Wabongo tupo nyuma sana, hii ni faida kwa Zambia sio sisi, Kenya airways inarusha ndege kutoka Nairobi to New York direct, to Belgium,uk, tel Aviv sisi tupo tunashangilia hewa
Na hapo bado nzingine haujataja KLM, swiss Air na nyingine. Kuna unafiki fulani ambao unafanywa kujaribu kumpa ubaya Magufuri kama alifunga mambo ila Samia amefungua. Bado wanapambana na marehemu lakini bado anawashinda. Air Tanzania bado zinaenda nje?
Zambia ndio walikua hawana Ndege nao wamejipata sasa sio kwamba Nchi imefunguka wakati wao ndio wamejifungua kwani Nchi ilifugwa? Lini Zambia walifungiwa kuleta Ndege Tz ? Ongera Zambia
Usichokielewa usijaribu kukejeli ni bora uulize ueleweshwe sio kila kitu utaambiwa tumia akili yako ya kuzaliwa, kwa ufupi kutua tu Tanzania iwe na abiria isiwe na abiria inaacha hela kwa kutua tu na kupaa na parking yote wanalipia gharama na hata wasipotua wakitumia tu anga ya tz wanalipa pesa yaani wapite labda wakatue Kenya lakini ikiwalazimu kutumia zone ya tz inaingiza mdako, badala ya mwanzo ndege zinazopitia anga za Tz ilikuwa mapato inalipwa Kenya sababu hatukuwa na mitambo ya kuongozea ndege na hata sisi tulikuwa tukiilipa Kenya miaka yote bilions of money kila mwezi, ila Magu aliponunua mitambo tu hatulipi tena sasa, pata elimu ya bure sisi hatujali wamejipata au tumewapata tunaangalia tunaingiza nini toka kwao just that.
Inafunguka,kwani nani aliifunga? Wkt inafungwa>>mlipiga mikofi yenu kusifia na kuunga mkono. Wkt mnasema imefunguka >>tena mikofi ya kumwaga. Tuwaeleweje-unafiki. Nchi haifungwa/haijafunguka! Sio mara ya kwanza Zambia Airw kuwa tZ.
Punguzeni bei ya mafuta chargés za airport, mtapata ndege nyingi. ..Tanzania kila kitu ghali kikichaa bila sababu maana quality ya chini, ili Mwigulu apate hela za kuwanunulia rafiki zake ma v9! Pambaf
Kweli kabisa mfano ni Nairobi tu hapo wana ndege zaidi ya 50 Hata nauli kwenda kenya ni ndogo sana ukilinganisha na Dar es Salaam bora nikapandie tu Nairobi
Mnafungulia nchi lakini Mwigulu anaifunga. Unapokosa dola nani atasafiri? Wachekesha wewe Watanzania wangapi wana uwezo wa kwenda kutalii Zambia? Wazambia ndiyo watafaidika zaidi.
Ko ndo cha ajabu kuja hapa na waonao panda hayo mapipa ni matajiri alafu mnatuongelea kingereza bei ndefu sio faida ninayoipata kwenye ndege zaid ya kubanwa mapato
Kama hujui kitu kaa kimya kwan Zanzibar utalii umeanza baada ya kuingia huyo mtu ameingia ameukuta na ndege zilikuwepo Zanzibar zinakuja na amezikuta labda DSM ndio zinakuja baada ya yeye kuja huko 😂😂😂@@miltonjohn9779
@@miltonjohn9779Mana Kuna ndege Zanzibar zinatua hata huko Dar hazipo kabsa Mana Kuna ndege za kiisrael za Moja kwa Moja Kuna ndege za itali za Moja kwa Moja Kuna ndege za Poland za Moja kwa Moja Kuna ndege za urusi za Moja kwa Moja zote zinakuja Zanzibar huko kwenu Dar hazipo hivyo acheni uchawa kusifia ujinga eti ndio uwanja unaoongoza kutua ndege nyingi Tanzania nzima wakat Zanzibar Moja tu kwa siku zinatua ndege Zaid ya 50 kwa siku 😂😂😂mmekalia uchawa tu
Wabongo tupo nyuma sana, hii ni faida kwa Zambia sio sisi, Kenya airways inarusha ndege kutoka Nairobi to New York direct, to Belgium,uk, tel Aviv sisi tupo tunashangilia hewa
Kazi iendelee lets Work continue 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
❤ Tanzania ya viwanda au siyo jamani
Mimi ninavyofahamu Zambia airways sio ngeni hapa Tanzania, labda walisimamisha huduma na sasa wameanza tena. Ndege zifuatazo zilikuwa zinakuja hapa Tanzania: Pakistan international airlines, Madagascar airways, Sabena(Belgium airlines) Zambia airways, Lufthansa, Panam, Aeroflot, British airways, Egypt air, Ethiopia airlines, Zimbabwe airlines, Swissair, Germany cargo, nk
Na hapo bado nzingine haujataja KLM, swiss Air na nyingine. Kuna unafiki fulani ambao unafanywa kujaribu kumpa ubaya Magufuri kama alifunga mambo ila Samia amefungua. Bado wanapambana na marehemu lakini bado anawashinda. Air Tanzania bado zinaenda nje?
Shirika lilikufa. Ndio wamelifufua sasa
Lilijifia zamani. wamelifufua
@@husseinmkanga7794Na air France
Zambia ndio wamejifungua wanejitafuta na wamejipata walikuwa hawana sasa wamejinunulia nsege rip jpm umewafungua macho wengi
Zambia ndio walikua hawana Ndege nao wamejipata sasa sio kwamba Nchi imefunguka wakati wao ndio wamejifungua kwani Nchi ilifugwa? Lini Zambia walifungiwa kuleta Ndege Tz ? Ongera Zambia
Usichokielewa usijaribu kukejeli ni bora uulize ueleweshwe sio kila kitu utaambiwa tumia akili yako ya kuzaliwa, kwa ufupi kutua tu Tanzania iwe na abiria isiwe na abiria inaacha hela kwa kutua tu na kupaa na parking yote wanalipia gharama na hata wasipotua wakitumia tu anga ya tz wanalipa pesa yaani wapite labda wakatue Kenya lakini ikiwalazimu kutumia zone ya tz inaingiza mdako, badala ya mwanzo ndege zinazopitia anga za Tz ilikuwa mapato inalipwa Kenya sababu hatukuwa na mitambo ya kuongozea ndege na hata sisi tulikuwa tukiilipa Kenya miaka yote bilions of money kila mwezi, ila Magu aliponunua mitambo tu hatulipi tena sasa, pata elimu ya bure sisi hatujali wamejipata au tumewapata tunaangalia tunaingiza nini toka kwao just that.
Zambia wana ndege kitambo tu fanya kwanza utafiti kabla hujacomment utumbo
😂😂😂wamejifungua
Hee Zambia Airways ilikuwepo zamani ilisitisha tu safari huku Tz Sio km hawana ndege.ndege Yao inaenda south.kenya na mpaka Dubai
@@OmerSuley-gl7goZambia Wana ndege ila shirika lao ni dogo hawana ndege kubwa na za kisasa kama zetu
HAO WATANZANIA mbona wameweka Bendera Juu chini.... hawajui?
Hongera Sana
Inafunguka,kwani nani aliifunga?
Wkt inafungwa>>mlipiga mikofi yenu kusifia na kuunga mkono.
Wkt mnasema imefunguka >>tena mikofi ya kumwaga.
Tuwaeleweje-unafiki.
Nchi haifungwa/haijafunguka!
Sio mara ya kwanza Zambia Airw kuwa tZ.
Congratulations to Zambia Airways
BB alijenga punzika Kwa Amani JPM😢
Punguzeni bei ya mafuta chargés za airport, mtapata ndege nyingi.
..Tanzania kila kitu ghali kikichaa bila sababu maana quality ya chini, ili Mwigulu apate hela za kuwanunulia rafiki zake ma v9! Pambaf
Kweli kabisa mfano ni Nairobi tu hapo wana ndege zaidi ya 50
Hata nauli kwenda kenya ni ndogo sana ukilinganisha na Dar es Salaam bora nikapandie tu Nairobi
Hakuna kitu hapa
Mnafungulia nchi lakini Mwigulu anaifunga. Unapokosa dola nani atasafiri? Wachekesha wewe Watanzania wangapi wana uwezo wa kwenda kutalii Zambia? Wazambia ndiyo watafaidika zaidi.
Huna Unacho kijua Mdogo Wangu
***Huyo jamaa hajui kiswahili?Watu Wana mbwembwe ukoloni hauwezi kwisha Afrika***
Air frnc inatuwa zanzibar kwanza😂😂😂
Ko ndo cha ajabu kuja hapa na waonao panda hayo mapipa ni matajiri alafu mnatuongelea kingereza bei ndefu sio faida ninayoipata kwenye ndege zaid ya kubanwa mapato
Heading 22 zinatua kwa mara ya kwanza????
Thanks/Asante/Aikambe/Zikoma/Wabeja/twatotela/wakora
😂yooooo hzo ni mbwembwe tu wanaofaidika ni mabosi tu wasiendeshe nchi kifahari
yaani miaka yote tukiwa ndugu na zambia eti leo ndiyo mara ya kwanza ndege yao kutua kwetu mlichelewa wapi?
Badala ya kujiuliza nyie mnaenda nchi ngapi duniani
Hata hao wanavyokuja ni pesa inaingia
@@mosesnyelo1380 tofauti ukienda na ndege zako kwako usijibu kitu tu kama upeo wako wa kuelewa ni mdogo !
Mbona hamjaikaribisha kwa kuimwagia maji.? Ishara ya kibariki.?
Sasa ndege alisha nunua magufuri na nyerere hakuna jipya apo sisi sio washamba hakuna cha police
Maelezo mengi lakni n utopolo mtupu. Uchawa ndo mwingi
Wataenda.watu.maarufu.maskin.watsenda.wapi
Awana ata ishuuuuu
Mwamba wa lusaka kaleta ndege
Ila nyie binadam duh
Wanafiki tuuu nyinyi
WACHA UONGO HUWO , ZANZIBAR WANAPOKEYA NDEGE ZA1KWA1 MARA MBILI YAKE YA DSM AIRPORT. WACHA UNAFIKI HUWO.
SI baada ya huyo Malaya wenu kuingia madarakani
Kama hujui kitu kaa kimya kwan Zanzibar utalii umeanza baada ya kuingia huyo mtu ameingia ameukuta na ndege zilikuwepo Zanzibar zinakuja na amezikuta labda DSM ndio zinakuja baada ya yeye kuja huko 😂😂😂@@miltonjohn9779
@@miltonjohn9779Mana Kuna ndege Zanzibar zinatua hata huko Dar hazipo kabsa Mana Kuna ndege za kiisrael za Moja kwa Moja Kuna ndege za itali za Moja kwa Moja Kuna ndege za Poland za Moja kwa Moja Kuna ndege za urusi za Moja kwa Moja zote zinakuja Zanzibar huko kwenu Dar hazipo hivyo acheni uchawa kusifia ujinga eti ndio uwanja unaoongoza kutua ndege nyingi Tanzania nzima wakat Zanzibar Moja tu kwa siku zinatua ndege Zaid ya 50 kwa siku 😂😂😂mmekalia uchawa tu
@@miltonjohn9779😂😂😂
Miladi Ayo Tv uwe unaweka habari za maana,
Yaani unaongelea ndege,
Ndege kuja Tanzania ni maajabu acha dharau kwa watanzania
Nauli ni shiling Ngapi Tz to Zambia?