Mungu akulipe kwa ulichokitanguliza Rais wetu. Umesifika kwa kuinua hali za wananchi wako wakati wa Uongozi wako ndani ya kipindi kifupi tu. Tunahitaji Rais kama wewe kuziinua hali za wananchi hivi sasa.Pumzika mzee wetu ❤❤❤💯
Innalilaiwainahilai rajurn, mungu hakulaze mahala pema peponi, ndugu familia wazanzibari na Tanzania poleni sana kwa msiba huo.watching from mombasa- kenya.
Innalillah wainailah rajioun. Ila mtangazaji hakumtendea haki Hayati Mwinyi kwa kutolitaja suala la kujiuzuru kwake kwa makosa ya watu wengine. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Rais Ally Hassan Mwinyi mahali pema peponi.
Mwinyi ndiye rais aliyetawala Zanzibar baada ya jumbe,pia ni rais aliyejiepusha Na maswali ya kutaka kujua muundo WA Muungano wala maslahi ya Muungano Jambo ambalo lilimpendeza mzee Nyerere kisha kumwamishia bara.
Mungu amlaze mahala pema peponi...mwendo ameumaliza...kipenzi cha wengi mzee Ruksa...nakumbuka kipindi cha utawala wake kila biashara ilikuwa inauzika...pesa ilikuwepo Yalikuwa maisha ya bata kinomaaa...lkn nakumbuka alisema azikiwe mkuranga...sijui hii imekaaje...
Haitwi Ali Asante,ANAITWA Ali Hassan,kama hamujui kiswahili tafuteni kazi za kupiga bodi,kuwa muandishi wa habari kwa Tanzania kiswahili fasaha ni muhimu na ni kioo cha jamii
Al asan mwinyi ndio nini??? Hebu punguza mbwembwe basi. Millard vitu kama hivi jaribu kusoma mwenyewe. Hawa vijana wanajaribu kukuiga wanaishia kuvurunda.
Innalilaiwainahilai rajurn, mungu hakulaze mahala pema peponi, ndugu familia wazanzibari na Tanzania poleni sana kwa msiba huo.watching from mombasa- kenya.
Poleni Sana nyote MWENYEZI MUNGU awape nguvu awapikanie awashindie awaweseshe vyema kwa kila Jambo katika Jina la YESU KRISTO ameeeen
Mwenyezi Mungu ukupe kauli thabiti mzee wetu.Tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi.
Naomba ALLAH ampe family and friends na wanyeji subra INSHALLAH
Inalilah wainailah rajuu
Mzee ruhusa
Mungu akulipe kwa ulichokitanguliza Rais wetu. Umesifika kwa kuinua hali za wananchi wako wakati wa Uongozi wako ndani ya kipindi kifupi tu. Tunahitaji Rais kama wewe kuziinua hali za wananchi hivi sasa.Pumzika mzee wetu ❤❤❤💯
mungu amlaze mahari pema pepon. aminaa
Innalilah wainaillah rajioun ...dah mzee kafa na miaka 100,,Allah amhifadhi mzee wetu
Mwenyezi mungu ampunguzie azabu yakabuli😢😢
Allh amrehm
Poleni ndugu Wetu watanzania kwa kupoteza ayati rais wa hawamu ya bili pole kutoka🇰🇪
Pumzika kwa Amani 🕯️
Mwenyezi mung amtangulie🙏🙏
Mzee Mwinyi alisoma wakati Watanzania wengi bado wapo maporini...
Innalilaiwainahilai rajurn, mungu hakulaze mahala pema peponi, ndugu familia wazanzibari na Tanzania poleni sana kwa msiba huo.watching from mombasa- kenya.
Ni 1925 sio 1923
Innalliah wainaillah --- MUNGU awape Amani kwa familia na nchi ya Tanzania 🙏 pumusika amani rais mwinyi 🌱🇰🇪
Innalillahi wainnalillah rajiun, Allah ampe kauli dhabit
Allahumma Amiyn
Ameen
Apumzike kwa aman
Mungu akupe kauri sabiti Mzee mwinyi kapumuzike kwa hamani mwendo umeumaliza❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Amina
Ali Asani Mwinyi..... ✖️
Ali Hassan Mwinyi..... ✅
Innalillah wainailah rajioun. Ila mtangazaji hakumtendea haki Hayati Mwinyi kwa kutolitaja suala la kujiuzuru kwake kwa makosa ya watu wengine. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Rais Ally Hassan Mwinyi mahali pema peponi.
Tulikupenda lakini ❤mung kakupenda said.iragie inguluwock nairobii😮
Mwinyi ndiye rais aliyetawala Zanzibar baada ya jumbe,pia ni rais aliyejiepusha Na maswali ya kutaka kujua muundo WA Muungano wala maslahi ya Muungano Jambo ambalo lilimpendeza mzee Nyerere kisha kumwamishia bara.
Mungu akulaze mahali peponi
Mungu amlaze mahala pema peponi...mwendo ameumaliza...kipenzi cha wengi mzee Ruksa...nakumbuka kipindi cha utawala wake kila biashara ilikuwa inauzika...pesa ilikuwepo
Yalikuwa maisha ya bata kinomaaa...lkn nakumbuka alisema azikiwe mkuranga...sijui hii imekaaje...
Speech ya lini hiyo?
Makadala.... ✖️
Makadara.... ✅
Allah amlaze mahala pema peponi
INNA NILLAH WA INA ILEYHI RAJAIOON
SIO ALLY AASAN, NI ALLY HASSAN... Utangazaji gani huo?!
Kabisaa
😂
1923-2024
Miaka 100 mungu wangu nenda kwa amani mzee wa ruksa umeona mengi mwamba
1925 born
Kaja kuchuma neema zanzibar baadae wanawabadilikia kwa kutawala.. Allah atamlipa analostahiki
Luga..... ✖️
Lugha.... ✅
Ali Hassan Mwinyi. Sio asani
Na umwambie pia sio Hali Assan. Watu wa dar mna taabu ya matamshi
Kwetu tunamwita Mzee wa ruksa
أنا لله وانا إليه
إنا لله وإنا إليه راجعون
Allah ampe kauli thabiti
Mungu skuweke mahala pema pepuni
Kumbe kazaliwa bara huyu 😢kumbe si mzanzibar
Hata Karume alizaliwa bara Zanzibar alihamia 😀
Innalilah wainailaihy rajiuun
Innalilah wainaileh rajiun ALLAH ampe kauli dhabit
Maskin Mwinyi wetu Mwendo ameumaliza ukuwa nabaya Maskini, Msalimie Magufuli
Mungu amlaze mahala pema peponi
Mzee Ruhsa alipenda kuona watanzania wanamiliki mali zao wemyewe jamani aliruhusu hata tuvae nguo nzuri pumzika kwa amani
Haitwi Ali Asante,ANAITWA Ali Hassan,kama hamujui kiswahili tafuteni kazi za kupiga bodi,kuwa muandishi wa habari kwa Tanzania kiswahili fasaha ni muhimu na ni kioo cha jamii
Kwhyo unamzid
oya bas ana miaka 101
Jina langu emanueli masai katau tuna penda sana babu yetu mungu amulaze sehumu pasuri salimi ya magufuli na lowaza
poleni familia
Ina lillahi Wa Ina Ilayi Rajiuun
Hii history haipo sawa
Alisoma primary miaka mi3 tu?
Hakusoma sekondari
Makiwa Kwa family na wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania bara na visiwani Zanzibar
Duuuu Kaz ya Mungu Haina makosa tuna mwombea apumzike kwa aman😭😭😭😭
Poleni family ya babu yetu
Rip Ali Hassan Mwinyi, you will be missed
Shule ya msingi.... ✖️
Skuli ya msingi..... ✅
Bara tunatumia Neno shule .ko ni sawa tu
Tumieni hamjakatazwa
Ni kabila fani huyu?.
kiukwl mhexhmiw alfany mamb meng na ya kpendez katk nch ye2 enz ya utawal wke
Inalilah wainailah rajuun mzee wetu uende salm😢😢😢😢
Ikiyokua Tanganyika????????
Ss mtu anapo alipo zaliwa kwnn mnaenda kumzika asipo zaliwa i so sawa
Al asan mwinyi ndio nini??? Hebu punguza mbwembwe basi. Millard vitu kama hivi jaribu kusoma mwenyewe. Hawa vijana wanajaribu kukuiga wanaishia kuvurunda.
Kwaheri mzee ruksa ulitutoa kwenye kuvaa midabwada hadi kuvaa nguo za maana
Allah atamlipa analostahiki
😢😢😢
Innalillaih wainnaillaih rajiuun
Ni 1923 au 1925???😢😢😢
Barozi..... ✖️
Balozi..... ✅
Sawa Bakita
Ooh rip mzee we tu ruska
8/5/1925
Innalillah wainna Ilaihi rajiun
pumzika kwa Aman mzeewetu
Inalilah wainalilah rajuuni
kwaheri mwinyi
alitwala au kuongoza?
Dunia mapito, msanii fran aliimba
Kazaliwa tarehe 8 /5/1925 sio 1923
Upumzike kwa Aman.ni miak99
Na Hussein mwinyi ni baba ya rais wa Zanzibar???
Ni nani aliekwambia kisarawe ilikua ni Tanganyika?
Ilikuwa Zanzibar sio?
Ni muhimu kuisoma vizuri historia ya Tanzania kabla na baada ili tuweze kujua ukweli wa mambo tusikubali kulishwa matango pori.
Wabong bwan mnafanan na wa Kenya matamshi ya lugha ya kiswahili yanawasumbuw kwel😂
Amezaliwa tanganyika akaishi visiwan sasa huyu mnamzika huko bas kwao n hukuuu
Mmh
Umetutoka baba
🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉
🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙊🙊🙊🙊
Safari ya mkuranga
Ujaona wamesema anazikwa j.mosi na kusema atazikwa unguja.😢
Innallllah wainnali rajiun
Innalilaiwainahilai rajurn, mungu hakulaze mahala pema peponi, ndugu familia wazanzibari na Tanzania poleni sana kwa msiba huo.watching from mombasa- kenya.
Aamiin YAA ALLAH
Ameen
Allah ampe kauli thabiti