HISTORIA MWINYI, RAIS PEKEE ALIYETAWALA ZNZ NA JAMHURI YA MUUNGANO TZ, ALIPOZALIWA, MKE, WATOTO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 02. 2024

Komentáře • 107

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před 3 měsíci +7

    Poleni Sana nyote MWENYEZI MUNGU awape nguvu awapikanie awashindie awaweseshe vyema kwa kila Jambo katika Jina la YESU KRISTO ameeeen

  • @ANJELAMSANGI
    @ANJELAMSANGI Před 3 měsíci +7

    Mwenyezi Mungu ukupe kauli thabiti mzee wetu.Tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi.

  • @abdullahibaris7182
    @abdullahibaris7182 Před 3 měsíci +4

    Naomba ALLAH ampe family and friends na wanyeji subra INSHALLAH

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn Před 3 měsíci +8

    Inalilah wainailah rajuu
    Mzee ruhusa

  • @abassyakoub1464
    @abassyakoub1464 Před 3 měsíci +2

    Mungu akulipe kwa ulichokitanguliza Rais wetu. Umesifika kwa kuinua hali za wananchi wako wakati wa Uongozi wako ndani ya kipindi kifupi tu. Tunahitaji Rais kama wewe kuziinua hali za wananchi hivi sasa.Pumzika mzee wetu ❤❤❤💯

  • @jameskimbeo2328
    @jameskimbeo2328 Před 3 měsíci +5

    mungu amlaze mahari pema pepon. aminaa

  • @omaryomary4356
    @omaryomary4356 Před 3 měsíci +3

    Innalilah wainaillah rajioun ...dah mzee kafa na miaka 100,,Allah amhifadhi mzee wetu

  • @user-ed5zc4jm7g
    @user-ed5zc4jm7g Před 3 měsíci +7

    Mwenyezi mungu ampunguzie azabu yakabuli😢😢

  • @user-ks6wj1uf9k
    @user-ks6wj1uf9k Před 3 měsíci +7

    Allh amrehm

  • @mrefumedia8681
    @mrefumedia8681 Před 3 měsíci

    Poleni ndugu Wetu watanzania kwa kupoteza ayati rais wa hawamu ya bili pole kutoka🇰🇪

  • @andrewngarya6293
    @andrewngarya6293 Před 3 měsíci +7

    Pumzika kwa Amani 🕯️

  • @MateiPs-kr9tg
    @MateiPs-kr9tg Před 3 měsíci +5

    Mwenyezi mung amtangulie🙏🙏

  • @driss4957
    @driss4957 Před 3 měsíci +3

    Mzee Mwinyi alisoma wakati Watanzania wengi bado wapo maporini...

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Před 3 měsíci +2

    Innalilaiwainahilai rajurn, mungu hakulaze mahala pema peponi, ndugu familia wazanzibari na Tanzania poleni sana kwa msiba huo.watching from mombasa- kenya.

  • @livematchcentre21
    @livematchcentre21 Před 3 měsíci +5

    Ni 1925 sio 1923

  • @user-ot5oh3hm8v
    @user-ot5oh3hm8v Před 3 měsíci +1

    Innalliah wainaillah --- MUNGU awape Amani kwa familia na nchi ya Tanzania 🙏 pumusika amani rais mwinyi 🌱🇰🇪

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před 3 měsíci +7

    Innalillahi wainnalillah rajiun, Allah ampe kauli dhabit

  • @charlesmaige
    @charlesmaige Před 3 měsíci +4

    Apumzike kwa aman

  • @zubedaali4155
    @zubedaali4155 Před 3 měsíci

    Mungu akupe kauri sabiti Mzee mwinyi kapumuzike kwa hamani mwendo umeumaliza❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Amina

  • @user-cs6jr5fr8d
    @user-cs6jr5fr8d Před 3 měsíci +1

    Ali Asani Mwinyi..... ✖️
    Ali Hassan Mwinyi..... ✅

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před 3 měsíci +1

    Innalillah wainailah rajioun. Ila mtangazaji hakumtendea haki Hayati Mwinyi kwa kutolitaja suala la kujiuzuru kwake kwa makosa ya watu wengine. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Rais Ally Hassan Mwinyi mahali pema peponi.

  • @JaphethBabu
    @JaphethBabu Před 3 měsíci

    Tulikupenda lakini ❤mung kakupenda said.iragie inguluwock nairobii😮

  • @elijahalexze5
    @elijahalexze5 Před 3 měsíci +2

    Mwinyi ndiye rais aliyetawala Zanzibar baada ya jumbe,pia ni rais aliyejiepusha Na maswali ya kutaka kujua muundo WA Muungano wala maslahi ya Muungano Jambo ambalo lilimpendeza mzee Nyerere kisha kumwamishia bara.

  • @khamissaid5525
    @khamissaid5525 Před 3 měsíci +1

    Mungu akulaze mahali peponi

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Před 3 měsíci +1

    Mungu amlaze mahala pema peponi...mwendo ameumaliza...kipenzi cha wengi mzee Ruksa...nakumbuka kipindi cha utawala wake kila biashara ilikuwa inauzika...pesa ilikuwepo
    Yalikuwa maisha ya bata kinomaaa...lkn nakumbuka alisema azikiwe mkuranga...sijui hii imekaaje...

  • @user-cs6jr5fr8d
    @user-cs6jr5fr8d Před 3 měsíci +1

    Makadala.... ✖️
    Makadara.... ✅

  • @user-xs3qi1lj7t
    @user-xs3qi1lj7t Před 3 měsíci

    Allah amlaze mahala pema peponi

  • @abdullahibaris7182
    @abdullahibaris7182 Před 3 měsíci +1

    INNA NILLAH WA INA ILEYHI RAJAIOON

  • @abdullahjongo
    @abdullahjongo Před 3 měsíci +4

    SIO ALLY AASAN, NI ALLY HASSAN... Utangazaji gani huo?!

  • @Chakol682
    @Chakol682 Před 3 měsíci +2

    1923-2024
    Miaka 100 mungu wangu nenda kwa amani mzee wa ruksa umeona mengi mwamba

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před 3 měsíci +1

    Kaja kuchuma neema zanzibar baadae wanawabadilikia kwa kutawala.. Allah atamlipa analostahiki

  • @user-cs6jr5fr8d
    @user-cs6jr5fr8d Před 3 měsíci +1

    Luga..... ✖️
    Lugha.... ✅

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Před 3 měsíci +1

    Ali Hassan Mwinyi. Sio asani

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel Před 3 měsíci

      Na umwambie pia sio Hali Assan. Watu wa dar mna taabu ya matamshi

  • @mansaeductoin
    @mansaeductoin Před 3 měsíci +4

    Kwetu tunamwita Mzee wa ruksa

  • @jibrilshee9440
    @jibrilshee9440 Před 3 měsíci +2

    أنا لله وانا إليه

  • @user-xs3qi1lj7t
    @user-xs3qi1lj7t Před 3 měsíci

    Allah ampe kauli thabiti

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 Před 3 měsíci

    Mungu skuweke mahala pema pepuni

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 Před 3 měsíci +1

    Kumbe kazaliwa bara huyu 😢kumbe si mzanzibar

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 3 měsíci

      Hata Karume alizaliwa bara Zanzibar alihamia 😀

  • @infinixoman-nd7nh
    @infinixoman-nd7nh Před 3 měsíci

    Innalilah wainailaihy rajiuun

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Před 3 měsíci

    Innalilah wainaileh rajiun ALLAH ampe kauli dhabit

  • @user-je8hj2fv1q
    @user-je8hj2fv1q Před 3 měsíci +1

    Maskin Mwinyi wetu Mwendo ameumaliza ukuwa nabaya Maskini, Msalimie Magufuli

  • @prudenceleeheung4487
    @prudenceleeheung4487 Před 3 měsíci +3

    Mungu amlaze mahala pema peponi

  • @user-kv8sq6qz7g
    @user-kv8sq6qz7g Před 3 měsíci

    Mzee Ruhsa alipenda kuona watanzania wanamiliki mali zao wemyewe jamani aliruhusu hata tuvae nguo nzuri pumzika kwa amani

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 Před 3 měsíci +1

    Haitwi Ali Asante,ANAITWA Ali Hassan,kama hamujui kiswahili tafuteni kazi za kupiga bodi,kuwa muandishi wa habari kwa Tanzania kiswahili fasaha ni muhimu na ni kioo cha jamii

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 Před 3 měsíci

    oya bas ana miaka 101

  • @machanohaji9841
    @machanohaji9841 Před 3 měsíci

    Jina langu emanueli masai katau tuna penda sana babu yetu mungu amulaze sehumu pasuri salimi ya magufuli na lowaza

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 Před 3 měsíci

    poleni familia

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 3 měsíci

    Ina lillahi Wa Ina Ilayi Rajiuun

  • @user-wo7wg1ir3g
    @user-wo7wg1ir3g Před 3 měsíci +1

    Hii history haipo sawa
    Alisoma primary miaka mi3 tu?

  • @ashrafkhamis1051
    @ashrafkhamis1051 Před 3 měsíci

    Makiwa Kwa family na wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania bara na visiwani Zanzibar

  • @yusuphtima
    @yusuphtima Před 3 měsíci

    Duuuu Kaz ya Mungu Haina makosa tuna mwombea apumzike kwa aman😭😭😭😭

  • @machanohaji9841
    @machanohaji9841 Před 3 měsíci

    Poleni family ya babu yetu

  • @DaNiyaHodge
    @DaNiyaHodge Před 3 měsíci

    Rip Ali Hassan Mwinyi, you will be missed

  • @user-cs6jr5fr8d
    @user-cs6jr5fr8d Před 3 měsíci +2

    Shule ya msingi.... ✖️
    Skuli ya msingi..... ✅

  • @HadijaRajabu-pr9di
    @HadijaRajabu-pr9di Před 3 měsíci

    Ni kabila fani huyu?.

  • @user-qq5wr2yi2q
    @user-qq5wr2yi2q Před 3 měsíci +1

    kiukwl mhexhmiw alfany mamb meng na ya kpendez katk nch ye2 enz ya utawal wke

  • @user-zf8cf2yu7g
    @user-zf8cf2yu7g Před 3 měsíci

    Inalilah wainailah rajuun mzee wetu uende salm😢😢😢😢

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Před 3 měsíci

    Ikiyokua Tanganyika????????

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 3 měsíci

    Ss mtu anapo alipo zaliwa kwnn mnaenda kumzika asipo zaliwa i so sawa

  • @jrm9448
    @jrm9448 Před 3 měsíci +1

    Al asan mwinyi ndio nini??? Hebu punguza mbwembwe basi. Millard vitu kama hivi jaribu kusoma mwenyewe. Hawa vijana wanajaribu kukuiga wanaishia kuvurunda.

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před 3 měsíci

    Kwaheri mzee ruksa ulitutoa kwenye kuvaa midabwada hadi kuvaa nguo za maana

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před 3 měsíci

    Allah atamlipa analostahiki

  • @maryammwinyimkuu3008
    @maryammwinyimkuu3008 Před 3 měsíci

    😢😢😢

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 3 měsíci

    Innalillaih wainnaillaih rajiuun

  • @gloireupite6316
    @gloireupite6316 Před 3 měsíci

    Ni 1923 au 1925???😢😢😢

  • @user-cs6jr5fr8d
    @user-cs6jr5fr8d Před 3 měsíci +1

    Barozi..... ✖️
    Balozi..... ✅

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g Před 3 měsíci

    Ooh rip mzee we tu ruska

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 3 měsíci

    8/5/1925

  • @user-dg8gq2kn6g
    @user-dg8gq2kn6g Před 3 měsíci

    Innalillah wainna Ilaihi rajiun

  • @user-wj3tm3en5y
    @user-wj3tm3en5y Před 3 měsíci

    pumzika kwa Aman mzeewetu

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw Před 3 měsíci

    Inalilah wainalilah rajuuni

  • @musaabdullahi9059
    @musaabdullahi9059 Před 3 měsíci

    kwaheri mwinyi

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 Před 3 měsíci

    alitwala au kuongoza?

  • @user-ig3oz8kf7k
    @user-ig3oz8kf7k Před 3 měsíci

    Dunia mapito, msanii fran aliimba

  • @user-wo7wg1ir3g
    @user-wo7wg1ir3g Před 3 měsíci

    Kazaliwa tarehe 8 /5/1925 sio 1923

  • @neemamakala1345
    @neemamakala1345 Před 3 měsíci

    Upumzike kwa Aman.ni miak99

  • @mrefumedia8681
    @mrefumedia8681 Před 3 měsíci

    Na Hussein mwinyi ni baba ya rais wa Zanzibar???

  • @saidabdus9014
    @saidabdus9014 Před 3 měsíci +1

    Ni nani aliekwambia kisarawe ilikua ni Tanganyika?

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 3 měsíci

      Ilikuwa Zanzibar sio?

    • @saidabdus9014
      @saidabdus9014 Před 3 měsíci +1

      Ni muhimu kuisoma vizuri historia ya Tanzania kabla na baada ili tuweze kujua ukweli wa mambo tusikubali kulishwa matango pori.

  • @user-cs6jr5fr8d
    @user-cs6jr5fr8d Před 3 měsíci

    Wabong bwan mnafanan na wa Kenya matamshi ya lugha ya kiswahili yanawasumbuw kwel😂

  • @MARIAMDOE-gb2po
    @MARIAMDOE-gb2po Před 3 měsíci

    Amezaliwa tanganyika akaishi visiwan sasa huyu mnamzika huko bas kwao n hukuuu

  • @user-sl7tv1gg7m
    @user-sl7tv1gg7m Před 3 měsíci

    Mmh

  • @TaimurSematore
    @TaimurSematore Před 3 měsíci

    Umetutoka baba

  • @machanohaji9841
    @machanohaji9841 Před 3 měsíci

    🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉

  • @machanohaji9841
    @machanohaji9841 Před 3 měsíci

    🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙊🙊🙊🙊

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op Před 3 měsíci

    Safari ya mkuranga

    • @chariedecute8200
      @chariedecute8200 Před 3 měsíci +3

      Ujaona wamesema anazikwa j.mosi na kusema atazikwa unguja.😢

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k Před 3 měsíci +3

    Innallllah wainnali rajiun

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Před 3 měsíci +3

    Innalilaiwainahilai rajurn, mungu hakulaze mahala pema peponi, ndugu familia wazanzibari na Tanzania poleni sana kwa msiba huo.watching from mombasa- kenya.

  • @user-xs3qi1lj7t
    @user-xs3qi1lj7t Před 3 měsíci

    Allah ampe kauli thabiti