AIC SHINYANGA CHOIR/BWANA NI NURU YANGU / ZILIZOPENDWA AFRICA MASHARIKI.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 06. 2020
  • #MsalabaMEDIA #DirectorAbson #MsalabaSOS #TanzaniGospleMusic #UpendoUpatanishoUkombozi
    ©2020 Administered Msalaba MEDIA
    +255767957191 /+255 710 132 291
    Msalaba SOS & MEDIA
    Forward We Go 🚶🚶🏃🏃💪
    Efeso 2:16. 2Wakoritho5:17-19.
    WITO (Isaya 49:1-26.)
    (A-Kurudisha Sauti Ya Mungu tuliyoipoteza
    (B-Kutufanya Silaha
    (C-Jina la Yesu Kutukuka kupitia Sisi
    (D-Kuwarudisha Waliopotea Kwa Mungu
    (E-Wafalme, Watawala Na Wakuu Kusujudu kwa Mungu
    (F-Kufanya Agano Na Mungu
    (G-Kanisa kutembea ktk nguvu za Mungu
    (H-Ardhi Kupatanishwa Na Mungu
    (I- Ulimwengu kuinuliwa Upya
    (J-Kurithishwa Urithi tuliokuwa tumeibiwa
    (K-Uhuru Kwa Wana wa Mungu
    (L-Giza kuwa Nuru
    (M-Walio Na Njaa Kushibishwa
    (N-Kutokusahaulika Na Mungu
    (O-Ongezeko La Haraka
    (P-Kutoonewa Na Shetani
    KUSUDI (Mathayo 28:19-20.)
    UTUME - Enendeni
    UALIMU - Mkafundishe
    MISSION
    Zaburi 24:7-10
    Waefeso 6:10-20
    2Wakoritho 10:3-5
    MFUMO
    Mitume
    Manabii
    Walimu
    Wachungaji
    Wainjilisti
    Waimbaji
    Jicho
    Karama.
    Uhusiano & Taarifa.
    #Msalaba SOS For the Peoples.
  • Hudba

Komentáře • 34

  • @brightonkiwango8184
    @brightonkiwango8184 Před měsícem

    Bonge moja la choir 2024 bado nasikiliza ❤❤

  • @Facness
    @Facness Před 2 měsíci +2

    Naupenda sana hu wimbo mbarikiwe sanaa❤

  • @duncannzomo-hz5qf
    @duncannzomo-hz5qf Před měsícem

    Amina Nabarikiwa na hii Choir...Mbarikiwe sana

  • @aman-20015
    @aman-20015 Před 3 měsíci +3

    Hakika Mungu ni wa ajabu, nmeanza kusikilza wimbo huu nikiwa bado mdogo sana, leo tena nmepata baraka kusikilza nikiwa chuo kikuu
    Hakika Mungu ni mwema

    • @tabithalusenga1183
      @tabithalusenga1183 Před 29 dny

      Mbarikiwe tena watumishi tangu 2007 nikiwa 4m 1 mpaka Leo bado unanibariki

  • @drgeofreymdede3952
    @drgeofreymdede3952 Před 11 měsíci +7

    Wimbo huu unanibariki sana ninao kwenye gari yangu na sikiliza kila wakati. Nimeanza kusikiliza tangu 2007 nikiwa chuo kikuu Muhimbili. Barikiwa sana AIC SHINYANGA

  • @LeosiaFesto
    @LeosiaFesto Před 10 dny

    Mpaka sasa inanibarki june 2024

  • @danielorango5875
    @danielorango5875 Před 8 měsíci +1

    AIC Shinyanga. Mbarikiwa mno kwa wimbo mzuri wa kuinua mioyo. Shalom

  • @smartcyber7531
    @smartcyber7531 Před 23 dny +1

    video shot in kenya

  • @wambuikariuki1450
    @wambuikariuki1450 Před 8 měsíci

    I used to cry when I listened to this song dad was in rumand

  • @elihurumaombay1641
    @elihurumaombay1641 Před rokem +2

    Nabarikiwa sana na huu wimbo

  • @danielmathias160
    @danielmathias160 Před 4 lety +1

    Inanikumbusha mbali sana. The best choir

  • @DamianoMaghway-ye7qj
    @DamianoMaghway-ye7qj Před 5 měsíci

    Hongereni sana watumishi wa mungu

  • @vailethbenjamin7489
    @vailethbenjamin7489 Před rokem

    Barikiwa sn Aic shinyanga mnanibariki mnoo hii Albam nakumbuka nilikuwa mdogo sn sasa hv kama kaushuuda mmetoka mbl mnooo🔥Mungu azidi kuwapeleka viwango vya juu sana ❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-mr8qv3tu2j
    @user-mr8qv3tu2j Před rokem +1

    May God bless you and all ❤❤❤❤❤

  • @marynasyieki3783
    @marynasyieki3783 Před 4 měsíci +1

    Am here again 2024🎉🥳God is my light fear no more 💪💪🙏🙏

  • @josephyohana8449
    @josephyohana8449 Před 3 měsíci

    Hakika Wimbo ni mzur sana mungu awapiganie kwenye kutangaza jina lake

  • @MathayoMakau
    @MathayoMakau Před 3 měsíci

    Daaaaaaaaaaa jaaman kuwa na Mungu raha sana hata mbinguni 2tasifu hivyhivy

  • @ibrahimugilya7519
    @ibrahimugilya7519 Před rokem +3

    wimbo unanikumbusha marehem kaka yangu enzi hizo😭😭

  • @jeanpierremugarwa9557

    Nawapenda sana. Nyimbo munaziimba zinanibariki sana Niko DRC Congo.

  • @tumainirichadi4638
    @tumainirichadi4638 Před rokem

    Noma sana hawa jamaa wamepotelea wapi nawakubali sana

  • @brightonkiwango8184
    @brightonkiwango8184 Před měsícem

    😂😂😂 step zenyewe hadi raha watu wanaenda na beat vibaya mno

  • @DamianoMaghway-ye7qj
    @DamianoMaghway-ye7qj Před rokem

    Wabarikiwe sana waimbaji

  • @DamianoMaghway-ye7qj
    @DamianoMaghway-ye7qj Před 10 měsíci

    Mbarikiwe waimbaj

  • @annastaziamoshi1176
    @annastaziamoshi1176 Před 3 lety

    Huwa wananibariki Sana,Nina furaha sababu bwana Yesu kaniokoa

  • @DamianoMaghway-ye7qj
    @DamianoMaghway-ye7qj Před rokem

    Ubarikiwe sana mlieimba hizi nyimbo🙏😅😅😅😅😅😅

  • @bintijuma942
    @bintijuma942 Před rokem

    Amina

  • @officialmatambi5550
    @officialmatambi5550 Před 3 lety

    Nawapenda sana Hawa waimbaji.

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 Před 9 měsíci

    Again 2023

  • @thomasnyalika7947
    @thomasnyalika7947 Před 10 měsíci

    Napata amani na furaha

  • @EmmanuelSusuma
    @EmmanuelSusuma Před rokem

    Amina