Twende kwa Yesu Tenzi za Rohoni 38 Official Video Mbarikiwa Mwakipesi
Vložit
- čas přidán 8. 10. 2020
- Baada ya channel ya Mbarikiwa mwakipesile ya youtube kufungwa, sasa unaweza kuzipata video zake za zamani kwa kupitia channel zifuatazo.
1. Alex Tewele ... / @pastorstz
2. Zawadi blandine ... / @zawadiblandine
3. Helbeth Mlelwa ... / @helbethmlelwa
Mahubiri ya sasa ya Mbarikiwa Mwakipesile yanarushwa kupitia channel ya Kikosi kazi cha injili ... / @mbarikiwa_mwakipesile
Pia ibada zinarushwa live (mubashara) katika mtandao wa facebook. Ingia facebook na tafuta mbarikiwa mwakipesile au bonyeza maandishi haya / salome.mwampeta.5
KWA KILA CHANNEL ILIYOANDIKWA HAPO JUU. NI VYEMA KAMA UTASUBSCRIBE ILI UWEZE KUPATA TAARIFA ZAIDI.
NEEMA YA KRISTO YESU, IWE PAMOJA NAWE. AMEN
TWENDE KWA YESU
1. Twende kwa YESU mimi nawe,
Njia atwonya tuijue Imo chuoni na
Mwenyewe Hapa asema njoo.
Na furaha tutaiona Mioyo ikitakata sana
Kwako mwokozi kuonana Na milele kukaa.
2. Wana na waje atwambia Furahini
mkisikia, Ndiye mfalme wetu pia
Na tumtii njoo.
3. Wangojeani? Leo Yupo Sikiza sana
Asemepo Huruma zake zikwitapo
Ewe kijana njoo.
Ubarikiwe sana MUNGU azidi kukupa kibali kila iitwapo leo
Nikisikilizaga huu wimbo huwa naonaga kama nimeshika bunduki la injili lenye risasi za NENO LA MUNGU.
Wow maneno ya kutia moyo zaidi
Safi sana nimebarikiwa mno...
Wimbo huu nikiskiliza uwa na barikiwa san mungu akubarki mutumishi upate maono mapya
Bwana yesu ni MWema kwa wote wanaomwamini na kumtegemea ktk maisha yao
Maicha Katika YESU Iko RAHA Mutamu saaaaaaaana Ah Buana Yesu Amen
Barikiwa mtumishi
Hii Tenzi Inabariki sana moyo na roho!
Mbarikiwa Mwakipesile Mungu azidi kukuinua zaid na zaid kwa kaz y Mungu
Barikiwa sana na Bwana
Barikiweni kikosi KAZI nyimbo
Amina ubarikiwe na kibarikiwe kikos kazi kwa ajir ya injili.
Ubarikiwe na Bwana mtumishi.
Amina Baba Ahsnte kwa Ujumbe Mzuri.
Thank u very much man of God
Amen let's continue preaching the gospel
MUNGU AKUTUNZE MTU WA MUNGU
Amen
Mungu. Awabaliki. Sana
Nabalikiwa Sana na nyimbo zenu balikiwa pia
🙏🙏🙏🙏🙏 Nafuraha tutaiona moyo ............
Asifiwe Yesu. Naeza pata albamu ya nyimbo za Mch Mbarikiwa wapi. Zinanibariki sana sana.nimetafuta kwenye neti na youtube nikakosa. Asanteni sana
Amen
Kweeel mmeimba
Amin amin ubarikiwe na bwana
Mtumishi mungu akubaliki
Be blessed the man of God
dah, very nice song ,ubarikiwe mtumishi wa Mungu♥️♥️ Mungu akutie nguvu💪 ktka Safari yako🙏
Ameeeen
Amen🙏
I so love this song
Wimbo unaonibariki Kila naposikiliza nabubujikwa na machozi ya furaha... ahsante Yesu Kwa mwimbaji huyu 🙏
Ninabarikiwa Sana kupitia nyimbo zenu na mashauri.. Mungu awabariki.
Ameen ❤❤❤❤❤❤❤❤
Ameneeeeen
amen mbarikiwa 🔥🔥🔥🔥🔥
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Safi sana
Napata amani nikisikiliza nyimbo zako
Nyimbo zenu zanivutia la
LAKINI twaitaji zingekuwa zinambatana na maneno katika kunakili ili tupate kuzielwa vzr.
Twendeni kwake aliye tuleta duniani tuache ya duni tumfwate YESU
Mungu anaweza yote kupitia uhu wimbo Mungu anipe mke sahihi kwenye maisha yangu
Nikiuamgalia huu wimbo namuona raisi wetu magufuli mungu ailaze mahali pema peponi😭😭
🙏🙏🙏🙏
ACHA UJINGA, magufuri muuaji, kaua ben saa nane, azory gwanda, kaiba uchanguzi hapo 2020, sikulaumu nalaumu ukosefu wa elimu akilini mwako, magufuri anateketea kwa shetani sasa
@@karanjakamau57 who are you to judge bro.kumbuka maandiko yanasema usihukumu usije ukahukumiwa.jiombee wewe uliyo hai sai na uombe rehema mungu akusamehe Ili siku ya kurudi twende kwa raha ya milele
amina ubalikwe sana
@@karanjakamau57 aaya wenye akili uzeni bandari na ngorngoro kateni umeme .maana nyie mmesoma sana
AMEN gloire à Jésus mbarikiwa
Come to the Savior
Gloire ok Jésus christ le seigneur de seigneur
ubarikiwe Sana sana
🙏
Ni rahisi kupitia wimbo huu mwanadamu kujua na kuamini kuwa kweli MUNGU yupo ! AAMEN!
🙏🏿💞
Anaitwa nani
Mbarikiwa Mwakipesile
Mnanibariki Sana 🙏🙏🙏
Nawapenda sana nyie
Saizi nabarikiwa but nauliza tu kwani channel main mlisambaratisha natafta sana sijaipatay
Channel main ilifungiwa na CZcams hivyo hauwezi kuonekana tena. Amen
@@HelbethMlelwa ooh Jesus 🤔what happened, am so sorry for that
Amen
Amen