Wewe unasema selikali iliangaliye na wewe ni mubunge haya tutaiga Kenya Iko siku mutatupa mulejesho watoto wa masikini mungu yupo tuzalau tu fala akibumbuluka mjanja Hana lake
Kiukweli mbunge nchi yetu imekuwa ya hovyo sana watu wanakuja wanapewa fulsa ambazo kwao tukienda sisi hatuwezi kupewa uku wachina wnafanya biashara kama kwao wanauzampaka viatu vya mitumba haaa hii shida sana kwetu
Kwenye upande wa risiti wala usiwatetee yaani maduka yanayotoa risiti halali yanahesabika. Wengi wanaandika kiwango kidogo na pia unakuta hiyo risiti ilikuwa ya mtu mwingine unapewa ww ukidai, yaani wengi ni wadanganyifu. Mimi nilishakataliwa kuuziwa bidhaa kisa nataka na risiti.
Acheni uchawi fanyeni kazi vijana, ujinga huu ndio wanao kule South Africa, wao kaz hawatak wageni wakipambana na kutoboa wanaandamana na kuleta fujo. Kwangu mm ni ujinga plus
Siyo hiki tu! Wanafanya biashara ya risiti ndogo.ukitaka risiti full lipa vat? Uelewa tu vat ni mbadala ya kodi ya mauzo zamani. Kuna mawakala huko mitaani kariakoo wanatangaza biashara ya china na unalipa dar na unaletewa mzigo mpaka nyumbani lakini hakuna risiti. Pita njia ya halali kununua kitu chochote hata kenya uone sheria zinazohitajika
Wachina waondoke katika biashara zetu ndogondogo ikiwemo pia kamari huku mtaani ambapo sasa wamewafanya vijana wetu kuwa waraibu! Aidha, Mhe. Shabiby, hoja zako mbona hatukuzikia ndani ya ukumbi zikawekwa kwenye kumbukumbu?
Maafisa wa TRA.Ajira zao mashaka tupu,mishahara yao mashaka,tena Kuna kiongozi mmoja kwa ujinga wake alitamka kuwa TRA mishahara yao iwe maalumu(mizuri) ili wasiwe na tamaa.Kifupi kodi zetu ni kubwa.Suluhisho,baada Kenya ni kwetu,hakuna anayekubali kuonewa au kuporwa.
uwelewa wenu wabunge ni mdogo sana. hamjui matatizo ya kikodi kabisa. na tatizo lenu mkipewa malalamiko ya kuongelea bungeni mnataka hela kwa mtoa taarifa ili suala lake muweze kuliongela bungeni. ni shida sana tafuteni muda wa kukaa na kujua matatizo ya kikodi.
Mfano. kwenye mfumo ya tax portal. unapigwa fani ya kodi ya 250,000/= kwa kuchelewe kuposti malipo ya 2,500/= na ukichelewa kutoa ripoti ya mwaka ya biashara iliosajiliwa Ltd unapigwa fini mpaka 5,000,000/=. na wakati mwingine hata hizo kampuni hazifanyi kazi
Serikali ya kipumbavu kabisa haimtetei Mtanzania yoyote anayekandamziwa na wageni katika nchi yake, wala nje. Angalia mashirika ya simu yanavyowalangua wananchi, wakati hiyo inayoitwa miheshimiwa yakodoa macho tu kama mjusi aliyebanwa na mlango!
Sio plastiki tu tanaweza kupewa eneo kama loliondo likawa la kwetu
😂😂😂😂😂😂😂Uko serious kweli !????
Point kubwa mno!! Vijan wengi wanamitaj midogo wanashindwa kufany biashar kwasababu wachina wanauz bei za jumla na rejareja
FACT
Hapo umesema ukweli wachina na waturuki wanauza mpka masufuria je tukienda kwao tuuze sufuria watakubali
Wizi huo wabunge acheni unafiki
Wewe unasema selikali iliangaliye na wewe ni mubunge haya tutaiga Kenya Iko siku mutatupa mulejesho watoto wa masikini mungu yupo tuzalau tu fala akibumbuluka mjanja Hana lake
mbunge na yeye analalamika anaomba serikali iliangalie nje ya Bunge 😂😂😂😂
Bila ukenya hatuto savaiv
Kiukweli mbunge nchi yetu imekuwa ya hovyo sana watu wanakuja wanapewa fulsa ambazo kwao tukienda sisi hatuwezi kupewa uku wachina wnafanya biashara kama kwao wanauzampaka viatu vya mitumba haaa hii shida sana kwetu
4:01 4:08 4:08 4:21 4:21 4:33 4:40
Kwenye upande wa risiti wala usiwatetee yaani maduka yanayotoa risiti halali yanahesabika. Wengi wanaandika kiwango kidogo na pia unakuta hiyo risiti ilikuwa ya mtu mwingine unapewa ww ukidai, yaani wengi ni wadanganyifu. Mimi nilishakataliwa kuuziwa bidhaa kisa nataka na risiti.
Fanya na wewe biasha utowe risiti halali
Maana huelewi nini watu wanakikataa ila ukifanya ndio utajuwa
@@samirhumud7408 Risiti zitolewe bhana acha mambo yako sema tu Kodi ipunguzwe ni kubwa sana
@@samirhumud7408walipe Kodi halali kulingana na mauzo, waliamua kuwa wafanyabiashara😊😊
Acheni uchawi fanyeni kazi vijana, ujinga huu ndio wanao kule South Africa, wao kaz hawatak wageni wakipambana na kutoboa wanaandamana na kuleta fujo. Kwangu mm ni ujinga plus
HAPA KUNA SHIDA, WAFANYA BIASHARA AWASHINDI KULIPA KODI, KODI SIO RAFIKI MISICHANGANYE WATU .
Kodi ipi
Kabisa
@@birianination7097 service levi
Uko sawa kabiisa Kwani hawaijui wahusika
Shabiby hujawahi kukosea siku zote upo upande wa wananchi,lkn baadhi ya wananchi niwajinga lazma wakukosoe
Siyo hiki tu! Wanafanya biashara ya risiti ndogo.ukitaka risiti full lipa vat? Uelewa tu vat ni mbadala ya kodi ya mauzo zamani.
Kuna mawakala huko mitaani kariakoo wanatangaza biashara ya china na unalipa dar na unaletewa mzigo mpaka nyumbani lakini hakuna risiti.
Pita njia ya halali kununua kitu chochote hata kenya uone sheria zinazohitajika
Wachina waondoke katika biashara zetu ndogondogo ikiwemo pia kamari huku mtaani ambapo sasa wamewafanya vijana wetu kuwa waraibu! Aidha, Mhe. Shabiby, hoja zako mbona hatukuzikia ndani ya ukumbi zikawekwa kwenye kumbukumbu?
Office za mawakili wote wanachua mamilioni mbona hawatowe lisiti?
Maafisa wa TRA.Ajira zao mashaka tupu,mishahara yao mashaka,tena Kuna kiongozi mmoja kwa ujinga wake alitamka kuwa TRA mishahara yao iwe maalumu(mizuri) ili wasiwe na tamaa.Kifupi kodi zetu ni kubwa.Suluhisho,baada Kenya ni kwetu,hakuna anayekubali kuonewa au kuporwa.
uwelewa wenu wabunge ni mdogo sana. hamjui matatizo ya kikodi kabisa. na tatizo lenu mkipewa malalamiko ya kuongelea bungeni mnataka hela kwa mtoa taarifa ili suala lake muweze kuliongela bungeni. ni shida sana tafuteni muda wa kukaa na kujua matatizo ya kikodi.
Mfano. kwenye mfumo ya tax portal. unapigwa fani ya kodi ya 250,000/= kwa kuchelewe kuposti malipo ya 2,500/= na ukichelewa kutoa ripoti ya mwaka ya biashara iliosajiliwa Ltd unapigwa fini mpaka 5,000,000/=. na wakati mwingine hata hizo kampuni hazifanyi kazi
Zambia tu hapa jirani? Hakuna mtanzania anaruhusiwa kufungua hata genge la nyanya bila kibali maaluum cha kulipia mamilioni ya pesa.
Hana lolote huyo sukari kasema anajua kuna madudu lakini hawezi kusema.
Huo uwekezaji mkubwa watz kumbe hatuwezi ee
WALAU KIDOGO AKILI ZIMO
Ukiona ccm wamemaind ujue hali ni mbaya 😂.
Mkumbuke china kunauza chai
Serikali ya kipumbavu kabisa haimtetei Mtanzania yoyote anayekandamziwa na wageni katika nchi yake, wala nje. Angalia mashirika ya simu yanavyowalangua wananchi, wakati hiyo inayoitwa miheshimiwa yakodoa macho tu kama mjusi aliyebanwa na mlango!
Mzee wasila kinana watastafu lini au wawo wa NATOa lisiti wapi
ilo neno kosa. ndo atulitaki kulisikia pumbafu nyote nyie
Ww Mzee na wewe usiwe chawa nchi Haina umeme je hutauza?
unaongea ujinga tu. hujui uchumi wewe kwenda zako uko.
Wewe siunajua uchumi ok
Wewe na yeye nan mwenye uchumi imara!??
unaongea ujinga tu. hujui uchumi wewe kwenda zako uko.