ANSWAR STUDIO
ANSWAR STUDIO
  • 776
  • 786 970

Video

MUSIMUANGUSHE SUFI MWENZENU | SHEIKH ALI ABUBAKAR
zhlédnutí 11KPřed 2 měsíci
MUSIMUANGUSHE SUFI MWENZENU | SHEIKH ALI ABUBAKAR
DR.ABDALLA KHEIR HIMIZO KWA WALIMU WA MADRASA
zhlédnutí 145Před 8 měsíci
DR.ABDALLA KHEIR HIMIZO KWA WALIMU WA MADRASA
TWAOMBA USAIDIZI KWA MSICHANA WETU FIRDAUS
zhlédnutí 985Před 8 měsíci
TWAOMBA USAIDIZI KWA MSICHANA WETU FIRDAUS
BAADA YA NDOA MUME NDIO MWENYE AMRI YA MKE SIO WAZAZI SHK ABU HAMZA
zhlédnutí 337Před 9 měsíci
BAADA YA NDOA MUME NDIO MWENYE AMRI YA MKE SIO WAZAZI SHK ABU HAMZA
UFUNGUZI WA BAMUMIN FUNDISA ISLAMIC CENTRE,KILIFI COUNTY
zhlédnutí 313Před 9 měsíci
UFUNGUZI WA BAMUMIN FUNDISA ISLAMIC CENTRE,KILIFI COUNTY
MKASA WA MOTO MADRASA
zhlédnutí 635Před 9 měsíci
MKASA WA MOTO MADRASA
MASJID AL AQSWA NI YA WAISLAMU WOTE - SHEIKH ABU HAMZA
zhlédnutí 236Před 10 měsíci
MASJID AL AQSWA NI YA WAISLAMU WOTE
UKIFANYA HAYA UJUE USHATOKA KWENYE UISLAMU - ALI ABUBAKAR
zhlédnutí 2,6KPřed 10 měsíci
UKIFANYA HAYA UJUE USHATOKA KWENYE UISLAMU - ALI ABUBAKAR
USISWALI NYUMA YA IMAMU MUSHRIK
zhlédnutí 1,5KPřed 10 měsíci
USISWALI NYUMA YA IMAMU MUSHRIK
WATU WA TWARIQA WAPEWA HADI IJUMAA 15/09/2023 KAMA KWELI WATAKA NIQASHI
zhlédnutí 7KPřed 11 měsíci
WATU WA TWARIQA WAPEWA HADI IJUMAA 15/09/2023 KAMA KWELI WATAKA NIQASHI
KAMA KWELI WAMPENDA ALLAH BASI MFUATE MTUME SIO KUZUA- SHEIKH ABU HAMZA
zhlédnutí 550Před 11 měsíci
KAMA KWELI WAMPENDA ALLAH BASI MFUATE MTUME SIO KUZUA- SHEIKH ABU HAMZA
KIONGOZI WA TWARIQA ALIEVAA KANZU NYEUSI ASAIDIA MASHIA KUTUKANA MASWAHABA SIKU YA KUOMBOLEZA MASHIA
zhlédnutí 3,3KPřed 11 měsíci
KIONGOZI WA TWARIQA ALIEVAA KANZU NYEUSI ASAIDIA MASHIA KUTUKANA MASWAHABA SIKU YA KUOMBOLEZA MASHIA
USTADHA SUHAILA OUR ROLE MODELS ANSWAR MUSLIM SISTERS CAMP TAKAUNGU HALL, KILIFI COUNTY
zhlédnutí 124Před rokem
USTADHA SUHAILA OUR ROLE MODELS ANSWAR MUSLIM SISTERS CAMP TAKAUNGU HALL, KILIFI COUNTY
SIS ASYAH TWAHARA ANSWAR MUSLIM SISTERS CAMP TAKAUNGU HALL, KILIFI COUNTY
zhlédnutí 335Před rokem
SIS ASYAH TWAHARA ANSWAR MUSLIM SISTERS CAMP TAKAUNGU HALL, KILIFI COUNTY
SIS ZAKIA MUHAMMAD DRUG ABUSE & LGBTQ ANSWAR MUSLIM SISTERS CAMP TAKAUNGU HALL, KILIFI COUNTY
zhlédnutí 83Před rokem
SIS ZAKIA MUHAMMAD DRUG ABUSE & LGBTQ ANSWAR MUSLIM SISTERS CAMP TAKAUNGU HALL, KILIFI COUNTY
MADAM SAMIRA CAREER ADVICE ANSWAR MUSLIM SISTERS CAMP TAKAUNGU HALL, KILIFI COUNTY
zhlédnutí 423Před rokem
MADAM SAMIRA CAREER ADVICE ANSWAR MUSLIM SISTERS CAMP TAKAUNGU HALL, KILIFI COUNTY
BREAKING NEWS ALIE CHAGULIWA KUSIMAMIA MJADALA KWA UPANDE WA USTADH SAID AMEAKHIRISHA MJADALA MPAKA
zhlédnutí 1,4KPřed rokem
BREAKING NEWS ALIE CHAGULIWA KUSIMAMIA MJADALA KWA UPANDE WA USTADH SAID AMEAKHIRISHA MJADALA MPAKA
HATUOGOPI KUFANYA MUNAQASHA SHEIKH MUHAMMAD BACHU
zhlédnutí 3,1KPřed rokem
HATUOGOPI KUFANYA MUNAQASHA SHEIKH MUHAMMAD BACHU
DJ SAID SHEIKH MUHAMMAD BACHU HUMUWEZI NI BORA USHINDANE NA TENGE HIYO NDIO FANI YAKO
zhlédnutí 13KPřed rokem
DJ SAID SHEIKH MUHAMMAD BACHU HUMUWEZI NI BORA USHINDANE NA TENGE HIYO NDIO FANI YAKO
SHK MUHAMMAD SHARIF FAMAU NJIA YA IBLIS
zhlédnutí 284Před rokem
SHK MUHAMMAD SHARIF FAMAU NJIA YA IBLIS
KHUTBA YA IJUMAA SHK.MOHD SHARIF FAMAU NJIA YA MWANADAMU NI MBILI PEPO AU MOTO
zhlédnutí 124Před rokem
KHUTBA YA IJUMAA SHK.MOHD SHARIF FAMAU NJIA YA MWANADAMU NI MBILI PEPO AU MOTO
02 SHK MUHAMMAD SHARIF FAMAU MWANADAMU AMEZUNGUKWA NA MATAMANIO PT 2
zhlédnutí 155Před rokem
02 SHK MUHAMMAD SHARIF FAMAU MWANADAMU AMEZUNGUKWA NA MATAMANIO PT 2
SHK MUHAMMAD SHARIF FAMAU MWANADAMU AMEZUNGUKWA NA MATAMANIO
zhlédnutí 257Před rokem
SHK MUHAMMAD SHARIF FAMAU MWANADAMU AMEZUNGUKWA NA MATAMANIO
SHK MUHAMMAD SHARIF FAMAU UHAKIKA WA KIAMA
zhlédnutí 271Před rokem
SHK MUHAMMAD SHARIF FAMAU UHAKIKA WA KIAMA
SHK.MUHAMMAD SHARIF FAMAU - SAFARI YA MWANADAMU
zhlédnutí 461Před rokem
SHK.MUHAMMAD SHARIF FAMAU - SAFARI YA MWANADAMU
AIA AFRICA ISLAMIC ACADEMY
zhlédnutí 476Před rokem
AIA AFRICA ISLAMIC ACADEMY
BAYANA YA MWEZI
zhlédnutí 1,2KPřed rokem
BAYANA YA MWEZI
DAKIKA ZA RAMADHANI 17 NA AL AKH ABDULKHALIQ
zhlédnutí 53Před rokem
DAKIKA ZA RAMADHANI 17 NA AL AKH ABDULKHALIQ
DAKIKA ZA RAMADHANI 16 NA AL AKH ABDULKHALIQ
zhlédnutí 51Před rokem
DAKIKA ZA RAMADHANI 16 NA AL AKH ABDULKHALIQ

Komentáře

  • @salimjuma9837
    @salimjuma9837 Před 4 dny

    Mbona huwa hufanyi munaqasha

  • @user-hh1ol2tr5w
    @user-hh1ol2tr5w Před 5 dny

    Innalilahi wainailaihi rajuun .kweli zama zimefika dini tunaifanya na ushabiki kama mpiraa Allah waongoze hawa wanaojiona walaelimu lakini hawana

  • @user-fw7rk1su1q
    @user-fw7rk1su1q Před 7 dny

    Abubakar ebu soma mbona wewe uko na vaamia mambo ambao inazidi elimu yako ebu soma, kwanza unatumia ukosefu wa adabu dini ndo inakuruhusu wewe umpige Sheikh rad kwa kumfedhehesha mtandaoni ?, Alafu rad yenyewe haina aya wala hadith vichekesho kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 someni

  • @NuryaMusa
    @NuryaMusa Před 9 dny

    ❤ baarakanllah fiikum

  • @sheikhfadhilaljahdhamy6751

    كتاب الجهاد باب فِي سُجُودِ الشُّكْرِ عَنْ أَبِي بَكْرَةَ، عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم أَنَّهُ كَانَ إِذَا جَاءَهُ أَمْرُ سُرُورٍ أَوْ بُشِّرَ بِهِ خَرَّ سَاجِدًا شَاكِرًا لِلَّهِ ‏.‏ Narrated AbuBakrah: When anything came to the Prophet (ﷺ) which caused pleasure (or, by which he was made glad), he prostrated himself in gratitude to Allah. Reference: Sunan Abi Dawud 2774 In-book reference: Book 15, Hadith 298 English translation: Book 14, Hadith 2768 كتاب الصيام باب فِيمَنْ قَالَ الطَّاعِمُ الشَّاكِرُ كَالصَّائِمِ الصَّابِرِ عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، عَنِ النَّبِيِّ ـ صلى الله عليه وسلم ـ أَنَّهُ قَالَ ‏ "‏ الطَّاعِمُ الشَّاكِرُ بِمَنْزِلَةِ الصَّائِمِ الصَّابِرِ ‏"‏ ‏.‏ It was narrated from Abu Hurairah that the Prophet (ﷺ) said: “A grateful eater is equal to a patient fasting person.” Reference: Sunan Ibn Majah 1764 In-book reference: Book 7, Hadith 127 English translation: Vol. 1, Book 7, Hadith 1764 كتاب صفة القيامة والرقائق والورع عن رسول الله صلى الله عَنْ عَمْرِو بْنِ شُعَيْبٍ، عَنْ جَدِّهِ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَمْرٍو، قَالَ سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يَقُولُ ‏ "‏ خَصْلَتَانِ مَنْ كَانَتَا فِيهِ كَتَبَهُ اللَّهُ شَاكِرًا صَابِرًا وَمَنْ لَمْ تَكُونَا فِيهِ لَمْ يَكْتُبْهُ اللَّهُ شَاكِرًا وَلاَ صَابِرًا مَنْ نَظَرَ فِي دِينِهِ إِلَى مَنْ هُوَ فَوْقَهُ فَاقْتَدَى بِهِ وَنَظَرَ فِي دُنْيَاهُ إِلَى مَنْ هُوَ دُونَهُ فَحَمِدَ اللَّهَ عَلَى مَا فَضَّلَهُ بِهِ عَلَيْهِ كَتَبَهُ اللَّهُ شَاكِرًا صَابِرًا وَمَنْ نَظَرَ فِي دِينِهِ إِلَى مَنْ هُوَ دُونَهُ وَنَظَرَ فِي دُنْيَاهُ إِلَى مَنْ هُوَ فَوْقَهُ فَأَسِفَ عَلَى مَا فَاتَهُ مِنْهُ لَمْ يَكْتُبْهُ اللَّهُ شَاكِرًا وَلاَ صَابِرًا ‏"‏ ‏.‏ أَخْبَرَنَا مُوسَى بْنُ حِزَامٍ الرَّجُلُ الصَّالِحُ، حَدَّثَنَا عَلِيُّ بْنُ إِسْحَاقَ، أَخْبَرَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ الْمُبَارَكِ، أَخْبَرَنَا الْمُثَنَّى بْنُ الصَّبَّاحِ، عَنْ عَمْرِو بْنِ شُعَيْبٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ جَدِّهِ، عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم نَحْوَهُ ‏.‏ قَالَ هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ غَرِيبٌ وَلَمْ يَذْكُرْ سُوَيْدُ بْنُ نَصْرٍ فِي حَدِيثِهِ عَنْ أَبِيهِ ‏.‏ Amr bin Shu'aib narrated from his grandfather 'Abdullah bin 'Amr, that the Messenger of Allah (s.a.w) said: "There are two traits, whoever has them in him, Allah writes him down as grateful and patient. And whoever does not have them, Allah does not write him down as grateful, nor patient. Whoever looks to one above him for his religion, and follows him in it, and whoever looks to one who is below him in worldly matters, and praises Allah for the blessings He has favored the one who is above him with, then Allah writes him down as grateful and patient. And whoever looks to one who is below him for his religion, and looks to one who is above him for worldly matters, and grieves over what missed him of it, Allah does not write him down as grateful nor as patient." (Another chain reaching to) 'Amr bin Shu'aib, from his father, from his grandfather from the Prophet (s.a.w) with similar narration Reference: Jami` at-Tirmidhi 2512 In-book reference: Book 37, Hadith 98 English translation: Vol. 4, Book 11, Hadith 2512 كتاب البر والصلة عن رسول الله صلى الله عليه وسلم باب مَا جَاءَ فِي الشُّكْرِ لِمَنْ أَحْسَنَ إِلَيْكَ عَنْ أَبِي سَعِيدٍ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ مَنْ لَمْ يَشْكُرِ النَّاسَ لَمْ يَشْكُرِ اللَّهَ ‏"‏ ‏.‏ وَفِي الْبَابِ عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ وَالأَشْعَثِ بْنِ قَيْسٍ وَالنُّعْمَانِ بْنِ بَشِيرٍ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ ‏.‏ Abu Sa'eed narrated that the Messenger of Allah said : "Whoever is not grateful to the people, he is not grateful to Allah." Reference: Jami` at-Tirmidhi 1955 In-book reference: Book 27, Hadith 61 English translation: Vol. 4, Book 1, Hadith 1955 كتاب الزكاة باب عَطِيَّةِ مَنْ سَأَلَ بِاللَّهِ عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عُمَرَ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ مَنِ اسْتَعَاذَ بِاللَّهِ فَأَعِيذُوهُ وَمَنْ سَأَلَ بِاللَّهِ فَأَعْطُوهُ وَمَنْ دَعَاكُمْ فَأَجِيبُوهُ وَمَنْ صَنَعَ إِلَيْكُمْ مَعْرُوفًا فَكَافِئُوهُ فَإِنْ لَمْ تَجِدُوا مَا تُكَافِئُونَهُ فَادْعُوا لَهُ حَتَّى تَرَوْا أَنَّكُمْ قَدْ كَافَأْتُمُوهُ ‏"‏ ‏.‏ Narrated Abdullah ibn Umar: The Prophet (ﷺ) said: If anyone seeks protection in Allah's name, grant him protection; if anyone begs in Allah's name, give him something; if anyone gives you an invitation, accept it; and if anyone does you a kindness, recompense him; but if you have not the means to do so, pray for him until you feel that you have compensated him. Reference: Sunan Abi Dawud 1672 In-book reference: Book 9, Hadith 117 English translation: Book 9, Hadith 1668

  • @sheikhfadhilaljahdhamy6751

    عن زيد بن ثابت، قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: "إني تارك فيكم خليفتين: كتاب الله، حبل ممدود ما بين السماء والأرض، أو ما بين السماء إلى الأرض، وعترتي أهل بيتي، وإنهما لن يتفرقا حتى يردا علي الحوض " أخرجه أحمد في مسنده Maswahaba hawako tena tuliyoachiwa ni Quran, Sunnah, Maswahaba na kizazi cha bwana mtume.

  • @somoefakii7589
    @somoefakii7589 Před 14 dny

    Allah amrehemu sheikh wetu Mohammed gile Amin

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd Před 24 dny

    Ameen

  • @KassimShora
    @KassimShora Před měsícem

    Jazakallah jazakallah jazakallah khairul jaza fidunyaa wal akhera

  • @YarmanAljahhdiry
    @YarmanAljahhdiry Před měsícem

    Hapa mmezidi masufi kwa njaa ila mtajitukanisha kwa njaa nawala hao sio twariqa nimchanganyo wakishia

  • @BashirShiekh-y8f
    @BashirShiekh-y8f Před měsícem

    Basi Mimi mwenyewe nakusoma hapo 😂😂😂😂

  • @ismailabdallah8263
    @ismailabdallah8263 Před měsícem

    Munasoma maulidi makaburini,mukiambiwa mumeyatowa wapi haya mwasema kwani kuna ubaya gani,kwahivyo kila mwenye jambo lake alitie kwenye dini,nduguzangu tumcheni Allah hii dini ni ya Allah na amemtumiliza rasulullah atufundishe,letu ni kufwata sio kuzidisha na kupunguza,tuamkeni nduguzangu kwani haki iko wazi nikumfwata mtume kipenzi chetu.Wallahu aalam.

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 2 měsíci

    Waleykum salam warahmatullah tunakuelewa kipenzichetu allah akuhifadhi atujalie kuingia pepon sisi nanyinyi amin

  • @ABUUALLY-ch5jr
    @ABUUALLY-ch5jr Před 2 měsíci

    😂😂😂 hamuna munalolijua ila dhana mbovu tu ! Hakuna muislamu hata mmoja anaeabudu makaburii acha kuzuwaa wewe kimaa

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 Před 2 měsíci

    S

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 Před 2 měsíci

    Sasa sial

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před 2 měsíci

    Shida zenu hamujui munapinga nini kelele mingi tuuuu

  • @user-kg9fn1ph9d
    @user-kg9fn1ph9d Před 2 měsíci

    Nyinyi hamna tofauti na wanaosema watu wanaoenda kuzuru kaaba wanakua wanaenda kuomba jiwe jeusi. Nani kakwambia kuna mwislam anayeomba kaburi??? Mwislam gani ulimsikia akiomba kaburi?? Je nyinyi wajibu wenu nikuwapangia watu cha kuamini ?? Nyinyi ndo akina nani mitume ?? Au who are you?????????? Who are you??? Nani aliwagaia huo wislam mnaowapa wenzio na kuwanyima wengine?????? Nyinyi ni akina nani ?? Mlitumwa na nani kugawa wislam na ulafiri???? Nani anawalipa??? Wingereza ? Marekani?? Israeli au nani anakulipeni kutembeza fitina?

    • @habibmayike7463
      @habibmayike7463 Před 2 měsíci

      Hawa ni makhawarij walipwa na mayahudi mbwa kiwahabi

  • @AtkaAtfaAtkaAtfa
    @AtkaAtfaAtkaAtfa Před 2 měsíci

    Allah awahifath awalipe kher ktk jitihada zenu

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr Před 2 měsíci

    Masufi hamtaki kuambiwa mambo ya haki nyoyo zenu ngumu Alla atawafungua mujue haki

    • @darajanida
      @darajanida Před 2 měsíci

      nyinyi mawahabi haki ipi myakayo tuwambia sisi someni kwanza hamna ilimu muna jazba tu

  • @alkhalilmussa5633
    @alkhalilmussa5633 Před 2 měsíci

    Waongooo nyie mbna watu wakienda munawaita washirikina mjinga mmoja wewe

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku Před 2 měsíci

      Kwanza kama wewe unakaa kulila kaburi sana ikupe msaada ila hutopata juu mwenye haki y msaada n Allah pekee yake

  • @SaleheKhamis
    @SaleheKhamis Před 2 měsíci

    Huyu hana elim yoyote sawa sawa na bachu tu

  • @coolguy1283
    @coolguy1283 Před 2 měsíci

    Uhh! Nilidhani ni Ahlul sunnah kumbe mnajitambulisha kua ni mawahabi. Mimi sitaki kuitwa wahabi kabisa nataka kuitwa Muislamu mwanzo pili ni Ahlil Sunnah kwa madh'habu ya Imam Shafi na sisemi kua madhahib mengine wamepotea, Laa. Balls zote nne zakubaliwa isipokua uwahabi hakuna. bakini nao wenyewe kama mutajiita wahabi, madkhali, ashaari, sufi, ithnashari lakini mufahamu mutakua hamuko kwenye kundi la sabini na tatu. Allah anasema katika kitabu chake kitukufu, suratul Hajj, ayah 78, baada audhu billaahi minasheitwani rajiym: Na fanyeni juhudi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kama inavyo stahiki jihadi yake. Yeye amekuteueni. Wala hakuweka juu yenu mambo mazito katika Dini. Nayo ni mila ya baba yenu Ibrahim. Yeye (Mwenyezi Mungu) alikuiteni *Waislamu* tangu zamani, na katika hii (Qur'ani) pia, ili awe Mtume shahidi juu yenu, na nyinyi muwe mashahidi kwa watu. Basi shikeni Sala na toeni Zaka na shikamaneni na Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye Mlinzi wenu, Mlinzi bora kabisa, na Msaidizi bora kabisa.

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Před 2 měsíci

    Wanadhuru makaburi sio kuabudu ee ali abubakar mawahabi wazushi sana acha unafiki.waongea mdomoni lakini nyie hamuendi kudhuru

  • @athmansharit4167
    @athmansharit4167 Před 2 měsíci

    Shida yako.... Waongelea K2 alfu wajirudy mwenyew

  • @osmanmanbile9327
    @osmanmanbile9327 Před 2 měsíci

    Mawahabii muna shida someni dini sisi.ahlu sunah tutazuru kaburu. Nynyi pigine kelele mawahabii

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku Před 2 měsíci

      Ati ahlul nini hakuna Sunnah kwenu nynyi ahlul twarika na Sufi mtu yeyote wa Sunnah akizuru makaburini hufaya yalioya sawa kwa dalili n hoja mpo

    • @khalifaahmed5232
      @khalifaahmed5232 Před 2 měsíci

      ​@@hassanWanjiku😂😂na gonjwa kubwa la uwahabi kukufurisha waislamu, kudharau waislamu, kuwatia motoni wasio wafuata nyinyi, na mwahukumu mpk yalio ndani ya wengn ilimradi mupate la kusema ilo liko wazzz wewe ally elimu yako hata thuluthi haifiki twakujua vzr sanaa ulposoma mpk ulpopewa mskiti na ndio ulikoma apo apo hukusoma Tena wasubir wengn wakiongea ndio nww uonge na ndio vijana wa mabrui walpowataka ww na bachu ulibaki ziii sababu wajijua mkalitosa ilo pwapwai la tanzibari😂😂😂ww subir kipande cha sheikh aboud akiongea kuhusu mtume kusifiwa na maswahaba Kisha ukangisha cha izzudin akiwaambia watu wajifunze sunnah ya kuvaa kanzu mpk juu ya jicho la mguu Kisha toa darsa Sasa izo ndio Mada zako ila hata wajinga wanakutoa manani lkn wasomi wanaelewa hakuna kitu kichwani haya Sasa subir maulidi ubweke atlist upate Mada mskitini ya Kuongea japo Hua ni ayo kwa ayo tuu😂😂😂kasomeeee atlist uwe waongea ya maana pia

    • @khalifaahmed5232
      @khalifaahmed5232 Před 2 měsíci

      ​@@hassanWanjikuhadith ngp mwapewa za tawasul lkn kimya hamzigusi sababu ziko sahihi ht maswahaba walimuomba mtume akiwa kaburini lkn mwaogopa kuangamia kusema pia wao ni washirikina😂😂nyinyi kujipa majina eti ukishajiita ahlu sunnah ww pepo na moto ni zako sisi twawaita ahlu fitna wa-balaa fii zamaninaaa na liko wazzz ilo

  • @osmanmanbile9327
    @osmanmanbile9327 Před 2 měsíci

    Ali abubakar ile hoja ya uringo uliyileta umejibiwa na ukarakabishwa nahwa umeshikwa mawahabii someni

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku Před 2 měsíci

      Shida kubwa y masufi nahw tuuu hakuna lingne hata mtu akizua bado mtasema alisoma dhumma badala y kasra dah acheni bana mmechafua dini sana ila hawatokosa kusema masheikh zetu Allah awalinde n shari zenu

    • @khalifaahmed5232
      @khalifaahmed5232 Před 2 měsíci

      ​@@hassanWanjikuna ndio mtupuu kabsaa upande huo wa nahau na lugha na ayo ndio misingi ya elimu acha zumbukuku elimu sio kusoma juu juu hakuna ht mwanachuoni mmoja asopitia huko ww kibri yako mpk khutba moja eti wasema Tena ndani ya mskiti hatutaki nahau wala balagha aibuuu maskini Sasa Ikiwa wanavyuoni ndio walotumia kutungia vitabu ww wapinga 😂😂😂😂sababu kichwa kikavu kushika no kusoma juu juu haya kufurisha Kisha Sema hii ndio haqi 😂😂😂😂yaani katika wasomi wa kiwahabi ndugu Ali uko zuzu vby sanaaaa lkn uko simba ukiwa peke yako juu ya mimbar utukane na kuhukumu wengn 😂😂😂

  • @SWABRASWALEH-nc2lf
    @SWABRASWALEH-nc2lf Před 2 měsíci

    Sheikh umemuona huyo hababa?

  • @abuuaisha6110
    @abuuaisha6110 Před 2 měsíci

    Nilisogea mpaka karibu na makaburi ya mam mamwenye wa Mambrui nikawaona jamaa wanajigaragara kwenye makaburi ya mamwenye nikamsikia mmoja akiliambia kaburi "ewe shekh mm tangu nimeowa kwa mda wa miaka kumi sasa sijapata mtoto". Hayo maneno kumuambia maiti kama sio shirki ni nini? Mtume hajatufundisha kupeleka malalamishi makaburini bali ametufundisha kuwaombea dua waliopo makaburini

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku Před 2 měsíci

      Swadakta msaada wote muombe Allah c hao wanaopeleka lalama zao kwa mwenye😂😂😂nawaambiwe kaburi halina manufaa

    • @SWABRASWALEH-nc2lf
      @SWABRASWALEH-nc2lf Před 2 měsíci

      Kweli hayo unayoyasema ama watu wakisema nawe wasema

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Před 2 měsíci

      ​@@SWABRASWALEH-nc2lf Nikidanganya nitapata faida gani, hayo ni mambo nimeyashudia kwa macho yangu na kuyasikia kwa masikio yangu sio habari ya kuambiwa.

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku Před 2 měsíci

      @@SWABRASWALEH-nc2lf lisemwalo lipo na kama halipo laja ila alioyasema n kweli kabisaaa

    • @user-kg9fn1ph9d
      @user-kg9fn1ph9d Před 2 měsíci

      Ok km yeye aliomba kaburi alikudhuru nini wewe ?? Wewe ndo ulitumwa kuzifatilia Imani za watu?? Nyinyi mmeharibu dini kwasababu ya fitina zenu mtaingia motoni fitina zenu zimeleta umwagaji wa dam duniani Kote kwasababu ya ujinga wenu

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku Před 2 měsíci

    Ila mtu yeyote ambae anajua kua hafuati Sunnah sahihi akiona hoja yake ishaapanguliwa huruka kuleeee hukoooo ili apoteze mada ila alhamdulillah haki tutazidi kuisema mpende mkatae inshaallah

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku Před 2 měsíci

    Ila wasiotaka kuambiwa wanataka wakienda makaburini wakafanye yasio ya Sunnah ndo maana hawataki kuskia haki ila sisi tuojua Khair ilioko kwenye hizi duruus tunafaidi sisi wenye mikao hawamo alhamdulillah haki itabaki haki inshaallah batil hivyo haichanganyiki na njema

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Sikiza hakuna anae abudu makaburi yy aseme alimuona nani akiabudu makaburi huo urongo na kiyama utajibu maswali kwa Allah kumsingizia muisilamu yuwaabudu makaburi watu wengine watawasal sio kuabudu makaburi

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku Před 2 měsíci

      @@saba-gv3mj unatawasul kwa nini ?????masheikh wenu wanasema kwenda kulia kumtakasa maiti kumwomba c jambo la upuzi tena bila Siri kwa dhahiri akasema hivyo maanake nini acheni bana Ibada afanyiwe Allah pekee yake

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      @hassanWanjiku sio kutawasul kutawasal hata quran aya yasema waeza kutawasal wajua mana ya kutawasal ama wataka kuleta lingi bila ilimu mm naeza kutawasal kupitia kwa mtume s a w na naeza kutawasal kupitia waja wema kwa mfano ya Allah niondoshe mitihani niliyo nayo kupitia mja wako mwema bwana mtume s a w ama nisamehe madhambi yangu Allah kupitia huyu wali wako Allah nisamehe sijui waelewa hapo aliyeombwa ni Allah waeza kutawasal kupitia kwa waja wema

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku Před 2 měsíci

      @@saba-gv3mj acha zako tawasul wafaa kufanya kupitia mambo matatu wayajua ama ni zile presha za masheikh zenu bado mnazo hamtaki kuambiwa ,,,,,tawasul kwa 1. Majina ya Allah 2. Ammaal zako njema c hizo za kuomba kupitia maiti makaburi laa 3. Waja wema walio hai zaidi ya hapo ushirikina huo

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      @@hassanWanjiku sawa naacha zangu nashika zako ila hakuna anae omba kaburi waiting huo ni upotofu wa mashekhe wenu wakiwahabi wapotoshaji ww hujui hata kutawasal ni nn nenda ukasome mashekhe wetu alhamdulillah hamuwafiki kilimu ila nakushanga ww wahabi na mashekhe wenu kumzushia mtume s a w tawhed tatu mumezitoa wapi yani nyinyi mwamgawanya Allah Allah huwezi mgawanya mwanzo soma alafu ukimaliza kusoma utaona uwahabi wenu ni uyahudi wallah

  • @user-do1pq2uu1c
    @user-do1pq2uu1c Před 2 měsíci

    Endelea kuwadanganya wahabism wanzako sie tunaofuata haqi na vitabu wala hatukusikilizi

  • @user-op8cd5tg5p
    @user-op8cd5tg5p Před 2 měsíci

    Ooooooh mawahabi mmeshindikana mpk masheikh wenu akina IBN teimia IBN baazi utheimin mnapindisha nyinyi mmh haya

  • @TwalibHaji-nd7gd
    @TwalibHaji-nd7gd Před 2 měsíci

    Mashaallah

  • @allykhalfan9513
    @allykhalfan9513 Před 2 měsíci

    Kijana asante sanaa kwa kumjibu sheikh ambae hakuweza kuelezea vizuri fatua kwenye kitabu cha sheikh ibn uthaimini

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye Před 2 měsíci

    Maelezo Yako yahusu watu wahija ustadh said Hassan amezungumzia saumu hujajibu

    • @MrNoNonsenseYes
      @MrNoNonsenseYes Před 2 měsíci

      Nyie kwa ubishi, hapo ameongelea yaumul arafat, akawaambia wamisri wenzie amma ramadhan wasiufuate mwezi wa Saudi lakini funga ya arafat hawana budi lazima waufuate mwezi wa Saudi kwasababu ibada ya arafat imefungamana na mji waliopo mahujaj,kwa ufupi bila mahujaj, bila kile kisimamo wanachosimama makkah, hakuna arafat.

  • @isaack100
    @isaack100 Před 2 měsíci

    Huyu hayupooo masheikh wakiwahabi hawakubali kuitwa wahabi.naww unajiita wahabi

  • @ndihosaid9667
    @ndihosaid9667 Před 2 měsíci

    Hukumu ya Hijja na funga ya Arafa ni tofauti, jaribu kusoma kwa makini unaelezea funga ya Arafa au ibada ya Hijja?

  • @mohamadsaid6050
    @mohamadsaid6050 Před 2 měsíci

    Tadlis ya wazi. Ungesema sisi kwa hili tunamkosowa Sh ibn Utheimin badala ya kudaganya akhi al Karim. Hapo hajazungumzia masala ya funga siku ya, Arafah bali Fatwa zaka ni nyingi na wazi kuhusu funga ya siku ya Arafah, Hapo anazungumzia kuhusu ibada ya hijja.

  • @YarmanAljahhdiry
    @YarmanAljahhdiry Před 2 měsíci

    Nikhaki kuifata khaki huko iliko ila huwa sisi khanafila tunaka nyinyi mashekh msipinge khaki inaposimama kielimu shekh islam kauli mnayopinga katamka sisi hatungali nani kasema khaki tuifate huko katika makosa masufi mawahabi nyote mnayo hakuna msafi ju ya sufi wala wahabi nyote mmekhalifu wanazuoni weni kama mtayapinga fanyeni niqashi nyinyi kwa nyinyi mtajijuwa kuwa umma umechoshwa navijembe vyenu wala hamukuangalia elimu ya dini kwa waumini mnatamaa watu wanaelimika ila watu wanaposoma na wanapoijuwa haki huona mmeacha kulingania haki na mnafata pale alipoteleza mwanachuoni au rai zao nyinyi huona hapo ndipo pakutumia kushushana na kusafishana kilamoja kujiona nibora kanjia yake ila kueni na insafu mtaulizwa mbele ya Allah

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi871 Před 2 měsíci

    Kutoka Tanzania namkubali sana sheikh wetu Alii Abubakar

  • @ALLYMATIMBWA-cz3zg
    @ALLYMATIMBWA-cz3zg Před 2 měsíci

    Ebwana mwanachuon akiwa kaifazi Quran anakuwa anaoja nying san

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před 2 měsíci

    Katika wanaojiita Masheikh sijawahi ona JAHIIIIL kushinda huyu daaaah hatari Uislamu kweli tunaenda kubaya Hawa wakiwa ndio wanatoa fatwa.ALLAH ATUONGOZE SOTE IN SHAA ALLAH.YAANI FATWA ZA AKINA BIN BAAAZI NA UTHEIMIIIN NA IBNU REIMIYAAAAH NA FAUZAAAAN ZOTE HAMUZITAKI KABISA KWWLI MSIBA HUUUUU.

    • @AbdallahAlly-mu9wx
      @AbdallahAlly-mu9wx Před 2 měsíci

      Jahil ni nani sasa? Tuambia ni kijana wa ahlul sunna au sheikh wa kisufi?

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q Před 2 měsíci

    Mwenye macho haambiwi tazama

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb Před 2 měsíci

    ALLAH AWABIFADHI HAWA VIJANA BACHU NA ABUBAKRI

  • @user-dp5mz9ue1k
    @user-dp5mz9ue1k Před 2 měsíci

    Masha'allah mwanangu Allah akunawirishe akuzidishie ilmu Yaa Rabb

  • @KambiRamadhan-pm1sy
    @KambiRamadhan-pm1sy Před 2 měsíci

    Nilichokifahamu fatwa za sheikh uthaimini ni kwambaa ya kwanza ilihusu Arafa na ya pili ni kuhusu hija ndio mana fatwa zake zikatofautiana. Musichanganye mambo!

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před 2 měsíci

    Mawahabi hamna packet tupu ndani hamna sigara, hawana uwelewa wapo kiubishi na kukufurisha tu ndio kazi yao

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 Před 2 měsíci

    Muongo mmoja huyu eti hatuvundani nani kakwambia?imaamu nnawawii amekhalifiana na Imaam shafii madam ni haqi lkn nyinyi mnamkhaalifu uthaymeen ktk haqi

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 Před 2 měsíci

    Barakh Allah Kher sheikh