LEILA RASHID Ajitoa rasmi Jahazi. ''JAHAZI MODERN TAARAB yavunjwa''. KHADIJA Akimbilia Wakaliwao

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • ''KHADIJA YUSUPH Atibuana na Thabit Abdul Baada ya uongozi wa Jahazi kukataa kuendelea na shuguli za Muziki ndani ya JAHAZI MODERN TAARAB''
    WAKALIWAO nako huko hapatoshi!

Komentáře • 118

  • @h.andayi8907
    @h.andayi8907 Před 7 lety +11

    Khadijah.....pthooooooh!! Leila my fav

  • @ummimohammed1856
    @ummimohammed1856 Před 7 lety +2

    khadija unajua toba tannasuha Allah akujaalie uifanye ya ndani ya moyo na uso uache kuuchubua unatisha sana muogope Allah ww umepewa jina la mwanamke bora ktk dunia....

  • @alialbusaidi9130
    @alialbusaidi9130 Před 7 lety +18

    Na nyimbo ZA Mzee msizipige mnampatisha zambi Na nyinyi mtubie hiyo sio kazi kabisa haitowasaidia chochote kaburini

    • @kuluthumukitwana7966
      @kuluthumukitwana7966 Před 7 lety

      ali albusaidi wanajua nidhambi kabisa lakini hawajataka bado wanaona umri unaruhusu

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 6 lety +1

    In shaa Allah hata nyingi mtatubu mfuate Alhaji Mzee yusuf ln shaa Allah Aamini.Shukran Ng'ari Ng'ari upo sawa.

  • @sharomosses5516
    @sharomosses5516 Před 7 lety +5

    mtangazaji bi Sakina yumo nae mashsllah anayaweza nice job 😁😁

  • @mohamedsaidi9493
    @mohamedsaidi9493 Před 5 lety

    Mungu awajaalie na kufanikisha juhudi zenu. tunawapenda jamani. mashabiki tunawangojea kwa hamu saaana.

  • @johnbernad5363
    @johnbernad5363 Před 4 lety

    Kumbe mnalijuakabisa kama mnafanya zambi mnafanya ujeulitu okokeni mungu anawahitaji mumtumikie

  • @mamyyuummnaitakanitumiewat5364

    Mwenye kufanya madhambi huku anacheka ataingia motoni huku analia, ivi vitu tuangalie sana

  • @khalidvova6601
    @khalidvova6601 Před 7 lety +10

    mr seif anasema na yy yupo mbioni kumfata mzee yusuph eti mungu amsaidie" sasa mungu amsaidie nn??" bado yuko mzima ana afya njema alhamdulilah na anajitambua" tujifunze kuacha dhihaka kwa mungu " mfano wake ni km unamfanyia dhihaka Allah" km ibilisi amewapata nguvu ya kumtumikia utashindwa nn sasa kutubu kwa mola wako mwenye kumiliki uhai na pumzi zako..????

  • @marychacha825
    @marychacha825 Před 7 lety +2

    mmoja akitoka wakaliwao linakufa haya tuandalien lingine maana mwenzenu yuko njiani! litakalokuja naomba mliite halifi modern taarabu!

    • @fatmakombo247
      @fatmakombo247 Před 7 lety

      Mary Chacha hahaaa mary chacha unanifuraisha.

  • @hadijadamumbaya5423
    @hadijadamumbaya5423 Před 6 lety +1

    Mashallaha

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 Před 7 lety +5

    Angalia ahera sioo duniaa duniaa utaiyacha sw

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz9321 Před 6 lety +1

    nyiny mrudien allah achen tamaa za dunia

  • @perrychicken5876
    @perrychicken5876 Před 7 lety +12

    Ajabu wanaopiga music wote wa Tarab wote wa Islam

    • @aminatahwamummy539
      @aminatahwamummy539 Před 7 lety +1

      Perry Chicken mie hushangaa sana pia

    • @user-qe8jj2cl8q
      @user-qe8jj2cl8q Před 7 lety +5

      asili ya taarab ni pwani,ndo maana unaona unapigwa sana dar,bagamoyo,tanga,mombasa nk,na sehemu zote hizo asilimia kubwa ya wakazi na wazawa ni wa islam,ndo maana watoto wengi wa pwani wameangukia kwenye taarab japo ktk dini ni haram kbs muziki huo,ila ndo hivyo tena mitihani tu ya dunia,tuwaombee Mungu awajaalie njia ilonyooka

    • @hagighkf8604
      @hagighkf8604 Před 7 lety +2

      Perry Chicken kwasababu ni watu wa pwan hakuna mtu wa bala hata mmoja na taarabu toka enzi za kina bikidude bi shakira

    • @sofiyusufu7414
      @sofiyusufu7414 Před 7 lety

      ni waisilamu atari

    • @adamdudu4953
      @adamdudu4953 Před 7 lety +5

      Perry Chicken ni tabia zao sio uislam ndo uliowatuma

  • @wardalward3693
    @wardalward3693 Před 7 lety +1

    Mungu atawatiya imani piya inshaallah

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 Před 7 lety +4

    Hivii ww Hadija unawazaa nn usimfatee kakaako ukachana na dunia ivyoo ulivyo tuu piaa hujui kama kuna M/mungu daa

  • @mamujally3814
    @mamujally3814 Před 7 lety +2

    Tuzo mwenzangu

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 Před 7 lety +3

    khadija nyimbo alizokutungia kaka ako hutakiwi kuxiimba

  • @meyou-zz8mj
    @meyou-zz8mj Před 7 lety +2

    Eti nguli wa muziki wa taarab hahaha... ivi melody wapo

  • @gvextreme113
    @gvextreme113 Před 7 lety +1

    Wako wapi hawa waone vile wakachapa kazi tena vizuri uko Dar waache umbea kazi inaendelea .SAKINA uko nyuma ya Ujumbe kawaone.

  • @y6y6hg77
    @y6y6hg77 Před 7 lety +3

    Khadija wajina wangu ilo nido hatari

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před 7 lety +7

    Mashalah wamependeza ila kaka etu wa katika ti utazani ndio a naelekea pwani kuendesha hilo hahazi😂

  • @sarahmpalu795
    @sarahmpalu795 Před 7 lety +3

    hadija msameane muishi Kama mwanzo Wf yk kakukosea nn kisicho samehewa

  • @isaya43.12
    @isaya43.12 Před 7 lety +4

    kwani mume wa khadija yusuf nani?

  • @wardalward3693
    @wardalward3693 Před 7 lety +1

    Jamen tutubuni kwamngu LLAHU AKBAR

    • @zubeeihamisi8439
      @zubeeihamisi8439 Před 5 lety

      Hebu acheni kuimba nyie waja kwani agherasimbali

    • @zubeeihamisi8439
      @zubeeihamisi8439 Před 5 lety

      Wemtoto pori unajinala mtume muhamadi bado unaimba dooo salala wacha kwa ajili ya Allah kaka we kumbuka aghera

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 7 lety +1

    Inshaallah na nyinyi mtafuata nyayo za Mzee Yussuf.

    • @aishakenia6866
      @aishakenia6866 Před 6 lety

      Huyo kaka wa nguo nyeusi mbona kakaa Kama mchungaji

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +1

    Jaman nilidhani nitasikia mnaacha kumbe ""…""

  • @mariammohammedali552
    @mariammohammedali552 Před 7 lety +2

    Mmmh hii ni really

  • @murielleharushamagara6461

    Hii interview imenizaaj 2

  • @drwhite1102
    @drwhite1102 Před 7 lety +3

    Nimependa kilemba chako Bi Khadija, kweli Wakaliwao....

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 Před 6 lety +1

    Kumbe mnajua km mnapata dhambi

  • @abubakarimwasumilwe7293
    @abubakarimwasumilwe7293 Před 7 lety +2

    Enyi watu acheni Upuuzi. Rudini haraka kwa Allah. Tambueni Umauti upo nyuma unawavizia...

    • @mwanaidizenj359
      @mwanaidizenj359 Před 6 lety

      Inshaallah mungu atakujalieni imani na toba ya kweli

  • @salhamm742
    @salhamm742 Před 7 lety +3

    Napita tuu mee

  • @kamkamandallaz7793
    @kamkamandallaz7793 Před 6 lety

    Hakika maman mdogo

  • @khanzainab2415
    @khanzainab2415 Před 7 lety

    hapo sawa

    • @aishakenia6866
      @aishakenia6866 Před 6 lety

      Punguza carolite khadija utakuwa kipofu shauriako

    • @aishakenia6866
      @aishakenia6866 Před 6 lety

      Ovyoo matumbo peupe

    • @zahorrashid5459
      @zahorrashid5459 Před 6 lety

      khadija ww mchezee allah tu iposikuyako naww utajutia sn. siunarafiki bilisi ww mambo yafuska ndo unafatilia tulia.

  • @dharesfadhil2236
    @dharesfadhil2236 Před 7 lety +4

    kwanin na nyie msimfate Alhaj.ili dhambi zimuepuke?

  • @sudiali5019
    @sudiali5019 Před 4 lety

    Hiv hadij utaisha lini ugomvi wako Na laila

  • @kakasele1786
    @kakasele1786 Před 7 lety +1

    wanaume Kama madem

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před 7 lety +1

    Jamani musiite wakali wao iteni mashua au bot au faiba au ngarawa

  • @rahmayussuf5367
    @rahmayussuf5367 Před 7 lety +3

    Msimuite mfalmeeeee

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 Před 7 lety +1

    mmmmh huu mtumbwi 😤😤😤😤

  • @shaabanmusa5127
    @shaabanmusa5127 Před 7 lety +5

    Nawe umejipanga vp kutubu ama ndio utakufa nayooo? Didah badilika n kubali matokeo ya Dunia ni Mapito tu

    • @fareda1847
      @fareda1847 Před 7 lety +3

      Shaaban Musa nikwel bora ht wamfate tu Kk al haji

    • @shaabanmusa5127
      @shaabanmusa5127 Před 7 lety

      Huyu ajifanya kaibeba Dunia sn lakini likimfika ndio majuto lakini ndio ishatoka, Dunia hadaaaa

  • @amransalim1700
    @amransalim1700 Před 7 lety +2

    looh roho mbaya hiyo bi titi

  • @yakoubmzee1492
    @yakoubmzee1492 Před 7 lety

    Ovyo

  • @rizikiali8173
    @rizikiali8173 Před 5 lety

    UPOMBAVU

  • @elenissaa181
    @elenissaa181 Před 7 lety +1

    hameeda ww ujui pakunipata nitakuchapa👊

  • @aminatahwamummy539
    @aminatahwamummy539 Před 7 lety +2

    hii interview ni ya lini?coz jahazi lipo

    • @priscilarkahindi9126
      @priscilarkahindi9126 Před 7 lety

      Aminatah kweli may be yakitambo ile time ya mvurugano!juu saa hii wako jahazi imara tena juzi niliwaina wakihojiwa!hata Amigo ndo atavaa uhusika wa mzee ypYusufu aitwe mfalme! mpooo!

    • @halimamohamedy3571
      @halimamohamedy3571 Před 7 lety

      Priscilar Kahindi hi ya muda sana wapendwa

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 Před 7 lety

    hii Ngarawa😂😂😂😂😤

  • @kakasele1786
    @kakasele1786 Před 7 lety

    Kwer makeup haijawah kumuacha mtu salama maana hadja cyo kwa sura hyo