CHEKECHE| Washirika wa Ukraine wanaisaidia vilivyo nchi hiyo kivita?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Mataifa hayo 50 yamefanya mkutano huo nchini Ujerumani mara baada ya Ukraine kuomba msaada wa silaha za kivita ( vifaru vya kisasa ) kutoka katika mataifa hayo. Je Ukraine atapewa silaha hizo? ungana na Mwanahabari wetu kujua mengi zaidi.

Komentáře • 57

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před rokem +5

    Natizama 👁️👁️ kutokea Helsinki Finland 🇫🇮🇫🇮,Rahbi we ni mchambuzi professional Hongera sana.hichi ndio kipindi changu pendwa sana Much love mr Nyamwihura tunawafuatilia sanaa maana Russia hatuko mbali nao kabisa🤝

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před rokem +10

    Jambo lingine Urusi hawezi choka leo wala kesho media za Magharibi zinadanganya sana kwasababu nao wapo vitani stori zao hazibalance kabisa

    • @fortuneakankizya5336
      @fortuneakankizya5336 Před rokem +1

      Mrusi alishajipanga baba afu jua kua . Biden amebaki na mwaka mmoja next year ni election trump achukuapo madaraka. Hatotaka vita na urusi.

  • @saidymwajeka8612
    @saidymwajeka8612 Před rokem +6

    Chambueni ukweli pande zote kwann NATO watu wao wanaandamana Kama wao wananguvu hizo kuweni seriously

  • @chamcham312
    @chamcham312 Před rokem +5

    Huyu sio mchambuzi, ni msimuliaji anachambua upande mmoja

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Před rokem +4

    Kwahy nchi zote zinapambana na nchi moja,,, ha ha ha

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Před rokem +1

    Huyu Ibrahim rahbi namkubali Sana anachambua kitu hadi kinaeleweka hongera kaka

  • @UUWF
    @UUWF Před rokem +4

    Wewe urusi hajachoshwa na vita
    Anachoshwa vipi wakati usalama wake bado haupo sawa

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Před rokem +7

    Acha mawazo yako eleza uhalisia bro

    • @alimkumbukwa8363
      @alimkumbukwa8363 Před rokem

      Kwa kwel uyu jamaa uchmbz wke w mchong kwan urus wao hawan watasmn vta kwnz akmbke urus ndio nch y kwanz kwend mwezn ivo kw vyvyte n watu weny akil kubwa hawa yy anchklia poapoa tu Mchmbz ajanshwsh

  • @nsubiraphael8514
    @nsubiraphael8514 Před rokem +4

    Hao washenzi tu wanato urusi hashindwi vita wavilete tu abraham, leopard leta tutaviteka na kuwaua navyo sisi warusi hatushindwi vita nato wamekosea sana wasitunie mwavuli wa ukraine waingie wao wenyewe,mrusi hachoki vita msidanganyane urusi silaha anatengeneza mwenyewwe,usi underrate Russia power

  • @albertbissaga1425
    @albertbissaga1425 Před rokem +1

    Hongera kwa uchambuzi wako mzuri, uko vizuri.

  • @wakilimuhamed9766
    @wakilimuhamed9766 Před rokem +10

    Next time azam please mtuletee mtu timam na neutral mchambuzi gan uchwar na ukwel unajulikana na ijulikane kua ata urusi anajua ilo na amejipanga kwa ajili ya iro, kiufupi AZAM siku izi ni kama western Media ambazo zinatudanganya waziwazi but thanks God technology imekua so tuna source nyingine za kupata ukweli na simshangai RABI coz nishawai msikia BBC so ni walewale izo propaganda za magharib pelekea familia yako

  • @barakashaban9698
    @barakashaban9698 Před rokem +3

    Uyu mchambuzi mjinga tu anawatetea ma bwana zake wa magharib

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Před rokem +2

    Sasa Vita miaka ishirini zerensky awe bado hajafa ,,, wew mchambuzi hovyo kabisa,, zerensky akifa Vita inaisha

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před rokem +3

    Kiufupi hawaisaidii Ukraine bali wanaipoteza Ukraine na Ulaya kiuchumi na kila kitu

  • @mapikomkindu565
    @mapikomkindu565 Před rokem +3

    Kweli kbsa njjaa itatuandama huu mwaka

  • @ismailntungwanayo3945
    @ismailntungwanayo3945 Před rokem +3

    Wewe nimwongo

  • @manarakassimmanara3132
    @manarakassimmanara3132 Před rokem +6

    wewe acha uongo urusi anasiraha ntoka wewe ujazaliwa tulia tuone

  • @mshindiwayote0002
    @mshindiwayote0002 Před rokem +3

    Wachambuzi wanaolipwa na magharibi hawa lazma waulaghai ulimwengu.

  • @abbasgumbo177
    @abbasgumbo177 Před rokem +3

    Yaani sijamuelewa vizuri huyu mchambuzi inamaana mpaka urusi anaingia kwa vita hii alikurupuka kiasi Mwamba achoshwe kwa Dora millions hamsini? Hivi kunaukweli hapo? Yaani mapema hivi muda wa mwaka?

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Před rokem +3

    Ila huyu mchambuzi muongo anaenda mbele pia anaenda nyuma

  • @user-dn2ic3jg5s
    @user-dn2ic3jg5s Před 6 měsíci

    Profesa. Ali. Magama. Anasema. Urusi. SI. Rahisi. Kushindwa. Mna. Jidaganya

  • @samwelsammy1121
    @samwelsammy1121 Před rokem +3

    Kuwa pigia magoti maanake nn

  • @nsubiraphael8514
    @nsubiraphael8514 Před rokem +3

    Na urusi naye anawashirika wake we unaongea nini, mrusi hawezi kushindwa vita silaha anatengeneza mwenyewwe,wewe nawe uko nato

  • @peterkabogo6468
    @peterkabogo6468 Před rokem +2

    Putin Hana mpango wakuchoka na ataendelea kuwa super siku zote

  • @donizzo9570
    @donizzo9570 Před rokem +5

    Marekani alifurumushwa Afghanistan na Urussi.. Baada ya Wagner kwenda kuwasaidia wale tareban

  • @josephathmedia9237
    @josephathmedia9237 Před rokem

    Marekani siku sinyingi Anasalenda Na Urusi Anawashirika tuu sema washirika wake hawajitangazi kuwa wamepeleka kama wao

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya5336 Před rokem

    Ni kweli

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Před rokem +1

    Mchambuzi wa hovyo kabisa sijawahi kuona ameegemea upande mmoja wa nchi za maguaribi...hovyo kabisa siku nyingine muwe mnatuletea wachambuzi ambao hawaegemei upande mmoja

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Před rokem +3

    Azam tunawaheshi sana huyu siyo mchambuzi kabisa

  • @nelsonnaga3775
    @nelsonnaga3775 Před rokem +2

    Rabhi ni mchambuzi bora wa masula ya kitaifa asiye elemea upande wowote

  • @muichorekishagani1751

    kwakwel mchambuzi ana maoni ya kufikirika kabisa tofauti na wachambuzi wengine ambao hawako balance katika issue either anataegemea marekani au anaegemea urusi

  • @asingizibwejacobkalokola7351

    Naomba kujua tathmini senu sinafanyika kwa muda gani ndani ya Mwezi? Maana nataka kutazamia ktk tv sio mb.

  • @abdalahngozi5455
    @abdalahngozi5455 Před rokem +2

    Sasa azam mbn mnamleta mtu wa ulaya kutuchabulia ishu nyeti namna iyo, na kwa jinsi anavoongea unaeza sema babu na bibi zake wako Ukraine. Ebu mlete mtu anaezijua siasa za kimataifa sio msikilza taarifa za BBC na CNN

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze Před 2 měsíci

    Waache wampe hayana akili bakachezee kichapo cha mwana mme mrusi gaidii zelenski hawajuwi kuodowa vita wanajuwa kuchocheya vita mrusi babalao❤😂

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz Před 2 měsíci

    Ww mtangazaji tafuta watu Muhimi huyu alisomeshwa namarekani tutafutieni watu wamaana

  • @sayshabani6350
    @sayshabani6350 Před rokem +1

    Hahahhahaa hata wakipeleka Malaika wa shetani watapigika2
    Hahaahahha Russia wakiendelea kumtia hasira atawafuata uko uko kwao
    Kwani mapeleka misada mingapi mpka leo sijui himas sijui nini zote mpka leo ni majivu
    Uraaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @asambakanyalusambya249

    Niatari kweli

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz Před 2 měsíci

    Wewe Swahumu ina kusumbua nenda ufuturu

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj Před 7 měsíci

    Watu huku wanalaumu tu mchambuzi sababu wana mapenzi yao binafsi...Ila jamaa anachambua vizuri tu mkuu, pia na nyinyi toeni maoni yenu.

  • @bensonnyondo3660
    @bensonnyondo3660 Před rokem

    Wemuonga kama kunamutu muonga niwewe muchambuzi husemi ukweli mbele ya watu uno wazungumza azamu waongo kambisa tafuteni wengine umupo kimagalimbi sana wote tunaumiya sana likini munaeleza mambo juju munaacha Mambo kamili hata Africa yenyewe haita endeleya

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před rokem +1

    Umechelewa sana wewe urusi ndio anaanza vita hujamuelewa baba NATO ndio wamechoka

  • @yohanamasebo3478
    @yohanamasebo3478 Před rokem +1

    Uchambuzi uchwara unaegemea nato

  • @papaabileo685
    @papaabileo685 Před rokem +1

    Mbona huyu mchabuzi ni muongo sana

  • @zuberihamisi460
    @zuberihamisi460 Před rokem

    Munachambuwa nchi zingine mbona hamchambui siasa za nchi ya Tanzania?

  • @suleim505
    @suleim505 Před rokem

    HUYU MCHAMBUZI NINA SHAKANAE SANA...

  • @sumamatitu1204
    @sumamatitu1204 Před měsícem

    Kwaiyo mchambuzi unasema urusi kachoshwa na vita ukreni yeye ajachoshwa na vita? alafu ujue urusi apambani na ukreni kwa sasa ukreni ameshaishinda zamana kwa sasa urusi anapambana na nato nato ndio wanaopigana pale ukreni kwaiyo unapochambua usielemee upande mmoja mzee.

  • @gabrielmtapila229
    @gabrielmtapila229 Před rokem +1

    Urus kachoka tyr

  • @jumamambo7026
    @jumamambo7026 Před rokem

    Nikwambiekitu wee mchambuzi kitu ambacho hikijui muda wakuitwa baba waduniaa umekwishaa

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před rokem +1

    Hakuna mchambuzi hapo upuuzi mtu hilo ni brain washed hata mimi hanifikii kwa uchambuzi na nyie Azam TV vip mmelewa ama huyo jama mchambuzi kweli ama mlevi fulani tu wamtaani inaonekana kazaliwa juzi bado hajauwa historia ya Russia vizuli hizo hesabu zake za kitoto Putin alishamaliza huko.