LEILA RASHID Ajitoa rasmi Jahazi. ''JAHAZI MODERN TAARAB yavunjwa''. KHADIJA Akimbilia Wakaliwao
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- ''KHADIJA YUSUPH Atibuana na Thabit Abdul Baada ya uongozi wa Jahazi kukataa kuendelea na shuguli za Muziki ndani ya JAHAZI MODERN TAARAB''
WAKALIWAO nako huko hapatoshi!
Khadijah.....pthooooooh!! Leila my fav
hamidah andayi dats ur opinion .legends deserves to b honoured.Khadijah kiboko
Kwako..bt si kwangu..tofauti
hamidah andayi Alaa....😃
Kumbe.....
Leila kufa kupona...
khadija unajua toba tannasuha Allah akujaalie uifanye ya ndani ya moyo na uso uache kuuchubua unatisha sana muogope Allah ww umepewa jina la mwanamke bora ktk dunia....
Na nyimbo ZA Mzee msizipige mnampatisha zambi Na nyinyi mtubie hiyo sio kazi kabisa haitowasaidia chochote kaburini
ali albusaidi wanajua nidhambi kabisa lakini hawajataka bado wanaona umri unaruhusu
In shaa Allah hata nyingi mtatubu mfuate Alhaji Mzee yusuf ln shaa Allah Aamini.Shukran Ng'ari Ng'ari upo sawa.
mtangazaji bi Sakina yumo nae mashsllah anayaweza nice job 😁😁
Mungu awajaalie na kufanikisha juhudi zenu. tunawapenda jamani. mashabiki tunawangojea kwa hamu saaana.
Kumbe mnalijuakabisa kama mnafanya zambi mnafanya ujeulitu okokeni mungu anawahitaji mumtumikie
Mwenye kufanya madhambi huku anacheka ataingia motoni huku analia, ivi vitu tuangalie sana
mr seif anasema na yy yupo mbioni kumfata mzee yusuph eti mungu amsaidie" sasa mungu amsaidie nn??" bado yuko mzima ana afya njema alhamdulilah na anajitambua" tujifunze kuacha dhihaka kwa mungu " mfano wake ni km unamfanyia dhihaka Allah" km ibilisi amewapata nguvu ya kumtumikia utashindwa nn sasa kutubu kwa mola wako mwenye kumiliki uhai na pumzi zako..????
mmoja akitoka wakaliwao linakufa haya tuandalien lingine maana mwenzenu yuko njiani! litakalokuja naomba mliite halifi modern taarabu!
Mary Chacha hahaaa mary chacha unanifuraisha.
Mashallaha
Angalia ahera sioo duniaa duniaa utaiyacha sw
nyiny mrudien allah achen tamaa za dunia
Ajabu wanaopiga music wote wa Tarab wote wa Islam
Perry Chicken mie hushangaa sana pia
asili ya taarab ni pwani,ndo maana unaona unapigwa sana dar,bagamoyo,tanga,mombasa nk,na sehemu zote hizo asilimia kubwa ya wakazi na wazawa ni wa islam,ndo maana watoto wengi wa pwani wameangukia kwenye taarab japo ktk dini ni haram kbs muziki huo,ila ndo hivyo tena mitihani tu ya dunia,tuwaombee Mungu awajaalie njia ilonyooka
Perry Chicken kwasababu ni watu wa pwan hakuna mtu wa bala hata mmoja na taarabu toka enzi za kina bikidude bi shakira
ni waisilamu atari
Perry Chicken ni tabia zao sio uislam ndo uliowatuma
Mungu atawatiya imani piya inshaallah
Warda Lward mo mo
Hivii ww Hadija unawazaa nn usimfatee kakaako ukachana na dunia ivyoo ulivyo tuu piaa hujui kama kuna M/mungu daa
Tuzo mwenzangu
khadija nyimbo alizokutungia kaka ako hutakiwi kuxiimba
Eti nguli wa muziki wa taarab hahaha... ivi melody wapo
Ismail Kalla
Wako wapi hawa waone vile wakachapa kazi tena vizuri uko Dar waache umbea kazi inaendelea .SAKINA uko nyuma ya Ujumbe kawaone.
Khadija wajina wangu ilo nido hatari
Y6 Y6hg Allah hakoselewi
Mashalah wamependeza ila kaka etu wa katika ti utazani ndio a naelekea pwani kuendesha hilo hahazi😂
tash ridha hahaaaahhhaa
😅😅😅
tash ridha hahaha
Kwa sasa hakuna jahazi wala boti tafrani
tash ridha Kazi kweri kweli
hadija msameane muishi Kama mwanzo Wf yk kakukosea nn kisicho samehewa
kwani mume wa khadija yusuf nani?
Jamen tutubuni kwamngu LLAHU AKBAR
Hebu acheni kuimba nyie waja kwani agherasimbali
Wemtoto pori unajinala mtume muhamadi bado unaimba dooo salala wacha kwa ajili ya Allah kaka we kumbuka aghera
Inshaallah na nyinyi mtafuata nyayo za Mzee Yussuf.
Huyo kaka wa nguo nyeusi mbona kakaa Kama mchungaji
Jaman nilidhani nitasikia mnaacha kumbe ""…""
Mmmh hii ni really
Hii interview imenizaaj 2
Nimependa kilemba chako Bi Khadija, kweli Wakaliwao....
ha ha ha ha ha
Dr White hahahahahahaha
Kilemba cha wakaliwao hichooo....
Bi Khadija mchokozi weweee.....
Dr White 😂😂😂😂😂😂😂
Dr White 😁😁
Kumbe mnajua km mnapata dhambi
Enyi watu acheni Upuuzi. Rudini haraka kwa Allah. Tambueni Umauti upo nyuma unawavizia...
Inshaallah mungu atakujalieni imani na toba ya kweli
Napita tuu mee
Hakika maman mdogo
hapo sawa
Punguza carolite khadija utakuwa kipofu shauriako
Ovyoo matumbo peupe
khadija ww mchezee allah tu iposikuyako naww utajutia sn. siunarafiki bilisi ww mambo yafuska ndo unafatilia tulia.
kwanin na nyie msimfate Alhaj.ili dhambi zimuepuke?
res Fadhil
jahaz mfamaji
Hiv hadij utaisha lini ugomvi wako Na laila
wanaume Kama madem
Jamani musiite wakali wao iteni mashua au bot au faiba au ngarawa
tash ridha hahahahah
tash ridha
tash ridha 66
Msimuite mfalmeeeee
mmmmh huu mtumbwi 😤😤😤😤
Nawe umejipanga vp kutubu ama ndio utakufa nayooo? Didah badilika n kubali matokeo ya Dunia ni Mapito tu
Shaaban Musa nikwel bora ht wamfate tu Kk al haji
Huyu ajifanya kaibeba Dunia sn lakini likimfika ndio majuto lakini ndio ishatoka, Dunia hadaaaa
looh roho mbaya hiyo bi titi
Amran Sali
B
Ovyo
UPOMBAVU
hameeda ww ujui pakunipata nitakuchapa👊
hii interview ni ya lini?coz jahazi lipo
Aminatah kweli may be yakitambo ile time ya mvurugano!juu saa hii wako jahazi imara tena juzi niliwaina wakihojiwa!hata Amigo ndo atavaa uhusika wa mzee ypYusufu aitwe mfalme! mpooo!
Priscilar Kahindi hi ya muda sana wapendwa
hii Ngarawa😂😂😂😂😤
Kwer makeup haijawah kumuacha mtu salama maana hadja cyo kwa sura hyo
Kaka Sele haahahahahaa
Kaka Sele hahaahaa hatari!