BOBCAT: BAHARIA ALIYE ZAMIA ULAYA/ "WAMENIHARIBIA MAISHA"/ NIUZE FIGO, PART 03
Vložit
- čas přidán 19. 08. 2021
- Kijana wa kitanzania "Bobcat" aliondoka Nchini (Tanzania) miaka ya 2000...kuelekea kutafuta maisha katika nchi za ulaya, hata sahau mkasa huu katika maisha yake..
#Safarizaulaya #Mbanga #baharia
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
Miaka 20 USA 🇺🇸marekani nduguzagu message from USA never give up
Yeah never give up,but support inahitajika na sisi kuja USA
Dah umenikumbusha mbali sana broo hiyo kauli ya kwamba harudi tena ulaya ilinikuta mara mbili hapo bongo air port mwaka 2013 na 2018 ila sikukata tamaa nipo mbele mjini brissel now askari wetu sio wazuri kabisa sijui kwa nn yaani
Siwapendi sana tena sana hao jamaa wa air port hao askari mungu awalaani maisha yao yote na vizazi vyao
Good hope brother mungu atakutilia wepes mpambanaji mwenzetu never lose hope until the end fighter 🙏🙏
Dah polee sana bro never give up umepambana sana
Maaaa nicca,,I love ya spirit ya,fake it till ya make it🇰🇪🇰🇪💪💪💪💪
Allah akujalie upate mafanikio Bro na watoto wako awajalie wasikusahau Bro ni mipango ya Allah hiyo muhimu akuna kukata tamaa🙏🙏🙏🙏🙏
Duuhh I m Burundian na nimefika Holland 2006 kulikuwa wa Tz wengi sana nawalikuwa wanaishi kama warundi....wanjanja waliji mixe na warundi wa ukweli kabisa....kuanzia 2012 warundi wengi walirudishwa Burundi...ww ulipata bahati till 2015 ulikuwa bado na kibali za ukimbizi kama mrundi. Kama ulikuwa unaishi vizuli na mke wako ataweza kukurudisha kama mume wake...sio tena kama mukimbizi....
hata mimi niliwaza ivo kwanini asimtumie mke kurudi
Dahh nimemkubali Sana broo mpambanaji na jamaa hata kihisia tu jamaa anaonekana nimkweli kabisa ameniongezea kitu Sana kwan nami napambana nifike pande hizo 🙏🙏🙏
Merci beaucoup Sana brother
Mbanga Dar24Media Talk of Tz 🔥🔥🔥🔥
True man
Pole sana kaka sema nimekukubari sana
Yo Mr duper, big respect to bobcat unlucky Holland's imagination department is very tough in there,keep ur head up b
Whatsupp man
kaka salute
Nimeumia sana pole bro unaonekana upo smart brother one day yes bro💪🙏
Roho imeniuma sana jamani watanzania atupendani mtu umjui kwanini usimuwache akaludi zake ulaya ujui utasaidiwa nanani kaka wawatu wamemkatisha maisha yake
dada yangu we acha tu
Dah wa tz noma Sana hasa ikitokea mbele hawakukatai
Never give up big fella 💪🏾💪🏾💪🏾 keep it up
mwanangu kilichokuponza mawasiliano yako ulikua unaongea Sana Tanzania na walikua wanakufuatilia mpka wanakupiga bati walikua walishapata ukweni wote
kwel kabisaaa kaka
Baby KUBWA Hustler. Kama IPO IPO. Blessed
Funzo ilo, kwa wale walioko au watakao bahatika kwenda kwenye nchi au mabara yaliyo endelea kama vile ulaya, america, Australia nk, jaribuni kuwekeza na nyumban ili hata kama kikitokea chochote kile bac upate kwa kuanzia huku nyumban
Wanaigeria wataendelea kutuzidi sana.....sababu wanapeana support sana.......wabono tunakaziana bila mpango wwt
Bro ni kwel cc East Africa ndio tulivyo hivyo
Bro me mwenyewe juz 2 hapo mwez wa 5 nilikuwa bongo hapo sasa cku ya kuondoka hapo Airport sio poa huo mziki hao immigration tulibishana mpaka basi mixer kiniita mm mjeur daaahh na wakanitisha kuwa passport yangu wataifungia daaahh watu weusi cc 😳 na Tanzania crudi tenaa mbele kwa mbele hyo .....sirudii ngoo
We r love with dar24 mdupangeeeeeee
Alichokosea alijieahau hata kuwekeza nyumbani kiukweli lazima watu wamjambishe
Wabongo wanaftina sana daah
Dah Mzee kama vipi weka namba brother tukusaport dah huyo imeniuma Sana muda huu angekuwa na family yake
Salute to u 👏
Yeah 🔥🔥🔥🔥
Dah good story
Dah! roho imeniuma sana wallah bro wabongo sijui tukoje sasa ushaona mchizi kakaa mika 17 Ulaya then unataka abaki maisha mabovu dah! wabongo tupo na roho mbaya sana 😭
😂🤣😂UTAELEWA 2 daaaaa wa bongo nomaaa
Nice ❤❤🔥🔥🔥💯🇸🇦
Watz wangese sna
Jamaa anahitaji mwanasikolojia
Lamborghini
Iko ivyo watanzania huwa tuna roho mbaya sana, wivu, tamaa vimetujaa hatupendi kuona wengine wanapata ilikuwa issue ndogo tuu ila askari alikunja
Mwambiye asikate tama angaliki anapumuwa bora uzima haijuwi yenye Allah amemupangiya ya kesho .na anaaeza kuwa alitoka kule kumbe Allah amemukimbiza kibaya huko holland
Wa swail wanafk wangemkataaa 2u kamaa awamjuii
Dah baalia umeishi ulaya miaka kibao ruga gongana😄🙌
Story yke inauzunisha lkn naimani hapo migration angekua na pesa angewaonga wangemuacha lkn miaka 17 ulaya then unakua kwenye hali iyo vijana tuwe makini sana na mtu ukifanikiwa basi uwe makini sana na starehe nimeona mahojiano mengi ya mabaharia wanasafiri nchi nyingi za ulaya lkn siku wakihojiwa unakuta wpo kwenye Hali mbaya,
Ulaya maisha magumu Sana watu hawaelewi Tu hata upate kazi maisha yako juu Sana unaweza kuishia Kula na kuvaa
Wa Holland mbuzi wale nilivutana não nikadondokea Brasil kkkkk
Uyo Afisa inaelekea ndo bingwa wa kuwadundasha watu hapo kitengo
Daaaaa huyu mwana smart saaaana ndani ya leeward hakuwa na matatizo na mtuu
Sana Mwana alikuwa smart kivyake
Yeah kamanda hao immigration siwapend hata kdg mm juz hpo walitaka kuniletea uchawi daaahh bahat nzur nikawapita alhamdulilah nashkur mungu ila bongo sirudi tena ....kaeni na roho zenu mbaya huko
@@abdallahmohamad8360 kaka upo wapi
Mimi nipo Nederland
Dah..kweli…DUNIANI MABEKI KIBAO.
Daaa wabongo sisi
Wabongo nuksi sn
Nipeni number zake
Allah zaid
Aah ndugu yangu , wanga sio waited usiku , huyo uliekutana nae ni zaidi ya mwanga ni kigagula ..( Jelousness never succeed . Bob Marley said if one door is closed many Moore is open . My Father born in Kigoma ujiji migombani ,naishi Italy 30 years now .do not give up ! Si unajuwa tunavyo usuguwa huku mtongani ?? Siri ya mtungi ?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee apo walitaka pesa tuuu Amna chengine c unajuwa bongo tena
Sio Rizki bro,Ni yule jamaa ndio amekulet down,Njoo nikupe michongo,Mimi nakaa Europe
Inauma Sana nduguzagu wa Tanzania kamamimi vile niko marekani 20 twenty years unirejeshe Tanzania umenionea. 🇹🇿🇺🇸
asalam alaykum vp kaka dah so poa si unaona wabongo noma
Dah jamaa wamezingua...miaka 17 mingi sana
Watoto watakufuata tu🙏
Ungemkataa kungeharibika nini ila cyo poa kabisa mueke mungu mbele atakusaidiy
Migression wa bongo machawi wanazingua mimi mimi nawajibu ushuzi wanaroho mbaya sasa angalia unateseka ndio wanapata nini sasa mimi naletaga fujo tu dah namuonea uruma sana mshikaji
Nimemchek mwamba kimtindo alikuwa mvivu mjanja awez kurudi kinyonge kiivyo
Hyu kama atakaza anaweza kurudi tena ...ila wabongo wachawi 2 mm mwenyewe juz c nilikuwa hapo hapo tz wakat wa kuruka eeeeehhhh hpo Airport immigration wameanza uchawi tulibishana ...mpaka kimeeleweka lkn bongo sirud tena ....
Usiseme hivyo
Tupende kwetu jomoni! Hivyo hivyo hata kama masikini ndo tupambanie maendeleo yetu wenyewe ili tusione nchi za wenzetu ndo kuna neema
huyu mtangazaji itabidi mmfugie mic kwenye shati anaweka mic karibu sana na mdomo ina distort
Hakukaza mwamba
Migration wana jealous sana
Walikuchinjia baharini dahhhh
Kwer kaka kunawatu wanaroho mbaya
Uyo jamaa angemkataa huyu mwamba kwani Tanzania ingepungukiwa na nini ..!!??
Ulaaniwe uliomuaribia jamaa maisha ..!!
Tatizo wa bongo tuna wivu sana
Tz nyosooo
Unaeza rudi vile uko na watoto ulaya usiwemj8nga unayo hakiyako hawaezi kukutangamanisha wewe na watoto wako
Mwendo taxi 😅😂😀😁😃😉
Miaka17 hio ange focus kujenga nyumbani saa hii angeishi poa lakini yy alifika kufika full kujisau
Yaani nyundo 17 Ulaya alafu huna documents hili ni funzo tosha kwa wale wanaowania kuja Ulaya
Shalo boy Maisha ya ulaya siyo lelemama sikia hivyo hivyo,Tatizo Bongo ukijenga nyumba ndiyo unaoneka unakiri,Fanya wewe uje uwende ulaya ujione?
Mjomba mskixike tu ulaya nom di so kuishi ulaya ndo kujenga unajuwa akunakitu kinachoumixa Kam codi ya nyumba boy njoo ujionee di
@@rasjamal9854 sijakupata bro tatizo pesa aiekeki ama tight yake iko vp?
@@enemtatuka5863 huyu mzee baba alikua na mtoto wakizungu hapo lazima wife alicheza kama mwenyeji tukubali kua akili yake ilikua ishafika
WATANZANIA HATUPENDANI
HATA KIDOGO TUPO FAKE SANA
KWENYE KUSAIDIANA
Watanzania Wana Roho mbaya kabisa bola arudishwe kwasababu sio mrundi sisi Burundi Tunajua kabisa Tena Tukija kwenu mnatushika vibaya
Ati ameka 17 years Holland na hakuna hata kitu amefanya tanzania wewe ndugu mtangazaji ume msauri nini huyo? Huyo amejidhulumu mwenyewe asisingizee kama kuna mkono wa mtu starehe ndizo zilizo mpoza ndio shida yasisi wa africa twajisahau kwa hivyo wacha asote hapo kigoma pengine huwenda akili ikafanya kazi
Boycat soory man
Wengine hufukuzwa kutokana na uharifu
Baby KUBWA Hustler. Kama IPO IPO. Blessed