We mungu kupitia kisomo hiki naomba watoto wangu wapatwe kufunguliwa nyumba ndoa kazi ya me wangu na ofsi yangu ifunguliwe na malazi yote yaonndoke katika nyumba yangu amen
Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba uniepushie nuksi za kuto olewa na uniepushie zinaa unijaalie Barakah katika maisha yangu na furaha uniepushie udwahifu wa mwili wangu
Alhamdulillah baada ya kusikiliza hicho kisoma asubuhi. Nilikuwa naumwa masikio koo kama linakatwa na nyembe kifua yaani vurugu halikuwa lakawida nasema tena alhamdulillah naendelea vizuri na ninetuma kwa watu kadri allah alivyoniwezesha na wanashukuru.Yaa allah mhifadhi shehe wetu na shari za mashetwani wa kijini na kibinadam
Shekhe naomba unisaidie kwa visomo mana niko nje ya nchi niko saudia natoka kenya nimeskia mlipuko wa moto hapo mgongon ambapo uwa naskia uzito naamin hii dua na ln shaa Allah mungu amekubalia ubarikiwe shekhe othman popote ulipo
Shukran sana shekh nimefanya kama ulivo kuwa ukisema alhamdulillah nimejihisi ila ulipokuwa ukisoma nilijiwa na usingizi mzito sana nilijikaza tuu nikamilishe kisomo baada ya kumaluza kisomo kwenye miguu nasikia vichomi vinachomachoma Jazaakallahu elf kheir 🙌
Yaarabi kwa kisomo hiki naomba unitolee matatizo Mimi na kizazi changu yaliyo miilini mwetu na utukinge na hasad za binadamu wenye husda choyo vijicho tukinge na majini eee molla wangu
Mashaalah shehe,,,niliposikoliza dalili zilikuja kifua kuvimba,macho yakanitoka,mihemo,nikapoga ukelele mara l Kisha nikajikaza,nashukuru sana shekhe kwa darsa lako tunapata kufaidika baada yakujifunza meng ktk yotibe zako mbalmbl ,alah akujaalie mwisho mwema ktk Dunia hii
Shuqran Sana Allah akujaalie kher katika maisha yako na akujaalie Afya njema inshaallah dua imenisaidia na mpaka hapa mgongo mbavu zaniuma najickia pia mwili mwepesi Ila nataman kuongea nawe japo wasap kwasababu nipo Oman na vocha ya kupiga kawaida inakuwa nigarama nami garama hiyo cna kutokana na hali yangu Ila inshaallah Allah anisaidie kwa hili inshaallah Naitwa Faudhia hamidu
Akiamungu nilicho kiona reo kwenye hii dua mungu nfo anajuà nimejikuta nàjisaga sàga na kuria na kujipiga mahasili ya mtu alopàndsha shetani,, na alafu niko peke yangu na nimejisomea mwenyew na maji nimejitemea mwenyew shehee sina mtu
Ewe Mwenyezi Mungu, nakuomba Kwa unyenyekevu mkubwa mbele yako kupitia Dua hii au kisomo hiki naomba niondoshee majini wabaya wote kbsa hasa jini " MAHABA " ambalo limenisumbua Kwa muda mrefu sn sn na amenitesa sana, ridhiki zangu zote zifunguke na niweze kupata hitaji la Moyo wangu, amina
Alhamdulinllah alhamdulinllah namshukulu Sana Allah nimesikiliza kisomo hiki naamin kwa uwezo wa Allah nimepona maana nimeteseka ss ivi naona Kuna nguvu furan imerudi shukuran yaraabi and shukuran shehe wetu jazzakhanllah
Allah ni linde Mimi na watoto wangu na make wangu Kwa dua ino insha'Allah itowe uchawi na majini yote ya liyo nyumbani kwangu na uchawi insha'Allah ameni
Mungu akulinde na macho ya uhasidi shekhe wetu hakika nawaidhika kupitia wewe alhamdulillah.naomba InshaAllah hii mada ya باب في كراهة النعمة usitukoseshe
Ee yarabby kupitia dua hii nikafunguliwe afya ukanitimizie malengo yangu ya allah baba yetu mlezi mahali nilipo fungwa leo naamin kupitia kisomo hiki nimefunguka amiin ya rabby
Hii video siku zote nilikuwa naikwepa sitaki kuitizama,Leo nimepata ujasiri wa kuitizama SubhanahLLAH nimekohoa na kutapika pale aliposema usitapike Mimi nilianza kutapika, nashkuru sana Kwa dua hii nzito
Sheikh othman michael allah namuomba akupe umuli mulefu wenye afiya njema na akupe moyo wakuvumilia mambo ya dunia tiba yako imenisaidia sana kwa idhini ya allah na dalasa lako limeniogezea imani dawa unazo tengeneza dawa ya mafuta ile yakupaka nidawa tosha sitaki kusemangi allah ndomujuzi
Alhmdullih MashaAllah hii dunia ni kiboko ya yote wallah nilisikiliza saa 9 usiku nilivomaliza nikalala nikaanza kuota nakimbizwaa na kisuu n wanawake wawil moja mkubwaa mwingine mdogo huyo mdogo nilimpigaaa sana yule mkubwaa akaksirikaaa akaanza kunikimbiza yeye nilikimbia mwisho nikachokaa tukashikanaaa lkn hakuwa na nguvu tena ya kunipiga nikachukua ile kisu nikaondokanacho nikaamka nimetia udhu nimeswali alhmdullih
Mashaallah Jazakaallah kheir ln shaa Allah shekhe nasumbuka nikila naskia chakula chatembea hakiend nanjia iliyoyasawa had mgongon hapo mgongon pazito kama nimebeba kitu ln shaa Allah dua hii itaniponyesha Ameen yarab
Ya Rabby kupitia kisomo hiki naomba uniepushie mm na ndugu zangu na mwanangu na baba yangu na dadangu aliyekuwa na majini kwa majini ya Siri na dhahir nijaalie afya njema mm na mwanangu Ameen Ya Rabb Ameen 😢
Ewe mwenyezi mungu kupitia duwa hii nifunguliwe Kila kilicho fungwa katika mwili wangu nakama Kuna kibaya chochote katika mwili wangu basi kitoke kiludi kilipo toka uchawi uliopo katika mwili wangu utoke kwauwezo wako mungu wangu
Mungu akuweke ustadh maana nkmeteseka sana bila kupata tafifu yoyote ila kwako namini napona mausia no yangu yanavunjika bila sababu yyote mpka nimejikatia taamaa yamausiano kila nikipata mchumba sidumu nae sitachoka kufatilia vipindi vyko
Yarabi kupitia duwa hii iwe mwanzo na mwisho WA matatizo marazi yote mwanzo WA utosi adi unyayo amiiiiiin 🙏🙏
We mungu kupitia kisomo hiki naomba watoto wangu wapatwe kufunguliwa nyumba ndoa kazi ya me wangu na ofsi yangu ifunguliwe na malazi yote yaonndoke katika nyumba yangu amen
Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba uniepushie nuksi za kuto olewa na uniepushie zinaa unijaalie Barakah katika maisha yangu na furaha uniepushie udwahifu wa mwili wangu
Yah rabi nakuomba kwa dua hii nifungulie njia ya maisha yang mi na familia yang ameen
Masha Allah, Hongera sana Ustadh wetu umenitia utulivu ktk nafsii yangu kipitia usomaji wako wa Qur'an, Smart unaweza Jazakallahu kheri
Mashaallah baada ya kusikiliza kisomo hiki mwili wangu mwepesi sana mungu akusimamie wewe na familly yako
Mungu akujalie pepo ya firdausi kwasiku Ya leo nimeona majabu sn sikutegemea km nawez kutapika😭Ahmdulillah ya Allah🙏
Pia mimi nimetapika nakusikia kisunzi nini maana yake nijuze mwezako
Ya rabbi kupitia kisomo iki ya allah tujalie shifaa katika familia yetu aamin🙏🙏
MashaAllah shehe Hana hiyana baadhi ya masheh wanasoma nusunusu... Allah akujaalie umri mrefu...
Amin
Aamiin 🤲🤲🙏
Shekh wangu Allah akupe nuru dunia na akher nimefaidika sana na dua zako nimepona mkono ulio kuwa ukinisumbua kupitia dua zako Allah akuzidishie imani
@@nelsonboniphas4152 Ameen Allahuma Ameen
Namii yarbii nijaliye nipone mm nawananguu
mashallah mashaallah Shekh Othman Micha kisomokizito watu wengi timepona Masha Allah
Alhamdulillah baada ya kusikiliza hicho kisoma asubuhi. Nilikuwa naumwa masikio koo kama linakatwa na nyembe kifua yaani vurugu halikuwa lakawida nasema tena alhamdulillah naendelea vizuri na ninetuma kwa watu kadri allah alivyoniwezesha na wanashukuru.Yaa allah mhifadhi shehe wetu na shari za mashetwani wa kijini na kibinadam
Allah Akbar! ALLAH AKBAR . ALHAMDULILLAH ALLAH ATUPONYE KWA KISOMO HIKI
Mashaallah
Allah akuripe Kira kher
Hauna hiyana jaman nikirud tanzania lazma nikitafute angalau nikupe shukran zako
marhallah marhallah
Shekhe naomba unisaidie kwa visomo mana niko nje ya nchi niko saudia natoka kenya nimeskia mlipuko wa moto hapo mgongon ambapo uwa naskia uzito naamin hii dua na ln shaa Allah mungu amekubalia ubarikiwe shekhe othman popote ulipo
Mm pia niko saudia nasumbuliwa na mgongo na kifua ninaimani ikikisomo in shaaAllah nitaisi vzur
Shukran sana shekh nimefanya kama ulivo kuwa ukisema alhamdulillah nimejihisi ila ulipokuwa ukisoma nilijiwa na usingizi mzito sana nilijikaza tuu nikamilishe kisomo baada ya kumaluza kisomo kwenye miguu nasikia vichomi vinachomachoma
Jazaakallahu elf kheir 🙌
mashallah mashaallah
assalmaleyhi warahmatullahi
Yarabi kwa kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu. Na mwanangu inshallah 😭😭😭
Amiiin amiiin
Amiin
Yaarabi kwa kisomo hiki naomba unitolee matatizo Mimi na kizazi changu yaliyo miilini mwetu na utukinge na hasad za binadamu wenye husda choyo vijicho tukinge na majini eee molla wangu
Inshallah Amin
Chehe nataca cuonguela na simo tafadal
Mashaalah shehe,,,niliposikoliza dalili zilikuja kifua kuvimba,macho yakanitoka,mihemo,nikapoga ukelele mara l Kisha nikajikaza,nashukuru sana shekhe kwa darsa lako tunapata kufaidika baada yakujifunza meng ktk yotibe zako mbalmbl ,alah akujaalie mwisho mwema ktk Dunia hii
Yarrab kupita dua hii iwe mwanzo n mwisho wa maradhi,machawi yote katika mwili mwangu n iwe dawa n yasinirudie tena inshallah
Amin
Shuqran Sana Allah akujaalie kher katika maisha yako na akujaalie Afya njema inshaallah dua imenisaidia na mpaka hapa mgongo mbavu zaniuma najickia pia mwili mwepesi Ila nataman kuongea nawe japo wasap kwasababu nipo Oman na vocha ya kupiga kawaida inakuwa nigarama nami garama hiyo cna kutokana na hali yangu Ila inshaallah Allah anisaidie kwa hili inshaallah Naitwa Faudhia hamidu
Mashallah Ewe Mwenyezimungu naomba uniondolee matatizo yote kwenye mwili wangu kupitia kisomo Hilo na yapotee kabisa inshallah
Eee yalaab naomba kisomo hiki kiingie hadi ndan ya mishipa yangu ikatoe kila aina ya uchawi katika mwili wangu 😭😭🙏🙏
Amiin
Ya rabbi kupitia kisomo iki mungu nifungue kila changamoto niliokuwa nayo
Kuna baadhi ya mashekh wanfichaficha elmu lkn ww shekh mashallah watu wananufaika Mungu akujaliye mwisho mwema inshallh
Ameen yaraab alamiin.
Maa shaa Allah .
Ila yote ni kua yy pia sheik wake hakumfichia chochote ...yote Tisa Kumi...mafungamano yake na Allah hayana shaka ndio maana yake
Aaamin Thumma Aaamin
Mashaallah
Amin
Akiamungu nilicho kiona reo kwenye hii dua mungu nfo anajuà nimejikuta nàjisaga sàga na kuria na kujipiga mahasili ya mtu alopàndsha shetani,, na alafu niko peke yangu na nimejisomea mwenyew na maji nimejitemea mwenyew shehee sina mtu
Allah nifanyie wepesi kupitia dua hii nateseka mm
Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah .
mash allah shukran mungu akuingishe janatul firdows
Yarabi nakuomba kupitia duwa hii uniondoshee husda za watu na majini na unifunguwe kwa yote nilofungwa ameen
Maa shaa Allaah TabakaAllaah Shukraan jaziilah Sheikh wetu binafsi nimenufaika na hichi kisomo
Alhamdulillah
Amini nakuomba mwenye zimungu unija lie uniondole wale wabaya wote inshallah
Jaman nilikuwa naumwa na tumbo nimesikiliza hii dua tumbo limeacha haliniumi...Allah akujaalie kila lenye kher shekh
Ewe Mwenyezi Mungu, nakuomba Kwa unyenyekevu mkubwa mbele yako kupitia Dua hii au kisomo hiki naomba niondoshee majini wabaya wote kbsa hasa jini " MAHABA " ambalo limenisumbua Kwa muda mrefu sn sn na amenitesa sana, ridhiki zangu zote zifunguke na niweze kupata hitaji la Moyo wangu, amina
Mashall mashall jazaka yako iko kwa Allah shekhe wangu naimani huu ndio mwanzo wangu mwema
Allah naomba kisomo hiki kiwe chakuniondolea maradhi niliyo nayo kichwa Hadi mwili wangu ameen
Alhamdulinllah alhamdulinllah namshukulu Sana Allah nimesikiliza kisomo hiki naamin kwa uwezo wa Allah nimepona maana nimeteseka ss ivi naona Kuna nguvu furan imerudi shukuran yaraabi and shukuran shehe wetu jazzakhanllah
mashallah mashallah mungu akulinde kwa kila jambo lako sheķ Athuman
Mungu anijalie wepesi majini yatoke mwili
Mashaal Allah akulipe kila laheri APA duniyani n'a kesho ahera akuo gezeye elimu update kumi imilisha Uma
Mashaa allah mashaa allah hakika hiki kisomo kinanifaa mashaka hayaishi
assalamaleyhi warahmatullahi
Shukran jazakallahu kheir sheikh Allah akupe unayoyataka yenye kheri nawewe
Hatuna cha kukulipa Allah atakulipa
rabbi Alhamdulillah
Masha Allah, Alhamdulillah nashukuru kwa Allah na kisomo kizuri , insha Allah Allah akulinde sheikh wetu na kila shari wewe na familia yako.
Me
@@zaitunibakari6724 mashallah kisomo dawa
Cheikh mungu akup kher hap duniani n'a akhera tena akuepush n'a kila shar yeyote kwa watu wako .tena neno lamwisho lako iwe shahadatu inshaallah
Allah ni linde Mimi na watoto wangu na make wangu Kwa dua ino insha'Allah itowe uchawi na majini yote ya liyo nyumbani kwangu na uchawi insha'Allah ameni
Sheikh wangu mung akubariki inshaallah
Mashallah shukran Allah akulipe inshallah
JazzaqallAh bil khair Sheikh Othman.
Mungu akulinde na macho ya uhasidi shekhe wetu hakika nawaidhika kupitia wewe alhamdulillah.naomba InshaAllah hii mada ya باب في كراهة النعمة usitukoseshe
Nataka filashi ya duwa nitaipata wapi
Duwa nzuri sana allah akulipe kheri
Ewe mwenyezi Mungu kupitia somo hii niondole yote mabaya amboyo muovi ametuma kwa na wanganu! Niepushe na waouvu wote wa duniani Ameen!
Ee yarabby kupitia dua hii nikafunguliwe afya ukanitimizie malengo yangu ya allah baba yetu mlezi mahali nilipo fungwa leo naamin kupitia kisomo hiki nimefunguka amiin ya rabby
Yarab jalia kisomo hiki kiwe mwisho wa matatizo yangu Na family Inshallah amin
Allah akupe umri mrefu na wenye mafanikio hehe wetu inshallah
Hii video siku zote nilikuwa naikwepa sitaki kuitizama,Leo nimepata ujasiri wa kuitizama SubhanahLLAH nimekohoa na kutapika pale aliposema usitapike Mimi nilianza kutapika, nashkuru sana Kwa dua hii nzito
Inshallah kisomo iki kiwe ufunguo wangu na kuepukana namashetani mungu hakuzidishie Dua za heri
Jazzaka llahu khairan Yaa Sheikh
Shukran sana jazaka Allahu kheri
Nimeumwanaziwa namguu ghafla
شكرا يا شيخ جزاك الله خيرا
Allahuma Ameen jazzakhalahu kher mashaallah.
Ya rabby kupitia kisomo hichi iwe mwisho wa matatizo yangu na mtoto wangu inshallah
Yarabi mola wangu kijaalie kisoma iki iwetiba yamaradhi aya niliyonayo🤲
Allah azidi kukujalieni maisha marefu yenye kheri Inshaalah.
rabbi Alhamdulillahi
Kupitia kisomo hiki mwenyezi mungu nifungulie riziki zangu
Masha Allah tabarakaallah 😍
Masha-ALLAAH shukran jazla sheikh
Mashaallah shukran Allah akulipe insha Allah
Katika dua ili namuomba mungu ili jini mahaba litoke kwenye mwiri wangu in shallwa
Yah rabby kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu yote yanao usumbua mwili wangu eeh mungu nakuomba nijaalie mja wako
Yaarabi naomba kisomo hiki kikaingie ndani ya tumbo langu na moyo wangu kikatoe uchawi wote uliopo ktk mwili wangu inshaallah
Mashallah barakallah alhamdullahi jazakallah
Mashaa Allah Allah akulipe her nyingi kwakujitolea kwa ajil umma wake
Mmmmmm bismillah mashallaah yalonikuta siyakusema zaid ya Alhamdulillah 🤲
Sheikh othman michael allah namuomba akupe umuli mulefu wenye afiya njema na akupe moyo wakuvumilia mambo ya dunia tiba yako imenisaidia sana kwa idhini ya allah na dalasa lako limeniogezea imani dawa unazo tengeneza dawa ya mafuta ile yakupaka nidawa tosha sitaki kusemangi allah ndomujuzi
Walaykum salam Warahmatullh Wabarakatuh shukran sana sheikh
Shukran jazaka ALLAH khery Mola akulipe mema dunian na akhera na pepo ya fridous iwe makaazi yako
Amiin
Alhamdulilah mungu akuhifadhi shekh Athuman
Asalamu alaykum warahmatullah wabarakatu.. mashallah mashallah..shukran sana ..Allah akujalie kher na barka na akupe afya na Siha Amin Amin yaraby.
Yarrab naomba nisaidie niweze kupona matatizo yangu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼amiin🙏🏼 thumaa amiin
Alhmdullih MashaAllah hii dunia ni kiboko ya yote wallah nilisikiliza saa 9 usiku nilivomaliza nikalala nikaanza kuota nakimbizwaa na kisuu n wanawake wawil moja mkubwaa mwingine mdogo huyo mdogo nilimpigaaa sana yule mkubwaa akaksirikaaa akaanza kunikimbiza yeye nilikimbia mwisho nikachokaa tukashikanaaa lkn hakuwa na nguvu tena ya kunipiga nikachukua ile kisu nikaondokanacho nikaamka nimetia udhu nimeswali alhmdullih
Asalam aleikum
Qq.gk
Shukran sana Mungu akulipe kheri naakupe mwisho mwema
Ya Allah nakuomba kwa kisomo hiki unifungue vifungo vyote mm n familia yangu uniondoshee jini,mashetwan n kila ubaya kwa uwezo wako
N shukran sheh wetu Allâh akulipe Kila laher
Ya allah kupitia hii dua naomba kuondoka kwa kila matatizo yaliyopo mwilin mwangu
Mashaallah Jazakaallah kheir ln shaa Allah shekhe nasumbuka nikila naskia chakula chatembea hakiend nanjia iliyoyasawa had mgongon hapo mgongon pazito kama nimebeba kitu ln shaa Allah dua hii itaniponyesha Ameen yarab
Mashallaa.....
Masha Allah Sheikh great lecture BarakAllah feek
Masha allah
Shehe tunaomba namba ya cm
Sefu
Naogopa sana nkiskiliza kisomo hiki
Ya Rabby kupitia kisomo hiki naomba uniepushie mm na ndugu zangu na mwanangu na baba yangu na dadangu aliyekuwa na majini kwa majini ya Siri na dhahir nijaalie afya njema mm na mwanangu Ameen Ya Rabb Ameen 😢
Yarabb kwa kupitia kusoma hiki iwe ndio sababu ya mwisho wa maradhi yangu na mitihani yangu na wanangu biizinillah
Ewe mwenyezi mungu kupitia duwa hii nifunguliwe Kila kilicho fungwa katika mwili wangu nakama Kuna kibaya chochote katika mwili wangu basi kitoke kiludi kilipo toka uchawi uliopo katika mwili wangu utoke kwauwezo wako mungu wangu
Amin Allah afanye wepes
Masha Allah
Mashaallah Jazakarakher hufiiq 🤲
Mashaallah
wallah Allah atuondolee haya majini ktk mwili wangu
Allah atakojaalia men's in Shaa Allah
Shukran sana jazaka Allahu kheri
Amin inshallah Allah atatufanyiawepesi wote tunao muomba
Shukran jazeelan
Jazaaka lahu khaira sheikh
Mungu akuweke ustadh maana nkmeteseka sana bila kupata tafifu yoyote ila kwako namini napona mausia no yangu yanavunjika bila sababu yyote mpka nimejikatia taamaa yamausiano kila nikipata mchumba sidumu nae sitachoka kufatilia vipindi vyko
Pole Pamela uko wapi kwani?
Maashaallaah mungu akulinde nashali zote Ameen
Cheikh tuna kuombeya Allah akujaliye kila sha kher,na akukinge na kizazi chako sote na sisi Allah atupe shifah
Aamiin 🤲🙏
eee yarabil kwauwezo wako kupitia duwa hiii iwemwisho wamaradhi yanayo tukosesha amani kwenye maisha yetu nafamiria yangu yote kwaujumra lnshaallah
Amin
Alla atukubalie zetu ayafanye mepesi kila mazito kwa uwezo wake
مشا الله لي هذا موعذة المبرك يا شيخ العضم
1