa 4m 1 mpaka Leo bado unanibariki
Wimbo huu unanibariki sana ninao kwenye gari yangu na sikiliza kila wakati. Nimeanza kusikiliza tangu 2007 nikiwa chuo kikuu Muhimbili. Barikiwa sana AIC SHINYANGA
Mpaka sasa inanibarki june 2024
AIC Shinyanga. Mbarikiwa mno kwa wimbo mzuri wa kuinua mioyo. Shalom
video shot in kenya
I used to cry when I listened to this song dad was in rumand
Nabarikiwa sana na huu wimbo
Inanikumbusha mbali sana. The best choir
Hongereni sana watumishi wa mungu
Barikiwa sn Aic shinyanga mnanibariki mnoo hii Albam nakumbuka nilikuwa mdogo sn sasa hv kama kaushuuda mmetoka mbl mnooo🔥Mungu azidi kuwapeleka viwango vya juu sana ❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥🔥
May God bless you and all ❤❤❤❤❤
Am here again 2024🎉🥳God is my light fear no more 💪💪🙏🙏
Tupo pamoja 2024
Hakika Wimbo ni mzur sana mungu awapiganie kwenye kutangaza jina lake
Daaaaaaaaaaa jaaman kuwa na Mungu raha sana hata mbinguni 2tasifu hivyhivy
wimbo unanikumbusha marehem kaka yangu enzi hizo😭😭
Pole😢
Pole sana
Nawapenda sana. Nyimbo munaziimba zinanibariki sana Niko DRC Congo.
Noma sana hawa jamaa wamepotelea wapi nawakubali sana
😂😂😂 step zenyewe hadi raha watu wanaenda na beat vibaya mno
Wabarikiwe sana waimbaji
Mbarikiwe waimbaj
Huwa wananibariki Sana,Nina furaha sababu bwana Yesu kaniokoa
Ubarikiwe sana mlieimba hizi nyimbo🙏😅😅😅😅😅😅
Amina
Nawapenda sana Hawa waimbaji.
Again 2023
Napata amani na furaha
Amina