Magufuli baba pumzika kwa amani pamoja na kwamba hatutakuona tena ila tutaendelea kukupenda mana kazi zako tunaziona tanzania umengharisha na watanzania kutufugua macho bila wewe haya yote yasigekuwepo💔💔💔😭😭😭
Tunaomba watanzania tulitunze hili faraja tusche tabia za hovyo kung'oang'oa vitu kuiba vitu sio sawa ahsante rais magufuli uliacha Alama na mama yetu amemalizia tinashukuru
Aisee. Nimeipenda sana Camera yenu ni ya kiwango cha juu kwa ubora... Tofauti na baadhi za media fulani... Wao na camera zao wanalichukua daraja utadhani limejengwa miaka kumi iliyopita.. Kuna umuhimu sana wa kuwa na kamera za kisasa.. Yaani daraja ni zuri kupindukia aisee.. Ukiangalia fasta fasta.. Huwezi kuamini kuwa daraja hili lipo Tanzania... Kitu saaaaaaaaaafiiiiiiiiiiiiii
Sns Jitahidini muongeze vifaa,, content ni taamu ila ingekua tamu zaidi kama tungepeta Top viewer ,, video za juu au muonekano na picha kwa upande huo,
SASA karibu MWAKA MMOJA TANGU UTUTOKE KIMWILI Lakini KIROHO Tunakukumbuka Sana Sana KWA Kazi zako bila kuchelewa wanyonge kuwatetea ata barabarani inakuwa Ofisi unawatatulia matakwa yao. Nimengi Sana umeyafanya.Na Kazi ulizoziachia njiani.Raisi SAMIA SURUHUU anazimalizia zingine kabla ya Mwaka wa kumbukumbu ya kumaliza kwako MWAKA MMOJA.
wazalendo na wadau wa maendereo na wanao ipenda nchi yao wapo wengi sana ila tu wana angushwa na kukaishwa tamaa na baadhi ya viongozi...akbar mpemba.. huyui mzee amekoshwa moyo wake
Daraja zuri lakini lingependeza kama lingekuwa njia 6 au 8 badala ya njia 4 kwa kuwa jiji linaendelea kukua na baada ya muda mfupi foleni itakuwa kwenye hilo daraja
Baba Magu alikua makin sana ...Rest In Paradise Babaa♥️♥️♥️🙏🙏🙏
Mutanikumbuka kwa mazuri R.I.P JPM
Magufuli baba pumzika kwa amani pamoja na kwamba hatutakuona tena ila tutaendelea kukupenda mana kazi zako tunaziona tanzania umengharisha na watanzania kutufugua macho bila wewe haya yote yasigekuwepo💔💔💔😭😭😭
Jpm puumnzika kwa amani🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿
MAGUFULI forever ungekuwepo cijui hii nchi ingekuwaje
Acha tu
Ingekuwa paradise
Tutakukumbuka daima kipezi chetu JPM pumzika kwaamani baba
Safi sana mama samia kwa kuendeleza kazi RIP 🙏 🪦 JPM
Huyo ndio magu sio selekar ok
AF anatokea mshenz analalamika atakula nn eti serikali isijenge vitu kama hivi imlishe yeye... Asiyefanya kazi na asile
Safi sana JPM tutakukumbuka kwa mazuri yake
Kazi ya JPM Mungu akupumzishe mahala pema peponi😭
RIP Magufuri vita umepiga Imani umeilinda
Hongera kwa watz wote 🇹🇿🇹🇿 kodi yetu ndo inafanya mambo hayo na hongera kwa viongozi kwa usimamizi sahihi wa kodi zetu #kaziiendeleee
President John pombe Magufuli did great job
Magufuli, the indespensible
Hautasahaulika jemedali dct John PM.R.I.P lengendary!!
Hapa ndpo tunaumia na kifo cha baba wa dunia mungu umpe kaul thabit ktk ufalum wako
R.i.p magufuli kazi yako
RIP MAGUFULI 😢😢😢😢😭😭😭😭
Magufuli alikua ni Jembe alikua ameamua kuifanya Tz iwe pepo ya wamaskini
Kanzi nzuli sana rest and peas jpm ulale salama baba uko uliko
Mshukuruni Magu sana.
jp m 🔥🔥🔥🔥🌏
Iyo Bridge inafanana na Bridge ipo Montreal Quebec Canada jina ni ( Samuel De Champlain)bridge
Rip jpm tuna kukumbuka
Magufulibaba
MAGUFULI tutakukumbuka daimaaaaa, pumzika kwa amani.huku ulipotuacha kumeisha ozaaa na ss hv viongozi wanakula kwa ulefu wa kamba zao
😂😂😂wale kiasi
Jpm forever
VIVA TANZANIA 🇹🇿♥️💚♥️🇹🇿💪♥️💪💎
Magufuli baba pumzika kwa Amani tutakukumbuka sana hakuna kama ww
Hongera Tanganyika
Bado Zanzibar dar es salaam
Daah JPM wetu
Kazi iendelee mama
Tunaomba watanzania tulitunze hili faraja tusche tabia za hovyo kung'oang'oa vitu kuiba vitu sio sawa ahsante rais magufuli uliacha Alama na mama yetu amemalizia tinashukuru
Cograt kuko kama london big ben
Hongera sisi wote tujenge nchi yetu
Jpm lala salama utakumbukwa daima.
Masha Allah
Mwendo was kuselereka tuu💥💥💥💥💥💥❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌎
yess safi sana..na kazi iendelee💪💪
Aisee. Nimeipenda sana Camera yenu ni ya kiwango cha juu kwa ubora... Tofauti na baadhi za media fulani... Wao na camera zao wanalichukua daraja utadhani limejengwa miaka kumi iliyopita.. Kuna umuhimu sana wa kuwa na kamera za kisasa..
Yaani daraja ni zuri kupindukia aisee.. Ukiangalia fasta fasta.. Huwezi kuamini kuwa daraja hili lipo Tanzania... Kitu saaaaaaaaaafiiiiiiiiiiiiii
Alazwe pema magu
Lingependeza kama lingeenda mpaka kigamboni
Sns Jitahidini muongeze vifaa,, content ni taamu ila ingekua tamu zaidi kama tungepeta Top viewer ,, video za juu au muonekano na picha kwa upande huo,
Kumbe chini kuna maji mie hapo sipiti🤣🤣🤣
Wazir Ramadhani weeee mie hata zifungwi sipiti mara paa Gari iateleza 🤣🤣🤣🤣
🥰🤟
SASA karibu MWAKA MMOJA TANGU UTUTOKE KIMWILI Lakini KIROHO Tunakukumbuka Sana Sana KWA Kazi zako bila kuchelewa wanyonge kuwatetea ata barabarani inakuwa Ofisi unawatatulia matakwa yao. Nimengi Sana umeyafanya.Na Kazi ulizoziachia njiani.Raisi SAMIA SURUHUU anazimalizia zingine kabla ya Mwaka wa kumbukumbu ya kumaliza kwako MWAKA MMOJA.
Anayeujua huu mziki anijuze pleass unaitwaje
Magu na mfugale ndio wamefanikisha hili na wote ni marehemu hivi sasa!
Hio nikaa billion11- ya kenya
Kuliza sio ujingaaa
Escow leo umechomekea!!
😂 escrow donard 🙌🏽
Maguuu.
Hapakukobye muzuri
Jamani mama samiya amefanya kitu gani cha maana?
Yupo kazi yke kuzunguka tu na kukopa na birthday party 😂😂
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Huyo mzeee anasema anasonga anaenda wap 🤣🤣🤣ndio tushagandia hapo
Ndo anazindua😀😀😀
wazalendo na wadau wa maendereo na wanao ipenda nchi yao wapo wengi sana ila tu wana angushwa na kukaishwa tamaa na baadhi ya viongozi...akbar mpemba.. huyui mzee amekoshwa moyo wake
Vyombo vinavyo pita hapo havilipii?
Ni bure
@@OmaryMkali Masha Allah !
Daraja zuri lakini lingependeza kama lingekuwa njia 6 au 8 badala ya njia 4 kwa kuwa jiji linaendelea kukua na baada ya muda mfupi foleni itakuwa kwenye hilo daraja
Tunashukuru hats ilo tusingeliona hata njia moja
@@OmaryMkali ni kweli kabisa..tushukuru tu hata kama kidogo mana kama sio jpm hata hiki kidogo tusingekiona
How much that money in US dollars ? Swahili it's terrible to us who are not Tanzanians guys... Anyone can help me with the answer guys 😉
$107 million
@@malikkb6444 oh wow that a lot of money
The price includes the 1km bridge and 6kms of connecting dual road
@@malikkb6444 Ok thanks.
lilipaswa kujengwa jangwani au kigamboni ... hapo lilipojengwa ni mis use of resources
Esco umependeza Kakaangu 😘😘😘japo wanajifanya hawajakuona