PART 2 | MCHIZI ANAOGOPA KUMWAMBIA UKWELI KWAMBA ANAMPENDA ANGALIA KILICHOMTOKEA
Vložit
- čas přidán 6. 05. 2024
- Movie Name : ME OR YOU
Year : 2024
Genre : Drama
NB: CREDITS
●WATCH FULL MOVIE ON : RUTHKADIRI on CZcams
⚠️DISCLAIMER
Copyright Disclaimer: - Under section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for FAIR USE for purpose such a as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship and research. Fair use is a use permitted by copyright statues that might otherwise be infringing. Non- Profit, educational or personal use tips the balance in favor of FAIR USE.
IF YOU FEEL YOUR RIGHTS ARE VIOLATED EMAIL ME AT "lifelakitaa@gmail.com" AND I WILL KINDLY TAKE DOWN THE VIDEO.
#zeelakutune #zeelatown #e7bits - Zábava
Kama umeipenda part2 like hapa
Bro zamani ulikuwa na tosha vigongo kilasiku ila kwa sasa ivi siyo kama zamani nini kk kama una amini E 7bits kabadirika gonga like apo tujuwane. ❤❤❤❤❤
Br umemwambia ukwel
Bro ata utusaidie😂😂
Kwan yeye ndo anaegiza izo movie simpaka zitoke nayeye ndo anazileta kwake vitu vengn mnajiongeza tu
Bro ukitaka kupata movie OG full unaipataje
@@user-cw7dd5we9d bro ingiya vid mate kila movie unayo itaka utapana kama unavuwa jina ya movie ina itwa je tu
Ila kiukweli konka unajua asee, yan review ya hii muv nimeangalia kwenye channel ya mtu mwingine uwez amini sijaielewa kama nilivoelewa kwako duh mpk raha asee. Big up brother.
Oya jitahidi kaka kuna jamaaa jana kaitoa yote hii move kwaiyo anakupiga jikaze usituangushe kaka tunakukubali tuekee Mambo
Ila huyu jamaa fundi kaupiga mwingi yule jamaa sijamfahm vzr ss hapa ndo nimeelewa
Jamaa gani uyo
Huyu anasawuti nzuri na inaelewak me ninafata sautii yule hana sauti nzurii😊
Jamani tunaopenda hizi movie za huyu kaka tujuane❤
Jamani tunaomkubali @izkonka gonga like twende pamoja woteeeee ❤❤❤❤❤🎉😂
Wa kwanza
Hhhhha eti kam anachanuwa miguu ya kahaba😂😂😂😂 ila konkii wewe
😂
Nlikua naitafuta hii coment😅
We kaka eti kama anaconda miguu❤❤
N😅😅😅
Team E7 beat wote nawapenda sana
Ifike mahala wakupe maua 🎉 Yako bhna unaweza na unaweza tena❤❤😊
Mambo ni motoooooo skupingi mwambaaaaaa🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Unyama sanaa bro god bless you
Ini kwenye seen za love anaweza jmn tumpe maua yake jomn🎉
Mwamba tunainjoi tuuu unajua sana 😂😂😂😂 Jamaniii part 2 😂😂😂
Mm wa kwanza like please🙏
broo haina haja ya kukusema vizuri baada ya kufa acha tukupe maua yako saivi big up sana
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuuu....🔥🔥🙌🙌❤❤
Me ya kwanza tuuh. Nimeipend hii ya pili ndo kabisaaa jomonii
Hii movie kuna sehemu nimeikuta nimesikiliza weeeee ila mhh 😂😂😂 ukweli acha tuseme konka ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Saut ya kule ainog😂
jamaa amerecap upuuzi na mahali pengine uwongo kala mb zangu yule😊
Naomba namimi like please kutoka🇺🇸🇺🇸🇺🇸
weee jamaaa jau sana😢😢😢😢 yan unajitolea t mv mdaa unao tak ww ila kama unachangamot pole jitaidii kutuwaishia ma vitu tunakubal sana kaz zako man 😢😢😢ila unatuangusha kwa kuto kuenda na mdaa walau ata kwa sik ziwe 3 lkn kimoja t kinakaa sik 4 au 5 unaua blandiii waisha likitoka jiwe unaweka jiweee au masomo yanakutinga😢😢😢
Ni Kweli unachosema ndugu lakin kumbuka ni hadi atizame movie Ndio atolee summary huwenda movie Ina masaa 2 anatakiwa arekod kwa ufupi wa dk 10..sio kazi rahisi kumbuka mbali ya hii ana issue zingin pia za kumfanya apate kipato tuwe tuna muhurumia😢
Ila huyu jamaa ini anajua Sana kaka kuigiza
Uko naija ndo watotroooo
Unyama KONKAAAA🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waooooh jaman mdada kafany kama mm vile 😅😅❤
Wachelewaji gonga like
Wap kuchanua kama miguu ya kahaba😂😂😂
unajua kuigiza sana Yani ❤❤❤❤❤
Mshikaji ata kudefine biology awezi😂😂😂
😂😂
Hatariii 😂
Ume chelewa sana Kuna mwenzako nae katoa kama hii part 2
Imekaa fresh sana
Leo wakwanza likes zangu nipate 🎉🎉
Sema dogo unajua sana 🙌🏿🙌🏿
Wakwanza 🎉🎉
kama umeipenduikhb Edward Love❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nime ku wai sana gonga like kumi ❤❤
Hiv like ukipewa zinakuaje yaaani
Brooohh😂😂😂 shav sanaa unajua kinoma😂😂
Yaan mzg umeshuj tu 😅watu tele washfika noma😂❤
Nakubal sanaaa
Semaa kiriss kazingua sana
Iz konka wee ni noumaaa much love ❤ from here
Upewe mauwa yko💐
Nimependa mwisho mzuri sana
Kama hujapenda movie ilivyoishia gonga like apa❤
Aisee watu mnawai kama mnakaa nyumba Moja na izikoka
Nakuelewa saaana
Mzee Kuna m² kapiga yote full lakin ni kelele mzee daaa talent hii
Wakwanza kama kawahida yangu nipe like tano tu 😢😢😂😂🎉🎉❤
Tum na ya3 mzee
jmn ya tatu haipo🙃?
@@e7bits_tz 😄😄😄😄😄😄😄 mie ni Kayla😜
Nice
Konka God bless your work
Huyu kaka nampenda kupita.kiasi❤
Please leta na za Timini Egbuson❤
Miguuu ya kahaba ten😂😂😂
Eti kapanua kama miguu ya kahaba😀😀🤣
Ilaa wee Zee nomaa sana 😅😅😅😅😅😅
Konkaa 🎉
Napenda sana saut yako
Una baya mwanangu✊🏿
Jamaa hana dawa ya misuli😂😂😂😂😂😂😅😅😅
Sema ii stori imeludiwa ila muvi tofauti
Nakubali kazi kaka hongera 🎉🎉🎉🎉🎉
Safi san
Kwenye Maisha wamwisho anakuwa wa kwanza naombeni like
Bora umetutumia aiseee
Dah hiii imenikuta mm kabisaaa yaaani 😢 demu kadet na rafk angu mm kasema nanichukulia kama the way nikimuandle ni like kaka ake tu yaaani dah alafy me ndio nilimzingatia from 0 to here jaman mapenz haya😂😂
Pole sana mi mwenzako kuna mtu alinipenda kufa mwisho wa siku nikaolew na mtu niliyekuw najifany ni rafik yangu😁😉😉
❤. Fantastic
Nmechukia hawajaonesh Kam ni nan alifanikiwa kuw na Kayla 😢😢😢😢
Ini Ndo Alikuwa na Kayla, Maana Alimuwahi Kumwambia Ukwelii Kabla ya Chris.
Wie ken die 😊💥💥💙🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Safi sana
Nimekuwa wakwanz naombeni like zangu
Wakwanza Na taka like 5
Konkaaaaaaa😂😂😂😂😂
Ukali unaendlea
I love you❤
Yaan napendag iz move zako atar jamn
Me nampenda Sana huyu kaka mnajelia
Nakubali wanangu sana
Sema KAYLA mfupi jaman
Kifupi nyundoo
Hii inafundisha sana kama m2 Unampenda ni bora umwambie kuliko kuchelewa utakuta mwana c wako
Mwamba hata ku define biology hajui😂😂😂😂
Unamchekaa mwenzako ee😂😂😂😂
😂eti misuli ya kahaba
Nazikubali sana kazi zako kaka
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas babaaaaaas
Tulikuwa tunasubiri sana
Huyu jamaa ana movies nzuri sana
Nakubalii maniga funiko
Wà kwanza give my likeeee
Daaahh cku iz na chelewa sana
this is so interesting do more plz
Izkonka tunaweza pata kitu cha Woman King ya 2023.
Asante DJ
Jamani, hiyoo soundtrack nyuma ya hii movie please,kaka Seven bites uwe unatuambia na hizo soundtrack please
💐💐💐💐
Love from 🇷🇼🇷🇼😊🎉
Movie moto🔥🔥🔥🔥💪
Mapenzi haya wacha mm nikae kimya😢
Asante konkaaa❤❤
Leo mapema tu wanangu like zenu tafadhali
Nimeipenda 😂😮
Anko unajua kinoma
Wa kwanza leo 😂😂😂