Toka DRCongo. Hongera sana JPM. JPM si Raisi wa TZ pekeyake ila ni Raisi wa waAfrika, sababu ametuheshimisha wa Afrika kwa matendo yake ya maendeleo. Na Majeshi haya yanapendeza mno. Ila musi sahau DRCongo kwa maombi; tunahitaji nchi yetu iongoke ki maendeleo kama TZ. Hongereni tena. Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Congo pia.
Sisi kama waafrica tunaumia sana kuona ndugu zetu Wacongo wanapata matatizo kila mda Dunia ina mali na Mali zao wanakula kwa usalama na ujenzi wa nchi yao lakin Mali ya Congo inaliwa kwa dhuruma huku wakiimwaga dam ya Wacongo zipo nchi zinaishi maisha mazuri kutokana na Mali ya Congo lakin Wacongo wenye nchi yao kwao ni kimbia kimbia tunawaombea iko siku mungu atajibu maombi yetu
Ak47 wanafanya nayo nini in the first place . even in military parades they should be having G3 and above , not that nonsense they are carrying . the president might be in danger any time and terrorists always use powerful , high performance machine guns , not AK 47
@@natureworld295 mzee baba hilo ni onesho tu, hata kama wangekua wameshikilia pistol ni kwaajili ya maonesho tu. Alafu jeshi la Tz sio la kujitangaza kiivo kama unavofikiri ndgu yangu. Izo G3 zipo za kutosha humo ndani incase kikinuka sio mpk wakuoneshe wakizishikilia ndo ujue kama wanazo au wanazitumiaga. Jkt izo G3 tumezishika na kuzipigia range kama toy mzee usifikiri hatuzijui au hatuna tukikufungulia armour utalia. Bora ukae kimya uishie kuwa mtazamaji tu...
From 254 love Tanzania
Thanks u are welcome sisi soye ni wamoja
Twakupenda pia Mage
Majeshi yetu yako imara sana na jivunia majeshi yetu MUNGU ibariki Tanzania na bara lote la Africa
Toka DRCongo. Hongera sana JPM. JPM si Raisi wa TZ pekeyake ila ni Raisi wa waAfrika, sababu ametuheshimisha wa Afrika kwa matendo yake ya maendeleo. Na Majeshi haya yanapendeza mno. Ila musi sahau DRCongo kwa maombi; tunahitaji nchi yetu iongoke ki maendeleo kama TZ. Hongereni tena. Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Congo pia.
Aksante sana ndg yetu wakongo tunawapenda sana MUNGU ataskia maombi yenu
Mungu ni mwema atatenda kwa ajili ya Congo
shukrani sana tuna wakaribisha maana wote ni wa africa ni wandugu
Sisi kama waafrica tunaumia sana kuona ndugu zetu Wacongo wanapata matatizo kila mda Dunia ina mali na Mali zao wanakula kwa usalama na ujenzi wa nchi yao lakin Mali ya Congo inaliwa kwa dhuruma huku wakiimwaga dam ya Wacongo zipo nchi zinaishi maisha mazuri kutokana na Mali ya Congo lakin Wacongo wenye nchi yao kwao ni kimbia kimbia tunawaombea iko siku mungu atajibu maombi yetu
Jah bless Tz
Jah bless congo
wapinzani sasahivi midomo mizito, ukiwaambia waseme PIPOOO wanasema PHILIPOOOO.
😢
😅😅😅😅
Hatr san
😄😄😄😄
😂😃😃Nimecheka kizembe
From oman naipenda nchi yangu Tanzania
Tanzania milele
✊
Majeshi yote yametajwa mbona Jeshi la Mgambo halipo? MG au wanatajwa tuu shida ikiwepo?
Handi Raha sana kwakweli TUNDU lisu umeona umoja wakitanzania Wewe Mjinga lisu Twampenda Magufuli LOVE You
lisu ndio nani akajambe tu kisha achambe maana na cheche za mavi katoa😀😀😂
Km kw mbelekwambe
RIP magufuli inauma sanaa
From kenya. Love you
We love you more
Twakupenda pia
Hongera sana JPM. Kila la heri katika utumishi wako kwa Tanzania. Love from USA
Welcm natumai we ni wa nyumban pia
From uganda naipenda nchi yangu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Millard hongera kwa kamera zako mejitahid kuonyesha watu atleast media nyingine hapana
Very good maaafandeee
Pia hongereni sana kwa kazi nzuri
From 🇱🇷mungu ibariki tanzania 🇹🇿
Mambo ni super super kwetyu mbonge la rais namkubali hatar
Mambo ni super super kwetyu mbonge la rais namkubali hatar
Kutoka Qatar 🇶🇦 naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿
Hongela jeshi letu Kwa kazi nzuri
Popote ulipo may your soul rest in eternal peace 😭
Duuuh Naipenda hii kazi lkn cjabahatika aiseee
Ahsante Sana🤝🏻 jeshi la Tanzania.
Nikiona ivi nawaza lissu kwaio alitaka ashike yy inchi yan wanajesh woote hao wampigie salute kiwete
😂🤣😂🤣😂Hana hadhi
Cha ajabu ambaye siyo kiwete saiz ameshaoza halaf Lissu bado yupo😂 Mungu fundi sana
So amazing 😍💕 Tanzania
Ndoto yangu iliyeyeyuka 😭😭😭😭
Mmetisha🔥🔥🔥
Waooh 😍😍
Mambo
Beautiful!
Natakakazi jamani
hongera magu guli
Wapinzani andamaneni mkutane nao hao!
Mtakuwa usambu!
Hongereni Wanajeshi, Polisi, Magereza na JKT.
Oooh wanaota kuandamana, bora chezea mbali.
Wewe darasa la 7
Heshima kwaoo✋✋
Hongera sana
Pamoja sana masoldier ❤
Nice one
Gone too soon our president
Rahaaaaaaaa
Daddy
Safi
Wanajeshi wetu wa TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 wanakula vitu vya asili na ndio maana wan afya na nguvu Sana sasa cheza lao uwone moto wao
Nafurahia sana hio lazi
sisi mgambo sjui tunapita nje
Jamani kwenye hizo gadi zilizojipanga Uwanjani mbona sijaona Gadi za Polisi,Magereza ,Zimamoto au Jeshi usu La Tanapa? Mwenye kujua anifahamishe!!!
Kwa hapo wamechanganyikana ,wamevaa sare hizo tu, Ila ni majeshi yote yapo hapo
Magereza wapo
Ongera magufuli biga kazi
254ndo tunayo matanga😢
254 hatutaki kurudi era ya moi tena. Acha wajinga watembee pamoja na Ukoloni mamboleo 😂
As usual TZ, UG , Rwanda know nothing to do with democracy and devolution , so Kenya will always be ahead .
Jeshi langu nayipenda sana tanzania
Watu washachafukwa damu imechemka alf et unataka uingie road mamae ingia ujue kwamba hao sio baba zakooo ☝️
Safi SNA mung ibarki tz
Mashaalaa
Nilipokuwa jeshini; kwenye magwaride haya tulikuwa tunachachafywa sana FFU. Wakati huo FFU ilikuwa na gadi yake tofauti kabisa na gadi ya polisi
❤❤❤❤😘😘😘
🤦♀️🤭😢😭😭😭😭😭😭..👋🙏PUMZIKA PALIPO STAHILI MHESHIMIWA RAIS JMP🙏
Nani kamuona aliyekuwa bodyguard wa Kikwete akiongoza gwaride??
Good
👏👏👏👏🔥🔥🔥🇹🇿
Wak saw
Kwa mazoezi haya wakirudi nyumbani wamechoka sasa uwakute njiani umewavuruga yaani utapigwa mirungu ya magoti mpk maji utaita mmmaaa 😂😂😂😂😂😂
Rip jpm tunashukuru kwa mda wako
Mgambo jkt gwaride operation samia suluhu
Njema xana jesh letu
Camera mbovu sijawahi ona, tukio la kitaifa lakini quality ya camera mbovu jamani
M
Good
Unaa cjauona
JAMANI NAIPENDA NCHI YNGU LV U TANZANIA
Tanzania milele ✊✊
Gwaride nzima limelegea kama waganjo na security firms za kenya
Endelea kuwaza ujinga unazani kama jeshi lenu linalokimbia al shabaab
Hapa JPM Alifurahi kwa kweli
Abane my brother is gone kabisa,
Wakisikia wanaume kelele zinapungua Wakisimia wanawake kelele zinazid😀😀
Inapendeza
YEE BABA 😁😁😁 WATUACHEEE
Kwelikwel
Saiba
Naam
Jamani hizo zingine ni idara au majeshi hayo! Mbona sielewi hapo! Majeshi yapo mangapi Tz! Mnifahamishe nijue jamani!
Majeshi yapo kila idara wa kupiga kwa kutembea wapo wa Angani wapo wa kukupiga kutoka majini wapo Askari porice wapo Askari Wa kulinda wafungwa nk
Jwtz,Jkt,Jeshi la polisi na jeshi la magereza
@@shaurimtanda1128 we jamaa huna huruma
TZ Iko Poa Sana JPM Baba Lao
1
Pumzika kwa amani JPM 💔
Hyo aliyevaa barakoa ni nanii🤷♂️
Museven wa Uganda.
Milad shikamoho
Mama
Magereza wengi warefu
Zakivita
Sitabaki peke yangu nikiita jina lako
czcams.com/video/hur9ZtUkVaA/video.html
😭💔magu
Kweli ya leo sio yajana😭😭😭
Dah umewaza mbali sana kama mimi 😭😭😭😭
🏃🏃🏃🏃🏃
Hwan llte ila kuiwa
Poor display Kenya has the best pared
Ebu rudi shule kuandika tu shida😂😂😂
@@Soon815 huh men! it was just a typing error don't take advantage of it nilimanisha parade...so do you have anything else to say
Mim npowap asa🙄😁😁
Akuna sura nyeupe!
JINSI YA KUFAULU MTIHANI WAKO BILA KUSOMA
czcams.com/video/Jt0oh4NkVf0/video.html
Tuko Pamoja.
Akija Rambo ana ua wote hapo
Bwege ww punbafu zaki
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Njoo naye
Serious armies nolonger use AK-47 , that belongs to the african police units
Umeambiwa wapo vitani hapo ?
Asa watu wanapiga goosemarch ulitaka washike RPG. Yan wakenya bhana ni sifuri kabsa
Ak47 wanafanya nayo nini in the first place . even in military parades they should be having G3 and above , not that nonsense they are carrying . the president might be in danger any time and terrorists always use powerful , high performance machine guns , not AK 47
@@natureworld295 mzee baba hilo ni onesho tu, hata kama wangekua wameshikilia pistol ni kwaajili ya maonesho tu. Alafu jeshi la Tz sio la kujitangaza kiivo kama unavofikiri ndgu yangu. Izo G3 zipo za kutosha humo ndani incase kikinuka sio mpk wakuoneshe wakizishikilia ndo ujue kama wanazo au wanazitumiaga. Jkt izo G3 tumezishika na kuzipigia range kama toy mzee usifikiri hatuzijui au hatuna tukikufungulia armour utalia. Bora ukae kimya uishie kuwa mtazamaji tu...
Alafu G3 ni bunduki ya kawaida sana siku hizi. Sio hata ya kuitetemekea kiivo
Cheki huo unaaa
Umeonaee
Hell march
Bure kabsaaaa 🚮
Your says it all
Inapendeza