USISWALI NYUMA YA IMAMU MUSHRIK

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 18

  • @AbuAsiya-oj3zs
    @AbuAsiya-oj3zs Před 10 měsíci +1

    Jazakallahu kheir sheikh kwa kubainisha haki. Na tambua kua watakukashifu wengi but fanya subra katika hilo. Allah awahifadhi maduat wa sunnah.. Amin.

  • @khalifaahmed5232
    @khalifaahmed5232 Před 10 měsíci +2

    Neno mushrik zama zetu limekua la kawaida tuu Kila mmoja amuita amtakae na shida uzito wake wengi hatulijui mfano 1.masufi waitwa washirikina sababu ya maulidi 2.mawahabi waitwa washirikina sababu ya tawheed 3 mpya zilokuja karne ya nane yaani hakuna aliyeepuka cjui mushrik Gani Sasa anakusudiwa

    • @binhemed7517
      @binhemed7517 Před 10 měsíci

      Tawheed 3 mpya😳😳?? Ni zipi hzo? Hebu zitaje brother tuzijue maana mm wallahy sizijui

    • @khalifaahmed5232
      @khalifaahmed5232 Před 10 měsíci

      @@binhemed7517 tawheed uluhiyah tawheed rububiyah tawheed asma waswafat haya halianza karne ya 8 Sasa twalemewa kutetea masheikh zetu wanalikubali ilo Sasa wafuasi twachanganyikiwa

    • @abdiabdu7179
      @abdiabdu7179 Před 10 měsíci

      Kuna Hadith mtume alisema wata kuja watu kama hawa

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed Před 10 měsíci +1

    We shekhe nlikuskia ukisema hutaki mamabo ya nahau kwa sababu hujui

  • @MohdIsmail-ud1gl
    @MohdIsmail-ud1gl Před 10 měsíci +1

    MAWAHABI ni Wenda wazimu sana hata kusoma hawajui, kazi ya kukufurisha watu

    • @RaslaniAbedy-qs8vd
      @RaslaniAbedy-qs8vd Před 10 měsíci

      wendawazim wanaokataza shirki lakin wanao amrisha shirki hao ni wenda kuzimu.

  • @codingnmath
    @codingnmath Před 10 měsíci +1

    lakini kabla ya kuwaita mishrikina ina takikana iqaamatul hujja na kukosekana mawaani

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj Před 10 měsíci +4

    Watu hutawasal hawaombi maiti anaeombwa ni Allah ww wacha kupotosha watu wahabi

    • @so4hel
      @so4hel Před 10 měsíci

      Wahabi jipuzi sanaa

    • @RaslaniAbedy-qs8vd
      @RaslaniAbedy-qs8vd Před 10 měsíci

      pipi nyiyi hawaombi maiti kwani we husikii mashekh watwarika wasemaje?

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed Před 10 měsíci +1

    Alaa kwani maiti kuckia Tena ni shirki.اذا دفن الميت وانصرف الناس عنه فإنه ليسمع خفق نعالهم.. Hadith ni sahii.asema mtume akizikwa maiti watu wakiondoka Basi huyo maiti huskia viatu vyao binavyokanyaga.kama hii Hadith ni shirki hatuwezi sema mtume ni mushrik lakini tutasema ww ndo ngombe ya wahabi

    • @RaslaniAbedy-qs8vd
      @RaslaniAbedy-qs8vd Před 10 měsíci

      we pimbi kwel we huoni hio hadith kwamba maiti anasikia nikhaasu kwa wakati huo? mbona mtume hajasema kabla au baada wachen balbala

  • @habibumuhammad730
    @habibumuhammad730 Před 10 měsíci +1

    Ww ali awla njoo mambrui mm nakutaka ww nikuaibishe mbwa ww kumma mako shoga

    • @HassanLito
      @HassanLito Před 3 měsíci

      Tumia qauli nzuri Sasa utamrekebisha vp ikiwa ww mwenyewe una maneno machafu

    • @abuukauthar525
      @abuukauthar525 Před 2 měsíci

      uje umfundishe matusi au