Huyo mtoto Mungu anamuaandaa kuwa kiongozi miaka ijayo ya ukubwani. Mungu abariki kipaji chake. Amlinde na amkuze ndani yaikono yake na kumwondolea mabaya yote. Amina.
Mimi mkenya lakini napendezwa na nyimbo za huyu mtoto mwimbaji,hakika utafika mbali ,nakuombea heri njema na afya nzuri ili uweze kutumiza ahadi yake bwana mnyezi mungu.
This young angle is really talented and anaimba kutoka kwa moyo wake may God give you many more years to preach the gospel through songs you always bless me with your songs nakupenda sana, mungu akuongeze maika uokoe watu wake kupitia nyimbo, following From Kenya,
Nalia kwa ucungu pia na maneno haya najiuliza kwanini burundi kila siku kugombana kisha watu kufa kila siku wamoja kupotea jameni tupendani na pia tulumbuke kuwa sisi wote niumoja tuna baba tu umoja mwenyezimungu watanzania nawapenda sana mungu aendelee kuwamwagia upendo mwingi
Kazi nzuri sana kijana nakusikiliza kutoka Kenya ,mungu akulinde naakupe maisha yenye amani tele. Ningeomba tu wanao msimamia Tafadhali mnapote Fanya hivyo kumchangia muweke mkopo ama kikapu atakoyo iwekewa hiyo pesa kwa maana wengi pia wangependa kuitoa lakini wanaofia kufika hapo anapo imba .
Amani kwanza likes za yohana kutoka kenyaaaaa twakupenda sana
yohana yohana unakipaj sana mdogo wngu kama umemkumbl yohana like hapa hapa💯💯👏👏
Dogo Yuko vizuri sana #Ibrahimuimani#Tunapendwa
Sanaaa❤❤❤
Tuko wengi
Wow Tanzania is blessed for having such a kid...God bless u sana....much ❤ frm 🇰🇪🇰🇪
Safi sana mtoto... Unakipaji kikubwa sana ungali mdogo.. Mungu akukuze katika hicho kipaji ukawe juu zaidi
Aki nakupenda sana nyimbo zako zinanitia moyo sana nakunifurahisha kila wakati mungu akubariki sana kwakila wakati na saa
Tanzania is a very blessed country ,apa Kenya 🇰🇪 twawapenda tu ...yohana keep it up for your message
Yes bt this boy is a Kenya
@@rophineatieno5290 really?Bt he lives in Tanzania
God bless you brother
Yaani Yohana nyimbo zako zinavutia,,,,zinavutia moto,,be blessed 🙏🙏🙏🙏🙏
Am watching you from Nairobi Kenya,,amazing,,let's serve God together,,yohana Antony may God bless you little boy
This kid is so amazing!!! May God grant him favour to continue doing wonders in Jesus name!!
Daaaaaah achen mung aitweee mung amempaa haki yak mtot yohan atangaz nen lakee💓🌷
True 👍
Mungu amtunze aiseeeee kwaaaakeli. Shetani anamuwinda lakini Bwna Muatamie Kijana/Mtumishi Wako Mungu Akuponye Mtumishi Wake Yohana
Mashaallah nyimbo zuri Mungu baliki Tanzania yetu
songa mbele mtumishi wa MUNGU.Ulienae ndani ya moyo wako na unaemtumikia ni mkuu sana.Nabarikiwa na jinsi unavyohubiri kwa njia ya uimbaji.
How I love your songs little son,,, may God bless you abundantly ... much love
Yohana umeacha nimelia uko vizuri Mungu akikuze kipaji chako
🙏
Congrats hakika mungu twahitaji amani kutoka kwako.
Daaaa!! Mtoto nimekipenda buree walahi m mungu akubariki Amani iwe juu yetu watanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿 woooote Amiin🙏🙏
Sanaaaa mungu ibariki tanzania
Gonga like hapa Kama unamkubali huyu dogo
@@jacksonmarunda8628 )
God bless u yohanah
Mwenyenzi Mungu akutangulie mtt mzuri
I geek happy when i see This great God's Boy. Really i geek peace in my soul. I from Mozambique
Nothing is beautiful in this world than peace,Nawaomba wakenya wenzangu tukae kwa amani
Bila amani hatuna ibada, Kenya wakati huu wa uchaguzi @2022 mungu tukumbukeni.
Tanzania is blessed with more talented musicians
Being a kenyan does does not hinder be from watching this boy has he performs...hongera
Welcome kenya after uchanguzi as your song says
Mungu mlinde huyu mtoto anandoto isoyo yakawaida
Huyo mtoto Mungu anamuaandaa kuwa kiongozi miaka ijayo ya ukubwani. Mungu abariki kipaji chake. Amlinde na amkuze ndani yaikono yake na kumwondolea mabaya yote. Amina.
Mungu bariki Tanzania bariki pia mtoto yohana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
saf sana
Watching from Lusaka Zambia... More Grace son of Africa.
Good
Hivi mnao dislike hii video tuwaweke kundi gani?Be blessed Yohana may God be with you
Lily Rose naona wengi hawaelewi inamaana gani tuwasamehe bure
@@brigithashirima7760 Kabisa mpendwa
Lily Rose siunajua huku wengine ni stupid "
@@johnpaulkirenga5824 Kabisa yani wanakera basi tu
@Emmanuel Kawema We acha tu
May God bless you John, strengthen and pave the way for your talented gift.
This boy should be honored by the Tanzanian government.
S
Mimi mkenya lakini napendezwa na nyimbo za huyu mtoto mwimbaji,hakika utafika mbali ,nakuombea heri njema na afya nzuri ili uweze kutumiza ahadi yake bwana mnyezi mungu.
Nitakwalika harusi yangu pastor you are so powerful ❤
We wish 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ufanye Moja huku kwetu hk nyimbo zinapendeza n zinabariki moyo wangu
Your song and dancing make me happy my brother....may God blssd u abundantly, grant you your heart desires and expand your territories
.
Bonge la ngoma bonge la ujumbe yohana ukue katika hekima na kimo mungu akuongoze katika yaliyo mema ,,aaamina
MUNGU.IBARKI.TANZANIA.UMBARKI.RAIS.WETU.NA.MTOTO.YOHAN🙏🙏
Wimbo mzuri sana. Mungu amjalie Yonana afike kule apendako kwa mapenzi yake Mungu.
Yohana Nakupenda Mungu akufikishe viwango vingine Amani Amani Tanzania yangu najivunia .
Yuko powa
Shidea Shidea ,
Mung akukuze na kipaji icho
Daaa Yona Mungu akujariye maisha malefu yenye upendo naamani tele❤❤❤❤
This young angle is really talented and anaimba kutoka kwa moyo wake may God give you many more years to preach the gospel through songs you always bless me with your songs nakupenda sana, mungu akuongeze maika uokoe watu wake kupitia nyimbo, following From Kenya,
My Tanzaniaaaa naipenda daimaa moyoni kwangu
Hongera sana mwana wetu wa Tanzani kutumia kipaji chako kutuhasa tutunze amani. Mwenyezi Mungu akukuze vema na akuze kipaji chako hicho . Safi sana.
Good job kwa kijana wetu, hakika yuko vizuri, amani ni kila kitu kwetu Watanzania na Africa kwa ujumla
hassan mkilindi nice
Tunakupenda sana Kenya brother yohana good work keep it up
Mngu akubariki sana napenda nyimbo zako ni nzuri inanitia moyo
Mungu akubariki mdogo wangu 😭😭😭😭😭😭
I cant get enough of what you do little angel. God bless you so much
Wooow you are a blessing to many,,,,, am from kenya
Nalia kwa ucungu pia na maneno haya najiuliza kwanini burundi kila siku kugombana kisha watu kufa kila siku wamoja kupotea jameni tupendani na pia tulumbuke kuwa sisi wote niumoja tuna baba tu umoja mwenyezimungu watanzania nawapenda sana mungu aendelee kuwamwagia upendo mwingi
Mungu awakumbuke Taifa la Burundi
Karibu Sana Tanzania
Nakupenda sana mdogaangu kazi nzuri Mungu azidi kubariki huduma yako
Mungu akiwa upande wako ni nan atakuwa juu yako? Barikiwa sana mtoto
Watoto wenye vipaji kama hawa huja Mara moja kwa miongo kadhaa huu ujumbe kwa huyu mtoto ni wa kipekee sana
MUNGU akulinde na ukulee
I love your songs, congratulations mtoto ..am from Kenya🙏🙏🙏🙏
Hongera sana kijana japo Askari wamekaa ni Kama wanaomboleza. Ni Kama vile hawaelewi kinachoendelea.
Penda sana good boy yohana God bless you.!
Dogo Allah akuweke miaka 100 umenitoa chozi lkn amani hatuna tz fujo tupu
Mungu andeleee kukuongezea kipiji chako unuliwe zaidi ya hapo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪✔️✔️✔️✔️✔️💕💕💕
ubarikiwe sana mtoto ila siku ingine anza NA saalam kwanza
Rose Mlimuka salami ametoa kwa njia ya neno LA amani.
Unapenda kusalimiwa siyo
Kasalimia jaman kasema amani amani
so anapenda salam adabu ya mtoto kwa mkubwa ni haki yake kuna walomzidi zaid ya wazazi wake
Msameeni ila kwa mimi naona ajaaribu kitu
Kiukweri huyu Dogo Mungu azidi kumuinua nyimbo zake zinanibariki sana
Hongera Yohana A,Ubarikiwe.
Wow wow just wow ur so special and talented God bless you antony
goooooo toto mungu akukuzie kipaji chako.
Nchi yangu Tanzania nakupenda sana daima hatutaacha kuiyombea taifa letu
Yohana MUNGU akubariki Sana nabarikiwa Sana na nymbo zako Kuna upako
Mungu aendelee kukutunza mwanagu akupe miaka kamayote uendelee kumtukuza.
Mungu akubariki , mie nkisikia nyimbo za amani naliatu
Tanzanians you are blessed country
Kipaji kikubwa sana, Mungu awe Nawe mdogo wangu
Very talented guy God bless you keep on moving
Can't get enough of this 👏👏👏👏👏be blessed
Congrat..God blessd you more...and you dad and sister
Amen god blessings you so much boy ilove song for you
Barikiwa xana mtumishi yohana
Mungu akufunike kwa mbawa zake mdogo wangu
Mtoto Una talent kweli
Very talented Mungu akutunze to your destiny.
Hallelujah yohana ubalikiwe ❤❤❤
Emwenyezi mungu tujalie amani na upendo katika familiya yetu
Yohani nyimbo zako nzur San mungu akubariki🥰🥰
I love the song for the call of God's peace
Ee may the living God be with you toto
God bless you yohana you are ablessing to us kenyans
I love you so much little boy may the LORD keep using u in Jesus's name
Ad ninelia nakupenda nchi yangu tanzania
Unanibariki Sana yoana what a tarlent God can do wounders
Nakupenda sana yohana mungu akubaliki
Very wonderful to this young boy may God bless you
Mtoto Yuko vizur Mungu amlinde na kumtunza zaid
Ata huku Kenya tunakukubali sana Yohana
Nakupenda yaohana from America
Daaaaa, hii nyimbo ipo juu saana, waheshimiwa, hasa waziri wa Habari, mpe sapoti Dogo
mung aendelee kumpigania
Kazi nzuri sana kijana nakusikiliza kutoka Kenya ,mungu akulinde naakupe maisha yenye amani tele. Ningeomba tu wanao msimamia Tafadhali mnapote Fanya hivyo kumchangia muweke mkopo ama kikapu atakoyo iwekewa hiyo pesa kwa maana wengi pia wangependa kuitoa lakini wanaofia kufika hapo anapo imba .
God bless yohana he is a such wonderful boy
Maajabu by Deborah
Yohana uko safi
Asante sana yohana antoni
Nothing to say
Big up to you
Mungu akulinde mtoto
Mungu akubariki mtoto mzuri
Amina barikiwa mtoto ufike Bali!
Amazing yokhana thank you
Mungu akulinde na kukuongoza ktk kipaji chako dogo
Nimeipeanda aki nzuri xana yohana atnony barikiwa
Mob love most obs and ogs of mine from tz long way from uganda
I love this young blessed soul may God bless you 🙏
Unawez San dog kuza kipaj chk
What a blessed kid