XCLUSIVE INTERVIEW WITH ANGEL BERNARD (LIVE FROM U.S.A)
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- XCLUSIVE INTERVIEW WITH ANGEL BERNARD (LIVE FROM U.S.A)
Ni miaka miwili sasa #AngelBernard hajakwepo Tanzania,Yuko zake huko pande za majuu (USA).Anafanya nini huko?Vipi kuhusu huduma yake,wimbo wake mpya?Kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu ndoa yake,changamoto za uzazi,mahusiano yaliyopita ..kwa kweli kuna vingi vya kujifunza kutoka kwa huyo binti mrembo ambae hutaamini kama ana watoto watano.
At last nimepata kipindi nyumbani ambacho kinaelekea kama cta Kenya. Mimi ni fan wa cta sababu ya details tunazopata kutoka kwa waimbaji na watumishi wa Mungu.
Pole dadangu Angel Mungu atakuponya kabisa mimi ni Daktari nakuombea Mungu akufanye uwe mzima kabisa.Na hongera kwa wimbo mzuri wa ASANTE.
Dada angel ubarikiwe sanaaa nimejifunza sana kwa habari ya safari ya utumishi na kiu ya kumtafuta Mungu na kupitia maisha ya kawaida yanahitaji sana utulivu wa kirohooo
Nimejifunza Mengiiiiii sanaaa Mungu akubariki sana sis daughter of the most high God, binafsi nabarikiwa sana Utukufu Kwa Mungu
Angel u r woman of God ,ur full of wisdom of God,God bless u so much n ur family.you are a blessing.
Mtangazaji
Sio rep ni rap
Ni free style.....
When did u back?!!!
Khaaaa🙌
Ongeeni kiswahili tu jamani
2 yrs later we see sth on twitter that Angel has remarried. We hope n pray that God grants her marital bliss in her new home.
We may not know what causes their break up with Sakafu but we pray for peace to both of them in their different endeavors
Best interview ...I love her
Aisee.,.Tumwache Mungu aitwe Mungu!! Kwa kweli Kuna vitu nimejifunza..Tena angel kanikumbusha nyuma kidogo katika mapito ya utumishi,lakini Asante Mungu wetu bado Ni mwema..
We are grateful for all the blessings that God is downloading to you.Glory to God
She’s one of my inspiration, may God continue to bless her💞
Ccy ubarikiwe.nakupenda
Mungu ni mkuu kwa Mapito yote aliyopitia Dada Angle ni mahandalizi alikua anahandaliwa kama chombo mikononi mwa Mungu hakosei ....
Pole sana Mtumishi Wa Mungu
I love you sana angel Mungu akubariki ma dia
so sad while god still good to us
Napenda sana Angel ulivyomnyenyekevu, ,Mungu akubarikii saaaaaaaaaaaanaaaaa!!!! " Unajb.
Majaribu ni mtaji kweli, hii Testimony is encouraging a lot that's reason to God to strengthen ili uwe mommy wa taifa.
U are expired me Angel
Nimekuelewa Sana mtu wa MUNGU💖
Mungu akutunze dada
MUNGU akutunze mumy,napenda huduma yako!
One of my inspiration
the lioness hakika unasitahili dada anger hongera sana
This is good asee.....this woman is very wise
May God bless u 🙏🙏 mtumishi
Jamani huyu dada mzuri kila ldara nampenda sana naitwa madam Winnie nipo dar tabata lv u so much
Barikiwa mtumish kwa kazi yako njema
Barikiwa cc* angle benard
Mungu akubariki dada anjera
Mfinanga ubarikiwe sana
Amen
Mungu akubariki Angel
kwani lazima uongee english jamani watu wanaharibu sana halafu aibu ebu tuache bwana.anyway interview ipo vizuri👌
What🙄🙄watano🙄🙄wow hongera sana
Pole mtumishi sote twapitia majaribu napenda huduma yako
Alikuwa anarapuuuu hatariiiii
Nimejifunza kitu kizuri sana
Leo anatuambia nini?
Ohhhh ananipa nguvu sana
Wow nzuri
Mama VCC UPANGA imekumiss kweli
Nimefurahi kumuonaa binti Zanaki
Bro ni ku"rap" bn siyo ku"rep"😂😂
Ni ku rap si rep🤣🤣🤣🤣🤣🤣
When did you back kizungu cha wa wapiiii
🤣
sasa wewe mtangazaji ongea tu kiswahili achana na kidhungu eti "when did you back"hapo alimaanisha lini utarudi bongo.pole
Dada angel kwan anawatoto wangpi ety
Wa5
Wimbo mpya inatoka lini
5 kids...!!!!!! Seriously!!!!!!!
🤣hongera zake kwakweli
Mbona ulikuwaga unaongea vzr kiswahili dada?kimetokea nini tena? Interview nyingine Kiswahili kizuri jmn,hii imekaaje?
Lini kaongea tofauti na hapa? Nyimbo zake tu hivihivi acheni wivu kwanza anavutia
@@ikupaalimwene6349 mhh huo ni wivu kweli jmn? Haya Bwana,watu mnawahisha matusi sana si vzr
@@ikupaalimwene6349 but yy angenijibu angejibu vzr