BOBCAT: BAHARIA ALIYE ZAMIA ULAYA/ "WAMENIHARIBIA MAISHA"/ NIUZE FIGO, PART 03

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2021
  • Kijana wa kitanzania "Bobcat" aliondoka Nchini (Tanzania) miaka ya 2000...kuelekea kutafuta maisha katika nchi za ulaya, hata sahau mkasa huu katika maisha yake..
    #Safarizaulaya #Mbanga #baharia
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News

Komentáře • 117

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Před 2 lety +7

    Miaka 20 USA 🇺🇸marekani nduguzagu message from USA never give up

    • @simongaudence2685
      @simongaudence2685 Před 7 měsíci

      Yeah never give up,but support inahitajika na sisi kuja USA

  • @hamisihassankengejr4375
    @hamisihassankengejr4375 Před rokem +1

    Dah umenikumbusha mbali sana broo hiyo kauli ya kwamba harudi tena ulaya ilinikuta mara mbili hapo bongo air port mwaka 2013 na 2018 ila sikukata tamaa nipo mbele mjini brissel now askari wetu sio wazuri kabisa sijui kwa nn yaani
    Siwapendi sana tena sana hao jamaa wa air port hao askari mungu awalaani maisha yao yote na vizazi vyao

  • @simbachips58
    @simbachips58 Před 2 lety +4

    Good hope brother mungu atakutilia wepes mpambanaji mwenzetu never lose hope until the end fighter 🙏🙏

  • @tinanicholasligwile6972

    Dah polee sana bro never give up umepambana sana

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před 2 lety +2

    Maaaa nicca,,I love ya spirit ya,fake it till ya make it🇰🇪🇰🇪💪💪💪💪

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Před 2 lety +2

    Allah akujalie upate mafanikio Bro na watoto wako awajalie wasikusahau Bro ni mipango ya Allah hiyo muhimu akuna kukata tamaa🙏🙏🙏🙏🙏

  • @martinemati7969
    @martinemati7969 Před 2 lety +3

    Duuhh I m Burundian na nimefika Holland 2006 kulikuwa wa Tz wengi sana nawalikuwa wanaishi kama warundi....wanjanja waliji mixe na warundi wa ukweli kabisa....kuanzia 2012 warundi wengi walirudishwa Burundi...ww ulipata bahati till 2015 ulikuwa bado na kibali za ukimbizi kama mrundi. Kama ulikuwa unaishi vizuli na mke wako ataweza kukurudisha kama mume wake...sio tena kama mukimbizi....

  • @mussakaembi5706
    @mussakaembi5706 Před 2 lety +3

    Dahh nimemkubali Sana broo mpambanaji na jamaa hata kihisia tu jamaa anaonekana nimkweli kabisa ameniongezea kitu Sana kwan nami napambana nifike pande hizo 🙏🙏🙏

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman5541 Před 3 lety +3

    Merci beaucoup Sana brother

  • @geofreymwaijonga
    @geofreymwaijonga Před 3 lety +3

    Mbanga Dar24Media Talk of Tz 🔥🔥🔥🔥

  • @ficachoka7713
    @ficachoka7713 Před 9 měsíci

    Pole sana kaka sema nimekukubari sana

  • @momahamba7467
    @momahamba7467 Před 2 lety +3

    Yo Mr duper, big respect to bobcat unlucky Holland's imagination department is very tough in there,keep ur head up b

  • @salehkhalif3708
    @salehkhalif3708 Před 2 lety +1

    kaka salute

  • @markh8142
    @markh8142 Před 2 lety +1

    Nimeumia sana pole bro unaonekana upo smart brother one day yes bro💪🙏

  • @hadijashabani890
    @hadijashabani890 Před 2 lety +5

    Roho imeniuma sana jamani watanzania atupendani mtu umjui kwanini usimuwache akaludi zake ulaya ujui utasaidiwa nanani kaka wawatu wamemkatisha maisha yake

  • @radjabundikumana5689
    @radjabundikumana5689 Před 2 lety +1

    Never give up big fella 💪🏾💪🏾💪🏾 keep it up

  • @zidadumbepo1486
    @zidadumbepo1486 Před 3 lety +10

    mwanangu kilichokuponza mawasiliano yako ulikua unaongea Sana Tanzania na walikua wanakufuatilia mpka wanakupiga bati walikua walishapata ukweni wote

  • @nurdinngwegwe2943
    @nurdinngwegwe2943 Před 2 lety

    Baby KUBWA Hustler. Kama IPO IPO. Blessed

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani10 Před rokem +1

    Funzo ilo, kwa wale walioko au watakao bahatika kwenda kwenye nchi au mabara yaliyo endelea kama vile ulaya, america, Australia nk, jaribuni kuwekeza na nyumban ili hata kama kikitokea chochote kile bac upate kwa kuanzia huku nyumban

  • @lupacrisamayc518
    @lupacrisamayc518 Před 2 lety +2

    Wanaigeria wataendelea kutuzidi sana.....sababu wanapeana support sana.......wabono tunakaziana bila mpango wwt

    • @abdallahmohamad8360
      @abdallahmohamad8360 Před 2 lety +2

      Bro ni kwel cc East Africa ndio tulivyo hivyo

    • @abdallahmohamad8360
      @abdallahmohamad8360 Před 2 lety +1

      Bro me mwenyewe juz 2 hapo mwez wa 5 nilikuwa bongo hapo sasa cku ya kuondoka hapo Airport sio poa huo mziki hao immigration tulibishana mpaka basi mixer kiniita mm mjeur daaahh na wakanitisha kuwa passport yangu wataifungia daaahh watu weusi cc 😳 na Tanzania crudi tenaa mbele kwa mbele hyo .....sirudii ngoo

  • @jumabee9890
    @jumabee9890 Před 2 lety

    We r love with dar24 mdupangeeeeeee

    • @imamswea4829
      @imamswea4829 Před 2 lety

      Alichokosea alijieahau hata kuwekeza nyumbani kiukweli lazima watu wamjambishe

  • @monsterxtz6281
    @monsterxtz6281 Před 2 lety +1

    Wabongo wanaftina sana daah

  • @furahamandai6628
    @furahamandai6628 Před rokem

    Dah Mzee kama vipi weka namba brother tukusaport dah huyo imeniuma Sana muda huu angekuwa na family yake

  • @shahiduzubery4601
    @shahiduzubery4601 Před rokem

    Salute to u 👏

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 2 lety

    Yeah 🔥🔥🔥🔥

  • @leninbien3509
    @leninbien3509 Před 3 lety

    Dah good story

  • @pujimontanapachino4958

    Dah! roho imeniuma sana wallah bro wabongo sijui tukoje sasa ushaona mchizi kakaa mika 17 Ulaya then unataka abaki maisha mabovu dah! wabongo tupo na roho mbaya sana 😭

  • @makenebartazary2236
    @makenebartazary2236 Před 2 lety +1

    😂🤣😂UTAELEWA 2 daaaaa wa bongo nomaaa

  • @aminali2677
    @aminali2677 Před 2 lety

    Nice ❤❤🔥🔥🔥💯🇸🇦

  • @suhelkassim8837
    @suhelkassim8837 Před rokem

    Watz wangese sna

  • @afterx3172
    @afterx3172 Před 2 lety +1

    Jamaa anahitaji mwanasikolojia

  • @Avagumyan
    @Avagumyan Před rokem

    Lamborghini

  • @katambihamisi4130
    @katambihamisi4130 Před rokem

    Iko ivyo watanzania huwa tuna roho mbaya sana, wivu, tamaa vimetujaa hatupendi kuona wengine wanapata ilikuwa issue ndogo tuu ila askari alikunja

  • @salumsicknesspeoplemusafir7902

    Mwambiye asikate tama angaliki anapumuwa bora uzima haijuwi yenye Allah amemupangiya ya kesho .na anaaeza kuwa alitoka kule kumbe Allah amemukimbiza kibaya huko holland

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul2171 Před 2 lety +2

    Wa swail wanafk wangemkataaa 2u kamaa awamjuii

  • @hamidumtega4694
    @hamidumtega4694 Před rokem

    Dah baalia umeishi ulaya miaka kibao ruga gongana😄🙌

  • @charlesgeorge9549
    @charlesgeorge9549 Před rokem

    Story yke inauzunisha lkn naimani hapo migration angekua na pesa angewaonga wangemuacha lkn miaka 17 ulaya then unakua kwenye hali iyo vijana tuwe makini sana na mtu ukifanikiwa basi uwe makini sana na starehe nimeona mahojiano mengi ya mabaharia wanasafiri nchi nyingi za ulaya lkn siku wakihojiwa unakuta wpo kwenye Hali mbaya,

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Před rokem

      Ulaya maisha magumu Sana watu hawaelewi Tu hata upate kazi maisha yako juu Sana unaweza kuishia Kula na kuvaa

  • @leecode6135
    @leecode6135 Před 2 lety +1

    Wa Holland mbuzi wale nilivutana não nikadondokea Brasil kkkkk

  • @boblatino3899
    @boblatino3899 Před 2 lety +1

    Uyo Afisa inaelekea ndo bingwa wa kuwadundasha watu hapo kitengo

  • @mdabwaaissa4920
    @mdabwaaissa4920 Před 3 lety +1

    Daaaaa huyu mwana smart saaaana ndani ya leeward hakuwa na matatizo na mtuu

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 Před 2 lety

      Sana Mwana alikuwa smart kivyake

    • @abdallahmohamad8360
      @abdallahmohamad8360 Před 2 lety

      Yeah kamanda hao immigration siwapend hata kdg mm juz hpo walitaka kuniletea uchawi daaahh bahat nzur nikawapita alhamdulilah nashkur mungu ila bongo sirudi tena ....kaeni na roho zenu mbaya huko

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 Před 2 lety

      @@abdallahmohamad8360 kaka upo wapi
      Mimi nipo Nederland

  • @Project1986p
    @Project1986p Před 2 lety

    Dah..kweli…DUNIANI MABEKI KIBAO.

  • @ramadhanishabani2743
    @ramadhanishabani2743 Před 2 lety

    Daaa wabongo sisi

  • @bakarisakawa6979
    @bakarisakawa6979 Před 2 lety +1

    Wabongo nuksi sn

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 Před 2 lety +2

    Nipeni number zake

  • @mweroruwa6339
    @mweroruwa6339 Před rokem

    Allah zaid

  • @lumumbasimba1450
    @lumumbasimba1450 Před 2 lety

    Aah ndugu yangu , wanga sio waited usiku , huyo uliekutana nae ni zaidi ya mwanga ni kigagula ..( Jelousness never succeed . Bob Marley said if one door is closed many Moore is open . My Father born in Kigoma ujiji migombani ,naishi Italy 30 years now .do not give up ! Si unajuwa tunavyo usuguwa huku mtongani ?? Siri ya mtungi ?

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 Před 2 lety

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @reeckstar931
    @reeckstar931 Před rokem

    Mzee apo walitaka pesa tuuu Amna chengine c unajuwa bongo tena

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 Před 2 lety +1

    Sio Rizki bro,Ni yule jamaa ndio amekulet down,Njoo nikupe michongo,Mimi nakaa Europe

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 Před 2 lety

      Inauma Sana nduguzagu wa Tanzania kamamimi vile niko marekani 20 twenty years unirejeshe Tanzania umenionea. 🇹🇿🇺🇸

    • @salehkhalif3708
      @salehkhalif3708 Před 2 lety

      asalam alaykum vp kaka dah so poa si unaona wabongo noma

  • @HamixBreshiBane
    @HamixBreshiBane Před 2 lety

    Dah jamaa wamezingua...miaka 17 mingi sana

  • @marthadanielgethro6216

    Watoto watakufuata tu🙏

  • @bakarisakawa6979
    @bakarisakawa6979 Před 2 lety

    Ungemkataa kungeharibika nini ila cyo poa kabisa mueke mungu mbele atakusaidiy

  • @omarykaniki3194
    @omarykaniki3194 Před rokem

    Migression wa bongo machawi wanazingua mimi mimi nawajibu ushuzi wanaroho mbaya sasa angalia unateseka ndio wanapata nini sasa mimi naletaga fujo tu dah namuonea uruma sana mshikaji

  • @abuumwichumu5520
    @abuumwichumu5520 Před 2 lety +1

    Nimemchek mwamba kimtindo alikuwa mvivu mjanja awez kurudi kinyonge kiivyo

    • @abdallahmohamad8360
      @abdallahmohamad8360 Před 2 lety

      Hyu kama atakaza anaweza kurudi tena ...ila wabongo wachawi 2 mm mwenyewe juz c nilikuwa hapo hapo tz wakat wa kuruka eeeeehhhh hpo Airport immigration wameanza uchawi tulibishana ...mpaka kimeeleweka lkn bongo sirud tena ....

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 Před 2 lety

      Usiseme hivyo

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Před rokem

    Tupende kwetu jomoni! Hivyo hivyo hata kama masikini ndo tupambanie maendeleo yetu wenyewe ili tusione nchi za wenzetu ndo kuna neema

  • @simonshija2476
    @simonshija2476 Před 2 lety

    huyu mtangazaji itabidi mmfugie mic kwenye shati anaweka mic karibu sana na mdomo ina distort

  • @hamisihassankengejr4375

    Hakukaza mwamba

  • @lupacrisamayc518
    @lupacrisamayc518 Před 2 lety +2

    Migration wana jealous sana

  • @wahapahapa3279
    @wahapahapa3279 Před 2 lety

    Walikuchinjia baharini dahhhh

  • @devmwalabu3193
    @devmwalabu3193 Před 2 lety

    Kwer kaka kunawatu wanaroho mbaya

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir Před 2 lety

    Uyo jamaa angemkataa huyu mwamba kwani Tanzania ingepungukiwa na nini ..!!??
    Ulaaniwe uliomuaribia jamaa maisha ..!!

  • @tinanicholasligwile6972

    Tz nyosooo

  • @mombasaraha1252
    @mombasaraha1252 Před rokem

    Unaeza rudi vile uko na watoto ulaya usiwemj8nga unayo hakiyako hawaezi kukutangamanisha wewe na watoto wako

  • @bakamuubakamuu1556
    @bakamuubakamuu1556 Před 3 lety +1

    Mwendo taxi 😅😂😀😁😃😉

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 Před 2 lety +4

    Miaka17 hio ange focus kujenga nyumbani saa hii angeishi poa lakini yy alifika kufika full kujisau

    • @Chemba67
      @Chemba67 Před 2 lety

      Yaani nyundo 17 Ulaya alafu huna documents hili ni funzo tosha kwa wale wanaowania kuja Ulaya

    • @rasjamal9854
      @rasjamal9854 Před 2 lety +7

      Shalo boy Maisha ya ulaya siyo lelemama sikia hivyo hivyo,Tatizo Bongo ukijenga nyumba ndiyo unaoneka unakiri,Fanya wewe uje uwende ulaya ujione?

    • @enemtatuka5863
      @enemtatuka5863 Před 2 lety +3

      Mjomba mskixike tu ulaya nom di so kuishi ulaya ndo kujenga unajuwa akunakitu kinachoumixa Kam codi ya nyumba boy njoo ujionee di

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 Před 2 lety

      @@rasjamal9854 sijakupata bro tatizo pesa aiekeki ama tight yake iko vp?

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 Před 2 lety +1

      @@enemtatuka5863 huyu mzee baba alikua na mtoto wakizungu hapo lazima wife alicheza kama mwenyeji tukubali kua akili yake ilikua ishafika

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před rokem +1

    WATANZANIA HATUPENDANI
    HATA KIDOGO TUPO FAKE SANA
    KWENYE KUSAIDIANA

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 Před 2 lety +1

    Watanzania Wana Roho mbaya kabisa bola arudishwe kwasababu sio mrundi sisi Burundi Tunajua kabisa Tena Tukija kwenu mnatushika vibaya

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Před 2 lety

    Ati ameka 17 years Holland na hakuna hata kitu amefanya tanzania wewe ndugu mtangazaji ume msauri nini huyo? Huyo amejidhulumu mwenyewe asisingizee kama kuna mkono wa mtu starehe ndizo zilizo mpoza ndio shida yasisi wa africa twajisahau kwa hivyo wacha asote hapo kigoma pengine huwenda akili ikafanya kazi

  • @awadhially3753
    @awadhially3753 Před 2 lety

    Boycat soory man

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 2 lety +1

    Wengine hufukuzwa kutokana na uharifu

  • @nurdinngwegwe2943
    @nurdinngwegwe2943 Před 2 lety

    Baby KUBWA Hustler. Kama IPO IPO. Blessed