I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
Kazi kwisha bila nyef nyef! Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge. Hakuna nyef nyef.
Best quality of a leader 1. Ability to control and make timely decisions, Magufuli has all of these. Currently mama ni kama anahubiri zaidi corona na usawa wa kijinsia. Sina hakika kama anajua vitu na haina ya watu walio mzunguka
mungu mlinde magufuli na hassadh za waja yaani yy ni rais anae faa kabisaa mtenda haki may God bless you mr president..ungekuwa kenya mambo yangekua nywee
Huo ndio uwongozi kila mmoja mtazania anajua kilakitu sio msemo wa mama nitatumia kalamu situtajua umemuonea sema hazalani tujue makosa yao kalamu ndonini
Kanyaga jomba magu usiogope mungu yupo pamoja na ww na utaulizwa siku ya kufufuliwa uwongoz umeutumiaje usirud nyuma kandamiza kijoti usiwe na shaka kura yangu naanza kukipa saiv
Nyinyi mumekaa tu kipiga makelele tu haa sasa Angalieni sisi tutamleta mzee magufuli hopo hapo huyu mzee sio au mukamuona ni kipochi huyu ndio kiboko yenu mutaipata nyinyi
Mkuu wa mkoa dar es salaam embu tunaomba tusaidie jangwani tunateseka mafuriko hatuna pakwenda je selikali haiwezi kutusaidia tumepeleka malalamiko Kila tukienda wanataka pesa je ni haki kwa mtanzania au
Sorry to be offtopic but does anyone know a way to get back into an Instagram account? I stupidly lost the account password. I would love any tips you can offer me!
Siasa na upendeleo vilitawala sana makonda ulihujumu mambo mengi lakini uliachwa wengine wakatimuliwa kama mbwa maisha ya ujanja ujanja na upendeleo huwa hayadumu
Makonda.umeishi Kama mfalme ezi izo Leo unaishi Kama mkimbiz ata siku ikiisha ukiwa salama hofu jujujuu.nakuambia mtegemea mwanadamu mwenzie amelaaniwa.
Makonda mungu alikuwa anakuona ulivyo kuwa unamkanyagia mwenzio ili kibaruwa kiote nyasi na kweli ukafanikiwa lakini sasa utatafuta cha kujibu wewe sasa
Mh,Raisi John Magufuli. Kiukweli napenda uongozi wako''ninaishauri serikali yako itengeneze katiba ili uendelee kuongoza Nchi,hata kwa miaka 20 ili nchi yetu ifikie malengo
RIP Chuma wa Africa@Magufuli tutakukumbuka daima
Nampenda magu kwasababu sio muoga sio kuwatumbuwa2 sukuma ndani
Magufuli rest in peace we love you
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
If
Ff
Thanks for the observation 🇹🇿🙏🏾
@@hekimahalisi6115 🙏🏾
Opportunity and pick out io
Rais wangu DR Magufuri nikisikiliza hotuba zake naongezewa nguvu ya kuendelea kufanya kazi za kukuza uchumi wa family yangu na taifa kwa ujumla.
Great African leader if we only had 5 leaders like him in Africa believe me Africa would have changed for better
He is the worst leader of Africa he does not obey the rules he is just making his own Rules wich is not Right at all
Kazi kwisha bila nyef nyef! Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge. Hakuna nyef nyef.
Hakuna Wala haitatokea kamzidi hata kishiki
Mtu akishakufa ndio tunamkumbuka mema yake R.I.P MAGU
R.I P. Mh john joseph magufuli
Mungu endelea kumlinda rais wetu mh John pombe magufuli
MAGUFULI AWAELEZA WATENDAJI WAKATA DODOMA KUFANYAKAZI KWA UWADILIFU
Tutamkumbuka baba wa siyo Tanzania to ila Africa nzima mungu ailaze roho yako in special places in heaven 😥🙏🏿
Hayati Joseph magufuli alikuwa mtu mzuri sana.
Best quality of a leader 1. Ability to control and make timely decisions, Magufuli has all of these. Currently mama ni kama anahubiri zaidi corona na usawa wa kijinsia. Sina hakika kama anajua vitu na haina ya watu walio mzunguka
Sijajenga kwa maraisi wote lkn kwako nimejenga mungu akulinde
Niishammiss tyr rais wetu jaman🙏
Mjomba magu njooooo Sasa hivi mtu akiaharibu hapa napelekwa kuleeeee wakatiwako kulikua na Simba
mungu akuweke jembe
Mungu tuomba utupe kiongozi Kama Dr John pombe Magufuli
Mama Samia nae afanye hivyo inchi ataiweza sana.
Hapa ndiyo nilikuwa nawahi kuangalia taalifa ya habar lakini sasa hiv naikimbia kabisa aukuzma kabisa tv.
mungu mlinde magufuli na hassadh za waja yaani yy ni rais anae faa kabisaa mtenda haki may God bless you mr president..ungekuwa kenya mambo yangekua nywee
Amekufa sasa
Huo ndio uwongozi kila mmoja mtazania anajua kilakitu sio msemo wa mama nitatumia kalamu situtajua umemuonea sema hazalani tujue makosa yao kalamu ndonini
Mungu msaidie Dr Rais Magufuli ili aweze kutekeleza yale yooooote anayotaka kuendeleza TZ
Hata wewe tutakutumbua tu.
Mh. Rais magufuli juu zaidi ila bado cjatoboa ktk uigizaji
o9bj8y22
Asante baba bdo nakukumbuka
Very transparent African leader,may God rest his soul in peace.
Mwapoxa
Rais ya wanyonge milele.
Tutakukumbuka daima ww ni kumbukizi wetu kwa mema ulioiachia Tz yako
Ee mungu tumemkumbuka huyu mtu.
Magu mungu akutunze uko ulipo
Nakulilia kila siku moyo unqvuja damu,pumzika rais wangu kwa amani
Kanyaga jomba magu usiogope mungu yupo pamoja na ww na utaulizwa siku ya kufufuliwa uwongoz umeutumiaje usirud nyuma kandamiza kijoti usiwe na shaka kura yangu naanza kukipa saiv
Endelea kututetea wanyonge hivyo hivyo Rais wetu
Nakukumbuka sana raisi wetu hayati magufuri mungu akulaze mahali pema peponi dahh!! Bdo tunakukumbuka
We ni mwamba WA chuma lala baba alama yako iko miyon milele
Rais wetu unge kuwepo hadi lewo tunge kuwa mbali sana Mungu akulinde mahali ulipo amin
chumaaaa mwambaaa raix
wa wanyonge
Mungu aiweke roho ya Mareham pema pepon
Yang na Azam 2022
mh.raisi endelea kutenda kazi mungu yu pamoja nawe akulinde
BABA LAO RIP BABA TUNAKUKUMBUKA SANA😭😭
Nyinyi mumekaa tu kipiga makelele tu haa sasa Angalieni sisi tutamleta mzee magufuli hopo hapo huyu mzee sio au mukamuona ni kipochi huyu ndio kiboko yenu mutaipata nyinyi
nilikupenda sana baba
We miss you uncle
Ubalikuwe na mungu
Wangapi tuko apa 2021??
Hata Akija Kenya ataona tunashida
tutakumbuka daima baba
Mwazi mugu akusamehe ulipo kosea baba mungu ailaze loho yako mahala pema peponi amni
v.I.p,abarikiwe,magufuri!
Azam
Jp
Mkuu wa mkoa dar es salaam embu tunaomba tusaidie jangwani tunateseka mafuriko hatuna pakwenda je selikali haiwezi kutusaidia tumepeleka malalamiko Kila tukienda wanataka pesa je ni haki kwa mtanzania au
Video zaxx
.....Leo hii alie mchongea nae hana kazi, siasa mchezo mbaya sana
Naitaj..MOVIE..ZA.VASICO
Hii ilikuwa nzuri sana kwa kuendesha inchi Kama Tanzania,hata aliyepo kwa sasa akifanya hivyo hivyo ni sawa.
fighter never worry
Sorry to be offtopic but does anyone know a way to get back into an Instagram account?
I stupidly lost the account password. I would love any tips you can offer me!
We Albert Bashite ulikuwa mbeya sana.lakin nawewe pumzk kwa hofu kubwa
Uhur tanzania
Da Magufuli big up sana tetea na jenga Taifa la wanyonge TANZANIA
Yanga
mahali ulipo Mungu akulinde
mambo mengine mnashangilia tu hayajawakuta kumwachisha kaz mtu awe anawaonya mi naumia kuona hivyo jaman 😢😢😢😢
Huyu ndo ilikua nyundo ya chuma
Yani siamini Kama huyo mzee ametoweka ktk uso wa dunia
Inauma sana
Kiongozi aliyejali maslahi ya Watanzania Mungu ailaze roho yake mahali pema
Mheshimiwa rais mm ni mkenya napenda uongozi wako
Sadicck
Azamu
nice president.wapumbavu tunatoa tunaitaji watu wachapa kaz na wenyekuitaji maendeleo ya nchi yetu
Ufunguzi wa jengo laikulu dodoma
Siasa na upendeleo vilitawala sana makonda ulihujumu mambo mengi lakini uliachwa wengine wakatimuliwa kama mbwa maisha ya ujanja ujanja na upendeleo huwa hayadumu
Wewe
Chumacha pua Rip mkuu wangu
Home of Intellectual
Makonda.umeishi Kama mfalme ezi izo Leo unaishi Kama mkimbiz ata siku ikiisha ukiwa salama hofu jujujuu.nakuambia mtegemea mwanadamu mwenzie amelaaniwa.
❤❤❤
Maguufuli atakumbukwa saana lasivyooo atokeeee MAFUNGUO. Kuzba pengo
Mko wapi sasa?
Hakika bab tumekukumbuka sana sis wa hali ya chini🙏🙏🙏😂😂
Mungu atawalinda siku zote watanzania wenzangu tupendane
Makonda mungu alikuwa anakuona ulivyo kuwa unamkanyagia mwenzio ili kibaruwa kiote nyasi na kweli ukafanikiwa lakini sasa utatafuta cha kujibu wewe sasa
Aaaaaaa maguuuuuu ubarikiwe xn baba mkubwa
Alice Thadeo atv
Alice Thadeo a tv
Alice Thadeo
h
diamond
Nambie
Lala Salama mgogo wa tanzania
Nyarugusu SDA Ay. Choir
Tutakukumbuka Sana baba yetuu
Dah bas 2 we mzee pumzka kwa aman
Daima tutakukumbka kipenzi cha watanzania pumzika kwa amani
Nani yupo may 2024.
Mh,Raisi John Magufuli. Kiukweli napenda uongozi wako''ninaishauri serikali yako itengeneze katiba ili uendelee kuongoza Nchi,hata kwa miaka 20 ili nchi yetu ifikie malengo
Adili Katula mllll
Askofu kakobe
@@jumanneramadhani7073 sawa
matukio yaleo ya kiswaili
hapa kazi tu magu
simbdwangapivpl
😭😭😭
😭😭😭😭😭😭
I lived you more much dady
Yanga na azam
Safi sana Raisi wetu
Enzi za utukufu waao...
Maguuuu😭😭
Hivi nikweli hii sauti haita sikika Tena Mimi Bado siamini kabisa
Good job 👍
Leo mwezi wa 9 nmerudia kukutazama baba etu
R.i.p JPM
Lala kwa aman
KWASABABU MAKONDA HAKUWA SIGNATORY NA HAKUWA MSIMAMIZI KWAHILI MNA MIPANGO YENU
Daniel mgogo