ASAYYID MUHDHWAR MAULID MINNA, HAKUNA KITU BORA KAMA KUSHIKAMANA NA MTUME, HATA KAMA TUKIKEJELIWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 06. 2024
  • Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

Komentáře • 25

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 14 dny +1

    Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri, Mola Awakubaliye mahujaji wote hijja maqbuli inshaallah

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před 13 dny +2

    Mawahabi hawezi kuwa radhi kuona waislam wanamswalia na kumsifu mtume kwa sifa zake, mawahabi wao kwa wao wako tayari kufurahia yanayofanywa na Mayahud na manaswara wafadhili wao wakubws

  • @amaxyz138
    @amaxyz138 Před 13 dny +1

    wallahi mutakereki sisi haturudi nyuma mutachoka mutachoka piganeni na wasio kuwa dini wanaoabudu masanamu sio sisi mutache jamani sisi hatuachi mutachoka mtumu na sisi sisi na mtume

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před 15 dny

    MASHAALLAH

  • @user-br6er7zf5z
    @user-br6er7zf5z Před 15 dny +1

    Tutamswalia mtume hadikiyama mukionashida sana kuleni uganda

  • @hashimusalum-xp7fn
    @hashimusalum-xp7fn Před 8 dny

    hebu tusomen tusipeane itikadi bila elmu tutafeli jaman haya maswala ni maswala ya kielmu

  • @zeinayusuph4566
    @zeinayusuph4566 Před 14 dny

    Maneno mazito mashallah

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 14 dny +3

    Hamumkomoi yoyote mnakomoa nafsi zenu maajabu haya mmefanya hijjah mmemaliza kwa salama na amani hamuogopi kufanya mambo ya kumzulia mtuma kunaweza kuharibu ibada yenu ya hijjah? Ndio maana kila miaka mnaenda hijjah lakini kila mkirudi hamnadiliki kabisa mnakuwa wabaya zaidi toba ya rabbi

    • @user-ei1lb3ki8l
      @user-ei1lb3ki8l Před 14 dny

      Nyie mawahabi mna tabu xana

    • @eshasalim1471
      @eshasalim1471 Před 14 dny

      Lete istighfar Kwa hukmu uloitoa Kwa masheikh zetu

    • @salmaali7080
      @salmaali7080 Před 14 dny

      Waombee kwa Allah usikashiff MTU hakuna mingi WA hukmu illa allah

    • @sulekhan7119
      @sulekhan7119 Před 12 dny

      Sasa wewe kinacho kuwasha kitu gani kama sio unafki ulio nao kama kitu hukifanyi inamaan hakikuhusu harasi kaa kimya

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 15 dny +5

    Siyo kusoma maulid tu mina,chezeni hata ngoma za kisukuma humo!!
    nani aliwatangulia ktkt maswahaba na ta'abiighiin kufanya ibada hiyo mbovu ya maulid wakati wa haji huko minah?
    acheni kibri,na muachane na UZUSHI!!
    Allah awaongeze kwenye SUNNAH na kuachana na Ibada za KIZUSHI!!

    • @zubeiramlanzi2480
      @zubeiramlanzi2480 Před 14 dny +2

      Umesema kweli akhy Allah akuhifadhi
      Hii ilikua ni fursa adhim ya kufanya sana istighfar na kumtaja sana Allah Kwa adhkar zilizothibit .
      Allah atuongoze sisi na wao katika kulazimiana na haki

    • @YaziduIddy
      @YaziduIddy Před 14 dny

      ​@@zubeiramlanzi2480nyie kweli bange sinawasumpua. Kwahiyo kusherekea maulid ni uovu kwani hapo Kuna maneno gani yakizushi kumswalia mtume au mawaidha

    • @eshasalim1471
      @eshasalim1471 Před 14 dny

      Wapuzi hawa kama wao hawapendi maulud Yanini kuingia kwenye chanal zetu kujikera nafsi zao

    • @SaidJangoli-hr7ww
      @SaidJangoli-hr7ww Před 14 dny

      Mtume wetu kafundisha kumsalia ila sio magoma Allah atuongoze tuepuke uzushi wote amin

    • @YaziduIddy
      @YaziduIddy Před 14 dny

      @@SaidJangoli-hr7ww Kuna Ngoma zimepigwa hapo ?

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před 15 dny

    MAWAHABI HAWAKOMI KUKEREKA

  • @sulekhan7119
    @sulekhan7119 Před 12 dny

    Tutamswali mtume kipenz chetu mpaka siku ya kiama