KISOMO KIZITO CHA KUONDOSHA UCHAWI, MASHEITWANI, MAJINI WALIOSHINDIKANA MWILINI. SH. OTHMAN MICHAEL

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 08. 2020

Komentáře • 532

  • @AsiaNassoroMpili
    @AsiaNassoroMpili Před 9 měsíci +5

    Yarabi kupitia duwa hii iwe mwanzo na mwisho WA matatizo marazi yote mwanzo WA utosi adi unyayo amiiiiiin 🙏🙏

  • @azizamisembe-zy9bn
    @azizamisembe-zy9bn Před rokem +4

    We mungu kupitia kisomo hiki naomba watoto wangu wapatwe kufunguliwa nyumba ndoa kazi ya me wangu na ofsi yangu ifunguliwe na malazi yote yaonndoke katika nyumba yangu amen

  • @naimajuma3577
    @naimajuma3577 Před 4 měsíci +2

    Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba uniepushie nuksi za kuto olewa na uniepushie zinaa unijaalie Barakah katika maisha yangu na furaha uniepushie udwahifu wa mwili wangu

  • @user-tf5sh8wm7m
    @user-tf5sh8wm7m Před 10 měsíci +3

    Yah rabi nakuomba kwa dua hii nifungulie njia ya maisha yang mi na familia yang ameen

  • @jacobponga1540
    @jacobponga1540 Před 2 lety +6

    Masha Allah, Hongera sana Ustadh wetu umenitia utulivu ktk nafsii yangu kipitia usomaji wako wa Qur'an, Smart unaweza Jazakallahu kheri

  • @ashurafundi2873
    @ashurafundi2873 Před 2 lety +7

    Mashaallah baada ya kusikiliza kisomo hiki mwili wangu mwepesi sana mungu akusimamie wewe na familly yako

  • @user-hz6hm7vn3x
    @user-hz6hm7vn3x Před rokem +3

    Mungu akujalie pepo ya firdausi kwasiku Ya leo nimeona majabu sn sikutegemea km nawez kutapika😭Ahmdulillah ya Allah🙏

    • @ladyr.r9964
      @ladyr.r9964 Před 8 měsíci

      Pia mimi nimetapika nakusikia kisunzi nini maana yake nijuze mwezako

  • @user-xp9iu9hz1s
    @user-xp9iu9hz1s Před 5 měsíci +1

    Ya rabbi kupitia kisomo iki ya allah tujalie shifaa katika familia yetu aamin🙏🙏

  • @mename6020
    @mename6020 Před 3 lety +10

    MashaAllah shehe Hana hiyana baadhi ya masheh wanasoma nusunusu... Allah akujaalie umri mrefu...

  • @aliidrisahmad5797
    @aliidrisahmad5797 Před 3 lety +5

    mashallah mashaallah Shekh Othman Micha kisomokizito watu wengi timepona Masha Allah

  • @bazilassey1227
    @bazilassey1227 Před 4 lety +10

    Alhamdulillah baada ya kusikiliza hicho kisoma asubuhi. Nilikuwa naumwa masikio koo kama linakatwa na nyembe kifua yaani vurugu halikuwa lakawida nasema tena alhamdulillah naendelea vizuri na ninetuma kwa watu kadri allah alivyoniwezesha na wanashukuru.Yaa allah mhifadhi shehe wetu na shari za mashetwani wa kijini na kibinadam

  • @user-wo8go6wc3d
    @user-wo8go6wc3d Před 3 lety +4

    Hauna hiyana jaman nikirud tanzania lazma nikitafute angalau nikupe shukran zako

  • @fatemaale7066
    @fatemaale7066 Před 3 lety +2

    Shekhe naomba unisaidie kwa visomo mana niko nje ya nchi niko saudia natoka kenya nimeskia mlipuko wa moto hapo mgongon ambapo uwa naskia uzito naamin hii dua na ln shaa Allah mungu amekubalia ubarikiwe shekhe othman popote ulipo

    • @najmagoa4727
      @najmagoa4727 Před 3 lety +1

      Mm pia niko saudia nasumbuliwa na mgongo na kifua ninaimani ikikisomo in shaaAllah nitaisi vzur

  • @salmazaidalabrawi3723
    @salmazaidalabrawi3723 Před 3 lety +6

    Shukran sana shekh nimefanya kama ulivo kuwa ukisema alhamdulillah nimejihisi ila ulipokuwa ukisoma nilijiwa na usingizi mzito sana nilijikaza tuu nikamilishe kisomo baada ya kumaluza kisomo kwenye miguu nasikia vichomi vinachomachoma
    Jazaakallahu elf kheir 🙌

  • @mwanaidsaid7512
    @mwanaidsaid7512 Před 2 lety +37

    Yarabi kwa kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu. Na mwanangu inshallah 😭😭😭

    • @asiaiddi2539
      @asiaiddi2539 Před 2 lety +4

      Amiiin amiiin

    • @yusrajuma6714
      @yusrajuma6714 Před rokem +2

      Amiin

    • @ashatsheh6614
      @ashatsheh6614 Před rokem +2

      Yaarabi kwa kisomo hiki naomba unitolee matatizo Mimi na kizazi changu yaliyo miilini mwetu na utukinge na hasad za binadamu wenye husda choyo vijicho tukinge na majini eee molla wangu

    • @UmmuMaryam-ym1um
      @UmmuMaryam-ym1um Před rokem +2

      Inshallah Amin

    • @muanassarachide1842
      @muanassarachide1842 Před rokem +1

      Chehe nataca cuonguela na simo tafadal

  • @AshaAsha-ng1ug
    @AshaAsha-ng1ug Před 2 lety +1

    Mashaalah shehe,,,niliposikoliza dalili zilikuja kifua kuvimba,macho yakanitoka,mihemo,nikapoga ukelele mara l Kisha nikajikaza,nashukuru sana shekhe kwa darsa lako tunapata kufaidika baada yakujifunza meng ktk yotibe zako mbalmbl ,alah akujaalie mwisho mwema ktk Dunia hii

  • @user-zn4jj6lp6t
    @user-zn4jj6lp6t Před 6 měsíci +1

    Yarrab kupita dua hii iwe mwanzo n mwisho wa maradhi,machawi yote katika mwili mwangu n iwe dawa n yasinirudie tena inshallah

  • @NaimaKaka-yo4hb
    @NaimaKaka-yo4hb Před 4 měsíci +2

    Amin

  • @ghuuihgggu2968
    @ghuuihgggu2968 Před 3 lety +2

    Shuqran Sana Allah akujaalie kher katika maisha yako na akujaalie Afya njema inshaallah dua imenisaidia na mpaka hapa mgongo mbavu zaniuma najickia pia mwili mwepesi Ila nataman kuongea nawe japo wasap kwasababu nipo Oman na vocha ya kupiga kawaida inakuwa nigarama nami garama hiyo cna kutokana na hali yangu Ila inshaallah Allah anisaidie kwa hili inshaallah Naitwa Faudhia hamidu

  • @madunguonlinetv
    @madunguonlinetv Před 6 měsíci

    Mashallah Ewe Mwenyezimungu naomba uniondolee matatizo yote kwenye mwili wangu kupitia kisomo Hilo na yapotee kabisa inshallah

  • @jannemtani5305
    @jannemtani5305 Před rokem +1

    Eee yalaab naomba kisomo hiki kiingie hadi ndan ya mishipa yangu ikatoe kila aina ya uchawi katika mwili wangu 😭😭🙏🙏

  • @user-js4ye3sb3b
    @user-js4ye3sb3b Před 5 měsíci +1

    Ya rabbi kupitia kisomo iki mungu nifungue kila changamoto niliokuwa nayo

  • @omarsultan7195
    @omarsultan7195 Před 4 lety +10

    Kuna baadhi ya mashekh wanfichaficha elmu lkn ww shekh mashallah watu wananufaika Mungu akujaliye mwisho mwema inshallh

  • @user-jh5px2xl8u
    @user-jh5px2xl8u Před 2 měsíci +1

    Akiamungu nilicho kiona reo kwenye hii dua mungu nfo anajuà nimejikuta nàjisaga sàga na kuria na kujipiga mahasili ya mtu alopàndsha shetani,, na alafu niko peke yangu na nimejisomea mwenyew na maji nimejitemea mwenyew shehee sina mtu

  • @user-jo5rf4wp7g
    @user-jo5rf4wp7g Před 5 měsíci +1

    Allah nifanyie wepesi kupitia dua hii nateseka mm

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 Před 4 lety +6

    Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah .

  • @munaabdullahi6796
    @munaabdullahi6796 Před 3 lety +5

    mash allah shukran mungu akuingishe janatul firdows

  • @MwanjabuHassanHaji
    @MwanjabuHassanHaji Před měsícem

    Yarabi nakuomba kupitia duwa hii uniondoshee husda za watu na majini na unifunguwe kwa yote nilofungwa ameen

  • @swaumupaji3623
    @swaumupaji3623 Před 4 lety +3

    Maa shaa Allaah TabakaAllaah Shukraan jaziilah Sheikh wetu binafsi nimenufaika na hichi kisomo

  • @user-xg6tc6nx6e
    @user-xg6tc6nx6e Před 4 dny

    Amini nakuomba mwenye zimungu unija lie uniondole wale wabaya wote inshallah

  • @aishatarimo6780
    @aishatarimo6780 Před 3 lety +2

    Jaman nilikuwa naumwa na tumbo nimesikiliza hii dua tumbo limeacha haliniumi...Allah akujaalie kila lenye kher shekh

  • @bibitititv9333
    @bibitititv9333 Před 5 měsíci

    Ewe Mwenyezi Mungu, nakuomba Kwa unyenyekevu mkubwa mbele yako kupitia Dua hii au kisomo hiki naomba niondoshee majini wabaya wote kbsa hasa jini " MAHABA " ambalo limenisumbua Kwa muda mrefu sn sn na amenitesa sana, ridhiki zangu zote zifunguke na niweze kupata hitaji la Moyo wangu, amina

  • @mwanaidibushuti9929
    @mwanaidibushuti9929 Před 2 lety +1

    Mashall mashall jazaka yako iko kwa Allah shekhe wangu naimani huu ndio mwanzo wangu mwema

  • @user-zo9lb1id9v
    @user-zo9lb1id9v Před 3 měsíci

    Allah naomba kisomo hiki kiwe chakuniondolea maradhi niliyo nayo kichwa Hadi mwili wangu ameen

  • @sumayyahally3199
    @sumayyahally3199 Před 8 měsíci

    Alhamdulinllah alhamdulinllah namshukulu Sana Allah nimesikiliza kisomo hiki naamin kwa uwezo wa Allah nimepona maana nimeteseka ss ivi naona Kuna nguvu furan imerudi shukuran yaraabi and shukuran shehe wetu jazzakhanllah

  • @alishee6571
    @alishee6571 Před 2 lety +1

    mashallah mashallah mungu akulinde kwa kila jambo lako sheķ Athuman

  • @loozyshtarte5501
    @loozyshtarte5501 Před 18 dny

    Mungu anijalie wepesi majini yatoke mwili

  • @ashanibigira5898
    @ashanibigira5898 Před 2 lety

    Mashaal Allah akulipe kila laheri APA duniyani n'a kesho ahera akuo gezeye elimu update kumi imilisha Uma

  • @bazilassey1227
    @bazilassey1227 Před 4 lety +7

    Mashaa allah mashaa allah hakika hiki kisomo kinanifaa mashaka hayaishi

  • @nooor1120
    @nooor1120 Před 3 lety +6

    Shukran jazakallahu kheir sheikh Allah akupe unayoyataka yenye kheri nawewe
    Hatuna cha kukulipa Allah atakulipa

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 Před 4 lety +21

    Masha Allah, Alhamdulillah nashukuru kwa Allah na kisomo kizuri , insha Allah Allah akulinde sheikh wetu na kila shari wewe na familia yako.

    • @zaitunibakari6724
      @zaitunibakari6724 Před 3 lety

      Me

    • @rehemaswaleh147
      @rehemaswaleh147 Před 3 lety +1

      @@zaitunibakari6724 mashallah kisomo dawa

    • @shabanihakorinoti1920
      @shabanihakorinoti1920 Před rokem

      Cheikh mungu akup kher hap duniani n'a akhera tena akuepush n'a kila shar yeyote kwa watu wako .tena neno lamwisho lako iwe shahadatu inshaallah

  • @sinadeRobinso
    @sinadeRobinso Před 3 měsíci

    Allah ni linde Mimi na watoto wangu na make wangu Kwa dua ino insha'Allah itowe uchawi na majini yote ya liyo nyumbani kwangu na uchawi insha'Allah ameni

  • @UstadOmar-rl3ze
    @UstadOmar-rl3ze Před rokem +1

    Sheikh wangu mung akubariki inshaallah

  • @zafafuswalehe2974
    @zafafuswalehe2974 Před 3 lety +2

    Mashallah shukran Allah akulipe inshallah

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 Před 3 lety +3

    JazzaqallAh bil khair Sheikh Othman.

  • @ummilkheirmohammed
    @ummilkheirmohammed Před 4 lety +4

    Mungu akulinde na macho ya uhasidi shekhe wetu hakika nawaidhika kupitia wewe alhamdulillah.naomba InshaAllah hii mada ya باب في كراهة النعمة usitukoseshe

  • @patriciarudolph9089
    @patriciarudolph9089 Před 10 měsíci

    Ewe mwenyezi Mungu kupitia somo hii niondole yote mabaya amboyo muovi ametuma kwa na wanganu! Niepushe na waouvu wote wa duniani Ameen!

  • @nooornoor120
    @nooornoor120 Před 4 měsíci

    Ee yarabby kupitia dua hii nikafunguliwe afya ukanitimizie malengo yangu ya allah baba yetu mlezi mahali nilipo fungwa leo naamin kupitia kisomo hiki nimefunguka amiin ya rabby

  • @user-cw5sk7wd6g
    @user-cw5sk7wd6g Před měsícem

    Yarab jalia kisomo hiki kiwe mwisho wa matatizo yangu Na family Inshallah amin

  • @OmAn-cz8kt
    @OmAn-cz8kt Před měsícem

    Allah akupe umri mrefu na wenye mafanikio hehe wetu inshallah

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 Před 2 lety +4

    Hii video siku zote nilikuwa naikwepa sitaki kuitizama,Leo nimepata ujasiri wa kuitizama SubhanahLLAH nimekohoa na kutapika pale aliposema usitapike Mimi nilianza kutapika, nashkuru sana Kwa dua hii nzito

  • @fauziamteti7389
    @fauziamteti7389 Před 2 lety

    Inshallah kisomo iki kiwe ufunguo wangu na kuepukana namashetani mungu hakuzidishie Dua za heri

  • @bakariwere300
    @bakariwere300 Před 2 lety +1

    Jazzaka llahu khairan Yaa Sheikh

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před rokem

    Shukran sana jazaka Allahu kheri
    Nimeumwanaziwa namguu ghafla

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 Před 2 lety +1

    شكرا يا شيخ جزاك الله خيرا

  • @maisaalawy4512
    @maisaalawy4512 Před 3 lety +1

    Allahuma Ameen jazzakhalahu kher mashaallah.

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k Před 5 měsíci

    Ya rabby kupitia kisomo hichi iwe mwisho wa matatizo yangu na mtoto wangu inshallah

  • @user-ne9uw9pp7i
    @user-ne9uw9pp7i Před 5 měsíci

    Yarabi mola wangu kijaalie kisoma iki iwetiba yamaradhi aya niliyonayo🤲

  • @khadijamanjenje5065
    @khadijamanjenje5065 Před 3 lety +6

    Allah azidi kukujalieni maisha marefu yenye kheri Inshaalah.

  • @user-si5pw9fe4h
    @user-si5pw9fe4h Před měsícem

    Kupitia kisomo hiki mwenyezi mungu nifungulie riziki zangu

  • @aishaburundi7058
    @aishaburundi7058 Před 3 lety +3

    Masha Allah tabarakaallah 😍

  • @yusufseifu4967
    @yusufseifu4967 Před 2 lety

    Masha-ALLAAH shukran jazla sheikh

  • @HaroubSaid-sf3qw
    @HaroubSaid-sf3qw Před 2 měsíci

    Mashaallah shukran Allah akulipe insha Allah

  • @user-js4ye3sb3b
    @user-js4ye3sb3b Před 5 měsíci

    Katika dua ili namuomba mungu ili jini mahaba litoke kwenye mwiri wangu in shallwa

  • @ZuuhRaniya
    @ZuuhRaniya Před 6 měsíci

    Yah rabby kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu yote yanao usumbua mwili wangu eeh mungu nakuomba nijaalie mja wako

  • @hassanishekidele6725
    @hassanishekidele6725 Před rokem

    Yaarabi naomba kisomo hiki kikaingie ndani ya tumbo langu na moyo wangu kikatoe uchawi wote uliopo ktk mwili wangu inshaallah

  • @alimdahouma6226
    @alimdahouma6226 Před 2 lety +1

    Mashallah barakallah alhamdullahi jazakallah

  • @fadhilaswaleh2363
    @fadhilaswaleh2363 Před 3 lety +3

    Mashaa Allah Allah akulipe her nyingi kwakujitolea kwa ajil umma wake

  • @fatmahabbas7152
    @fatmahabbas7152 Před 2 lety

    Mmmmmm bismillah mashallaah yalonikuta siyakusema zaid ya Alhamdulillah 🤲

  • @user-gy9cf2le8t
    @user-gy9cf2le8t Před 10 měsíci

    Sheikh othman michael allah namuomba akupe umuli mulefu wenye afiya njema na akupe moyo wakuvumilia mambo ya dunia tiba yako imenisaidia sana kwa idhini ya allah na dalasa lako limeniogezea imani dawa unazo tengeneza dawa ya mafuta ile yakupaka nidawa tosha sitaki kusemangi allah ndomujuzi

  • @ashura.burundixhxhx70
    @ashura.burundixhxhx70 Před 3 lety

    Walaykum salam Warahmatullh Wabarakatuh shukran sana sheikh

  • @amenaallahawazidishieumrin6235

    Shukran jazaka ALLAH khery Mola akulipe mema dunian na akhera na pepo ya fridous iwe makaazi yako

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 Před 2 lety +1

    Alhamdulilah mungu akuhifadhi shekh Athuman

  • @azizasalum2408
    @azizasalum2408 Před 2 lety

    Asalamu alaykum warahmatullah wabarakatu.. mashallah mashallah..shukran sana ..Allah akujalie kher na barka na akupe afya na Siha Amin Amin yaraby.

  • @user-ug6cj3zq7r
    @user-ug6cj3zq7r Před 9 měsíci

    Yarrab naomba nisaidie niweze kupona matatizo yangu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼amiin🙏🏼 thumaa amiin

  • @laylahasshim827
    @laylahasshim827 Před 3 lety +3

    Alhmdullih MashaAllah hii dunia ni kiboko ya yote wallah nilisikiliza saa 9 usiku nilivomaliza nikalala nikaanza kuota nakimbizwaa na kisuu n wanawake wawil moja mkubwaa mwingine mdogo huyo mdogo nilimpigaaa sana yule mkubwaa akaksirikaaa akaanza kunikimbiza yeye nilikimbia mwisho nikachokaa tukashikanaaa lkn hakuwa na nguvu tena ya kunipiga nikachukua ile kisu nikaondokanacho nikaamka nimetia udhu nimeswali alhmdullih

  • @user-bi2xp7wf1h
    @user-bi2xp7wf1h Před 11 měsíci

    Ya Allah nakuomba kwa kisomo hiki unifungue vifungo vyote mm n familia yangu uniondoshee jini,mashetwan n kila ubaya kwa uwezo wako

  • @mariamselemani1366
    @mariamselemani1366 Před 11 měsíci

    N shukran sheh wetu Allâh akulipe Kila laher

  • @Hajra-ty5io
    @Hajra-ty5io Před 3 měsíci

    Ya allah kupitia hii dua naomba kuondoka kwa kila matatizo yaliyopo mwilin mwangu

  • @fatemaale7066
    @fatemaale7066 Před 3 lety

    Mashaallah Jazakaallah kheir ln shaa Allah shekhe nasumbuka nikila naskia chakula chatembea hakiend nanjia iliyoyasawa had mgongon hapo mgongon pazito kama nimebeba kitu ln shaa Allah dua hii itaniponyesha Ameen yarab

  • @user-du2jy2ff4p
    @user-du2jy2ff4p Před 4 měsíci

    Mashallaa.....

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Před 4 lety +8

    Masha Allah Sheikh great lecture BarakAllah feek

  • @KOKILABORI
    @KOKILABORI Před 7 dny

    Naogopa sana nkiskiliza kisomo hiki

  • @naimajuma3577
    @naimajuma3577 Před 4 měsíci

    Ya Rabby kupitia kisomo hiki naomba uniepushie mm na ndugu zangu na mwanangu na baba yangu na dadangu aliyekuwa na majini kwa majini ya Siri na dhahir nijaalie afya njema mm na mwanangu Ameen Ya Rabb Ameen 😢

  • @rahmaAbdallah-nw2vt
    @rahmaAbdallah-nw2vt Před měsícem

    Yarabb kwa kupitia kusoma hiki iwe ndio sababu ya mwisho wa maradhi yangu na mitihani yangu na wanangu biizinillah

  • @ZuuhRaniya
    @ZuuhRaniya Před 6 měsíci

    Ewe mwenyezi mungu kupitia duwa hii nifunguliwe Kila kilicho fungwa katika mwili wangu nakama Kuna kibaya chochote katika mwili wangu basi kitoke kiludi kilipo toka uchawi uliopo katika mwili wangu utoke kwauwezo wako mungu wangu

    • @SaidFupi
      @SaidFupi Před měsícem

      Amin Allah afanye wepes

  • @zolfanaser8116
    @zolfanaser8116 Před 3 lety +2

    Masha Allah

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 Před 3 lety +3

    Mashaallah Jazakarakher hufiiq 🤲

  • @user-ij9yi7bm8m
    @user-ij9yi7bm8m Před 9 měsíci

    wallah Allah atuondolee haya majini ktk mwili wangu

  • @mohamedathman2619
    @mohamedathman2619 Před 3 lety +1

    Allah atakojaalia men's in Shaa Allah

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před rokem

    Shukran sana jazaka Allahu kheri

  • @ZuuhRaniya
    @ZuuhRaniya Před 6 měsíci

    Amin inshallah Allah atatufanyiawepesi wote tunao muomba

  • @saumuomazy7673
    @saumuomazy7673 Před 3 lety

    Shukran jazeelan

  • @yusufseifu4967
    @yusufseifu4967 Před 2 lety

    Jazaaka lahu khaira sheikh

  • @pamelamick5709
    @pamelamick5709 Před 3 lety +1

    Mungu akuweke ustadh maana nkmeteseka sana bila kupata tafifu yoyote ila kwako namini napona mausia no yangu yanavunjika bila sababu yyote mpka nimejikatia taamaa yamausiano kila nikipata mchumba sidumu nae sitachoka kufatilia vipindi vyko

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 Před 3 lety +1

    Maashaallaah mungu akulinde nashali zote Ameen

  • @habibadiombera7505
    @habibadiombera7505 Před 3 lety

    Cheikh tuna kuombeya Allah akujaliye kila sha kher,na akukinge na kizazi chako sote na sisi Allah atupe shifah

  • @nadhifaernest-jv8xy
    @nadhifaernest-jv8xy Před 5 měsíci

    eee yarabil kwauwezo wako kupitia duwa hiii iwemwisho wamaradhi yanayo tukosesha amani kwenye maisha yetu nafamiria yangu yote kwaujumra lnshaallah

  • @moonathansania6143
    @moonathansania6143 Před 3 lety +1

    Alla atukubalie zetu ayafanye mepesi kila mazito kwa uwezo wake

  • @jamalhalake2548
    @jamalhalake2548 Před 4 lety +5

    مشا الله لي هذا موعذة المبرك يا شيخ العضم