ASAYYID MUHDHWAR MAULID MINNA, HAKUNA KITU BORA KAMA KUSHIKAMANA NA MTUME, HATA KAMA TUKIKEJELIWA
Vložit
- čas přidán 17. 06. 2024
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri, Mola Awakubaliye mahujaji wote hijja maqbuli inshaallah
Mawahabi hawezi kuwa radhi kuona waislam wanamswalia na kumsifu mtume kwa sifa zake, mawahabi wao kwa wao wako tayari kufurahia yanayofanywa na Mayahud na manaswara wafadhili wao wakubws
wallahi mutakereki sisi haturudi nyuma mutachoka mutachoka piganeni na wasio kuwa dini wanaoabudu masanamu sio sisi mutache jamani sisi hatuachi mutachoka mtumu na sisi sisi na mtume
MASHAALLAH
Tutamswalia mtume hadikiyama mukionashida sana kuleni uganda
hebu tusomen tusipeane itikadi bila elmu tutafeli jaman haya maswala ni maswala ya kielmu
Maneno mazito mashallah
Hamumkomoi yoyote mnakomoa nafsi zenu maajabu haya mmefanya hijjah mmemaliza kwa salama na amani hamuogopi kufanya mambo ya kumzulia mtuma kunaweza kuharibu ibada yenu ya hijjah? Ndio maana kila miaka mnaenda hijjah lakini kila mkirudi hamnadiliki kabisa mnakuwa wabaya zaidi toba ya rabbi
Nyie mawahabi mna tabu xana
Lete istighfar Kwa hukmu uloitoa Kwa masheikh zetu
Waombee kwa Allah usikashiff MTU hakuna mingi WA hukmu illa allah
Sasa wewe kinacho kuwasha kitu gani kama sio unafki ulio nao kama kitu hukifanyi inamaan hakikuhusu harasi kaa kimya
Siyo kusoma maulid tu mina,chezeni hata ngoma za kisukuma humo!!
nani aliwatangulia ktkt maswahaba na ta'abiighiin kufanya ibada hiyo mbovu ya maulid wakati wa haji huko minah?
acheni kibri,na muachane na UZUSHI!!
Allah awaongeze kwenye SUNNAH na kuachana na Ibada za KIZUSHI!!
Umesema kweli akhy Allah akuhifadhi
Hii ilikua ni fursa adhim ya kufanya sana istighfar na kumtaja sana Allah Kwa adhkar zilizothibit .
Allah atuongoze sisi na wao katika kulazimiana na haki
@@zubeiramlanzi2480nyie kweli bange sinawasumpua. Kwahiyo kusherekea maulid ni uovu kwani hapo Kuna maneno gani yakizushi kumswalia mtume au mawaidha
Wapuzi hawa kama wao hawapendi maulud Yanini kuingia kwenye chanal zetu kujikera nafsi zao
Mtume wetu kafundisha kumsalia ila sio magoma Allah atuongoze tuepuke uzushi wote amin
@@SaidJangoli-hr7ww Kuna Ngoma zimepigwa hapo ?
MAWAHABI HAWAKOMI KUKEREKA
Tutamswali mtume kipenz chetu mpaka siku ya kiama