Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Jemedar na Oruma muko wapi? Mlichonga sana kwa Dickson Job, mbona kwa hawa mmefunga mabakuli yenu? Au kwa sababu sio wachezaji wa Yanga?
Huyo kocha mwache ajijue mwenyewe, kiroba!
Wamegoma kujiunga sababu uyo kocha ni mbaguzi analeta uzanzibar wake....
Mtu kama kibu amepata tarifa akiw mbal, kwaio atafika sio mda, huku hajui mnoga ana matatizo ya kifamilia, huku msuva ameonekana Leo mazoezin ni mzalendo sana, Kam hamuwez Kaz muache kupotoxha na kugombanixha watu, hii ndio bongo, hayaa
Ndio watanzania hao. Wachezaji wa nchi zilizoendelea huona fahari kuchezea mataifa yao!
Jemedar na Oruma muko wapi? Mlichonga sana kwa Dickson Job, mbona kwa hawa mmefunga mabakuli yenu? Au kwa sababu sio wachezaji wa Yanga?
Huyo kocha mwache ajijue mwenyewe, kiroba!
Wamegoma kujiunga sababu uyo kocha ni mbaguzi analeta uzanzibar wake....
Mtu kama kibu amepata tarifa akiw mbal, kwaio atafika sio mda, huku hajui mnoga ana matatizo ya kifamilia, huku msuva ameonekana Leo mazoezin ni mzalendo sana, Kam hamuwez Kaz muache kupotoxha na kugombanixha watu, hii ndio bongo, hayaa
Ndio watanzania hao. Wachezaji wa nchi zilizoendelea huona fahari kuchezea mataifa yao!