Mmh ila binadam 😢😢apana ikatokea akashinda itakuaje jmn hiyo fusra ya kwenda uko ni neema tosha kwa mungu na ingekuwa ni uzurii kweli wengi mngekuwa kwenye ndoa 😢😢 mumuombee akija na ushindi nyinyi ndio wakwanza😮haipendezi kumkatish mtu tamaa nakumkufuru mungu 😢😢😢 eti wewe ni mbaya wewe ndio mungu,ingetakiwa tujulize kwanini ameteuliwa ipo Neema juu yake ❤❤Kila la kheri dada mungu akuonekania inshallah ❤❤❤
Nyie mnaosema bora asiende kushiriki miss word sababu india kuna wanawake wazuri hilo shindano la dunia nzima wasichana toka sehem mbalimbali mwacheni dada wawatu fyuuu
Nani amekuambia anakwenda shindana na wahindi tu? But kusema kweli Kwa hapa kwetu Bado sana ,Africa nzima ni South Africa tu ndo huwa wanajitahidi mara nyingi , mshindi tutegemee sana kutoka phillipines,India ,USA or South Africa
Kwa Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka inaweza kuwa ni rushwa ya ngono ametoa maana mbona ni mbaya sana sura haivutii komwe kubwa na hilo domo kubwa na pua likubwa utafikiri nyani mweusi, ni bora mngeenda kuchukua wanawake kama Waethiopia wairaqw wa Manyara , ila huyo ni 🐒🐒🤮🤮🤮🤮
not only about the beauty wanaangalia vitu vingi jmn!!!!! kila lakheri binti
go and win mama
Huyu Miss niliisimulia simulizi yake😊😊😊😊, simulizi yake ni tamu saaaana❤😊
Inaitwaje nikasikilize
Mwacheni jmn , umiss una mambo mengi sana,who sura tu,mbona sura ht mbuzi anayo,so mpeni support
Kila la heri dear❤
All the best ❤❤❤❤
Anastahili all the best 👍
Naomba kujua tu, eti Hashim Lundega yuko wapi jaman naomba mliyo shiriki miss tanzania mtupe sifa za Lundenga nahis kapush wa Dada wengu❤
All the best dear 🤗
Angeenda wema 2006 amini angekuwa kwenye top 3
Acha kumkatisha tamaa tuko yuma yeke❤
Alienda na hakufanya chochote akatolewa mapema au hukufatilia? Bora Nancy sumari alishika nafasi 6.
Aliienda
Kwakweli umtegemee mungu Sana Ila tutakupigia kura
Hongera tuko pamoja ubarikiwe sana
Mmh ila binadam 😢😢apana ikatokea akashinda itakuaje jmn hiyo fusra ya kwenda uko ni neema tosha kwa mungu na ingekuwa ni uzurii kweli wengi mngekuwa kwenye ndoa 😢😢 mumuombee akija na ushindi nyinyi ndio wakwanza😮haipendezi kumkatish mtu tamaa nakumkufuru mungu 😢😢😢 eti wewe ni mbaya wewe ndio mungu,ingetakiwa tujulize kwanini ameteuliwa ipo Neema juu yake ❤❤Kila la kheri dada mungu akuonekania inshallah ❤❤❤
GOD bless you mumy
AFADHALI AGEENDA ZAI WA MANARA, GOOD LUCK ANYWAY 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kwann ucwe ww,
Zaylissa z typing 😂😂😂
Zay ananini sasa 😂😂zaid ya urefu tu hata kujieleza hajuw shule nayo nzuri
😂
Nitafatlia❤ten m jina wang
Nyie mnaosema bora asiende kushiriki miss word sababu india kuna wanawake wazuri hilo shindano la dunia nzima wasichana toka sehem mbalimbali mwacheni dada wawatu fyuuu
Asante Kwa kushiriki
Wa kwanzaa🎉🎉
Hehee
@@irenesethhehehe
Miss Tanzania wote ukua na sauti zuriii
Halima umenenepa saana.. huo mwili sio ule ulishinda kwenye miss Tanzania.. anyway wacha tuone
Kweli kanenepa
Nakupigia kura sasahiv tunataka tukuone kwenye kideo ukishine pale jukwaani kila la kheri mama
Angesem tuu Halima komwe anyway tuko nyuma yako all the best
😂😂😂 et angesematu halima komwe
mbona miss mwenyewe kazeeka sana bongo jamani daa
Mbona kama cecy wa Rukamba? Apo Hamna kitu.
Sijaona Mimi huo urembo alio nao mmmm!!! Hamnakitu
😅😅😅😅😂
Mis mwenyew ana komwe nafuuu mimi😁😁😁👌
😂😂
MASHINDANO YANGEKUWA YANAFANYIKA ZAMBIA ANGATAU TUNGETEGEMEA SAS INDIA KWEL DUH😢😢😢 AU BAS
😂😂😂 anarudi kapa Mungu amsaidie tu kidogo asogee sogee kabla ya kuaga mashindano
Naona na shoga mmoja akishangilia sana
Daaah yule kweli chakula
😂😂😂😂😂😂😂
❤️
Miss world ndo nchi gani andikeni vizuri vichwa vya habari
Jamani pageant is not about beauty only but deals with so many issue so don't judge about face
Ukenda utupu kwetu unashangiliwa
kwani tanzania ina miss kumbe
We nenda tu Mungu akujalie hilo la kura usumbufu mwingi maelezo tu yanachosha hataka bla ya kuanza mchakato wakura
Kwa style hii bado xn india,Venezuela kuna vitu
Bado sana , Tunaenda kusindikiza tu,… Duniani kuna Visu nyie acheni tu!!!!!
inalilah wainalilah nimsiba
Sawa mama, wacha tuone
Hapo hatuna ushindi wala mshindani!! Sijui ulipitaje pitaje coz muonekano tu mmmh hapana
Hapo mhh ßjui hata top 50 tutakuwepo kwel nyota njema huonekana asbh
Uyu ni mwenzetu lakin hata top 10 akifika mniite mbwaa😂😂😂😂😂
Amefika top 10, polee Mbwaa😂
Nilijua anaitwa Halima komwe
😂😂😂😂😂😂😂
Mashoga kibao mmh😢
Ila komwe jaman jaman
Angeenda nani huyuuu Nani
Km mashindano ni India sasa anaenda kufanya nn
😂😂😂😂
Katuwakilishe vyema bikira wetu
Tumepigwa"😢
Nenda ukaswampe tu hapo hatuna miss wa kutuwakilisha
Kwani wanaowachagua wanaangalia nn?
🤔 tutarajie nini?bado sijaona miss kati ya mamiss walopita
Kila la heri Halima.Nakutakia mafanikio mema
Wa pl
Hakuna kitu hapo
😂😂kumbe nafaa sema ufupi tu😢
Na ana boyfriend
Mbona wakawaida sana ila tutakupigia
Mhmmn hio milolingo ya kupiga kura ni mingi mnooo
Ukishinda NCHI hii NAHAMA
😂😂😂😂😂😂😂😂why
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wabongo hasa mnanifurahisha
Mmmmmh
Hutoboi😅😅😅
😂😂😂 sio Siri, sijaona Kama yuko tayari, maaana sio kwa visu anavyo kwenda kukutana navyo. Duniani kuna visu nyieeeeee
Dua la kuku.... 😂😂😂😂 Sajar zile wanachonga maumbo unaona visu nje ndani tope
😂😂
Mhhh
Nn ssa😂😂😂😂
@@mayrose9772 nitakujibu kesho kama sijafa saivi nalala
@@sofitanzanian955 autokufa bali utaishi
Yani kwa huyu hata kama atashindana mwenyewe peke yake bado atakua wa mwisho bhaahahahah!
Aingie tu kwa 10 bora
Lkn wahindi ni fireeeeeee😂ila hatumvunji moyo. Go mama u will win😂vivaaaa
Heh wewe !!! Mashindano yanafanyikia India sio warembo wote watakua ni wahindi😃😃
Nani amekuambia anakwenda shindana na wahindi tu? But kusema kweli Kwa hapa kwetu Bado sana ,Africa nzima ni South Africa tu ndo huwa wanajitahidi mara nyingi , mshindi tutegemee sana kutoka phillipines,India ,USA or South Africa
Siku hizi miss ni kama maraya mchezo ngono
Sikuizi haya mashindano hayana umaarufu kama enzi za kina wema
Katuokowe tutakupingia Kula
😂😂😂😂
Kumbe huu mchezo bado upo
Kiukwel kam ni india ni bora abak anaenda kushirik tu
Maaana yake ni nini na faida yake ni nini kwa taifa? Lengo lao ni nini hawa wanaopambania haya mambo?
Urembo😂😂😂😂
Heeee hivi kumbe miss tanzania bado ipo 😂
😂
😂😂 nikajua kavaa suruali kajifunga na mtandio mweusi 😂😂 kumbe suruali ndo iko hivo nilitaka kusema arudi tu nyumbani kashafeli tayari 😂😂😂 kila la heri mwaya
😂😂😂
Mbayaaaa jamani Tanzania amjui kuchagua
saw ila uko kutoboa ni ngumu
😅😅😅
Sura yke inataka kufanana na wema
Wema wa Sasa sio wa 2006
Dada wewe hata sio mrembo, Tanzania oenyewe kuna Visu vikali sana sema Tu havijitokezi Ila kwako wewe Halima na hiyo Sura AKO utakuwa WA MWISHO lol😮😅
😂😂😂
Ndo maana kajitokeza sasa
Kwa Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka inaweza kuwa ni rushwa ya ngono ametoa maana mbona ni mbaya sana sura haivutii komwe kubwa na hilo domo kubwa na pua likubwa utafikiri nyani mweusi, ni bora mngeenda kuchukua wanawake kama Waethiopia wairaqw wa Manyara , ila huyo ni 🐒🐒🤮🤮🤮🤮
We ni binadamu kweli😥
@@cleopatramalisa3923 ni mbaya wala havutii kuwa miss au huko Tanzania 🇹🇿 wanawake wote walioshiriki ni wabaya kuliko huyo
@@cleopatramalisa3923 acha unafiki ni miss gani huyo nchi inapeleka taka taka ni mbaya haswa na nahisi mwenyewe anajijua ni mbaya 🤮🤮🐒🐒
We nawe tulia huko, Urembo unavigezo vingi sio mwonekano tu
@@Kabwela776 hawaangalii uzuri tu..Kuna vigezo vingi
Mmmh bora ungebaki tu ndg sasa unaweza kuwashinda wahindi kwa uzuri kweli jamani😮