- 1 124
- 6 516 565
GSengo
Registrace 30. 06. 2011
ZAIDI YA MAKAMPUNI 235 TOKA NDANI&NJE YA NCHI KUSHIRIKI MAONESHO YA 19 BIASHARA A. MASHARIKI MWANZA
ZAIDI YA MAKAMPUNI 235 TOKA NDANI&NJE YA NCHI KUSHIRIKI MAONESHO YA 19 BIASHARA A. MASHARIKI MWANZA
zhlédnutí: 21
Video
DOKTA KAZOBA ALIA NA WANAOTUMIA VIBAYA JINA LA WAGANGA WA KIENYEJI
zhlédnutí 73Před dnem
#samiasuluhuhassan #tibaasili #waganga
DAWA ZA ASILI KWA NGUVU ZA KIUME ZILIZO HAKIKIWA ZAPAMBA MAONESHO YA TIBA ASILI FURAHISHA JIJINI MWA
zhlédnutí 114Před dnem
DAWA ZA ASILI KWA NGUVU ZA KIUME ZILIZO HAKIKIWA ZAPAMBA MAONESHO YA TIBA ASILI FURAHISHA JIJINI MWA
MAKAMBA ALIVYOKABIDHI OFISI KWA WAZIRI MPYA
zhlédnutí 52Před dnem
NA ALBERT GSENGO ILIKUWA TAREHE 27 MWEZI JULY 2024 Rasmi aliyekuwa waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. January Makamba alikabidhi Leo Ofisi kwa Mhe Waziri Mahmoud Thabit Kombo. "Nimempongeza, kumtakia heri na kumuahidi ushirikiano. Nimemshukuru Mhe Rais kwa imani na fursa ya kuhudumu. Nimeishukuru familia nzima ya Wizara kwa kazi tuliyofanya pamoja na kuwatakia kila la kheri...
ZABRON SINGERS WAIMBA WAKIMLILIA MARCO
zhlédnutí 340Před 14 dny
ZABRON SINGERS WAIMBA WAKIMLILIA MARCO
MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA
zhlédnutí 1,4KPřed 14 dny
TAARIFA ya huzuni asubuhi hii... Mwimbaji wa kundi la Zabron Singers, Marco Joseph amefariki dunia kwa ugonjwa wa Moyo usiku wa tarehe 21 akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
RC KUNENGE AUNGURUMA AWAONYA WAKANDARASI WANAOKWEPA MIKATABA YAO YA KAZI
zhlédnutí 17Před 14 dny
HABARI NA VICTOR MASANGU, PWANI SAUTI NA G.SENGO SERIKALI mkoani Pwani imesema kwamba haitowafumbia macho hata kidogo wakandarasi ambao watakwenda kinyume na miongozo ya mikataba yao na kuwaagiza wahakikishe kwamba wanatekeleza miradi ya miundombinu ya barabara kwa kiwango ambacho kinatakiwa ikiwemo suala la kuwashirikisha wananchi ili waweze kufahamu miradi inayotekelezwa. Kunenge ametoa kauli...
BWANA HARUSI "YANGA IKIENDA MBINGUNI NA MIMI NIMO"
zhlédnutí 74Před 21 dnem
BWANA HARUSI "YANGA IKIENDA MBINGUNI NA MIMI NIMO"
ALI KAMWE "HALI HII CHAMA ANAFUNGA NA KU-ASISTI LAKINI BADO ANASIKITIKA"
zhlédnutí 123Před 21 dnem
NA ALBERT G.SENGO MABINGWA wa Tanzania, Yanga SC wametanguliza mguu mmoja hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Vital'O ya Burundi katika mchezo wa kwanza Raundi ya Awali jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Yanga leo yamefungwa na mshambuliaji Mzimbabwe, Prince Dube Mpumelelo dakika ya sita, kiungo Clatous Chotta ...
TAKUKURU MWANZA YAWEZESHA ZAIDI YA MILIONI 290 KUKUSANYWA KUPITIA KODI YA ZUIO
zhlédnutí 23Před 21 dnem
NA ALBERT G. SENGO/ MWANZA Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mwanza James Ruge amesema,Taasisi hiyo kupitia kazi ya Uchambuzi wa mfumo wa ukataji na uwasilishaji wa kodi ya zuio imewezesha zaidi ya shilingi milioni mia mbili kukusanywa na Halmashauri za Mkoa wa Mwanza na kuwasilishwa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA ) ikiwa ni makusanyo ya kodi ya zuio kazi hiyo ilifanyika kwa lengo la kuboresha na kuim...
KUELEKEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA TAKUKURU MKOA WA MWANZA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI
zhlédnutí 24Před 21 dnem
NA ALBERT G. SENGO/ MWANZA James Ruge ni Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Mwanza.
KILA ABIRIA ATAKAYEPANDA NDEGE UTAPANDWA MTI JIJINI MWANZA NA VIA AVIATION
zhlédnutí 30Před 28 dny
NA ALBERT GSENGO/MWANZA Utafiti umebaini kuwa viumbehai wa kuvutia kama ndege, mimea na wanyama siku moja wanaweza kufutika katika uso wa dunia kutokana na uharibifu mkubwa wa mazingira unaofanywa na binadamu ambao hivi sasa umeleta mabadiliko ya tabia nchi. Wataalam wanasema mabadiliko ya tabianchi yanatokana na tabia ya watu kukata miti hovyo na kuiacha ardhi ikiwa uchi hivyo kuongeza hewa ch...
CHADEMA KIMEWAKA WENJE ATANGAZA KUMNG'OA TUNDU LISSU NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI
zhlédnutí 838Před měsícem
NA ALBERT GSENGO/MWANZA Joto la uchaguzi ndani ya CHADEMA limeanza kupamba moto, baada ya Ezekia Wenje kutangaza nia ya kuwania nafasi ya makamu mwenyekiti wa chama hicho Bara. Wenje ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria CHADEMA yenye mikoa ya Mwanza, Kagera na Geita, anakusudia kujitosa kuomba ridhaa ya nafasi hiyo ambayo kwa sasa inashikiliwa na Tundu Lissu. Mbunge huyo wa zamani...
WAZIRI MKENDA AZINDUA BODI YA USHAURI CHUO CHA ADEM BAGAMOYO1
zhlédnutí 20Před měsícem
NA VICTOR MASANGU/BAGAMOYO SAUTI NA ALBERT GSENGO Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Pro Adolfu Mkenda amezindua Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu - Adem ambapo ameitaka Bodi hiyo kuhakikisha inafanya Tafiti na kusimamia Kwa weledi Mkubwa Ili kuweza kuisaidia Serikali Kupitia Wizara ya Elimu Akizungumza Wakati wa hafla hiyo fupi ya uzinduzi wa Bodi hiyo amewahimiza k...
HAIER WATUA RASMI MWANZA KWA KUFUNGUWA BONGE LA DUKA NDANI YA ROCK CITY MALL
zhlédnutí 34Před měsícem
NA ALBERT GSENGO/MWANZA SERIKALI ilikuwa namuono wa kupunguza utumiaji wa mkaa na kuni kwa wananchi mijini na vijijini, Jeh katika bidhaa zenu zimekuja na mlengo gani kuisaidia Serikali wananchi wapate nishati mbadala au majiko yenye kumumia umeme rafiki, yaani usio na gharama kubwa tofauti na utumiaji wa majiko ya kizamani? Ni moja kati ya maswali yaliyoulizwa mwishoni mwa wiki wakati Mabingwa...
WAZIRI SILAA, RC PWANI WATUA CHAMAKWEZA CHALINZE KUINGILIA KATI SAKATA LA MGOGORO WA ARDHI
zhlédnutí 138Před 2 měsíci
WAZIRI SILAA, RC PWANI WATUA CHAMAKWEZA CHALINZE KUINGILIA KATI SAKATA LA MGOGORO WA ARDHI
MBUZI ALIWA UWANJANI MCHANA KWEUPEEE BAADA YA USHINDI
zhlédnutí 105Před 2 měsíci
MBUZI ALIWA UWANJANI MCHANA KWEUPEEE BAADA YA USHINDI
DC KIBAHA AMPA HEKO KUBWA RAIS SAMIA NA KOKA UJENZI WA DARAJA LA MTO MPIJI
zhlédnutí 104Před 2 měsíci
DC KIBAHA AMPA HEKO KUBWA RAIS SAMIA NA KOKA UJENZI WA DARAJA LA MTO MPIJI
WAFANYABIASHARA JIJINI MWANZA NAO WAGOMA
zhlédnutí 224Před 2 měsíci
WAFANYABIASHARA JIJINI MWANZA NAO WAGOMA
NEMC YAUFUNGIA MGODI KUPISHA UCHUNGUZI BAADA YA SAMAKI, NDEGE NA MIFUGO KUFA OVYO
zhlédnutí 40Před 3 měsíci
NEMC YAUFUNGIA MGODI KUPISHA UCHUNGUZI BAADA YA SAMAKI, NDEGE NA MIFUGO KUFA OVYO
JE, UNAFAHAMU TATIZO LA MGUU KIFUNDO AU NYAYO ZILIZOPINDA?
zhlédnutí 24Před 3 měsíci
JE, UNAFAHAMU TATIZO LA MGUU KIFUNDO AU NYAYO ZILIZOPINDA?
JESHI LA POLISI LATOA UFAFANUZI TUHUMA ZA TRAFIKI WAKE KUDAIWA KUCHEPUSHA FEDHA
zhlédnutí 57Před 3 měsíci
JESHI LA POLISI LATOA UFAFANUZI TUHUMA ZA TRAFIKI WAKE KUDAIWA KUCHEPUSHA FEDHA
'HABARI MBOVU MTANDAONI' ATHARI ZAKE NI ZAIDI YA AJALI BARABARANI AU MADHARA YA DAKTARI FEKI - TCRA
zhlédnutí 16Před 3 měsíci
'HABARI MBOVU MTANDAONI' ATHARI ZAKE NI ZAIDI YA AJALI BARABARANI AU MADHARA YA DAKTARI FEKI - TCRA
"RAIS SAMIA YUKO TAYARI KWA KATIBA MPYA LAKINI NASHANGAZWA NA WASAIDIZI WAKE" - WAKILI KIBAMBA
zhlédnutí 53Před 3 měsíci
"RAIS SAMIA YUKO TAYARI KWA KATIBA MPYA LAKINI NASHANGAZWA NA WASAIDIZI WAKE" - WAKILI KIBAMBA
MEI 28 HADI TAREHE 1 JUNI 2024 NI WIKI YA MAZIWA KITAIFA MWANZA
zhlédnutí 49Před 3 měsíci
MEI 28 HADI TAREHE 1 JUNI 2024 NI WIKI YA MAZIWA KITAIFA MWANZA
MAKONDA KUENDELEA KUPIGA SPANA WATUMISHI WAZEMBE NA WALA RUSHWA ASISITIZA KUTOBABAISHWA NA MITANDAO
zhlédnutí 109Před 3 měsíci
MAKONDA KUENDELEA KUPIGA SPANA WATUMISHI WAZEMBE NA WALA RUSHWA ASISITIZA KUTOBABAISHWA NA MITANDAO
DUH KUMBE HADI 'MAKAKA POA' NAO WAPO - KERO YA KUTAPAKAA KONDOM SHULE YA MSINGI KITANGIRI MWANZA
zhlédnutí 74Před 3 měsíci
DUH KUMBE HADI 'MAKAKA POA' NAO WAPO - KERO YA KUTAPAKAA KONDOM SHULE YA MSINGI KITANGIRI MWANZA
KAMA ULIPITWA ALICHOZUNGUMZA MWANAFA KWENYE SAFARI YA MWISHO YA GADNA - KUMBUKUMBU WACHA ZIHIFADHIWE
zhlédnutí 1,1KPřed 3 měsíci
KAMA ULIPITWA ALICHOZUNGUMZA MWANAFA KWENYE SAFARI YA MWISHO YA GADNA - KUMBUKUMBU WACHA ZIHIFADHIWE
UGOMVI WA FAMILIA KUKOSA MALEZI YA KIROHO MATUNZO AFYA YA MWILI SABABU ZA ONGEZEKO LA WATOTO MITAANI
zhlédnutí 78Před 3 měsíci
UGOMVI WA FAMILIA KUKOSA MALEZI YA KIROHO MATUNZO AFYA YA MWILI SABABU ZA ONGEZEKO LA WATOTO MITAANI
LEO BARABARA ZOTE ZA JIJI LA DAR ES SA;AAM KUELEKEA MWENGE - TANGAZO ANOINTED MINISTRY 2024
zhlédnutí 22Před 4 měsíci
LEO BARABARA ZOTE ZA JIJI LA DAR ES SA;AAM KUELEKEA MWENGE - TANGAZO ANOINTED MINISTRY 2024
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
chomeni moto hao mnasubiri nin
Sita sahau mwaka huo
Munguwangu tusadie
🤣🤣🤣
Williams Jessica Anderson Charles Perez Richard
Uko wap
Shingapi hiyo
Ni mradi mzuri meli hiyo nilikuwa wa kwanza kuiona kutoka Burundi uso kwa uso tunapongeza
Huyu RPC Jonathan Shana yuko wapi sikuhz !? Au bdo yupo Mwanza
Afandeukovzr darhawafanyiivo,
Munazia being
😢da! Polen sana
Rip mtumishi wa mungu
Mungu amlaze mahali pema peponi
Kaz nzur kamandas
POLICE WA MWANZA TUMEWAKUBARI SANA. TUMEMKUMBUKA MAGU JAMAN NDIO WENYEWE TUKO PAMOJA TUMEWAELEWA SANA HAMIEN MAJIJI DHAIFU.
Hongereni san police wa Mwanza mnafanya kaz nzuri sana. Hao watu wote wanaowafanya maovu kama hao wahasiwe kabisaa. Naona hili Taifa halitaki kizazi kijacho safi sana afande nmekuelewa .ahasiwe bas ilitue tuko pamoja.
Kwa habari hizi nzur mnatakiwa meuhamishiwe jiji Dar ndio kumekuwa vyombo ambavyo viko chin ya kiwango uanibikaji hamna. Tunamkumbuka Mh. MAGU.
Nataka kujiunga na chuo cha michezo. Naomba namba ya mawasiliano
Sw tulia Wenje, Nadhani bado Mwamba anakuzid na tunampenda sana, nafas yako bado ipo Mwamba atatuvusha
🎉🎉❤
Minataka ndapateje
Mwanza mko vizur
Baby we need to talk 😂
dah we ndo uliyebki
Vishoka mmm Ajira
Swali unango'mbe wangap Jibu tunaweza kuzalisha kadhaa sasa takwimu za ranch hamuna au???
Mwamba hua anaongea vzr sn tena kwa kujiamin hongera
Very good
Afande sele..kichwa sana🙌
😂
Jiulize kwanini Mungu alimuondoa huyu mtu mapema.
Unaposema Mungu alimuondoa mapema, je unafahama alitakiwa kuishi kwa kipindi gani
Hii vita ulimchokoza manji kiburi na jeuri zenu mungu hawapendi kunyanyasa watu
Haya saaa mnnakutana huko mbele ya haki...
Hhhj
Askari wa mwanza hongereni sana mungu awasaidie zaidi majambazi wakome wafanye kaz kihalali sio kuua watu na kuteka mali zao alafu wapate adhabu kari uku wakihojiwa mauaj waliyofanya pia
Mbona kimya kulikoni haijaanza ?
Mbona tuko july kimya nini sababu?
Imefeli mbona haijaanza kazi mpaka leo July 😊
Daa! Sina chakuwapa makamanda mmefanya kazi mzuli Sana Napenda wapewe zawad na wizara ya mambo ya ndani
Kila mtu ana mabaya na mazuri, ukiachana na mabaya, JPM alikuwa si wakutilia shaka juu ya uthabiti wa maamuzi, hayupo hata mmoja aliyekuwa na sauti juu ya serikali, na hiyo ndo maana ya serikali!.
Acha kisasi na chuki weewe , wote ulio wa hukumu hatua Gani ilichukuliwa kuwahukumu ,kesi zote umeishindwa, huyo Gwajima unayomzungumzia kma kweli alikuwa mchafu Mbona ulimsamamisha kugombea ubunge wa Kawe,
Tutakukumbuka daima
Rais
Apumzike kwa amani Raisi wa wa awamu ya tano ..j.p.mafufuli.
kwa kweli kwahili sikukuunga mkono maana ulituumiza wengi kwa ajili ya kijana wako makonda,hivi kesi iliishaje?
Kuhusu madawa ya kulevya....unasema hukumuunga mkono.mmmmmh.....!!!
Kiburi cha uzima
Pigo limkute nani nanishoga wewe ayatakuteni nyie wezi watanzania
Dah! Afadhali Baraka hata ulijifunza sauti ya Mh rais Magufuli maana tunafarijika sana, ubarikiwe.
Du kazi kweli