ANAPOISHI MWANAHAWA ALLY MUIMBAJI WA TAARAB/ SIIMBI KUJIFURAHISHA NATAFUTA TONGE/MAMA SAMIA NISAIDIE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Kwa wale wote ambao waliguswa na historia ya Msanii wa muziki wa taarab Bi Mwanahawa Ally Na wakaomba namba kwa ajili ya kumsaidia chochote namna hizi hapa na zote unaweza kumpata mwenyewe moja kwa moja ni Mwanahawa ALLY
    TIGO. 0652 409046
    JINA: MARIYAM NUHU
    ZANTEL: +255 777 866 494
    JINA: MWANAHAWA ALLY
    WATCH ZAMARADI TV 📺
    AZAM - 413
    Follow us on
    Instagram www.instagram....

Komentáře • 368

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Před 5 měsíci +23

    muhimu kwake hajapanga bora sitara maisha mazuri ya duniani hayana maana❤

  • @pachawadoto5911
    @pachawadoto5911 Před 4 měsíci +7

    Mlinikusudia nini enyi wenzangu mwenzenu kunihiliki,,kunitia ubayani si hulka yangu mjue sifedhekii!!!🎉🎉🎉🎉

  • @rajabkassim5978
    @rajabkassim5978 Před 4 měsíci +13

    Pongezi mama mimi naomba huyu mama tungemfanyia mchango ili tumnunulie vitu vya nyumba ili pia nae afrahie I hope Allah atatuwezesha in sha allah

  • @chakamusa8389
    @chakamusa8389 Před 2 měsíci +1

    mwanahawa ali hit songs: mwenye wivu ajinyonge, Kila mja na riziki yake, alokutwika, utajiju, wakerekao, viumbe wazito, nimetulia shwari wacha vimeo wachonge, last warning, etc

  • @LadyMzana
    @LadyMzana Před 5 měsíci +9

    Nyimbo zake nilizozipenda sana ni Viumbe wazito, Roho mbaya haijengi, Umasikini wangu, Rabby nilinde, Lakini nyie watu mnaoziweka CZcams nyimbo za huyu Bibi Mwanahawa Ally mumlipe ili aishi maisha mazuri kupitia kazi yake ya muziki wa Taarab aliyotumia sauti yake kuimba kwa miaka mingi, mkila hizo pesa mnakula jasho lake sio poa, Mungu atawapiga na kitu kizito nyie wote mnaokula pesa za huyu mama kupitia CZcams.

  • @PREZZO10
    @PREZZO10 Před 5 měsíci +120

    Umaskiii wanguu🎶 4:30 moja ya nyimbo yake kali Sanaa gonga like kama unaijuwaaa🎉

    • @tabumpate9722
      @tabumpate9722 Před 4 měsíci

      Viumbe wazito

    • @pachawadoto5911
      @pachawadoto5911 Před 4 měsíci

      Naamini sitadhalilika nikavua utu wangu...naamini,kupata nakukosa ni jaala yake mungu..

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w Před 5 měsíci +4

    Mbona wengi Mwayashangaa Maisha yake! Ndipo Mungu Alipo mkadiria Mbona Maish safi tu

  • @lovirinaa
    @lovirinaa Před 4 měsíci +3

    Mwanamke hulkha bonge la nyimbo🥰

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji Před 5 měsíci +11

    Kweli kuzaa si kupata kweli watoto hamuwezi kumlea bi mkubwa mpaka akaimbe wallah mtihani

  • @soamShs-cp4dl
    @soamShs-cp4dl Před 5 měsíci +29

    Mama ana sauti huyu mashallah nilitamani umwambie asome hata quran kidogo tuone pia anafiti vipi Allah amjaalie toba tena amzidishie uzima na afya ampe hatima nnjema yeye na sisi amin

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před 5 měsíci +13

    Umasikini wangu my favourite tune ....Wasanii wa kitambo wamedhulumika sana Wallah! ngoma si ziko CZcams lkn wengine ndio wanafaidika nazo

    • @lonnmutta2073
      @lonnmutta2073 Před 4 měsíci +2

      hapo ndipo pa balaa mwengine kufaidikia\

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Před 5 měsíci +35

    Jamani sio kwa ubaya ila watoto pia wangesaidia pia kuboresha maisha ya mama yao japo kidogo 😮❤

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před 5 měsíci +7

      Watt wote wanakula Kwa joshoo la mama yao ukipita hapo wamejazaaa tele wao na watt wao

    • @swaumuabdallah6886
      @swaumuabdallah6886 Před 5 měsíci +3

      Yani jmn mama anaumaarufu mkubwa sana ila maisha yake dar

    • @fatmasaid4114
      @fatmasaid4114 Před 5 měsíci +1

      Alhamdulillah. Allah alikupa afya na umri na muda wa kùtubia tena umshukuru Allah na atapokea tobacco zako na riski yako atakupa kwa uwezo wake

    • @user-oh9bh9ko8j
      @user-oh9bh9ko8j Před 5 měsíci

      ​@@rizikiabdalla2501 hao watoto wake hawafanyi kazi..? Wamekusanyana bdo walishwa na mama yao..?ulishe wstoto na wajukuu kwa umri huo..uzuni kwa kwel😢😢

    • @user-pw2sw1sk1b
      @user-pw2sw1sk1b Před 4 měsíci

      Nilijua mie tu nawaza watoto kwannn awamsaport

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en Před 5 měsíci +39

    Siamini ninachokiona kwa mama yetu kwa haya maisha yake siamini jaman na sauti yake nzuri masha allah haya mazingira sio ya kuishi yeye 😢

    • @swaumuabdallah6886
      @swaumuabdallah6886 Před 5 měsíci +4

      Yan mimi nahis pesa zak analisha familia huy mama😢

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 Před 5 měsíci

      Yeye karidhika labda

    • @RayChausa
      @RayChausa Před 5 měsíci

      Bhana weeee😢

    • @svt3
      @svt3 Před 5 měsíci

      ​@@happynesbaemuhappynes8813harizike na hafirahie kabisa sababu anasema bado anaimba kwenye ma sherehe sababu ya shida ila swali ni watoto wake 7 na wajuukuu ambao nao wamezaa kwa nini wasi mpe maisha wachange change wamununulie sofa nzuri ya kupumuzikia na kuboresha hiyo nyumba wanafanya nini wamuache tu hivyo

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 5 měsíci

      Wacha kukufuru kuna watu maisha Yao wanayo ishi utaliya wee. Choo hukitamani hawana maji wana taa. Utasema nini watu Kama hao.???

  • @user-rb5hs3lq6v
    @user-rb5hs3lq6v Před 5 měsíci +26

    Daah Watanzania wenzangu ebu tufanye mpango tumsaidie huyu mama angalau kidogo tu.Inaonesha watu waliokuwa wamemzunguka huyu mama sio watu wazuri,wametumia kipaji chake kujinufaisha matumbo yao tu daah,wao wenyewe wanaishi maisha mazuri mpaka leo,wamemuacha mama yetu kwenye mazingira ya kimaskini hivi daah.Kwa mchango wake katika jamii huyu mama hakustahili kuishi maisha haya daah! Kuna mkono wa mtu haiwezekani,wamemdhurumu sana huyu mama,na inaonesha ni mpole sana daah,Najisikia kulia mwenzenu dah😢😭

    • @fatmahamdoun74
      @fatmahamdoun74 Před 5 měsíci +3

      Si watu wazuri wamemtumilia sana kwenye kipaji

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 Před 5 měsíci +2

      Tena hawana haya..wamemtumia kujilimbikizia kupitia kipaji chake😢😢😢 nimehuzunika.

    • @Suda-dv7rz
      @Suda-dv7rz Před 5 měsíci

      Wanxiaxibar wabinafsi sana

    • @user-tt1nm9xs4n
      @user-tt1nm9xs4n Před 5 měsíci +1

      Msaidien mwislamu mwenzenu

    • @user-rb5hs3lq6v
      @user-rb5hs3lq6v Před 5 měsíci

      @@user-tt1nm9xs4n Usipende kuleta udini kwenye mambo ambayo hayahusiani.Vitu tulivyoletewa kutoka nchi za wenzetu visije kutugombanisha,tusibaguane.By the way mimi ni Mkristo(Roman catholic) wakristo tumesisitizwa upendo toka tupo wadogo.Tanzania bila udini inawezekana

  • @rayaabdul-gm3hc
    @rayaabdul-gm3hc Před 5 měsíci +20

    Daaa nampenda huyu bibi napenda nyimbo zake sana yani simu yangu zimejaa nyimbo zake tu mashallah❤❤❤❤❤

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 Před 5 měsíci

      Naomba number Yako ya whastap unitumie na mimi my😢

    • @rayaabdul-gm3hc
      @rayaabdul-gm3hc Před 5 měsíci

      @@saumbliz8983 ingia google danlod

    • @mubanassortz
      @mubanassortz Před 5 měsíci

      Yani Huyu MamaNa Wenzio wanadhulimika Sana maana Hawa ndio walitakiwa kupiga hela kupitia mitandao hizi basata sijui zinafanyaje kazi kama haki miliki za hawa watu hawapati kitu

  • @FarhatTashrif
    @FarhatTashrif Před 4 měsíci +2

    Maashaallah allah akujaaliye ustaghaafir tena maisha mazuri yapo peponi

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 5 měsíci +3

    Maisha mazuri tuu madam hamuombi mtu ana nyumba yake. Alhamdulilah inatosha. Afya nzuri. Nini tena unataka Duniani.

  • @Chemba67
    @Chemba67 Před 5 měsíci +12

    HONGERA SANA MTANGAZAJI KWA KUTULETEA LEGENDARY, UMEFANYA KAZI KUBWA NA YA MAANA SANA.

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 Před 4 měsíci +1

    Jamani Huyo mama domaisha anayo ishi Hayo anayimbo nzuri Ana bi Hawa mungu atakusimamia❤❤❤

  • @righitkileo
    @righitkileo Před 21 dnem

    Wallah kupita humu na koment zako za kusema eti alikuwa anatumikia dhambi si sahihi kabisa.kwani wewe unaekoment huna dhambi??? Haya ni maisha yake na kipaji chake toka.kwa.Munqu.Nakupenda saba bibi yanqu ,honqera sana, hapa duniani hakuna maisha.ya.kudumu❤❤❤❤

  • @Tweech
    @Tweech Před 5 měsíci +4

    Hongera sana sana. Mwanahawa kwa utulivu wako. Mola akujaliye piya akupe afiya na umri. Nimepokea kujuwa huko kwa uweso wake Mola. Ulikuwa marufu enzi zako lakini hatuja kusahau kabis.

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 5 měsíci +10

    ROHO MBAYA HAIJENGI,,,HIT SONG,,,BUMASKINI WANGU BILA KUISAHAU WEMA HAZINA,,,AF SAUTI YA MAMLAKA ❤

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před 5 měsíci +16

    Huyu mama ndio kanifanya niipende taarabu kutokana na saut yake nampenda sanaaaa anajua kuimbaa haswaa ana saut tamu hatariiiii❤❤

  • @MwanahamisSeifu
    @MwanahamisSeifu Před 5 měsíci +10

    Nimempenda bi mwanahawa kumbe mcheshi mashaallah kila anachoulizwa mwenyewe anafurahi sio kisirani ❤❤

  • @savannacollection5205
    @savannacollection5205 Před 5 měsíci +7

    Allah akupe shifa mama yetu sie tuko kenya ila asili ya babangu Unguja , shangazi yangu enzi za nadi ikhwan safa umeimba nae.

  • @user-bc3lh5ss6c
    @user-bc3lh5ss6c Před 4 měsíci +1

    Ukisoma sana una kua mkristo mama bwana 😂😂😂😂😂nimekuelewa 😂😂😂😂❤❤❤

  • @user-ft9xf3fe5v
    @user-ft9xf3fe5v Před 5 měsíci +5

    Duh yaani huyu bibi anaishi nyumba hii kweli kazi za dhambi hazina maana wallah ushachuma shambi za kutosha bibi sasa urudi kwa allah

    • @user-ov3dy4xu5v
      @user-ov3dy4xu5v Před 5 měsíci +5

      Usijaribu kuongea jambo kama hujui kitu Wala wewe huezi kumuhukumu mtu Dhabi Gani amechuma Allah ndio mwenye kumuhukumu mtu ....hakuna ajuae Leo au kesho

    • @user-ft9xf3fe5v
      @user-ft9xf3fe5v Před 5 měsíci +2

      Kwa iyo kukaa juu ya kiriri kichwa wazi na kuimba siyo dhambi kwa iyo aendelee tu wala Hakuna faida anayoipata yaani nyinyi watu wengine mupo kibilisi bilisi

    • @user-ft9xf3fe5v
      @user-ft9xf3fe5v Před 5 měsíci +1

      Tokea alipoanza kuimba mpka Leo kuna faida gni kaipata na age aliyonayo mpka sasa anaendelea jamani mnaijua lakini hukumu ya muimbaji bi mwanahawa nakuomba rudi kwa allah acha kuimba haraka sana

    • @DeBoy-oy2jg
      @DeBoy-oy2jg Před 4 měsíci

      Kitabu cha dini ya kiislamu kimekataza mziki ni haramu

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar4142 Před 5 měsíci +2

    Subhanallah yarabi kweli nimeamini binadamu tenda wema usisubiri shukurani wallah machozi yananitoka jinsi Bi.Mwanahawa Ali anavyo eleza zanzibar siamini kama kweli viongozi wanaweza kumtupa nguli wa misic

  • @user-pw2sw1sk1b
    @user-pw2sw1sk1b Před 4 měsíci +1

    Kwa kipaj chake huyu mama 😮😮😮akustahil maisha haya
    Ila.inshalalh msingi pumzi

  • @hawaramadhan7437
    @hawaramadhan7437 Před 5 měsíci +3

    Ma shaa Allah mama mwanahawa huku Kenya twapenda taarab yako hasa mie ule wimbo wako wa nimeukinai umasikini wangu ❤

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 Před 27 dny

    Nyimbo zake zilivuma sana miaka ya early 2000s Likoni Mombasa i miss my old neighborhood and childhood friends

  • @khatimabdallah8143
    @khatimabdallah8143 Před 5 měsíci +2

    miziki haina barka wala si njia ya khery nakusihi mrudie allaah mama weee

  • @Husnarajab-kz3ip
    @Husnarajab-kz3ip Před 4 měsíci +1

    Nikweli kabisa bibi yangu kikubwa unachako na si cha mtu Alhamdulillah❤❤❤

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 Před 5 měsíci +5

    Maskiin. Mungu atufunglie milango ya rizki za halal. Ameen

  • @jumachananja5988
    @jumachananja5988 Před 5 měsíci +1

    aaah kipidi hicho mawakara warikuwa wanawazurum sana mfano mzuri wakina tix moshi mmeona wenyewe siyo yakuambiwa

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Před 5 měsíci +12

    Zanzibar ukiwa msanii na ukifnya sanaa yko ndani ya Zanzibar utakufa maskin hakuna utakachojivunia juu ya sanaa yko zaid ya umaskini😢😢😢😢

    • @kherichapa7324
      @kherichapa7324 Před 5 měsíci

      Ndomaana..bi Khadija kopa alihama yupo zake Dar na maisha swafi

  • @HassanHassan-dw3mt
    @HassanHassan-dw3mt Před 5 měsíci +6

    Zamaradi TV jitahidini mfikishe salamu za Bi Mwanahawa kwa Mama Samia. Bi Mwana ana mengi sana ya kusema na Mama Samia lakini watangazaji wengi wanaenda kwake kupata maudhui tu kisha wanamuacha solemba.

  • @ZediAbdul
    @ZediAbdul Před 5 měsíci +2

    Watoto saba nao hawamwangalii mama yao.Mwanahawa Ally nakupenda

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Před 5 měsíci +6

    Wallah Bora kuimba kaswaida kulikoni Taarabu,sasa maisha mtihani sibora Mwanahawa jiunge na Mama Sururu kwenye kikund chao cha uislam kulikoni hivyo

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt Před 5 měsíci

      Mbona hamwambii nionyeshe chumbani kwako😢

    • @mussasaidhamad1891
      @mussasaidhamad1891 Před 5 měsíci

      Kuimba ni kuimba TU hakuna kasida Wala Nini zote ni nyimbo

    • @mussasaidhamad1891
      @mussasaidhamad1891 Před 5 měsíci +1

      Tena jitahidi mama wasikutumie tena maana hata Faida hakuna mpk Leo maisha yako SI ya kifahari kama waimbaji wengine

    • @mussasaidhamad1891
      @mussasaidhamad1891 Před 5 měsíci +1

      Ila Mimi nimegundua kwa ZANZIBAR hakuna fani yoyote inaweza kuwatoa watu kimaisha maana wazanzibari wengi ni wapenda Bure / free vyakuletewa vyakutunukiwa nk

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en Před 5 měsíci +6

    Nyimbo zake wanafaidika wengine huko CZcams kuliko yeye mwenyewe 😢life sio nzuri kwake

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek Před 5 měsíci +7

    Yaani kjn wng Saleh asante sana kwa mahojiano na Bi.Mwana,hakika nimejifunza kitu toka kwake,Allah amuafu kwa huruma zake,Aamin !

  • @adamsilumbe8356
    @adamsilumbe8356 Před 5 měsíci +46

    Sikutegemea kuona mama huyu akiishi maisha ya chini kiasi hiki,nyimbo zake xipo you tube nazinapigwa sana kwenye maharusi,kumbi za starehe nakadhalika.daah!!!nilikua najua maisha yake yatakua mazuri napia hata gari

  • @salmoomorefeelingproductio1744
    @salmoomorefeelingproductio1744 Před 5 měsíci +2

    Mungu awajaalie hatimae mama samia kampa 10M

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b Před 5 měsíci +22

    Wanaoziweka nyimbo za uyu mama yetu kipez na wanaozipandisha CZcams wamripe uyu mama na wamsaidye sasaiv anatakiwa hale penshen yake asimbe tena huku anaumwa jmn ao mameneja msiwanyonye wasani wasani wa bongo wanashain kwenye video lkn kwenye maisha ni duni aisee sio kabsaa hupendo hakuna

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Před 5 měsíci +2

    Me hasa naipenda ile Viumbe wazito. Pole kwa kudhulumiwa mama.

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 Před 5 měsíci +7

    ❤😊 leo nimefurah kumuona mama yetu nampenda jaman huyu bi mwana

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b Před 5 měsíci +6

    Yan bongo kaz kubwa mapato madogo wanyonyaji wanafaidka na kipaji za watu sio vzri jmn nirimiss uyu mama kitambo enzi izo nipo mdgo aisee maisha anayo ishi ayasitairi uyu sitaha mkubwa tZ

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km Před 5 měsíci +2

    jitoe kimasomaso napenda sana huyu mama alifaa kuwa malikia wa Taarab

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Před 5 měsíci +17

    Daah!! Inasikitisha ,nilijua ana maisha yake mazuri tu huyu mama

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt Před 5 měsíci +1

      Sasa ndo nini kuonyesha hayo machupa ya maji japo maisha yake duni

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 Před 5 měsíci +1

      Kwani mukumbuke hii dunia tu kwani maisha mazuri nini mm nanajuwa ukiwa na pumzi tu

    • @munamuna3921
      @munamuna3921 Před 5 měsíci

      Kabisa hata mm naamini hivyo,,,umri wenyewe ht umeenda

    • @KK-ygh
      @KK-ygh Před 5 měsíci +1

      Tuach fitina..anaishi vizuri.

  • @FloraNgoma
    @FloraNgoma Před 5 měsíci +3

    Nakupenda mama yangu, MWENYEZI MUNGU AKUPE RIZIKI YAKO YA KILA SIKU, NA KUKUPA NGUVU.

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 Před 5 měsíci +8

    Hiii vyumba wakati napitaa naendaa shule ilikuwa nzuri nilikuwa nikipita namuona mama akeee mungu amrehemu

    • @zulaykhajuma41
      @zulaykhajuma41 Před 5 měsíci +2

      Bi Maulidi "Amina ya rabii thuma Amina ya rabii "

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 5 měsíci +4

    Mashallah yaaan naipenda iyo nyimbo ya mwisho iyo rabi nilinde ❤ nimefurah sna kusikia interview yako❤

  • @hamisaabdalah6232
    @hamisaabdalah6232 Před 5 měsíci +11

    Bi mwanahawa nakupenda saaaaana maisha uliyonayo ni mazuri tu wengine hawana... Mungu akupe uhai

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 Před 5 měsíci +7

    Hawa wana familia ya huyu bibi,wasakwe wacharazwe bakora, inawezekanaje hata wasiwe wanachanga vijisenti bimkubwa wao apate mlo kamili kila siku, huu ni muda wake kupumzika lakini afanye mazoezi mepesi, pia wamnulie sofa moja awe ajipumzishe baada ya mlo,au bembea awe anapunga upepo huku anabembea na 🧃 taraaatibu, kwa umri wa bimkubwa 🏡 ikijengwa hao wanae watakuja kugombea bure waumizane, maana nimeona comment inayotaka ajengewe🏡 muhimu kwa sasa ni afya yake tu,awe anapata mlo kamili 💯🐄🐓🍉🍓🥭🍍🍌🥝🍈🍋🌶️🧅🥬🥒🫑🥑🥛🥜🌽🍠🥯🥚🥥🍇

  • @namangabruno-xh3kp
    @namangabruno-xh3kp Před 5 měsíci +5

    Bi Mwanahawa uko vizuri Mungu akulinde
    vipi kinyago cha mpapule ulimaanisha nini

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Před 5 měsíci +3

    Masha Allah mama nampenda na nyimbo yake ya tabanana hapa hapa na viumbe wa zito

  • @siryklyubov7989
    @siryklyubov7989 Před 5 měsíci +2

    bado sauti yake nzuri sana. kweli ana kipaji sana ingawa ni mtu mzima lakini sauti ni ile ile.

  • @OliverBayona
    @OliverBayona Před 4 měsíci +1

    Napenda wimbo wake wa kinyago cha mpapure.

  • @zainabsimbamtoro6790
    @zainabsimbamtoro6790 Před 5 měsíci +1

    Pole dadaangu mungu Aendelee kukulinda lNshallaah 🙏 🌹🌹🌹

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 Před 5 měsíci +4

    So sad she was such a great singer!! 💔

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 Před 5 měsíci +10

    Inasikitishaa sanaa nyimbo zake zimehits sanaa bali hali yake duni

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před 5 měsíci +3

    Moja ya mahojiano bora Kabisa. Nimeipenda na nimesononeka kwa Hali aliyo nayo Bi. Mwana

  • @MariamTao-l2c
    @MariamTao-l2c Před 27 dny

    Nskuoenda sana mwanahawa Ally

  • @MareeshMipasho
    @MareeshMipasho Před 5 měsíci +12

    Nilichopenda bi mwanahawa msafi sana

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 5 měsíci

    Asante kwa udadisi, habari na kwa kushea stori ya bi Mwanahawa. Tati letu sisi sote binaadamu ni ukosefu wa elimu ya biashara na fedha. Najua wapo watabisha ispokuwa mimi mwenyewe binafsi nimefunguka macho baada ya kuona watu kadhaa kwenye mitandao wakituhimiza kuwa na tabia ya kuweka hakiba. Kipato iwe kidogo au kikubwa ni muhimu kuweka kwa siku za mbele. Wakati bi Mwanahawa yuko na East African Melody kwa uhakika mbali ya kuwa ni muimbaji nyota mara zote, sio siri alikuwa ni mmoja wa watu walionufaika na malipo ya kazi yake = sanaa. Hongera sana lakini tujifunze kuweka hakiba. Usipojiandaa kushinda, jiandae kushindwa

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 5 měsíci +2

    dah mama samia ushasaidia wengi hebu msadie huyu mama akae amuombe mungu asubili kifo chake kwa utulivu

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 Před 5 měsíci +2

    Smz wanastahili kukujengea nyumba umewatumikia sana tokea enzi za nyimbo za maisha ya vijijini si wakukaa katika nyumba hiyo walitakiwa nyumba waivunje hiyo waijenge upya kiwanja hicho hicho

  • @rehemamahmud855
    @rehemamahmud855 Před 5 měsíci +3

    mumlipe huyu mama jamani mlioweka nyimbo zake youtube kabla sijjawareport

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 5 měsíci +10

    🥰Ana juwa snaa. Mama. Wema ni hazina. Naipenda sana ile nyimbo na ile roho mbay

  • @IslamPeto-fd6wr
    @IslamPeto-fd6wr Před 5 měsíci

    Saleh ufanye jitihada umkutanishe Bi mwanahwa na mama Samia ahadi iyoo,, tu nasubiri iyo interview ln Shaa llah

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 Před 5 měsíci +2

    ❤❤❤ nampenda huyu bimwana sauti yake nzuri🎉🎉🎉

  • @AminaMwanaid
    @AminaMwanaid Před 3 měsíci

    Nampenda sana huyu bibi kwa nyimbo zake tu ❤❤❤

  • @biwalindi
    @biwalindi Před 5 měsíci +12

    Si wangemtengenezea youtube channel yake angeimba hata hapo living room na viewers wengi anagepata asingekua na shida za kwenda mastejini na mahumivu.

  • @HamisiAbdallah-vu7fz
    @HamisiAbdallah-vu7fz Před 5 měsíci +1

    bi mwanahawa kuzaa si kupata nakuombea Kwa mungu akupe nafuu

  • @oliverwhite1676
    @oliverwhite1676 Před 5 měsíci

    ❤Ongera Sana mwandishi kuyajua baazi ya huyu mwanamziki mkongwe wa taarabu

  • @Annitahneez
    @Annitahneez Před 5 měsíci +4

    Zoa zoa mwanamke hulka umaskini wangu ❤❤

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b Před 5 měsíci +5

    Nampenda sana bbi uyu mwanahawa na nyimbo zake aisee

  • @FatmaSaid-j9o
    @FatmaSaid-j9o Před 5 měsíci +4

    Watoto wako wapi jamani am feeling so sorry for her but really really love her

    • @KK-ygh
      @KK-ygh Před 5 měsíci

      Anaishi vizuri tu... sioni ubaya na anakoishi.🎉

  • @fathiyaalrawahi6382
    @fathiyaalrawahi6382 Před 5 měsíci +1

    Mashaallah anazungumza vizuri

  • @salummaulid4860
    @salummaulid4860 Před 5 měsíci +1

    Tatizo haki za wasanii hazijazingatiwa na sheria zetu hazimlindi msanii.angalia naigeria, angalia marekani.wasanii wapo juu lakini Tanzania 😢😢😢

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Před 5 měsíci +11

    Mwanamke hulka naikumbuka sana bi mwana

    • @Lababyyy20
      @Lababyyy20 Před 5 měsíci

      Umenikumbusha mbali aiseee

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 Před 5 měsíci +2

    Muinuweni huyu Bibi kaimba njimbo nzuri mm nipalilieni chuki naipenda❤❤

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf Před 5 měsíci +5

    Maa shaa Allah 72yrs

  • @halima23862
    @halima23862 Před 5 měsíci +3

    Mungu atakusaidia inasikitisha sanaaaaa , inatia huruma

  • @HassaniMzee
    @HassaniMzee Před 5 měsíci +1

    Mwanahawa Mimi humuita dada napenda mno nyimbo zake

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Před 5 měsíci +12

    Jamani serikali muangalieni uyu bibi kaitangaza sana tanzania 🇹🇿

  • @SaumuSaidi-ys8ux
    @SaumuSaidi-ys8ux Před 4 měsíci

    Wasanii ma millionaire mmoja tu ajitolee amsaidie huyu mama kipenzi chetu kwa matumizi yake ya day to day na medical bills. Mimi nim Kenya amekuja sana kuimba na melody napenda sana " umaskini wangu". Mungu ampe mwenye imani amtulize amsaidie.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 5 měsíci +4

    Huyu mama walikuwa wanamtumia bure hakuna alichokuwa wanampa.Na ndio maana hata sehem anayoishi imechoka.

  • @user-rf4yq9yj7u
    @user-rf4yq9yj7u Před 5 měsíci +1

    Utaenda kumjibu nini allah bado unajisifu uliwatumikia sana tubu mama huenda mungu akakuruzuku pepo pasina ya wewe kutarajia

    • @AmayaSalum
      @AmayaSalum Před 4 dny

      Sawa malaika Gabriel mtoa hukumu

  • @user-hw1vd8qk1q
    @user-hw1vd8qk1q Před 5 měsíci

    Naipenda nyimbo ya naililia bahati masikini sikupewa lai ingelidhibiti nami nikajaaliwa.

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Před 5 měsíci +7

    Sio uyo tu wasanii wengi wa Taarabu Asilia halizao ni duniii

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 5 měsíci

      Kweli zamani ilikuwa hivyo. Watu wamekinai na maisha, basi wanataka furaha za moyo tuu.

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi Před 5 měsíci +2

    Etubia Bibi wewe jua linazama Tena hii hujakubali tu mhh

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před 5 měsíci +3

    Maisha ya wasanii wa nyumbani wengi hawaishi maisha wanayostahili inasikitisha

  • @user-bc3lh5ss6c
    @user-bc3lh5ss6c Před 4 měsíci

    Allah atakufanyia wepesi mummy insha'Allah

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 Před 5 měsíci +1

    Mao gezi mazuri mimi nampenda sana huyu bibi nimefarijika kumuona

  • @rehemamahmud855
    @rehemamahmud855 Před 5 měsíci +2

    wale wote walioweka nyimbo zake youtube please nimlipe kabla sijawareport

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 5 měsíci +3

    Naingia Sasahv kuskiliza nyimbo yake CZcams nikiikuta ovioas alipwi Naenda kumwambia mama samia awafungulie mashtaka hao mahaeamia wakaaziwzake

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 Před 5 měsíci +3

    Nakumbuka aliponea chupuchupu kweyenile ajaki iliyoua wasanii karibia wote Mungu ana siri na wewe

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před 5 měsíci +3

    Jamani huyu mama itakuwa wajanja ndio wanaofaidi kupitia mgongo wake.mbona ustar wake ni tofauti na reality life yake?

  • @user-oh9bh9ko8j
    @user-oh9bh9ko8j Před 5 měsíci

    Huu ni uzuni kwa kweli😢😢😢miaka yote ya mziki nyimbo zake mpka kesho zapepea ewani na maisha ni hya magumu kma yngu mmh...Tv niile ya kishoga yni ya zamaniii😢😢

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA Před 5 měsíci +1

      😂😂😂😂 tv ya chogo mamaa nikaona typying error tv ya kishoga

    • @user-oh9bh9ko8j
      @user-oh9bh9ko8j Před 5 měsíci

      @@sir_ENOCKMACHA 😄😄😄😄😄amna cha typing error...TV ya kishogoo