XCLUSIVE INTERVIEW WITH ANGEL BERNARD (LIVE FROM U.S.A)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • XCLUSIVE INTERVIEW WITH ANGEL BERNARD (LIVE FROM U.S.A)
    Ni miaka miwili sasa #AngelBernard hajakwepo Tanzania,Yuko zake huko pande za majuu (USA).Anafanya nini huko?Vipi kuhusu huduma yake,wimbo wake mpya?Kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu ndoa yake,changamoto za uzazi,mahusiano yaliyopita ..kwa kweli kuna vingi vya kujifunza kutoka kwa huyo binti mrembo ambae hutaamini kama ana watoto watano.

Komentáře • 63

  • @nmsholdings5320
    @nmsholdings5320 Před 3 lety +1

    At last nimepata kipindi nyumbani ambacho kinaelekea kama cta Kenya. Mimi ni fan wa cta sababu ya details tunazopata kutoka kwa waimbaji na watumishi wa Mungu.

  • @dr.peterik2586
    @dr.peterik2586 Před 3 lety +5

    Pole dadangu Angel Mungu atakuponya kabisa mimi ni Daktari nakuombea Mungu akufanye uwe mzima kabisa.Na hongera kwa wimbo mzuri wa ASANTE.

  • @estherluther7398
    @estherluther7398 Před 3 lety +6

    Dada angel ubarikiwe sanaaa nimejifunza sana kwa habari ya safari ya utumishi na kiu ya kumtafuta Mungu na kupitia maisha ya kawaida yanahitaji sana utulivu wa kirohooo

  • @ullynelson3238
    @ullynelson3238 Před 3 lety +5

    Nimejifunza Mengiiiiii sanaaa Mungu akubariki sana sis daughter of the most high God, binafsi nabarikiwa sana Utukufu Kwa Mungu

  • @Mainly.shawn_
    @Mainly.shawn_ Před 3 lety +3

    Angel u r woman of God ,ur full of wisdom of God,God bless u so much n ur family.you are a blessing.

  • @christinewomanoffaith5479

    Mtangazaji
    Sio rep ni rap
    Ni free style.....
    When did u back?!!!
    Khaaaa🙌
    Ongeeni kiswahili tu jamani

  • @daisygloria
    @daisygloria Před rokem

    2 yrs later we see sth on twitter that Angel has remarried. We hope n pray that God grants her marital bliss in her new home.
    We may not know what causes their break up with Sakafu but we pray for peace to both of them in their different endeavors

  • @verynicechodota2791
    @verynicechodota2791 Před 3 lety +4

    Best interview ...I love her

  • @adellajohnbokato8453
    @adellajohnbokato8453 Před 3 lety

    Aisee.,.Tumwache Mungu aitwe Mungu!! Kwa kweli Kuna vitu nimejifunza..Tena angel kanikumbusha nyuma kidogo katika mapito ya utumishi,lakini Asante Mungu wetu bado Ni mwema..

  • @MrLolipop6161
    @MrLolipop6161 Před 3 lety +1

    We are grateful for all the blessings that God is downloading to you.Glory to God

  • @bizi.rosette2347
    @bizi.rosette2347 Před 3 lety

    She’s one of my inspiration, may God continue to bless her💞

  • @elizaberthgastor5067
    @elizaberthgastor5067 Před 3 lety +3

    Ccy ubarikiwe.nakupenda

  • @sheyllahchosen9697
    @sheyllahchosen9697 Před 3 lety +1

    Mungu ni mkuu kwa Mapito yote aliyopitia Dada Angle ni mahandalizi alikua anahandaliwa kama chombo mikononi mwa Mungu hakosei ....

  • @renfridaflorence4380
    @renfridaflorence4380 Před 3 lety +1

    Pole sana Mtumishi Wa Mungu

  • @upendojubilate9072
    @upendojubilate9072 Před 2 lety

    I love you sana angel Mungu akubariki ma dia

  • @fodymwaipopo7495
    @fodymwaipopo7495 Před 3 lety +3

    so sad while god still good to us

  • @doriszephania3503
    @doriszephania3503 Před 3 lety

    Napenda sana Angel ulivyomnyenyekevu, ,Mungu akubarikii saaaaaaaaaaaanaaaaa!!!! " Unajb.

  • @rhinakiza
    @rhinakiza Před 3 lety +1

    Majaribu ni mtaji kweli, hii Testimony is encouraging a lot that's reason to God to strengthen ili uwe mommy wa taifa.
    U are expired me Angel

  • @preciousprosper4236
    @preciousprosper4236 Před 3 lety +1

    Nimekuelewa Sana mtu wa MUNGU💖

  • @gracenicolas1065
    @gracenicolas1065 Před 3 lety +2

    Mungu akutunze dada

  • @maryannemwangi168
    @maryannemwangi168 Před 3 lety

    One of my inspiration

  • @veronicaeliya8291
    @veronicaeliya8291 Před 3 lety +3

    the lioness hakika unasitahili dada anger hongera sana

    • @lunyendje4509
      @lunyendje4509 Před 3 lety +1

      This is good asee.....this woman is very wise

  • @maryannemwangi168
    @maryannemwangi168 Před 3 lety

    May God bless u 🙏🙏 mtumishi

  • @suzanymwingira1840
    @suzanymwingira1840 Před 3 lety +1

    Jamani huyu dada mzuri kila ldara nampenda sana naitwa madam Winnie nipo dar tabata lv u so much

  • @jeremiahmyegeta9646
    @jeremiahmyegeta9646 Před 3 lety +1

    Barikiwa mtumish kwa kazi yako njema

  • @deboramwamtobe7297
    @deboramwamtobe7297 Před 3 lety

    Mungu akubariki dada anjera

  • @martinkombo8062
    @martinkombo8062 Před 3 lety +2

    Mfinanga ubarikiwe sana

  • @florarog548
    @florarog548 Před 3 lety

    Mungu akubariki Angel

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 Před 3 lety

    kwani lazima uongee english jamani watu wanaharibu sana halafu aibu ebu tuache bwana.anyway interview ipo vizuri👌

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 Před 3 lety

    What🙄🙄watano🙄🙄wow hongera sana

  • @maryannemwangi168
    @maryannemwangi168 Před 3 lety

    Pole mtumishi sote twapitia majaribu napenda huduma yako

  • @mcrenee-xc5zr
    @mcrenee-xc5zr Před 3 lety +3

    Alikuwa anarapuuuu hatariiiii

  • @gladysalbinus7646
    @gladysalbinus7646 Před 3 lety +1

    Nimejifunza kitu kizuri sana

  • @emmylema5911
    @emmylema5911 Před rokem

    Leo anatuambia nini?

  • @neyerkilumbi3782
    @neyerkilumbi3782 Před 3 lety

    Ohhhh ananipa nguvu sana

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu4485 Před 3 lety

    Wow nzuri

  • @johnalto2619
    @johnalto2619 Před 2 lety

    Mama VCC UPANGA imekumiss kweli

  • @mcrenee-xc5zr
    @mcrenee-xc5zr Před 3 lety +1

    Nimefurahi kumuonaa binti Zanaki

  • @antipasclement8513
    @antipasclement8513 Před 3 lety +6

    Bro ni ku"rap" bn siyo ku"rep"😂😂

  • @anethlyembe3966
    @anethlyembe3966 Před 3 lety

    When did you back kizungu cha wa wapiiii

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 Před 3 lety +1

    sasa wewe mtangazaji ongea tu kiswahili achana na kidhungu eti "when did you back"hapo alimaanisha lini utarudi bongo.pole

  • @dianapius4320
    @dianapius4320 Před 3 lety

    Dada angel kwan anawatoto wangpi ety

  • @joycelyimo2025
    @joycelyimo2025 Před 3 lety

    Wimbo mpya inatoka lini

  • @debbiethomas5328
    @debbiethomas5328 Před 3 lety +1

    5 kids...!!!!!! Seriously!!!!!!!

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 Před 3 lety +2

    Mbona ulikuwaga unaongea vzr kiswahili dada?kimetokea nini tena? Interview nyingine Kiswahili kizuri jmn,hii imekaaje?

    • @ikupaalimwene6349
      @ikupaalimwene6349 Před 3 lety

      Lini kaongea tofauti na hapa? Nyimbo zake tu hivihivi acheni wivu kwanza anavutia

    • @mercyjesus6637
      @mercyjesus6637 Před 3 lety

      @@ikupaalimwene6349 mhh huo ni wivu kweli jmn? Haya Bwana,watu mnawahisha matusi sana si vzr

    • @mercyjesus6637
      @mercyjesus6637 Před 3 lety

      @@ikupaalimwene6349 but yy angenijibu angejibu vzr