Mbinu 5 Za Kumjengea Mtoto Hali Ya Kujiamini.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 11. 2020
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 80

  • @salmaabdillah8092
    @salmaabdillah8092 Před 3 lety +3

    Shukra sana JEMEDALI wetu,Allah akufanye uwe Mzazi mwema zaidi na zaidi binafsi Aprishiet,Dipenden na incourage,imeniasaidia Sana kwa kijana wangu wa kwanza uelewa ulikuwa chini tofauti na wapili(Uko sahihi kabisa Daima💪🏽)

  • @moshinurse814
    @moshinurse814 Před 3 lety +2

    Asante sana Joel mimi mama alikua mkali sanaa alinijengea uoga hadi leo mimi ni muoga mpaka hata kufanya maamuzi

  • @matrugnawangaeli4815
    @matrugnawangaeli4815 Před 3 lety +1

    Mimi nakumbuka kwamba Baba alikua mkali sana kiasi ambacho kwamba ndungu zangu wote hata mimi mwenyewe nilikua na uoga katika sehemu fulani tu, kwa mfano kama nilienda vibaya katika mitihani nilikua namwonyesha max zangu. Nashukuru Mungu alikua ananielewa na kunisaidia. Elimu tuliopata nyumbani ndio imetukomaza ni kweli alikuepo dada wa kazi lakini alikua anamajukum yake yaani kusaidia mama, sisi kama watoto kwanza palipo nafasi tumsaidie, halafu tumheshim kama moja wa familia. Baba anikua anamajukum mengi, lakini alikua present yaani wakati yupo nyumbani yupo- mama ingawa alikua nyumbani wakati wote alikua na shuhuli zake. kama mzazi haikuwa rahisi kwake kwani tulikua wanne, naye pia alikua na shuhuli zake nje. Kwa hiyo tumejifunza mengi toka wadogo ambayo yametusaidia katika maisha hivi leo. Kwa kuwa tuko tofauti inategemea uoga wetu umetusaidia katika aina moja au umetuharibu kwa aina nyingine. Kuna alie pona au alie kufa.

  • @calvinismkabuka6272
    @calvinismkabuka6272 Před 10 měsíci

    Nimejifunza Mambo mengi mazur kwako super coach JOELI NANAUKA 🙏🏆🏅

  • @apostleschurchaustralia2896

    Nanauka nakupenda sana baba Mungu aku inue sana

  • @florakankutebe3987
    @florakankutebe3987 Před 3 lety +2

    Muokozi wa jamii

  • @brendamarufu9974
    @brendamarufu9974 Před 3 lety

    Asante Pastor. Nimejifunza

  • @BrianAmbele
    @BrianAmbele Před 29 dny

    Mimi nimeathiriwa Sana na hiyo tabia because I lost my parents when i was in childhood,hence I failed even using the word "No"because when I tried to use.it make my life hard.

  • @mariamnzai3497
    @mariamnzai3497 Před 3 lety

    Amen Mungu akubariki sana na azidi kukutumia na kukupa nguvu na afya njema,utufunze zaidi

  • @rashidisabina5356
    @rashidisabina5356 Před 3 lety

    Mara yakwanza kuangalia video yako kweli upo sahii bro mahana wazazi wengi wamesababisha watoto kutokuwa na confidence kwenye maisha ya badae. Nimependa somo lako namini litanisaidia mimi kama single mom

  • @onesimosylivesterbakinika2126

    Asante sana , kaka kwakuzidi ktusaidia maarifa, mimi binafsi na muathirika wa ili jambo japo njitaidi kuondokana na lkn bdo ni changamoto yaaan self confidence sina kabsa naweza na mawazo mazuri lkn kurepresent kwa watu wengi, mara najihic kuogopa na kutetemeka yaan hii hali inanipa shida sana asseih! Kaka .

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 2 lety

    Shukran

  • @ernestaelias7113
    @ernestaelias7113 Před 3 lety +1

    Mungu akubariki sana Joel, hakika you are at the top.

  • @lifacharles1068
    @lifacharles1068 Před 3 lety +1

    Appreciate sana joel mungu akubariki

  • @kimbulikambale5150
    @kimbulikambale5150 Před 3 lety

    Samahani mwalimu kukuambia neno hili, Wewe ni zaidi ya Baba, Mungu ame kuleta kwa wakati unao faa, unaendelea kutunza vidonda, nilio umia tangu utotoni, sasa Mimi ni jasiri, na watoto wangu ni majasiri, wana uwezo wa kujitegemie wote kabisa, tuliteswa na wazazi, ila tume wasamehe.

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Před 3 lety

    Asante sana

  • @onesmosanga8408
    @onesmosanga8408 Před 3 lety

    Tuko pamoja sana mwalim joel
    SEE YOU AT THE TOP

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Před 3 lety

    Shukran kakangu ubarikiwe

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 Před 3 lety

    Hili somo ni muhimu Sana katika malezi ya mtoto ! Hongera mtoa mada

  • @pakchalemanoel6017
    @pakchalemanoel6017 Před 3 lety +1

    Appreciate you

  • @EdnaMuro-tx8os
    @EdnaMuro-tx8os Před 3 měsíci

    Duh yaan kuhusu kujiamin ,mm nimeathriwa sana mpka saiv cwez kujichanganya na wenzangu Kwanza naona n kma sistaili kua Nao Yan kila ninae kaa nae ATA kma n mdogo kwangu,mkubwa yaan vyovyote vile mm naishia kujiona wachini (inferior)
    Cjui tu,hili swala lilianzia nikiwa primary mwl wangu WA primary wameplay party kuniharb physiology
    Kisa tu nilikua na uwezo mdogo class

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 Před 2 lety

    Asante kaka, kwa mafundisho yako nimekuelewa Sana nitakuwa mama Bora kwa mwanangu

  • @abalqassimqay6297
    @abalqassimqay6297 Před 3 lety

    Shukrn

  • @roselynerwiza9383
    @roselynerwiza9383 Před 2 lety

    Asante

  • @melodyanne3249
    @melodyanne3249 Před 3 lety

    thanks so much bro

  • @castorpaschal9113
    @castorpaschal9113 Před 3 lety

    Congrats Brother keep it up

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    Najifunza sana akili ina tanuka Ahsante sana brother Joel 💚

  • @anjelinamdugange825
    @anjelinamdugange825 Před 2 lety

    Salute brother

  • @masatojoseph3070
    @masatojoseph3070 Před 3 lety +1

    Mmmmh kaka Joel utanimalizia bundles zangu maana karibu kila siku nikiingia CZcams kazima nianze na ww asee ndo naridhika maana mafundisho yako nayapenda sana kongole kwako

  • @abalqassimqay6297
    @abalqassimqay6297 Před 3 lety

    Alhamdulillah

  • @rayahassan5055
    @rayahassan5055 Před 3 lety

    DA. Hcho kipengele kaka cha 5, .mimi kimeniadhiri sna wazaziwangu wote wawili niwakli, ila mama ndokuzid, so nikiwel mpka sasa sina kujiamni sna. Nanauwoga mnoo at a kazin hapa nilipo, nimeharbika kabsa ki saikologia ila nashkr nitakuwa mama bora sna hapo mbele. THANK YOU KAKA

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 Před 3 lety +4

    Hili somo zuri Sana ! Mi wazazi wangu in short hawakuwa na hayo mambo uliyoyasema walikuwa ni wakali Sana ukimuona baba au mama amerudi toka kazini unachanganyikiwa ! Baba yangu alikuwa mwalimu na mama yangu alikuwa mwalimu kwa sasa ni wastaafu ! Hata ujitahidi vipi atakwambia bado nakumbuka siku moja nikiwa darasa la sita hisabati nilipata 83 na nilikuwa wa kwanza katika somo hilo ila baba alinichapa akisema nimepata alama ndogo , niliwahi kuwa namba 5 katika annual nikiwa darasa la 6 nilikula stick kwa nini sijawa wa kwanza ! Wazazi walikuwa ni wakali Sana aise ! Ila mwisho wa siku tumekuwa watu wakubwa sasa maisha yanasonga ! Ila mi nilisema watoto wangu sitawalea katika mfumo huo ! Kwa sababu mfumo huo ulisababisha nipoteze Hata kipaji changu cha mpira wa miguu pia Hata riadha mita 100 na 200 nilikuwa nipo vizur ila ndio hivyo Hata kushiriki kwenye michezo tulikuwa haturuhusiwi kabisa ukikutwa haupo home ujue siku hiyo viboko vinakuhusu ! Ila Nashukuru nimejifunza

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 3 lety +3

      Pole.hilo limetukuta wengi.wazazi wa zamani walikuwa hivyo.wachache ambao walikuwa tofauti. Sisi huu utandawazi na teknolojia vimetusaidia kupata hizi nondo kwahyo tujitahidi watoto wetu tuwalee tofauti na tulivyolelewa.
      See u at the Top 👍

    • @damianmakala2913
      @damianmakala2913 Před 3 lety

      @@ahz6907 Aise walikuwa wakali si baba na Mama wote walikuwa wakali ! Kula stick ilikuwa ni sekunde tu na wakati wowote

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 3 lety +1

      @@damianmakala2913 yani njia pekee walikuwa kumrekebisha mtoto ni viboko na wengine kumnyima kula 😁

  • @Jal210
    @Jal210 Před 3 lety +1

    Ni kweli inatakiwa tufuate masharti haya

  • @veronicacharles9993
    @veronicacharles9993 Před 3 lety

    Tuweke notes kwa ajili ya watoto wetu badae 😍😍

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 3 lety +1

    Ahxante Mkuu kwa kunipa Elimu hii maana wengi wetu huwaga tunajuwaga ukali ndo kumjenga Mtoto ,ukirudi Mtoto anajificha chumbani , Ubarikiwe xana Mkuu.

  • @pudensianachristopher6239

    👏👏👏

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 Před 2 lety

    ASANTE KWA masomo Haya tunapona wengi Sana nami Ni mmoja wapo.Natamani kufika ulipo JOEL NANAUKA Mimi nipo mbezi juu.Nataka kufika unapotoa Huduma Nahitaji kujifunza zaidi.HOSEA 4:6 & DANIEL 9:2.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem

    Unaongea ukweli❤

  • @leahmzulu1505
    @leahmzulu1505 Před 3 lety

    🙌

  • @hildakaholwe3703
    @hildakaholwe3703 Před rokem

    Kwakweli baba yangu alikua mkali sana alikua ananipiga sana kifupi alikua hanipendi,hiyo imeniathiri sana nina hofu wakati wote

  • @hammyyombe5229
    @hammyyombe5229 Před 2 lety

    🙏

  • @merykabogo7636
    @merykabogo7636 Před 3 lety

    Knaa wazee kaka joeli niwakali kwa wototo wao kama hawakuzaa ,kitendo hicho bupelekea watoto wengi kuwachukia wazazi wao ,!!!

  • @tarbiyah1027
    @tarbiyah1027 Před 3 lety +2

    Asante Sana
    Niwakati sahihi Mimi kupata Ujumbe huu kijanawangu atakua nimwenye kujiamini.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 3 lety

      Ameen tuendelee kujenga hali ya kujiamini kwa watoto wetu.

    • @marthapaul4380
      @marthapaul4380 Před 3 lety

      Kaka naitaji namba yako kaka

  • @nwakasanga4880
    @nwakasanga4880 Před 3 lety

    #T0P🙌

  • @vailethmwakipesile6698

    Mm mtoto wang ana miaka mitano kusema ukweli nikijabu kumwambia afanye kitu au kumfundisha najukuta tu nampiga nakuwa mkali mpak najisikiag vibaya naitaji msaada

  • @mr.katapa_jr4074
    @mr.katapa_jr4074 Před 3 lety +1

    Nime jua kwann before nilikuwa siji amini
    Lakin kwa sasa najitahidi kubadilika.
    Ume ni fungua zaidi kaka Joel
    #see_u_at_the_top

  • @mariamnzai3497
    @mariamnzai3497 Před 3 lety

    Ukali tu kakini hua namuomba msamaha na kumwambia asiniogope hua inatokea tu lakini Mungu atanisaidi

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Před 3 lety

    Ahsante kaka Joel....Mimi huwa namkalipia sana mtoto wangu na kuna wakati hata anaogopa kufanya kitu fulani nikiwa sipo au kuchukua kitu kwa kuhofia nitakuja kumfokea.Naomba nisaidie kaka Joel hii hali najitahidi kuacha lkn kuna wakati najikuta narudia rudia lakini pia huwa wakati mwingine najilaumu kwa nini nimemfokea na unaweza kuta kaniuliza kitu namjibu kwa shortcut au nakuwa kimya na nikijaribu kumueleza kuhusu hicho alichouliza basi nitamueleza kwa ukali kiasi. Nafanyaje niache kabisa hii hali.

    • @annamkemangwa2590
      @annamkemangwa2590 Před 2 lety

      Asante kaka,hii imenisaidia japo mimi mmoja wapo niliyepitia hayo na nimeathiriwa sana kiasi ambacho nakosa fursa nyingi

  • @anethnico4537
    @anethnico4537 Před 3 lety

    Balikiwa kaka nimejifunza kitu hapo

  • @gifsahmussa1406
    @gifsahmussa1406 Před rokem

    Sorry hiki kitabu cha Money Formula kwa Kahama kinapatikana wapi

  • @joellymballawah8188
    @joellymballawah8188 Před 3 lety +1

    I appreciate your efforts to Change the Society Mindsets..

    • @joycekitinye7248
      @joycekitinye7248 Před rokem

      Nashukuru cn kwa hili somo litanisaidia kumulea mtoto maana nilikuwa namforce abafilike

  • @hildakimambo9990
    @hildakimambo9990 Před 3 lety

    Kaka Joel 10x a lot

  • @norbetshirima6
    @norbetshirima6 Před 3 lety

    Kweli hata mm ninahiyo shida na inanisumbua sanaaa siwezi kabisa natetemeka kabisaa uwezo ninaoo ila wogo ndio unanifelishaa by NOBERT KAWISHE Help me please

  • @aikajaphet1108
    @aikajaphet1108 Před 2 lety

    Mimi imenifanya kutokuwa jasiri na kushindwa kuongea jambo ambalo silipenda mpaka sasa

  • @user-dl3gs8cz3p
    @user-dl3gs8cz3p Před 6 měsíci

    Nahitaji namba yako

  • @yussufrehani5383
    @yussufrehani5383 Před 3 lety +2

    Kweli kabisa....
    Mwanangu ana miaka 2 na nusu ameniuliza password za simu yangu ili achezee...
    Hivi hakuna athari yoyote baadae kwa mtoto kutumia smart phone km kitu cha kuchezea....?

    • @isikesamike
      @isikesamike Před 3 lety

      Mruhusu ila mwongoze zaidi kutizama vitu vya kielimu. Mfano katuni. Watoto wanapenda sana katuni. Mimi wa kwangu hajaanza hata chekechea ila amejua kuhesabu, kuzungumza maneno baadhi ya kiingereza, kutaja rangi. Hajawahi kufundishwa na mtu hayo yote. Ila hakikisha hatumii mwanga mkubwa hasa wakati wa usiku ili kulinda uoni wa macho yake.

  • @patrickmkenja3446
    @patrickmkenja3446 Před 3 lety +2

    Mimi wakati ni mtoto ikikuwa kesi kubwa Sana najambo baya Sana kuchangia maada kama wakubwa yan, kaka zangu, Dada zangu wakiwa wanaongea jambo flani.
    Pia ilifahamika kuwa nikikosea jambo bas nikipigo tuu wala hakuna mjadala zaidi

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 Před 3 lety

    Kama mzazi hutaki kuulizwa darasani ataweza kuuliza? Hii ni kweli

  • @lilianrichard9065
    @lilianrichard9065 Před rokem

    Duhu mm nina asili ya asila muda mwingne nampiga mtoto hata km anasema ukweli nakuja kugundua badae nimekosea jaman naomben msaada pia nakumbuka nina mtoto wa miaka minne uwa anapenda kuniulza mara kwa mara mama ukitaka kuwa tajiri unafanyeje uwa namfokea kwann unaniulza hivi we bado mdogo kwann unawaza kuwa tajili utanitoa kafara

    • @reginaburetta2304
      @reginaburetta2304 Před 3 měsíci

      😢una hasira nae au usiwe na chuki na mtoto mpende alafu utaona faida yake

  • @mikidadihussein5152
    @mikidadihussein5152 Před 3 lety

    Broo nimekusoma lakin kwanini usifanye darasa hata kwakila j Pili naweke naada watu wajifunze ana kwana kunamuda hapa huwez kuuliza swali moja kwamoja

  • @finiasfidelis1475
    @finiasfidelis1475 Před 3 lety +1

    Nimejua kwa nini sijiamini ktk kuongea maana tangu nipo mtoto kila nikijaribu kuongea mbele ya watu including my parents naambiwa hujui kuongea, nyamaza! So sad. Laiti wangekuwa wameona video hii !

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 3 lety +1

      Uzuri umeshajua sababu na unaweza kuanza kujenga kujiamini kwako sasa.Unaweza kutafuta kitabu changu cha Jinsi Ya Kujenga Kujiamini na Ujasiri utapata mbinu zaidi.

    • @finiasfidelis1475
      @finiasfidelis1475 Před 3 lety

      @@joelnanauka Ahsante bro. Lazima nikisome. Kwa Dar vipo book store ya wapi ! Ikiwezekana nipe google location

  • @joelnanauka
    @joelnanauka  Před 3 lety +5

    Kwa wale wanaopenda kujua namna gani ya kujenga ujasiri kwenye maisha yao, unaweza kutafuta kitabj changu cha MBINU ZA KUJENGA UJASIRI NA KUJIAMINI...wasiliana na 0756-094875 utakipata popote ulipo duniani.See You At The Top

    • @castorpaschal9113
      @castorpaschal9113 Před 3 lety

      Well done Mr. Joel , I appreciate you for most things and I can ask if you will never mind

    • @castorpaschal9113
      @castorpaschal9113 Před 3 lety

      Nimependa Sana Coach yako kimsingi namshukuru Mungu siko mbali Sana kwa yake uliyoyaeleza japo vitu Kama ukali wa Mzazi nimeukutana lakin haukunifanya weak us such

    • @nicolausdandagala6201
      @nicolausdandagala6201 Před 3 lety +1

      Sawa kaka Joel nahtaji icho kitabu niko Arusha

  • @veronicacharles9993
    @veronicacharles9993 Před 3 lety

    Tuweke notes kwa ajili ya watoto wetu badae 😍😍