MSAFARA WA MISS TANZANIA AKIONDOKA TZ KWENDA MISS WORLD, AFUNGUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 02. 2024

Komentáře • 129

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 Před 4 měsíci +5

    not only about the beauty wanaangalia vitu vingi jmn!!!!! kila lakheri binti

  • @catherineabraham7048
    @catherineabraham7048 Před 4 měsíci +4

    go and win mama

  • @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
    @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI Před 4 měsíci +4

    Huyu Miss niliisimulia simulizi yake😊😊😊😊, simulizi yake ni tamu saaaana❤😊

  • @atoshamkingule7258
    @atoshamkingule7258 Před 4 měsíci +3

    Mwacheni jmn , umiss una mambo mengi sana,who sura tu,mbona sura ht mbuzi anayo,so mpeni support

  • @beatricedaniel3654
    @beatricedaniel3654 Před 4 měsíci +3

    Kila la heri dear❤

  • @yvonnelaurentlaurent8186
    @yvonnelaurentlaurent8186 Před 4 měsíci +2

    All the best ❤❤❤❤

  • @messiahfeatures3994
    @messiahfeatures3994 Před 4 měsíci +1

    Anastahili all the best 👍

  • @ekkymumba8566
    @ekkymumba8566 Před 4 měsíci +1

    Naomba kujua tu, eti Hashim Lundega yuko wapi jaman naomba mliyo shiriki miss tanzania mtupe sifa za Lundenga nahis kapush wa Dada wengu❤

  • @sherlyhaji4
    @sherlyhaji4 Před 4 měsíci +2

    All the best dear 🤗

  • @user-ib1pk7fb8p
    @user-ib1pk7fb8p Před 4 měsíci +6

    Angeenda wema 2006 amini angekuwa kwenye top 3

    • @surusuru1994
      @surusuru1994 Před 4 měsíci +1

      Acha kumkatisha tamaa tuko yuma yeke❤

    • @domitinalaurent9917
      @domitinalaurent9917 Před 4 měsíci +1

      Alienda na hakufanya chochote akatolewa mapema au hukufatilia? Bora Nancy sumari alishika nafasi 6.

    • @RoseMmary-vc9lg
      @RoseMmary-vc9lg Před 3 měsíci

      Aliienda

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 Před 4 měsíci +4

    Kwakweli umtegemee mungu Sana Ila tutakupigia kura

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz Před 4 měsíci

    Hongera tuko pamoja ubarikiwe sana

  • @user-vn5eg2mz3y
    @user-vn5eg2mz3y Před 4 měsíci

    Mmh ila binadam 😢😢apana ikatokea akashinda itakuaje jmn hiyo fusra ya kwenda uko ni neema tosha kwa mungu na ingekuwa ni uzurii kweli wengi mngekuwa kwenye ndoa 😢😢 mumuombee akija na ushindi nyinyi ndio wakwanza😮haipendezi kumkatish mtu tamaa nakumkufuru mungu 😢😢😢 eti wewe ni mbaya wewe ndio mungu,ingetakiwa tujulize kwanini ameteuliwa ipo Neema juu yake ❤❤Kila la kheri dada mungu akuonekania inshallah ❤❤❤

  • @Sonia_abass
    @Sonia_abass Před 4 měsíci +2

    GOD bless you mumy

  • @vero57
    @vero57 Před 4 měsíci +4

    AFADHALI AGEENDA ZAI WA MANARA, GOOD LUCK ANYWAY 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 4 měsíci +1

    Nitafatlia❤ten m jina wang

  • @mchilohasna7190
    @mchilohasna7190 Před 4 měsíci +2

    Nyie mnaosema bora asiende kushiriki miss word sababu india kuna wanawake wazuri hilo shindano la dunia nzima wasichana toka sehem mbalimbali mwacheni dada wawatu fyuuu

  • @user-ky4rb2lg3h
    @user-ky4rb2lg3h Před 4 měsíci +1

    Asante Kwa kushiriki

  • @user-fn1iv1hk6h
    @user-fn1iv1hk6h Před 4 měsíci +6

    Wa kwanzaa🎉🎉

  • @victoriamatei7757
    @victoriamatei7757 Před 4 měsíci +1

    Miss Tanzania wote ukua na sauti zuriii

  • @mwajumamussa8848
    @mwajumamussa8848 Před 4 měsíci +3

    Halima umenenepa saana.. huo mwili sio ule ulishinda kwenye miss Tanzania.. anyway wacha tuone

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Před 4 měsíci +1

    Nakupigia kura sasahiv tunataka tukuone kwenye kideo ukishine pale jukwaani kila la kheri mama

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 4 měsíci +3

    Angesem tuu Halima komwe anyway tuko nyuma yako all the best

    • @consgmail
      @consgmail Před 4 měsíci +1

      😂😂😂 et angesematu halima komwe

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Před 4 měsíci +2

    mbona miss mwenyewe kazeeka sana bongo jamani daa

  • @BrightonLucky8
    @BrightonLucky8 Před 4 měsíci +5

    Mbona kama cecy wa Rukamba? Apo Hamna kitu.

  • @user-ed6fd4sy4v
    @user-ed6fd4sy4v Před 4 měsíci +2

    Mis mwenyew ana komwe nafuuu mimi😁😁😁👌

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 4 měsíci +2

    MASHINDANO YANGEKUWA YANAFANYIKA ZAMBIA ANGATAU TUNGETEGEMEA SAS INDIA KWEL DUH😢😢😢 AU BAS

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před 4 měsíci +1

      😂😂😂 anarudi kapa Mungu amsaidie tu kidogo asogee sogee kabla ya kuaga mashindano

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda Před 4 měsíci +2

    Naona na shoga mmoja akishangilia sana

  • @salhakyande3905
    @salhakyande3905 Před 4 měsíci

    ❤️

  • @SamooMohammed-bt6mg
    @SamooMohammed-bt6mg Před 4 měsíci

    Miss world ndo nchi gani andikeni vizuri vichwa vya habari

  • @BiiEntertainment
    @BiiEntertainment Před 4 měsíci

    Jamani pageant is not about beauty only but deals with so many issue so don't judge about face

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 4 měsíci +2

    Ukenda utupu kwetu unashangiliwa

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před 4 měsíci +3

    kwani tanzania ina miss kumbe

  • @mconedimple5364
    @mconedimple5364 Před 4 měsíci

    We nenda tu Mungu akujalie hilo la kura usumbufu mwingi maelezo tu yanachosha hataka bla ya kuanza mchakato wakura

  • @mariambilonkwa5183
    @mariambilonkwa5183 Před 4 měsíci

    Kwa style hii bado xn india,Venezuela kuna vitu

  • @htx1873
    @htx1873 Před 4 měsíci +2

    Bado sana , Tunaenda kusindikiza tu,… Duniani kuna Visu nyie acheni tu!!!!!

  • @gaspermodise9644
    @gaspermodise9644 Před 4 měsíci

    inalilah wainalilah nimsiba

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Před 4 měsíci

    Sawa mama, wacha tuone

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu398 Před 4 měsíci

    Hapo hatuna ushindi wala mshindani!! Sijui ulipitaje pitaje coz muonekano tu mmmh hapana

  • @user-hm7nq4rx3n
    @user-hm7nq4rx3n Před 4 měsíci

    Hapo mhh ßjui hata top 50 tutakuwepo kwel nyota njema huonekana asbh

  • @user-br4tl7jv9j
    @user-br4tl7jv9j Před 4 měsíci +1

    Uyu ni mwenzetu lakin hata top 10 akifika mniite mbwaa😂😂😂😂😂

    • @Liza-jz2fh
      @Liza-jz2fh Před 3 měsíci

      Amefika top 10, polee Mbwaa😂

  • @user-ky4rb2lg3h
    @user-ky4rb2lg3h Před 4 měsíci +2

    Nilijua anaitwa Halima komwe

  • @Zuu673
    @Zuu673 Před 4 měsíci

    Mashoga kibao mmh😢

  • @user-ef2up8he3d
    @user-ef2up8he3d Před 4 měsíci +1

    Ila komwe jaman jaman

  • @congratulationmayunga3833
    @congratulationmayunga3833 Před 4 měsíci

    Angeenda nani huyuuu Nani

  • @abuu-bakarshaaban6246
    @abuu-bakarshaaban6246 Před 4 měsíci +3

    Km mashindano ni India sasa anaenda kufanya nn

  • @HASHIMUMKUNDA-pz1wd
    @HASHIMUMKUNDA-pz1wd Před 4 měsíci

    Katuwakilishe vyema bikira wetu

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Před 4 měsíci

    Tumepigwa"😢

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu398 Před 4 měsíci

    Nenda ukaswampe tu hapo hatuna miss wa kutuwakilisha

  • @markkisima4635
    @markkisima4635 Před 4 měsíci

    Kwani wanaowachagua wanaangalia nn?

  • @mgombayekarahma6484
    @mgombayekarahma6484 Před 4 měsíci

    🤔 tutarajie nini?bado sijaona miss kati ya mamiss walopita

  • @user-kv7cp3ce8i
    @user-kv7cp3ce8i Před 4 měsíci

    Kila la heri Halima.Nakutakia mafanikio mema

  • @petermabula4492
    @petermabula4492 Před 4 měsíci +2

    Wa pl

  • @witnessinary7807
    @witnessinary7807 Před 4 měsíci

    😂😂kumbe nafaa sema ufupi tu😢

  • @user-je7gr4jv8o
    @user-je7gr4jv8o Před 4 měsíci

    Na ana boyfriend

  • @amoursalim7418
    @amoursalim7418 Před 4 měsíci

    Mbona wakawaida sana ila tutakupigia

  • @mconedimple5364
    @mconedimple5364 Před 4 měsíci

    Mhmmn hio milolingo ya kupiga kura ni mingi mnooo

  • @stevenchawala5316
    @stevenchawala5316 Před 4 měsíci +1

    Ukishinda NCHI hii NAHAMA

  • @annamadavid4152
    @annamadavid4152 Před 4 měsíci

    Mmmmmh

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 Před 4 měsíci

    Hutoboi😅😅😅

    • @htx1873
      @htx1873 Před 4 měsíci

      😂😂😂 sio Siri, sijaona Kama yuko tayari, maaana sio kwa visu anavyo kwenda kukutana navyo. Duniani kuna visu nyieeeeee

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 Před 4 měsíci +1

      Dua la kuku.... 😂😂😂😂 Sajar zile wanachonga maumbo unaona visu nje ndani tope

    • @happinesskomanya8381
      @happinesskomanya8381 Před 4 měsíci

      😂😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 4 měsíci +1

    Mhhh

    • @mayrose9772
      @mayrose9772 Před 4 měsíci

      Nn ssa😂😂😂😂

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Před 4 měsíci

      @@mayrose9772 nitakujibu kesho kama sijafa saivi nalala

    • @mayrose9772
      @mayrose9772 Před 4 měsíci +1

      @@sofitanzanian955 autokufa bali utaishi

  • @aproxaprox
    @aproxaprox Před 4 měsíci

    Yani kwa huyu hata kama atashindana mwenyewe peke yake bado atakua wa mwisho bhaahahahah!

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 4 měsíci

    Aingie tu kwa 10 bora
    Lkn wahindi ni fireeeeeee😂ila hatumvunji moyo. Go mama u will win😂vivaaaa

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 4 měsíci +2

      Heh wewe !!! Mashindano yanafanyikia India sio warembo wote watakua ni wahindi😃😃

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 4 měsíci

      Nani amekuambia anakwenda shindana na wahindi tu? But kusema kweli Kwa hapa kwetu Bado sana ,Africa nzima ni South Africa tu ndo huwa wanajitahidi mara nyingi , mshindi tutegemee sana kutoka phillipines,India ,USA or South Africa

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 Před 4 měsíci

    Siku hizi miss ni kama maraya mchezo ngono

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 Před 4 měsíci

    Sikuizi haya mashindano hayana umaarufu kama enzi za kina wema

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f Před 4 měsíci

    Katuokowe tutakupingia Kula

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Před 4 měsíci

    😂😂😂😂

  • @brendazayumba235
    @brendazayumba235 Před 4 měsíci

    Kumbe huu mchezo bado upo

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema2302 Před 4 měsíci

    Kiukwel kam ni india ni bora abak anaenda kushirik tu

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda Před 4 měsíci

    Maaana yake ni nini na faida yake ni nini kwa taifa? Lengo lao ni nini hawa wanaopambania haya mambo?

  • @ruthhorombe3441
    @ruthhorombe3441 Před 4 měsíci

    Heeee hivi kumbe miss tanzania bado ipo 😂

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Před 4 měsíci

    😂😂 nikajua kavaa suruali kajifunga na mtandio mweusi 😂😂 kumbe suruali ndo iko hivo nilitaka kusema arudi tu nyumbani kashafeli tayari 😂😂😂 kila la heri mwaya

  • @user-mr5tk8oc3t
    @user-mr5tk8oc3t Před 4 měsíci

    Mbayaaaa jamani Tanzania amjui kuchagua

  • @dullyseven690
    @dullyseven690 Před 4 měsíci

    saw ila uko kutoboa ni ngumu

  • @scolasticahpeterh8649
    @scolasticahpeterh8649 Před 4 měsíci

    Sura yke inataka kufanana na wema

  • @JulianaMashati-dt9js
    @JulianaMashati-dt9js Před 4 měsíci +1

    Dada wewe hata sio mrembo, Tanzania oenyewe kuna Visu vikali sana sema Tu havijitokezi Ila kwako wewe Halima na hiyo Sura AKO utakuwa WA MWISHO lol😮😅

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 4 měsíci

    Kwa Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka inaweza kuwa ni rushwa ya ngono ametoa maana mbona ni mbaya sana sura haivutii komwe kubwa na hilo domo kubwa na pua likubwa utafikiri nyani mweusi, ni bora mngeenda kuchukua wanawake kama Waethiopia wairaqw wa Manyara , ila huyo ni 🐒🐒🤮🤮🤮🤮

    • @cleopatramalisa3923
      @cleopatramalisa3923 Před 4 měsíci

      We ni binadamu kweli😥

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 4 měsíci

      @@cleopatramalisa3923 ni mbaya wala havutii kuwa miss au huko Tanzania 🇹🇿 wanawake wote walioshiriki ni wabaya kuliko huyo

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 4 měsíci

      @@cleopatramalisa3923 acha unafiki ni miss gani huyo nchi inapeleka taka taka ni mbaya haswa na nahisi mwenyewe anajijua ni mbaya 🤮🤮🐒🐒

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 4 měsíci

      We nawe tulia huko, Urembo unavigezo vingi sio mwonekano tu

    • @cleopatramalisa3923
      @cleopatramalisa3923 Před 4 měsíci

      @@Kabwela776 hawaangalii uzuri tu..Kuna vigezo vingi

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 Před 4 měsíci +2

    Mmmh bora ungebaki tu ndg sasa unaweza kuwashinda wahindi kwa uzuri kweli jamani😮