CHEKECHE || Finland kujiunga na NATO ni pigo kwa Urusi? Ni ushindi kwa Marekani?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Aprili 4 mwaka hu Finland ilijiunga rasmi na Jumuiya ya Kujihami ya Nchi za Magharibi (NATO) na kuzua mjadala mpya kuhusu hali ya amani kwenye ukanda huo huku rais wa Urusi Vladmir Putin akionya Finland isikubali ardhi yake kutumika kuweka kambi za jeshi za NATO.
    Je, hatua ya Finland kuingia NATO itamaliza mgogoro wa Ukraine na Urusi?
    Je, hatua hii inachochewa na Marekani? Moses Mohamed akiwa na Ibrahim Rahbi na John Kenene wanaangalia hili katika CHEKECHE.

Komentáře • 74

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před rokem +5

    Kupigana na Urusi ni sawa na kupigana na nguvu ya mungu muumba mbingu na ardhi. SIO Finland tu Hata dunia nzima tujiunge na NATO bado hatutoboi labda tutoboe matundu ya choooooooo.

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před rokem +5

    Putin Yuko pekee yake anapigana na nchi nyingi kweli Putin ni kidume kabadilisha mchezo

  • @HamisiGatuso
    @HamisiGatuso Před 3 měsíci

    Rab upo sawa unajua sana

  • @beatricecharles1110
    @beatricecharles1110 Před rokem +3

    Nato ni ya marekani na ipo kusimamia maslahi ya marekani tu na SI vinginevyo.

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 Před rokem +4

    Aaa kama NATO ni tishio imeshindwaje mpaka leo kumaliza mzozo wa Ukraine? sasa NATO inakimbilia vita na China wakati imegharamika DOLLAR nyingi .kwani NATO nini ni Ulaya na marekani. Ambazo tayar zimeshashindwa ukraine

    • @godfreydavid6267
      @godfreydavid6267 Před rokem

      hahahahahahahahah mzee umetoa maoni kwa chuki saana!!!

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před rokem +10

    Kabla ya yote Kwanza yatupasa kujuwa kwamba katika NATO na marekani na washirika wao wote hakuna hata mmoja anaweza kufikia nusu ya nguvu za kijeshi za urusi hiyo ni behind the seen. Wajinga hawataelewa hapa ila hiyo ndio sababu ya kuuangana nchi zaidi ya 30 na bado wameshindwa kumuondowa mrusi ugenini na ndio mwanzo anaongeza maeneo mengine nje ya ile mikoa 4. Na pia tambueni urusi ana washirika wenye nguvu kuliko hao manyangau na bado haoni umuhimu wa kuwatumia kwa maana yeye anajiweza kikamilifu kabisa manyangau ni majambazi hayawezi kumzidi putin mwenye mali?

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 Před rokem +1

      Naona unaongea kimihemko kuisifiae urusi! Lakini Nato ina nguvu sana, mrusi haingii hata nusu

    • @josephkostans9128
      @josephkostans9128 Před rokem

      @@johnmichaellukindo21 pole maana wewe ndio mwenye mihemko usiejuwa kitu. Urusi kavamia Ukraine na kuchukuwa zaidi ya mikoa 4 sasa kama nato ana nguvu hatubishi anazo sasa afanye jambo moja TU amnyanganye mrusi ile mikoa 4 tu itatosha kuonyesha yeye ni mwenye nguvu basi hakuna sababu ya kuandikia mate peni ipo. Acha ujinga marekani anaiogopa urusi kuliko jambo lolote duniani na kama angekuwa anamuweza mrusi sahz mngeongea mengine kuhusu Putin yuko wapi gadafi? Yukowap sadam na wengine wengi wa aliyowaweza sasa mashabik ndio mnambwela ila yeye mwenyewe anajuwa urusi ni kiatu saizi nyingine yeye hawez kuvaa ndio maana anataka dunia nzima imsaidia apigane na Putin na keshafeli Russia ndio mkombozi wa kweli wa dunia hii

    • @swalacopper5792
      @swalacopper5792 Před rokem

      @@johnmichaellukindo21 WW UNAESIFIA NATO HUNA AKIRI NATO IMEUWA WAAFRIKA WANGAPI NA BADO INATULETEA USHOGA BADO MNAISIFIA

    • @PauloFataki-ue8mo
      @PauloFataki-ue8mo Před rokem

      Dah! Kweli we jamaa ni chizi yani mimi Mmarekani namchukia lakini usijidanganye ndugu yangu Marekani tu peke yake anatosha bado Urusi hawezi kuifikia kwa nguvu za kijeshi

    • @PauloFataki-ue8mo
      @PauloFataki-ue8mo Před rokem

      Dah! Kweli we jamaa ni chizi yani mimi Mmarekani namchukia lakini usijidanganye ndugu yangu Marekani tu peke yake anatosha bado Urusi hawezi kuifikia kwa nguvu za kijeshi

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 Před 6 měsíci

    Marekani anatumia akili sio nguvu tulieni muone shoo shoo mrusi kaingia chakikeee mwenye akili anaenda taratibuuu kumbuka vita ya pili ya Dunia kama sio marekani angepigwa na hitlaa mtafunga midomo yenuu💪💪

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Před rokem +2

    Jarani mwovu dawa yake ni kipigo

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Před rokem

    Marekani namuona Sasa anapoteza ushawishi wake maana hata raisi wa ufaransa amesema Sasa ulaya tufate misimamo yetu na tuwe huru katka maamuzi yetu bila ya kuegemea upande wowote bila ya kueka utegemezi kwa marekani.... Mwisho wa kunukuu... Hutuba hii imewauma Sana wamarekani

  • @mayombomajenga9778
    @mayombomajenga9778 Před rokem +2

    Mtupe na faida za NATO Toka kuwepo

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před rokem +1

    Rahbi umeongea kitu point sana hii serikali mpya iliyoingia itatuletea balaa

  • @MohamedHasan-kt4lw
    @MohamedHasan-kt4lw Před rokem +1

    Lakini kw nn NATO ingali hai ilhali madhumuni ya kuundwa NATO ni sababu usssr, so far usoviet ulianguka, mbona NATO nayo wasiivunje NATO

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Před rokem +1

    Putin alisha sema **Finland sio tisho kwa Urusi** unajua kwanini? Finland amekubaliana na Putin kuto ingiza jeshi la NATO na kuweka silaha za Nyuklia. Hayo ni makubaliano, sasa ikitokea Finland kavunja, basi Finland itapotezwa ktk ramani ya dunia

    • @godfreydavid6267
      @godfreydavid6267 Před rokem

      hahahahahahahah unakumbaka vita ya 1939 kati ya Urusi na
      Finland?

  • @IsmailBagayabakwe-bb1pl

    Urusi alisha shindwa vita akubali tu aende kujipanga tena vizuri

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před rokem +3

    Nawafuatilia nikiwa hapa Helsinki Finland 🇫🇮🇫🇮👁️👁️

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Před rokem

    Safi sana tunapenda uchambuzi kama huu

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 Před rokem +1

    Hawa wachambuzi hawajui kuwa vita ni siraha ,vita sio ardhi tu

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Před rokem

    Putin anapigana na mamluki wa kimagharibi Hilo jeshi la ukraine halipo Tena lishapotezwa mda2

  • @user-el3me9vj4i
    @user-el3me9vj4i Před 5 měsíci

    Ni uchokozi kweli

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před rokem

    majid mjengwa ningefurahi sana angekuwepo pia tusikie maoni yke.

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před rokem +1

    Amna vita ya dunia wana malizana wenyew

  • @evaristmihingo8885
    @evaristmihingo8885 Před rokem +1

    Rais wa ufarasa kafwata nini China?

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 Před rokem +1

    Ivi mpaka sasa Urusi hapigani na NATO. ?

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Před 6 měsíci

    Neto au nato?

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 Před rokem +1

    Mnaongea hoja nzito aisee.

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Před rokem +1

    Huyo mchambuzi mwenye kanzu hajui anachoongea anaongea bila kufanya uchambuzi wa ndani

    • @jamessiame5169
      @jamessiame5169 Před rokem

      Na wewe kachambuwe tukuone

    • @kassim1262
      @kassim1262 Před rokem

      Ss unaonaje naww ukaomba kutafuta media ukatutolea uchambuzi wko ulioufanyia kazi

  • @Alislamre
    @Alislamre Před rokem +1

    Ikija kinyume nawashambuliaa wakuu😂😂😂.

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Před rokem +1

    Adui anapigika

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 Před rokem +1

    Groly russia

  • @muichorekishagani1751

    ahsante Chekeche umetuletea wataalam ambao wanajadili na kutupa elimu kwa utulivu na uchambuzi mzuri sana.

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Před rokem

    Kifungu cha tano hata siku moja **Hakiwezi kufanya kazi** . Iyo ni danganya toto, Urusi anaweza kuishambulia Finland na NATO wakaishia kupiga kelele

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před rokem

    Neto au Nato bwana moses?

  • @evaristmihingo8885
    @evaristmihingo8885 Před rokem

    Hamna chochote

  • @jamessiame5169
    @jamessiame5169 Před rokem +2

    Safi filand kwa kujiunga na nato

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Před rokem +1

    Nyie hamna kitu nivibaraka tu

  • @erickmshoboth4705
    @erickmshoboth4705 Před rokem

    Kanene we ni chawa tuu

  • @yassinphonyogo2347
    @yassinphonyogo2347 Před rokem

    raby we ni kibaraka wa mabeberu

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 Před rokem

    God bless Russia

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před rokem

    Zelencyk kapata nguv

  • @jumamasele5793
    @jumamasele5793 Před rokem

    Kenene hua anaidharau sana urusi

    • @PauloFataki-ue8mo
      @PauloFataki-ue8mo Před rokem

      Sio anaizarau Urusi ni underdog sana kwa Mmarekani watu wanafanya reseach mjomba ndo wanakuja ubaoni Wakiwa na fact zote sio unashabikia tu kama simba na Yanga Marekani tunachukua ndio kwa ushenzi wake lakini jamaa yuko vizuri kila idara ndo maana anadharau kwa Urusi na Uchina anafanya anachojisikia na anajua hakuna atakae mgusa

    • @PauloFataki-ue8mo
      @PauloFataki-ue8mo Před rokem

      Mfano mtu anatangaza kabisa hazarani kwamba nasaidia siraha na feza kwa ukrain ambayo inapigana na taifa hatari la Urusi ilitakiwa Urusi moja kwa moja apige Marekani maana apo kashajiingiza kwenye vita mazima sasa mbona hujaribu anaogopa nini? Kama yeye ni mwamba? Pili Uchina walipiga biti kuvamia msafara wa Nansi pelos spika wa bunge mstaafu wa Marekani kwenye ziara yake kule taiwan unakumbuka Marekani alichojibu na mbona spika alienda na akarudi salama waliogopa nini kumvamia? Ile ndo Marekani supa power jamaa ana kila kitu

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před rokem

    Apo nguvu imezid

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Před rokem

    Nyambafu nyinyi america kwisha story mashoga tu

  • @mussakulanga9513
    @mussakulanga9513 Před rokem

    huyo jamaa mbona mnampenda sana nyie azam tv kana kwamba hamna mchambuzi wengine jamaa toka mwanzo haongei facts kabisa anaegemea upande hamsomi comment

    • @mikarasaka74
      @mikarasaka74 Před rokem

      Tatizo wewe ndo ahumuelewi kwa sababu upo upande umoja yeye iko wazi kabisa

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před rokem

    Ukraine strong

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před rokem

    Urus ni wakawaida kama mayai

    • @richardseverino788
      @richardseverino788 Před rokem

      Hujui kitu kabisa wewe,Mmarekani mbona haendi kukabiliana nae? Russia is not somebody to mess with....yupo vitani na bado kasamehe deni lote zaidi ya dollar bilion 20 kwa nchi za Africa

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před rokem +1

    Putin akamatwe

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Před rokem

      😅😅😅Putin akamatwe sio indeed hakuna ushindi juu ya damu za watu wasio na hatia,,,nakuunga mkono

    • @fadhilamsagati1337
      @fadhilamsagati1337 Před rokem

      hawamkamati wanaogomba wanajua kitakacho wakuta wanakijua lamda waje wamkamate samia

    • @josephkostans9128
      @josephkostans9128 Před rokem +3

      Inawezekana kumkamata Putin kabisa ila wakumkamata bado hajazaliwa na sina uhakika kama mimba yake ishaanza kutungwa. Putin is nonstopable

    • @richardseverino788
      @richardseverino788 Před rokem +1

      Kamkamate wewe,USA anaogooa....vp Bush na Obama, Blair,kwa nn wasikamatwe???jiulize kwanza