MAAJABU Makubwa ya DARAJA Jipya la TANZANITE, Ujenzi wake ni Wakimataifa, Kama ULAYA, Amazing!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 01. 2022
  • #TanzaniteBridge #DarajaLaTanzanite

Komentáře • 82

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 Před 2 lety +23

    Baba Magu alikua makin sana ...Rest In Paradise Babaa♥️♥️♥️🙏🙏🙏

  • @saidfhamad
    @saidfhamad Před 2 lety +22

    Mutanikumbuka kwa mazuri R.I.P JPM

  • @sabinashabani1165
    @sabinashabani1165 Před 2 lety +17

    Magufuli baba pumzika kwa amani pamoja na kwamba hatutakuona tena ila tutaendelea kukupenda mana kazi zako tunaziona tanzania umengharisha na watanzania kutufugua macho bila wewe haya yote yasigekuwepo💔💔💔😭😭😭

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 Před 2 lety +17

    Jpm puumnzika kwa amani🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿

  • @florameza1028
    @florameza1028 Před 2 lety +27

    MAGUFULI forever ungekuwepo cijui hii nchi ingekuwaje

  • @ramatyga7409
    @ramatyga7409 Před 2 lety +24

    Tutakukumbuka daima kipezi chetu JPM pumzika kwaamani baba

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 Před 2 lety +23

    Safi sana mama samia kwa kuendeleza kazi RIP 🙏 🪦 JPM

  • @akbarmpemba6990
    @akbarmpemba6990 Před 2 lety +13

    Huyo ndio magu sio selekar ok

    • @husamtech2748
      @husamtech2748 Před 2 lety +4

      AF anatokea mshenz analalamika atakula nn eti serikali isijenge vitu kama hivi imlishe yeye... Asiyefanya kazi na asile

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před 2 lety +6

    Safi sana JPM tutakukumbuka kwa mazuri yake

  • @barakamwakapoma2702
    @barakamwakapoma2702 Před 2 lety +9

    Kazi ya JPM Mungu akupumzishe mahala pema peponi😭

  • @Mazoea
    @Mazoea Před 2 lety +6

    RIP Magufuri vita umepiga Imani umeilinda

  • @mursallusinde9189
    @mursallusinde9189 Před 2 lety +6

    Hongera kwa watz wote 🇹🇿🇹🇿 kodi yetu ndo inafanya mambo hayo na hongera kwa viongozi kwa usimamizi sahihi wa kodi zetu #kaziiendeleee

  • @chrispinmuhuna6205
    @chrispinmuhuna6205 Před 2 lety +7

    President John pombe Magufuli did great job

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 Před 2 lety +4

    Hautasahaulika jemedali dct John PM.R.I.P lengendary!!

  • @darkplatnum9006
    @darkplatnum9006 Před 2 lety +7

    Hapa ndpo tunaumia na kifo cha baba wa dunia mungu umpe kaul thabit ktk ufalum wako

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před 2 lety +6

    R.i.p magufuli kazi yako

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 Před 2 lety +12

    RIP MAGUFULI 😢😢😢😢😭😭😭😭

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 2 lety +4

    Magufuli alikua ni Jembe alikua ameamua kuifanya Tz iwe pepo ya wamaskini

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 Před 2 lety +3

    Kanzi nzuli sana rest and peas jpm ulale salama baba uko uliko

  • @chibabydaniel
    @chibabydaniel Před 2 lety +3

    Mshukuruni Magu sana.

  • @franklinmganga736
    @franklinmganga736 Před 2 lety +9

    jp m 🔥🔥🔥🔥🌏

  • @Chelsie2016.
    @Chelsie2016. Před 2 lety +2

    Iyo Bridge inafanana na Bridge ipo Montreal Quebec Canada jina ni ( Samuel De Champlain)bridge

  • @shedracksteven3183
    @shedracksteven3183 Před 2 lety +8

    Rip jpm tuna kukumbuka

  • @hanihaadamuhanifaadamu4125

    Magufulibaba

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před 2 lety +11

    MAGUFULI tutakukumbuka daimaaaaa, pumzika kwa amani.huku ulipotuacha kumeisha ozaaa na ss hv viongozi wanakula kwa ulefu wa kamba zao

  • @V.O.T
    @V.O.T Před 2 lety +6

    Jpm forever

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 Před 2 lety +4

    VIVA TANZANIA 🇹🇿♥️💚♥️🇹🇿💪♥️💪💎

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 Před 2 lety +3

    Magufuli baba pumzika kwa Amani tutakukumbuka sana hakuna kama ww

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 2 lety +1

    Hongera Tanganyika

  • @sikudhanimoshi6967
    @sikudhanimoshi6967 Před 2 lety +2

    Bado Zanzibar dar es salaam

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před 2 lety +3

    Daah JPM wetu

  • @kimweritz6364
    @kimweritz6364 Před 2 lety

    Kazi iendelee mama

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 2 lety +3

    Tunaomba watanzania tulitunze hili faraja tusche tabia za hovyo kung'oang'oa vitu kuiba vitu sio sawa ahsante rais magufuli uliacha Alama na mama yetu amemalizia tinashukuru

  • @josphinedarani6203
    @josphinedarani6203 Před 2 lety +2

    Cograt kuko kama london big ben

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 2 lety +2

    Hongera sisi wote tujenge nchi yetu

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 2 lety +1

    Jpm lala salama utakumbukwa daima.

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 Před 2 lety

    Masha Allah

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 Před 2 lety +1

    Mwendo was kuselereka tuu💥💥💥💥💥💥❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌎

  • @luifdls6217
    @luifdls6217 Před 2 lety

    yess safi sana..na kazi iendelee💪💪

  • @michaelsiweya4969
    @michaelsiweya4969 Před 2 lety

    Aisee. Nimeipenda sana Camera yenu ni ya kiwango cha juu kwa ubora... Tofauti na baadhi za media fulani... Wao na camera zao wanalichukua daraja utadhani limejengwa miaka kumi iliyopita.. Kuna umuhimu sana wa kuwa na kamera za kisasa..
    Yaani daraja ni zuri kupindukia aisee.. Ukiangalia fasta fasta.. Huwezi kuamini kuwa daraja hili lipo Tanzania... Kitu saaaaaaaaaafiiiiiiiiiiiiii

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Před 2 lety +1

    Alazwe pema magu

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Před 2 lety

    Lingependeza kama lingeenda mpaka kigamboni

  • @shebymaswala5085
    @shebymaswala5085 Před 2 lety +4

    Sns Jitahidini muongeze vifaa,, content ni taamu ila ingekua tamu zaidi kama tungepeta Top viewer ,, video za juu au muonekano na picha kwa upande huo,

  • @saumuimeda5181
    @saumuimeda5181 Před 2 lety +2

    Kumbe chini kuna maji mie hapo sipiti🤣🤣🤣

    • @saumuimeda5181
      @saumuimeda5181 Před 2 lety

      Wazir Ramadhani weeee mie hata zifungwi sipiti mara paa Gari iateleza 🤣🤣🤣🤣

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 Před rokem

    🥰🤟

  • @dorothymbuere5236
    @dorothymbuere5236 Před 2 lety

    SASA karibu MWAKA MMOJA TANGU UTUTOKE KIMWILI Lakini KIROHO Tunakukumbuka Sana Sana KWA Kazi zako bila kuchelewa wanyonge kuwatetea ata barabarani inakuwa Ofisi unawatatulia matakwa yao. Nimengi Sana umeyafanya.Na Kazi ulizoziachia njiani.Raisi SAMIA SURUHUU anazimalizia zingine kabla ya Mwaka wa kumbukumbu ya kumaliza kwako MWAKA MMOJA.

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Před 2 lety

    Anayeujua huu mziki anijuze pleass unaitwaje

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 2 lety

    Magu na mfugale ndio wamefanikisha hili na wote ni marehemu hivi sasa!

  • @willytezz3522
    @willytezz3522 Před 2 lety

    Hio nikaa billion11- ya kenya

  • @khaijakadija2082
    @khaijakadija2082 Před 2 lety

    Kuliza sio ujingaaa

  • @dixminderjngao1056
    @dixminderjngao1056 Před 2 lety

    Escow leo umechomekea!!

  • @mbembelatv
    @mbembelatv Před 2 lety +1

    😂 escrow donard 🙌🏽

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary1233 Před 2 lety

    Maguuu.

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 Před 2 lety

    Hapakukobye muzuri

  • @khaijakadija2082
    @khaijakadija2082 Před 2 lety +1

    Jamani mama samiya amefanya kitu gani cha maana?

    • @owenmutale6691
      @owenmutale6691 Před 2 lety +2

      Yupo kazi yke kuzunguka tu na kukopa na birthday party 😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @akbarmpemba6990
    @akbarmpemba6990 Před 2 lety +2

    Huyo mzeee anasema anasonga anaenda wap 🤣🤣🤣ndio tushagandia hapo

    • @zikirination6769
      @zikirination6769 Před 2 lety +1

      Ndo anazindua😀😀😀

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 Před 2 lety

      wazalendo na wadau wa maendereo na wanao ipenda nchi yao wapo wengi sana ila tu wana angushwa na kukaishwa tamaa na baadhi ya viongozi...akbar mpemba.. huyui mzee amekoshwa moyo wake

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před 2 lety

    Vyombo vinavyo pita hapo havilipii?

  • @mrjohn68
    @mrjohn68 Před 2 lety

    Daraja zuri lakini lingependeza kama lingekuwa njia 6 au 8 badala ya njia 4 kwa kuwa jiji linaendelea kukua na baada ya muda mfupi foleni itakuwa kwenye hilo daraja

    • @OmaryMkali
      @OmaryMkali Před 2 lety +1

      Tunashukuru hats ilo tusingeliona hata njia moja

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 Před 2 lety

      @@OmaryMkali ni kweli kabisa..tushukuru tu hata kama kidogo mana kama sio jpm hata hiki kidogo tusingekiona

  • @filskischannel9737
    @filskischannel9737 Před 2 lety +1

    How much that money in US dollars ? Swahili it's terrible to us who are not Tanzanians guys... Anyone can help me with the answer guys 😉

  • @mussasaidimussa4693
    @mussasaidimussa4693 Před 2 lety

    lilipaswa kujengwa jangwani au kigamboni ... hapo lilipojengwa ni mis use of resources

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 Před 2 lety +1

    Esco umependeza Kakaangu 😘😘😘japo wanajifanya hawajakuona