AFANDE SELE ATOA YA MOYONI MBELE YA MAGUFULI
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- VIDEO: KWAHISANI YA AZAM TV.
Msanii wa Hip Hop Bongo, Selemani Msindi ‘Afande Sele’ leo ametangaza rasmi kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM mbele ya Rais Magufuli ambaye ndiye mwenyeki wa chama hicho.
Afande Sele alikuwa ni kada wa chama cha ACT Wazalendo alikuwa mgombea ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kabla ya kujivua uanachama wa chama hicho mwaka jana.
Tukio hili limetokea katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha sigara cha Philip Morris International Limited, mkoani Morogoro.
Tazama ilivyokuwa.
hongera kujitambua viva Afande
Daaaa this is really music 🎶🎶🎶🎶
Afande sele..kichwa sana🙌
Nampenda Sana afande selee
😭😭😭😭 ndo maana afande sele ulichanganyikiwa mludie mwenyezi MUNGU umuombe msamaha jamani usipotee
THE BIGGEST BOSS NASRI
Mmmmh
Mbona sauti ya music siyo yako
Williams Jessica Anderson Charles Perez Richard
hongera sana Afande sele
Allah akusameh afande sele
ukiwa kweli katk usafiri salama unaweza hata ukalala usingizi kwani unakuwa na uhakika wa safari na dereva mwenyewe
Umzalendo japo weng wanakudhihak na kukushusha kwa kua tu umeteleza ila umetubu mungu akiinue
Dah, jmn vigumu kuani! Baba lala salama
Mwambie Daimond Aimbe Hadharani Ndo utajua Ya kwake Au siyo ya kwake
Rip JPM
Rama Matulo
Afande sele nimdkuelewa polepole nn mwamba tumpe sapota
😭😭😭😭😭😭