NDEGE 22 ZA KIMATAIFA ZINATUA AIRPORT DSM” KWA MARA YA KWANZA ZAMBIA WATUA TANZANIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 50

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Před 2 měsíci +2

    Wabongo tupo nyuma sana, hii ni faida kwa Zambia sio sisi, Kenya airways inarusha ndege kutoka Nairobi to New York direct, to Belgium,uk, tel Aviv sisi tupo tunashangilia hewa

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 Před 2 měsíci +8

    Kazi iendelee lets Work continue 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯

  • @EliaChristopher
    @EliaChristopher Před 2 měsíci +2

    ❤ Tanzania ya viwanda au siyo jamani

  • @SebastianManyama
    @SebastianManyama Před 2 měsíci +6

    Mimi ninavyofahamu Zambia airways sio ngeni hapa Tanzania, labda walisimamisha huduma na sasa wameanza tena. Ndege zifuatazo zilikuwa zinakuja hapa Tanzania: Pakistan international airlines, Madagascar airways, Sabena(Belgium airlines) Zambia airways, Lufthansa, Panam, Aeroflot, British airways, Egypt air, Ethiopia airlines, Zimbabwe airlines, Swissair, Germany cargo, nk

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 2 měsíci

      Na hapo bado nzingine haujataja KLM, swiss Air na nyingine. Kuna unafiki fulani ambao unafanywa kujaribu kumpa ubaya Magufuri kama alifunga mambo ila Samia amefungua. Bado wanapambana na marehemu lakini bado anawashinda. Air Tanzania bado zinaenda nje?

    • @irenesimalike3962
      @irenesimalike3962 Před 2 měsíci

      Shirika lilikufa. Ndio wamelifufua sasa

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Před 2 měsíci

      Lilijifia zamani. wamelifufua

    • @Jerie-q1c
      @Jerie-q1c Před 2 měsíci

      ​@@husseinmkanga7794Na air France

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 2 měsíci +2

    Zambia ndio wamejifungua wanejitafuta na wamejipata walikuwa hawana sasa wamejinunulia nsege rip jpm umewafungua macho wengi

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 Před 2 měsíci +21

    Zambia ndio walikua hawana Ndege nao wamejipata sasa sio kwamba Nchi imefunguka wakati wao ndio wamejifungua kwani Nchi ilifugwa? Lini Zambia walifungiwa kuleta Ndege Tz ? Ongera Zambia

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 2 měsíci

      Usichokielewa usijaribu kukejeli ni bora uulize ueleweshwe sio kila kitu utaambiwa tumia akili yako ya kuzaliwa, kwa ufupi kutua tu Tanzania iwe na abiria isiwe na abiria inaacha hela kwa kutua tu na kupaa na parking yote wanalipia gharama na hata wasipotua wakitumia tu anga ya tz wanalipa pesa yaani wapite labda wakatue Kenya lakini ikiwalazimu kutumia zone ya tz inaingiza mdako, badala ya mwanzo ndege zinazopitia anga za Tz ilikuwa mapato inalipwa Kenya sababu hatukuwa na mitambo ya kuongozea ndege na hata sisi tulikuwa tukiilipa Kenya miaka yote bilions of money kila mwezi, ila Magu aliponunua mitambo tu hatulipi tena sasa, pata elimu ya bure sisi hatujali wamejipata au tumewapata tunaangalia tunaingiza nini toka kwao just that.

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go Před 2 měsíci +1

      Zambia wana ndege kitambo tu fanya kwanza utafiti kabla hujacomment utumbo

    • @sarasaraz-vn1vl
      @sarasaraz-vn1vl Před 2 měsíci +1

      😂😂😂wamejifungua

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 Před 2 měsíci +1

      Hee Zambia Airways ilikuwepo zamani ilisitisha tu safari huku Tz Sio km hawana ndege.ndege Yao inaenda south.kenya na mpaka Dubai

    • @FrankVictor-vo6zq
      @FrankVictor-vo6zq Před 2 měsíci +1

      ​@@OmerSuley-gl7goZambia Wana ndege ila shirika lao ni dogo hawana ndege kubwa na za kisasa kama zetu

  • @abdulseifmtuluma4484
    @abdulseifmtuluma4484 Před 2 měsíci +1

    HAO WATANZANIA mbona wameweka Bendera Juu chini.... hawajui?

  • @idrissamohamed1100
    @idrissamohamed1100 Před 2 měsíci

    Hongera Sana

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 Před měsícem

    Inafunguka,kwani nani aliifunga?
    Wkt inafungwa>>mlipiga mikofi yenu kusifia na kuunga mkono.
    Wkt mnasema imefunguka >>tena mikofi ya kumwaga.
    Tuwaeleweje-unafiki.
    Nchi haifungwa/haijafunguka!
    Sio mara ya kwanza Zambia Airw kuwa tZ.

  • @irenesimalike3962
    @irenesimalike3962 Před 2 měsíci

    Congratulations to Zambia Airways

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 Před 2 měsíci

    BB alijenga punzika Kwa Amani JPM😢

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 2 měsíci +2

    Punguzeni bei ya mafuta chargés za airport, mtapata ndege nyingi.
    ..Tanzania kila kitu ghali kikichaa bila sababu maana quality ya chini, ili Mwigulu apate hela za kuwanunulia rafiki zake ma v9! Pambaf

    • @namaraalexmbeikya1491
      @namaraalexmbeikya1491 Před 2 měsíci

      Kweli kabisa mfano ni Nairobi tu hapo wana ndege zaidi ya 50
      Hata nauli kwenda kenya ni ndogo sana ukilinganisha na Dar es Salaam bora nikapandie tu Nairobi

    • @joellongidare8280
      @joellongidare8280 Před 2 měsíci

      Hakuna kitu hapa

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 2 měsíci +2

    Mnafungulia nchi lakini Mwigulu anaifunga. Unapokosa dola nani atasafiri? Wachekesha wewe Watanzania wangapi wana uwezo wa kwenda kutalii Zambia? Wazambia ndiyo watafaidika zaidi.

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 Před 2 měsíci +1

    ***Huyo jamaa hajui kiswahili?Watu Wana mbwembwe ukoloni hauwezi kwisha Afrika***

  • @binmbarouk7246
    @binmbarouk7246 Před 2 měsíci

    Air frnc inatuwa zanzibar kwanza😂😂😂

  • @StanyOfficiol
    @StanyOfficiol Před 2 měsíci

    Ko ndo cha ajabu kuja hapa na waonao panda hayo mapipa ni matajiri alafu mnatuongelea kingereza bei ndefu sio faida ninayoipata kwenye ndege zaid ya kubanwa mapato

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 Před 2 měsíci +2

    Heading 22 zinatua kwa mara ya kwanza????

  • @ElvisJosephMiti
    @ElvisJosephMiti Před 2 měsíci

    Thanks/Asante/Aikambe/Zikoma/Wabeja/twatotela/wakora

  • @EliaChristopher
    @EliaChristopher Před 2 měsíci

    😂yooooo hzo ni mbwembwe tu wanaofaidika ni mabosi tu wasiendeshe nchi kifahari

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Před 2 měsíci

    yaani miaka yote tukiwa ndugu na zambia eti leo ndiyo mara ya kwanza ndege yao kutua kwetu mlichelewa wapi?

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 2 měsíci +2

    Badala ya kujiuliza nyie mnaenda nchi ngapi duniani

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 Před 2 měsíci

      Hata hao wanavyokuja ni pesa inaingia

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 2 měsíci

      @@mosesnyelo1380 tofauti ukienda na ndege zako kwako usijibu kitu tu kama upeo wako wa kuelewa ni mdogo !

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 2 měsíci

    Mbona hamjaikaribisha kwa kuimwagia maji.? Ishara ya kibariki.?

  • @user-xm6hx6cr5l
    @user-xm6hx6cr5l Před 2 měsíci +1

    Sasa ndege alisha nunua magufuri na nyerere hakuna jipya apo sisi sio washamba hakuna cha police

  • @vedastusmalimi5176
    @vedastusmalimi5176 Před 2 měsíci

    Maelezo mengi lakni n utopolo mtupu. Uchawa ndo mwingi

  • @KhadijaNgozi-ln4ww
    @KhadijaNgozi-ln4ww Před 2 měsíci

    Wataenda.watu.maarufu.maskin.watsenda.wapi

  • @milazoomilazoo4494
    @milazoomilazoo4494 Před 2 měsíci

    Awana ata ishuuuuu

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 Před 2 měsíci

    Mwamba wa lusaka kaleta ndege

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 2 měsíci

    Wanafiki tuuu nyinyi

  • @khadi-z4o
    @khadi-z4o Před 2 měsíci

    WACHA UONGO HUWO , ZANZIBAR WANAPOKEYA NDEGE ZA1KWA1 MARA MBILI YAKE YA DSM AIRPORT. WACHA UNAFIKI HUWO.

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Před 2 měsíci +1

      SI baada ya huyo Malaya wenu kuingia madarakani

    • @yusuphabdallah1888
      @yusuphabdallah1888 Před 2 měsíci

      Kama hujui kitu kaa kimya kwan Zanzibar utalii umeanza baada ya kuingia huyo mtu ameingia ameukuta na ndege zilikuwepo Zanzibar zinakuja na amezikuta labda DSM ndio zinakuja baada ya yeye kuja huko 😂😂😂​@@miltonjohn9779

    • @yusuphabdallah1888
      @yusuphabdallah1888 Před 2 měsíci

      ​@@miltonjohn9779Mana Kuna ndege Zanzibar zinatua hata huko Dar hazipo kabsa Mana Kuna ndege za kiisrael za Moja kwa Moja Kuna ndege za itali za Moja kwa Moja Kuna ndege za Poland za Moja kwa Moja Kuna ndege za urusi za Moja kwa Moja zote zinakuja Zanzibar huko kwenu Dar hazipo hivyo acheni uchawa kusifia ujinga eti ndio uwanja unaoongoza kutua ndege nyingi Tanzania nzima wakat Zanzibar Moja tu kwa siku zinatua ndege Zaid ya 50 kwa siku 😂😂😂mmekalia uchawa tu

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 Před 2 měsíci

      ​@@miltonjohn9779😂😂😂

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Před 2 měsíci +1

      Miladi Ayo Tv uwe unaweka habari za maana,
      Yaani unaongelea ndege,
      Ndege kuja Tanzania ni maajabu acha dharau kwa watanzania

  • @saidausi9917
    @saidausi9917 Před 2 měsíci

    Nauli ni shiling Ngapi Tz to Zambia?