Rais Magufuli ‘amkaanga’ hadharani Mkurungenzi Butiama kisa mamilioni ya ujenzi wa hospitali
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2018
- Rais Magufuli amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Butiama mkoani Mara Mabula Alphonce kushughulikia haraka ujenzi wa Hospitali ya Wilaya hiyo, huku akibainisha kuwa tayari kuna fedha kiasi cha shilingi milioni 400 ambazo tayari zimetolewa.
Rais Magufuli amemuita mkurugenzi huyo mbele ya wananchi na kumtaka kuzitumia fedha hizo kwanza kabla ya kuomba fedha nyingine, huku akiahidi kumfuatilia.
Ni katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Septemba 6 kwenye Uwanja wa Mwenge wilayani Butiama, mkoani Mara.
Je ni wangapi siku ipiti Kama hawajaiona hotuba ya Shujaa wetu MAGUFULI?mie bado naumia tu kwakumpoteza Raisi wetu kipenzi cha WATANZANIA wanyonge Daima tutamkumbuka PUMZIKA kwa Amani Raisi wetu MAGUFULI 😭 😭😭😭😭
Watu tulikuwa tunafatilia kila ziara ya huyu mwamba maana utacheza na kujifunza pia
Me kila kuitwapo Leo nangalia hotuba yake Jembe LA kazi hayati Dr John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima saivi hatuna Rais wakutetea nchi yetu kwa Hali hii ya Watu kuwawa ovyo
Chozi langu miyeeee saiv wamebakia wapigaji tu.
Tutakukumbuka daima mwenyenzi mungu akupereke peponi
Mkuu had walinz wanatabasam kweli Hapa kazi tu
True leader never die rip Dr magufuri
Safi Magori 👍🏽👍🏽
Hakika utakumbukwa katika historia ya nchi yetu baba rest in piece jpm
Rest in peace Mungu akutunze
Hongera sana Mkuruzenzi mpya wa Butiama fanya kazi vizuri
Labda wateu tena kutoka kanda ya ziwa ndo tutapata Rais kama Gpm
Mh: Rais naomba utuongezee fedha mkuruzemkuzenzi mkurugenzi mpya😁😁😁
sakina we mnoko kweli ha ha ha
😁😁😁
Nimecheka hadi nimetokwa na udende, kwamba mkuruzenzi
Daaa huyu mwambaa ni genius
Rest in Peace Magufuli, you were the best leader I ever seen in Africa
Fact bro😭😭
In the world
RIP Kiongozi
Eti mkurugenzi mwenyewe kajaaa🤣🤣🤣 baba ulikua mtani wetu sana
Rest in peace baba
Safi mkurugenzi
I wish kenya had this kind of President. Kenya ni wizi tu
Magufuli bwana uliogopeka siyo mchezo, hatari Sana tulia mzee uko uliko
Balaa
It is historic and glorious time TZ went through
Ilike late magufuli saisi from Kenya
daaa kweli wew ako ni kiboko mkurugenz anatetemeka
Jembe kutuacha dah mungu ailaze roho mahala pema peponi amen
amejiletileza mwenyewe😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣 hiki chuma kilikuwa knaogopeka Wallah
majamaa yakiwa yana hojiwa na Rais yana tamani utokee ufa yazame mazima a hari ya hewa inabadirika
Alikua anaogopeka sio siri ila tunamupendaaaaaa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪💪💪💪💪
I miss him 😥
R.I.P AKUNA ATAKAE WEZA ZIBA PENGO
Hakika jamani inauma
Uyu mzee namvutia picha alivyo kuwa mwalimu mhhh
Mungu ni mwema
Viongozi wa Kiafrica ndivyo walivyo.
Nitakuja kufuata nyayo za Mzee Magu bila kupepesa Mungu akupenda.
Huyu kiongozi hajawahi kutokea kabisa
R.I.P my Father miss you so much
Daah mzee alkuwa anatisha aiseee,kwamba mkurunzinzi😁😁😁 r i p shujaa✊ nidham ilkuwepo,now tumeisahau tayar😢
Mungu akupumzishe salama
Hatari sana
Magori be calm!
ahsante baba msimamo huo huo mpak kieleweke magufuli oyeeee
Duuu jamaa viongozi wengi wanatetemeka boss wako akikuhoji shidaa
Maguu Baba Tangu uondoke Tanzania nachokiona ni mapichapicha na ,miwani kubwakubwa lakini hakuna kinacho endelea
Lazima wanyooke..........me nadhani uyu mzeee kama atapenda awe mfalme wa TANZANIA INSHAALLAH
Akim Mbar go
Akim Mbwego p
Mjambo pls don't reduce your spliit
Uncle ni Noma Wakurugenzi wanapata Wenge hadi kuongea wanashindwa
0:40 mkurugenzi mwenyewe kajaa..🤣🤣🤣
May your gentle soul continue to rest in peace Uncle MAGU❤
😹😹😹🙈
Shukran
Zege halilali, tumalizane hapa hapa
I will like to work hard like magufuli
Nitakukumbuka daima uliupiga mwingi sana
Presidente
Jetutapata jembe Kama Hilo?
Aisee ww salimia mungu
Kiongozi wangu bora
Mkuruzenzi mpya uyo mmemuona jamaani
alikua anatisha huyu baba. akikusogelea unaeza sema hii kazi bora niiache😀
Kusimama mbele ya MAGU si mchezo
😂😂😂
Mkurugenz ana mteru balaA R I P chuma😭
Tutakukumbuka daima
We do we get such leader in Kenya.
Imiss you baba yetu
Moto wa petrol uliozima ghafla
R.I.P mzee hakika ulikuwa mzalendo
Hakuna mwingine kama yeye Wala haitawai patikana
We had one
Machozi yananitoka jamani, huyu mzee apumzike kwa amani
Kama utani vile.R.i.p mwamba
Ivi huyu faza wetu alikuwa anjua kwamba watu wanamgwaya daaaa
Mkurugenzi mbona mbavu sana alfu anaongea kibos Bos alfu ndo ivo anaongozwa na jpm hahahaa
Mwambaaaaaaa
Dah RIP
we miss you
yaan kajichanganya san ajamalza anaomba zingne
Pumuzika kwa amani babaagu nilikupenda saaaaana nahaipit siku bilakukufatilia katika mitandao naukizingatia wewe ndouliekuwa rais wangu wakwanza kukupigia kula tokaniigie kwenye mfumo wakupiga kula.
Anko Sf Sana wanyooshe
Voici l'homme qu'il faut a la place qu'il faut ?
Jembe
Remember u msguful
Mbavu zanguuu jamanii
anatetemeka. aiseee
huyo atakua mkurugenzi wa upinzani maana rais ndo anavowafanyia wapinzani
Ok
Hutuba ya magufuli tarime
Hakika pengo lako halizibiki hata siku
Uyu mkurugenzi namjua anapenda mademu sio poa tupo nae mbezi bechi tuu uyu jmaa
Mukurugez mwenyewe kajaa
mkurunzenz,mkurunzenz yaani ni fullmchecheto
hahahahaha
Kopkop tv
Mzee huyumuqu asaidiee hukokuzimu kupataraisi kamahuyu nizaidi yamwaka miyamoja
Try
Baba rest pc
TUNAKUOMBEA RAIS WETU
Daima tutakukumbuka
Simba
Mpumzika
Kwa
Amani
Dai
Nema ya kristo
Mhh dunia hiiii
Sayendakasuka Kasuka lugimba
Baba tunaomba urudi bas jaman
Mwanaspot
Mkuruzenzi
Magu
Masho ga
Maguful apopewa sumu dodom
Masubwe