Chege - BURUDANI (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 14. 01. 2021
- Watch now Video "BURUDANI" By Chege [Ep Single Released] The Music Video was shot in Dar es salaam Tanzania, Directed by Joma and Audio Produced by Mr T touch.
My first EP release for 2021. After all my previous album releases I have decided to release this special EP through my hard work so I can entertain my Fans. Enjoy exclusive hit bangers from me to you and have fun listening to my 6 hottest jams from EP named Burudani which mean Entertainment exclusively to you my die hard fans.
Ep Burudani Get it now on Major Digital Store!
Audiomack: audiomack.com/chegechigunda/a...
Boomplaymusic: www.boomplay.com/share/album/...
Written & Performed by: Chege & Genius
+For More Information Booking Chege:
Contact:Juliano.batalia@gmail.com
Chege:BookChege@gmail.com
Connect Chege on Social Media:
Instagram: / chegechigunda
Facebook: / chegechigundaa
Audiomack:audiomack.com/chegechigunda
Twitter: / chegechigunda
#Chege #Burudani #Ep
©2020 Ziiki Media Africa.All rights reserved. - Hudba
Hatari kinoma yani 🔥🔥
Alaf ibraah naigiza sauti za wasanii wa wasafi na kondegang zote ila nachagua kondegang
@Ibraah I hope you are taking notes on key issues being addressed by the legend.Music with maturity should be the masterpiece of good vibe out here
Nomaaaa
Mwambaaa anajuaaaa
Haielezekii uandishi wake
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪gonga like kama wampenda chege toka mwanzo
Teteeni brand zenyu zisishuke,,ukiwa ju wala chini wakumbkee🔥🔥🔥🔥great song,,,great mess💪chege chege ad mwishooo❣gonga like tukisonga
Konde gang wampost kiba ,team mond wampost jeshi ,kama umesikia hii kitu tupia like ,CHEGE UMEUAAAAA
pamoja sana chege
Noma
Kali
Kali sana
Noma sana
Ngoma kali gonga like kama unamkubali chenge 🔥🔥
Sawasawa gonga like Kama umepata ujumbe wa hii ngoma
Mshauli wWa sanii
Madillu stivin
Song of the year Tanzania yote isikike naomba Mungu Chege awakutanishe wote alietaja ndani... comment na like watuu tuko pamoja. thanks Mr Chege
We from Kenya 🇰🇪 love you Chigunda shukuru Mzazi Willy M Tuvaalifanya tukakujua
Sikiza uzito, team chege mko wapi 254?. Nakubali mwanangu!.
Ni Cheche 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Like za Chege jamani from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿✌️🔥
2121
Burudii nifireee
Sio utaniii ngoma nomaaa
Kali
Noma
Noma
Ngoma Kal saaana hiii chege saaaf saaana chege chigundaaaaa
Izi ndio nyimbo tunazozitaka za kujenga sio za kugombanisha kweli chege wewe ni legendary mwenye ukomavu na busara ........chigunda
Where are my Kenyan people..naomba likes zote za 254 hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍👍
🇰🇪🇧🇭
kuna verse ya ney wq mitego imekosekana hapa mzee daah
Kali
Noma
Kali sana
The legend is trying to stop the war between stars ,,,,,proud of you my star
Kali
Noma sana
Noma
Kali
Noma sana
mziki mzuri haupo kwenye trending list, watanzania tuna tatizo
Hujawahi toa ngoma kali kama hii nimekubali wew nomaa
Legend
Simply amazing piece of music....well balanced tracks/instrumental/vocal...perfectly meeting the message. Legendary!!!
Aiseee chege sikuzote unaimba lkn hii umeimba hady nimelia kituamchao hakijawahi kunitokea kulia kwa nyimbo kwanza mzuri Kisha inaelezea maisha yetu kwa ujumla hongeraaa sna kak ubarikiwe
Chege n msanii mwenye hekima sana uyu jamaa na anamitazamo ya mbali sana ctachoka kufuata nyao zake maana mziki wake unanishawishi sana nifuate nyayo zake
I respect and love this guy he's so humble and his music is massive big up CHEGE twende moro🔥🔥🔥❤❤
Chege has survived the game , the Man is talented and songs are very unique
Hakika hi ni burudani ni 🔥🔥🔥
Let's buid in unit😘😘❤❤ am very blessed with this hit. Please dear 🇨🇩🇨🇩 i want here your likes
Chege for life, my guy forever he has a good vibe and voice
Uko vizuri mzee babaaa
Wewe ndio mkongwee waletee waletee waletee.........
hapo team mond tuwasupport kiba, konde kusema kweli itakuwa ngumu labda yesu arudi duniani
Nilifikiria haiwezekani mpaka muimbe mapenzi..sie wengine hatuna habari na mapenzi...big up
Kama tumeelewa hii ngoma nipeni likes....Chigunda unabonga sense.
It's all about positive vibes 💯❤️❤️❤️noma sana 🔥🔥🔥🔥From 254 Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante sana chege ,umoja unafaa kwa wasaani ili burudni iendelee
Nimetafuta huu wimbo ❤🇰🇪🔥
Dah brz we ni🔥🔥🔥🔥nyimbo iko safi kama umeielewa gonga like twende
Kari
Sure this song carries a great message to bongo Music.....vile nilijua kanyimbo tu kumbe bonge la SONGI.
Ilimradi tunapata BURUDANi......ngoma nzuri sana.
Kweli kaka sisi sote ni wa TZ upendo utawale tuwe wamoja na tofauti zetu tuziweke kando...umenifanya nisiwe na team kuanzia leo Nawapenda wasanii wetu wote...King +konde ....acha tupeleke muziki wetu mbali 😢💞❤❤
Uongooo😂😂😂
@Kombo Zakaria hahahaaah umeona eeee kumbe na wewe kama mimi😂😂
@@georgendove6058 😂😂😂😂 kwanini?
@@ashaally6993 huwez kuwasapot wote kixa Chege kaxem lazm una team yako
@@georgendove6058 kweli kabisa kutoka moyoni mimi team Kiba ila pia konde nampenda na ikija upande wa mondi kibinaadamu simchukii ila sipo upande wake kabisa yani...
Always on top Chege Chigunda.
chuma limefika maala pake kama umemuerewa #chigunda fanya kupita nayo💥💥💥
Wakilisha Kenya, ngoma iko juu, mweshimiwa ameweza namskiza tangia mtoto, salute!
🔥 nakubali mxuruhixhi wangu
From +254 nakubali mziki wako Kaka big ups like ziteremke
Aiseeeeeeh cjawai kubar ngoma yako kivilee ila hiiiiiii nakupa big up anko #CHEGE
Kaka chenge hungera sana kwa wimbo kama huu.✌️🤟🙏💯
Always from Canada 🇨🇦 I’m the first one to watch this dude 🔥🔥🔥
💪💪💪🇹🇿
One of the biggest hits of 2021...gud message. 🔥🔥🔥🔥🔥
Asanti mkongwe wangu tokazamani uki imba soutani wala somasihara tumekuelewa chege wetu maneno yahikima tunakupenda
Umoja udumu 🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌
💯🔥💥
big up sana chege , ngoma kali sana , huu wimbo nimeurudia zaidi ya mara 5.... aisee kaka ulikaa chini ukatulia ndio ukatoa hii ngoma .... wewe ni the best one , ndio maana tangu kitambo uko kwenye chati / forever chege chigunda. nimeipenda sna ngoma hii umeonyesha upendo wa hali ya juu🔥🔥 🔥🔥 🔥🔥
Pia mm huku Kenya na igonga saana sai ni Mara ya tisa I can't get enough of this song
Nimeelewa
@@maikemaina6592 pamoja sana kaka
@@kassimseleman1160 pamoja
Nomaaaa
Unamjua Chege Chigunda weweeee🔥🔥🔥🔥🔥kali zaidi ya kali
Umebaki wewe tu ambae tunakutegemea kutupa ngoma Kali kama hizi wengine wamepotea njia nakupa nyota chege no, 1
Best of the best Chikundaaaa fire! Fire!.
Kitu ambacho huwa nasubili siku zote ni diamond featuring Alikiba jmn 😘
Kiba mbishi 😆😆😆😁😁
@@zkiduku4068 😂😂😂 yan kwanza nimecheka kwenye interview yake amesema hana marafiki 🤣 nahatak rafiki
Plooo plooo nakubali sana Big wangu chege toka Nyumbani ujiji
Vizuri sana kweli mkubwa chuki sioo kitu kabisa mumesha pata mulicho kuwa munakitafuta kwa nini chuki thank you
Kali noma sana👌💥
Aliye kubari ngoma hii weka like 👌👌
Mziki mzuri imwende wa kina mwijaku wanataka haribu mziki wa bongo mtangazaji muropokaji
Chege kweli umekaa maskani.........
Chege 🔥🔥🔥🔥🔥
Wayaaaaaa
Tokea enzii hizoo
Hadii now
Wana wa gulf nipeni like za chenge+974 twende nalo 🌹🔥🔥🔥🔥✌️💯💋
Kitu
Na nusuu
Kali sana
Noma sana
Kali so poa
hujawahi kukosea chigunda mtu mbadi🎶🎶🎶🎶
Legend kama legend hujawahi kutuangusha#umetisha chege
Weka like za chege hapa👍
Bonge la ngoma
Ngoma Kali kinyama
Kizaziiiiii
Burudani
@chegechigunda fundii
Let the devils meet nani aliyefahamu hizi mambo zinaaendelea waacha wakutane kwenye dinner
That true chege watu wawe kitu kimoja ili mziki usonge mbele
A boy from lamu kenya
BURUDAAANII BURUDANIII IMETUFIKIAAA VYEMAAA HUKUU
Moto Sana🔥🔥 sasa chapa remix ya hii wimbo kali with some of the artists you have mentioned kwa hii ngoma.Other artists do the collab remix for free to show unity
Goma mzuka chigunda, ila yani nimemiss magoma yako yani umekimya mwana wasikushtue wabana pua tupe mziki wahuni wote kenya wanakukubali bro
Yaani huyu mwamba;huimba nyimbo ambzo hazita htri sana.zakuwaunganisha watu.
Kaka ixhi hivyo hivyo uachane na mabifu mzik wako usonge mbele, ho ngera kw ujumbe mzur hakika we unajenga!
Chege you’ve killed it wapi likes Za unity in the game
Uko lengend kabisa salut baba 🙏🇷🇼🇷🇼
Hapo sawaaa CHIGUNDA
Ni wazzi chege chigunda mtoto wa mama saidi
Kaka ujumbe mzuri sana wewe ndio kaka yao pia lazima uwaweke pamoja kazi ni ushirikiano Bro safi sana kwa ngoma kali
Safi Mdundo Upo Sawa🔥🔥🔥
Mtoto wa mama saidi chege chigunda kwel burudani uwa hukwepeshi kwenye kazi rispet mkuu ngoma kari burudani kari 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hii nyimbo Ni balaaa Aiseeeee💥💥💥🙌🙌🙌
Unaambiwa ng'ombe hazeek maini na chege hazeek vocal & uandishi
Ni kweli
Hiii mdomaana halisi ya uligend ukaka ndo huu jamaaa kakaaa kafkiria kaona wadogozake wanavyo lumbana lumbana akaona awashauri kama kaka bigup chege chigunda nakubali
Pamoja chege rap! Burudani tu
Chege Chigunda.Uko juu Mzee baba.Rudi Tmk mfanye vitu kiutu uzima
Nimeelewa Sasa ulitaka kuimba nini brother big up
Nomaaaa Sana bonge la Ngoma like it👍
Kaka umesema kweliiiii
Hatari Chege! Hatari sana, ujumbe nao umefika
Wewe Janja... Big up bro kuwatakia wote mazuri... Sisi twawaombea wasanii Mungu awalinde
Ngoma Kali sanaaa 👊👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kishaa wote wamposti Chegee👑
Ni kweli kabisa umoja ni nguvu tueni kitu kimoja tupate burudani #itakua sio Sawa kumuona mondi amchana jeshi #haina haja kuchanana mikeka## that's a big message from big brother chege chiguda ngoma kali Sana big up brother 🔥🔥🔥💯💯 all the way from 965
Chege on TOP with burudani
Bonge la ngoma . ...Big up mtoto wa mama saidi
ngoma kali sana imejaa ujumbe mzuri big up chigunda
Dah, mbali burudan iliyopo kwny Hili Goma, lkn bado lina ujumbe wa maana sn..🤝🤝 good music #Chegechigunda
Ndio kitu tunataka sasa hiki na ndio maana halisi ya *BURUDANI* 🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥 Umewaza sana mtoto wa *MAMA SAIDI*
Chege juu. Nimefinya replay mara nne
Ujumbe umetoa ila utekelezaji ndiyo 0, Kama kiba na mondi hapo haitatokea lauda mungu akishuka,
Hii ngoma ni noma xana ,,ina ujumbe mzuri xana..umoja ni nguvu..
Chege Chigunda is one ina Million