Video není dostupné.
OmlouvĂĄme se.

CHEGE : DIAMOND PLATNUMZ, KAUMIA , MAGENDO

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 1. 04. 2019
  • #TheBarTender ... Episode Number 09 đŸč🍾 .
    .
    Anadondoka Mtoto wa Mama SAID ... Mkata Mkaa @chegechigunda Kwenye Counter ya #TheBarTender đŸč na Kupiga Mastory na #BabaAko @jonijooo .
    .
    Big Shout Out To ..... @rhapsodys.dar 🏙

Komentáƙe • 343

  • @cleverphd7158
    @cleverphd7158 Pƙed 5 lety +24

    Sijawaigi kuikosa Ni my favourite kuanzia episode ya kwanza adi ya 9 bado nipo kazi nzuri
    1.Young Killer
    2.Giggy Money
    3.Country Boy
    4.Lulu Diva
    5.Dude
    6.Master Jay
    7.Romy Jones
    8.Mkude Simba
    9.Chege Chigunda
    Zote kali nashindwa kuchagua my favourite ni ipi

  • @calvinsanga721
    @calvinsanga721 Pƙed 5 lety +34

    Gonga like apa kama umeham na jonijooo kutokaa now you know mpkaaa THE BARTENDER

  • @bintymwaliwanga565
    @bintymwaliwanga565 Pƙed 5 lety +80

    Gigy money
    Country boy
    Lulu diva
    Dude
    Mester Jey
    Young killer
    Romy Jon's
    Mkude Simba
    Chege

  • @issaalli4597
    @issaalli4597 Pƙed 5 lety +38

    Na mimi leo nimewahi daah! Babaako wahuni sio watu wazuri

  • @kwelashabani8214
    @kwelashabani8214 Pƙed 5 lety +5

    Fire #show

  • @leahjoram7693
    @leahjoram7693 Pƙed 5 lety +9

    Huyu Jamaa namkubali sana Kwanza sauti yake kwa kweli Chenge hunifanya niharibikiwe....nakupenda Chege

    • @ezekielmanyesela3846
      @ezekielmanyesela3846 Pƙed 5 lety

      Uharibikiwe 😂😂😂

    • @leahjoram7693
      @leahjoram7693 Pƙed 5 lety

      @@ezekielmanyesela3846 jamani na feel mbaya... Hisia zangu zote zipo kwa sauti yake

  • @hasamlawatv9790
    @hasamlawatv9790 Pƙed 5 lety +7

    Nakubali mzee

  • @kamalujafary
    @kamalujafary Pƙed 5 lety +24

    Jonijooooo tuko pamoja Sana since upo mwenyewe had sasa wasafi TV

  • @karlosorden5571
    @karlosorden5571 Pƙed 5 lety +17

    Daaah! wahuni sio watu wazuri aiseee chege umetisha
    Jonijoo The bartender wauwe.

  • @hemediplatnumz5285
    @hemediplatnumz5285 Pƙed 5 lety +1

    lucker broo

  • @paschalpius9245
    @paschalpius9245 Pƙed 5 lety +1

    Thanks wcb

  • @munashabani1376
    @munashabani1376 Pƙed 5 lety +11

    Chege Ana chekesha furaha tuu

  • @official_kigonela5123
    @official_kigonela5123 Pƙed 5 lety +7

    jonijoooo iv hiki kipindi ni lini na lini

  • @asmannyangusu5141
    @asmannyangusu5141 Pƙed 5 lety +8

    my name is asman i am from burundi but i live danemark.. nataka niwone colabo song chege juma nature and mh temba

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 Pƙed 5 lety +31

    Jonijooooo lini utamwita diamond đŸ”¶ jmn

  • @mussatendeli6909
    @mussatendeli6909 Pƙed 5 lety +15

    Kuna sehemu mmetundanganya tu ni kitu mlichokuwa mnakijua kabisaa ila poa tu

  • @rahmaramadhan2476
    @rahmaramadhan2476 Pƙed 5 lety +2

    Yaani mi nampendaga uyu chege jamani Atari toka 99 nilikua adi namuotaga usingizini natamani ata kuonananae sina njia ya kumpata

  • @lifestyletv4338
    @lifestyletv4338 Pƙed 5 lety +3

    Nakubal jonijo mbunifu unajifanya unaongea huku unafanya fanya usaf au unatafuta kitu iv kumbe idea tu

  • @aminamgaya7511
    @aminamgaya7511 Pƙed 5 lety +6

    Duhh aise nomaaaaaa sanaaaa

  • @shalubidullah1580
    @shalubidullah1580 Pƙed 5 lety +21

    kwaiyo chege muda wote huo mziki miaka kumi na uchafu ukashindwa subuscribe laki moja
    kweli maisha sio fea kabisa.

    • @abdulrazakgwotta5561
      @abdulrazakgwotta5561 Pƙed 5 lety +1

      Shalubi Dullah Kwani miaka ya 2004-2010. Bongo kulikuwa na matumizi makubwa ya youtube?
      Kama hakukuwa ndio maana ili kuwa ni ngumu kuwa na subscribers!!

    • @shalubidullah1580
      @shalubidullah1580 Pƙed 5 lety +1

      hata kam kwaiyo unataka uniambie tokea afungue akaunti ya you tube ajafikisha miaka tano au saba

    • @yakwako2354
      @yakwako2354 Pƙed 5 lety

      Tatizo ni skendo tu, ukiwa na matukio unaweza kufikisha hata m 1

  • @ramiaomary4277
    @ramiaomary4277 Pƙed 5 lety +2

    Jonijoo mungu kakupa kipaji kaza brother kwa neema tutafika ukitoka kwa wasanii ,ingia kwa komedy ,# Pierre konk malizia na wana siasa

  • @karlmarxkisofero1209
    @karlmarxkisofero1209 Pƙed 5 lety +150

    Tuliotoka kuangalia bongo dar es salam na kuja huku tupo wapi

  • @joesimba
    @joesimba Pƙed 5 lety +3

    ‱ country boy (m)
    ‱ young killer (m)
    ‱ gigy money (f)
    ‱ lulu diva (f)
    ‱ dude (m)
    ‱ master jay (m)
    ‱ Romy Jones (m)
    ‱ mkude simba (m)
    ‱ CHEGE CHIGUNDA (M)
    M: 77.8%
    F: 22.2% ....so far

  • @hamzambasha8577
    @hamzambasha8577 Pƙed 5 lety +5

    Namkubali Sana hyu jamaa Yuko real 👊👊👊

  • @sammyimbo8333
    @sammyimbo8333 Pƙed 5 lety +5

    Chege unajua kweli kujibu maswali

  • @awilooisso1345
    @awilooisso1345 Pƙed 5 lety +1

    Platnumz lini

  • @frankleo7247
    @frankleo7247 Pƙed 5 lety +3

    P~funk z best sound enginer never seen n bongo...@anastahir eshima kubwa apa bongo...upo sahih chege

  • @willymashaka648
    @willymashaka648 Pƙed 5 lety +8

    nakubari sana show yako mzee iko poa toka ulivo anza na young killer mbaka leo chege sijawai kosa yn ila mzee ningeomba juma 4 iyo mlete fidi q mzee tunaomba

  • @brendafranklin5002
    @brendafranklin5002 Pƙed 5 lety +4

    Jmn mie nampenda chege anavyochekaga tu

  • @maryamammar1488
    @maryamammar1488 Pƙed 5 lety +8

    Hongera Chege💕💕💕

  • @hassanmaganga1544
    @hassanmaganga1544 Pƙed 5 lety +2

    Nakukubali sana chege

  • @maryamammar1488
    @maryamammar1488 Pƙed 5 lety +6

    The Bartender đŸ’„đŸ’„đŸ’„đŸ’™

  • @daudiemmanuel451
    @daudiemmanuel451 Pƙed 5 lety +5

    Hii show nilikuwa ninaisubilia kwa hamu sana kwa next artist, Baba ako oyooooooooooo. the Bartender

  • @munashabani1376
    @munashabani1376 Pƙed 5 lety +2

    Ongera Sana chege kwa tuzo

  • @lazarogabrielmalinjanga9495
    @lazarogabrielmalinjanga9495 Pƙed 5 lety +3

    Nakubali Broo #jonijo

  • @jacquelinejohn7312
    @jacquelinejohn7312 Pƙed 5 lety +6

    Wa3 jmn leo

  • @bernardbutahe2613
    @bernardbutahe2613 Pƙed 5 lety +10

    weka like twende sawa kama unamkubalib chege mtoto wa mama saidi #mwanayumba

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 Pƙed 5 lety +4

    jinsi tulivyo.....

  • @jumabakili1994
    @jumabakili1994 Pƙed 5 lety +9

    Daaaah babaakoo mbona majina ya wagen yako hatuyaoni vzur

  • @adammichael7964
    @adammichael7964 Pƙed 5 lety +5

    Nakubali hii kipindi sana Babaako unanifanya niwe happy namaswali kwa wasanii,one day napenda nimwone kingi Mondi nawengineo

  • @ommyp7rajaa415
    @ommyp7rajaa415 Pƙed 5 lety +6

    Jonijo ee mfundishe marther hiyo kazi kiukweli mna pendeza

  • @yusuphdeogratius1036
    @yusuphdeogratius1036 Pƙed 5 lety +8

    Wahuni siyo watu wazuri nazidi kukuelewa san jonijo show konk

  • @mariyammuhammed8745
    @mariyammuhammed8745 Pƙed 5 lety +2

    Nikiambiwa nichague msanii mmoja namchagua Chege napenda sana sauti yake

  • @mayamohamad710
    @mayamohamad710 Pƙed 5 lety +8

    Nimo mieeee nice work

  • @gsix1280
    @gsix1280 Pƙed 5 lety +6

    Chege brain smart

  • @bernardlumori8241
    @bernardlumori8241 Pƙed 5 lety +8

    Wahuni sowatu wazur

  • @gsix1280
    @gsix1280 Pƙed 5 lety +5

    Jonijoo kisomi bro

  • @abumoyo840
    @abumoyo840 Pƙed 5 lety +9

    Babaa akoo

  • @kizazijeuri3562
    @kizazijeuri3562 Pƙed 5 lety +2

    milion 11

  • @aminarashid6286
    @aminarashid6286 Pƙed 5 lety +6

    Penda sana chege haring wala nn

  • @athumanimrope3611
    @athumanimrope3611 Pƙed 5 lety +18

    Na hiyo "no way" wangapi wanaisikia đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @masterjkhamiss4007
    @masterjkhamiss4007 Pƙed 5 lety +5

    Kipind kimetulia sana

  • @alhabibnachoaly3018
    @alhabibnachoaly3018 Pƙed 5 lety +6

    kufuli nene wauni xio wtu wazuri big 👆 up wasafi jonijoo unatukosha nacho frođŸ‡¶đŸ‡ŠđŸ‡¶đŸ‡ŠđŸ‡¶đŸ‡Šqatar

  • @salimkulwa109
    @salimkulwa109 Pƙed 5 lety +4

    Babaakooo atal ww jonijooo nakukubali cna

  • @fatmahassan4387
    @fatmahassan4387 Pƙed 5 lety +7

    Hata diwani wangu wamtaa smjui
    😁😁😁😁😁😁😁

  • @snowwhite4670
    @snowwhite4670 Pƙed 5 lety +2

    Uhakikaaaa

  • @ommyp7rajaa415
    @ommyp7rajaa415 Pƙed 5 lety +4

    Nipo p1 na bar tender sanaa

  • @lacheeselady7523
    @lacheeselady7523 Pƙed 5 lety +14

    Hongereni for dis revolution in de industry lkn bwana hilo goli hapo sio sawa bwana watu nje wanaangalia kweli una switch kushika goli tuendelee ku improve vitu vdogovdogo kama hvyo and we good

  • @yasinjumanne9209
    @yasinjumanne9209 Pƙed 5 lety +2

    Nomaaa snaAaaaaaa

  • @deboss5935
    @deboss5935 Pƙed 5 lety +2

    Chege kweli mswahili...
    Nmekubali kk sio poa aseee

  • @hassanhussein3160
    @hassanhussein3160 Pƙed 5 lety +1

    Babaako wahuni cyo wa2wazurii #this ha we do

  • @MuslimChannelTZ
    @MuslimChannelTZ Pƙed 5 lety +8

    Respect my blood chege chigunda

  • @shabanmohammed8235
    @shabanmohammed8235 Pƙed 5 lety +5

    Woyooiooo nishawahi kaka yenu

  • @razakihassani8048
    @razakihassani8048 Pƙed 5 lety +18

    Wa 7 comment hatari fireee

  • @sarahhamisi2070
    @sarahhamisi2070 Pƙed 5 lety +8

    chege/ sauti" adim

  • @hassanmangale2323
    @hassanmangale2323 Pƙed 5 lety +2

    Babaakoo

  • @abdallahomary7733
    @abdallahomary7733 Pƙed 5 lety +23

    Mie namuangaliaga martha tu humu 😂😂😂😂

    • @enmanuelljohn4288
      @enmanuelljohn4288 Pƙed 5 lety

      Hahahajhahahahaaaaaaa we kiboko

    • @abdallahomary7733
      @abdallahomary7733 Pƙed 5 lety

      @@enmanuelljohn4288 hamna namna kaka nataka nipange safari ya kwenda kumuona live pale 😂😂

  • @ramatoni7394
    @ramatoni7394 Pƙed 5 lety +1

    nakubali kazi

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 Pƙed 5 lety +10

    Wakati wa maswali mastaa yaani hawafahamu nchi yao

  • @betinhomersollucas7206
    @betinhomersollucas7206 Pƙed 5 lety +1

    nakipenda sana kipindi salute kwa joonijo

  • @angelitajmbuya9390
    @angelitajmbuya9390 Pƙed 5 lety +1

    Ila maswali yako broo nomaaa 😘😘😘 ila nakukubali

  • @simonalais4092
    @simonalais4092 Pƙed 5 lety

    Ooh nimemuona mmasai mwenzangu anaegemea gari chege hata hamsalimie kweli haya maisha duh

  • @mgayatz1659
    @mgayatz1659 Pƙed 5 lety +5

    Afu hii tabia ya kujidai mnakunywa juice kumbe pombe

  • @ommybrain9607
    @ommybrain9607 Pƙed 5 lety +2

    Chege kaumiza mitupiooooooooo sana

  • @husseindyamwale7951
    @husseindyamwale7951 Pƙed 5 lety +1

    Mbayaaa ikonoma

  • @yusuphmaridadi165
    @yusuphmaridadi165 Pƙed 5 lety +1

    Babaakoooo

  • @peterlucas8919
    @peterlucas8919 Pƙed 5 lety +6

    Wakwanza leo jmn naombeni like sijawahi pata hata kumi2!!!

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon782 Pƙed 5 lety

    country boy. young killer gigy money lulu diva dude master j Romy jons mkude simba chege

  • @abuuabuuamed5366
    @abuuabuuamed5366 Pƙed 5 lety +5

    Baba ako wauni sio watu kabisa

  • @emmanuelhsofunnymausylvest6636

    Chege ashaanza kulewa,Hiyo si juice itakuwa pombe

  • @ratmusa9814
    @ratmusa9814 Pƙed 5 lety +1

    Nampendag xn uyu kaka

  • @paulmkai2043
    @paulmkai2043 Pƙed 5 lety +5

    @jonijo unajua kwanini kidole cha pete ni kidole cha nne kutoka kidole gumba..?

  • @mustafahaji7112
    @mustafahaji7112 Pƙed 5 lety +24

    Babaakoooooo wahuni sio watu wazuri wakivaaa breti prufu so tunawashuti kichwani chege hatari😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bifuhaseleman995
    @bifuhaseleman995 Pƙed 5 lety +4

    Baabaakoooo wahuni so watu wazr, show lock

  • @lameckntahondi8073
    @lameckntahondi8073 Pƙed 5 lety +9

    Wasita Ku comments,,, baba akooo

  • @clintonmkinga3633
    @clintonmkinga3633 Pƙed 5 lety +1

    Hatali sana

  • @sahalexcha3036
    @sahalexcha3036 Pƙed 5 lety +5

    ~CHEGE~ _chigunda_ *chalii* ya *KIGOMA* *sanaaaaaaaaaa*

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Pƙed 5 lety +7

    Shoo y kibabe cn ila matha unakuwag unafanya kaz au unasikilizaga shoo

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Pƙed 5 lety

    Baba ako, waafrica wenzangu acheni wivu sijawai pata like hata siku moja nipeni like , go jonijo go wcb

  • @markomgeni5127
    @markomgeni5127 Pƙed 5 lety +3

    Kipindi kizuri Sana ,pia ningependa kuwashauri kisiwe kwa ajiri ya watu wa Sanaa tu ,Kama wanasiasa na viongozi was dini ,ili kidogo kuchanganya Radha kwenye kipindi ,na watu wa biashara pia.

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Pƙed 5 lety +5

    Chege duh amna kitu eti hawezi kum-promote GB....... Kaona apa sjui kitu acha nikatae kijanja ila show la kibabe

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 Pƙed 4 lety

    Nakupenda chege sana sana♄♄♄đŸŒč

  • @onjenikatindasa7315
    @onjenikatindasa7315 Pƙed 5 lety +1

    #the bar tender....#

  • @yusuphmussa6589
    @yusuphmussa6589 Pƙed 5 lety +3

    baba ako

  • @zebdayleonard8599
    @zebdayleonard8599 Pƙed 5 lety +13

    Ishi nae hyo jon joo bana
    Kwel wahun sio wat wazr

  • @noorali-mo4lp
    @noorali-mo4lp Pƙed 4 lety

    Kizazi sana.. Babaaaako

  • @twalhamahmudu7377
    @twalhamahmudu7377 Pƙed 5 lety +1

    konk xana pande za njengon the bartender

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Pƙed 5 lety

    Hongereni sana Show tamu kweli,

  • @hamicrajabu5206
    @hamicrajabu5206 Pƙed 5 lety

    nakubali sana

  • @davidochieng2180
    @davidochieng2180 Pƙed 4 lety

    Hongera