Afya Ni Mtaji: Magonjwa ya Fangasi Za Ngozi || Dr Charles Nhungo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Kipindi cha Afya ni Mtaji, kinachorushwa mbashara kila siku ya Jumanne, kuanzia saa 12:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki, kutoka Kanisa la Waadventista wa Sabato Mwenge.
    Mada ya leo ni Magonjwa ya fangasi za ngozi- kama inavyoletwa kwenu na Dr Charles Nhungo kutoka Regency Medical Centre, Dar es Salaam; kwa maswali na ushauri, wasiliana naye kwa namba +255 754 381 775, au barua pepe live@mwengesdachurch.or.tz.
    Karibu ku-subscribe katika channel hii; kumbuka ku-like video hii na kui-share kwa marafiki.

Komentáře •