UKWELI KUHUSU NDOA YA MWIMBAJI ANGEL BENARD NA ALIEKUWA MUME WAKE GODSAVE SAKAFU....✍️

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Baada Ya Minong'ono Mingi Ya Watu Wakitaka Kujua Ukweli Kuhusu Ndoa Ya Mwimbaji Wa Nyimbo Za Injili ANGEL BENARD Na Aliekua Mume Wake GODSAVE SAKAFU Hatimae Tumempata FELIS MUBIBYA Kutoka Marekani Na Amethibitisha Kuwa Wawili Hao Wametengana Na ANGEL BENARD Kufunga ndoa Nyingine Huko Marekani.

Komentáře • 129

  • @theopistamwayeya1764
    @theopistamwayeya1764 Před rokem +17

    Unaehojiwa Mungu akubariki,una hekima,endeleeni kuwapokea wengine wanaotoka Tanzania na kufika huko.Mungu atawalipa.

  • @graysonkewe1004
    @graysonkewe1004 Před rokem +10

    huyu Baba ana hekima sana, i like him aseee

  • @deborahrehema4066
    @deborahrehema4066 Před 8 měsíci +2

    MCONGOMANI WETU GOD BLESS YOU ❤❤❤🎉🎉

  • @josephmandelapenet4587
    @josephmandelapenet4587 Před rokem +10

    Very mindful and logical man.

  • @mariamaloda5447
    @mariamaloda5447 Před rokem +9

    Ni kweli anaangalia na kupiga pale Mungu anapoweka mkono na mahali penye baraka yako.😢

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 Před rokem +6

    Mwanamke ni Mtu usieweza kumuelewa sana.But every woman wants good life.Imeenda hyo

  • @elizabethfrank4396
    @elizabethfrank4396 Před rokem +5

    Duh,, Mungu awasaidie waimbaji

  • @farfijahgibson6965
    @farfijahgibson6965 Před rokem +2

    Mungu awasaidie watumishi wake wote kuishi kwa kufuata kusudu na kanuni za kiMungu hapa duniani.

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 Před rokem +8

    Umh kuna kazi kweli the Bible is say that kifo ndo kitakachotenganisha mtu na mkewe ama na mmewe hii imezidi penye ukweli lazima ukweli usimame sihukum lakini hapo bado yupo dhambini ni heri angebaki bila ndoa ingefaa zaidi maana hapo yupo ndani ya uzinzi bado hajaokoa kitu hata kama wao wanajua huko chanzo cha kufikia hapo lakini hyo sio ndoa ni uzinifu

  • @user-fr2hd7rk2d
    @user-fr2hd7rk2d Před rokem +2

    Nimefurahia sana hekima uliyotumia brothe Felis.

  • @evankya1955
    @evankya1955 Před rokem +4

    Aisee hii kali! I never expected this. May God help us

  • @JanethAlbert-bq8mm
    @JanethAlbert-bq8mm Před rokem +3

    Kaka umeongea vyema tena kwa hekima kubwa sanaa🙌👏.Mungu azid kukuneemesha

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi Před rokem +5

    😭😭😭😭😭 Ee Mwenyezi Mungu turehemu

  • @florenciajacob5463
    @florenciajacob5463 Před rokem +9

    😭😭😭😭😭😭😭nimeumia Sana jamani

  • @jennifermmanyema6693
    @jennifermmanyema6693 Před rokem +6

    Narudia tena shikamoo waimbaji 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

    • @fbr5113
      @fbr5113 Před rokem

      NA WANAIMBA TU KAMA AJIRA LAKINI HAIMAANISHI MATENDO YAO. KWAMBA SIO KILA MUIMBA INJILI KAOKOKA KUTOKA MOYONI

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před rokem

      😅😅😅😂

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Před rokem +4

    Duh asee mungu aturehemu sana

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před rokem +4

    Dont judge kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake..hata Mungu anajua ndo sababu ya Yesu kuja ulimwenguni.

  • @user-lr7em1ch8g
    @user-lr7em1ch8g Před 9 měsíci

    Mungu awape uvumilivu katika kila jambo waimbaji wa nyimbo za injili

  • @abrahamkanuya1076
    @abrahamkanuya1076 Před rokem +5

    Wanawake bhnaaa😢😢😢

  • @marrynaftali7969
    @marrynaftali7969 Před rokem +9

    Nimeumia mno,sijui shida Ni Nini lakini angel kuachana na God kwangu huzuni mno

  • @mariethamtawa314
    @mariethamtawa314 Před rokem +1

    This man, Mungu ambariki

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před rokem +4

    Duh ila wadada 😢😢🙌🏻 mkaka wawatu anakusapoti unamuacha akikutaza unasema anakuonea mwee 🙌🏻🙌🏻

    • @messiasulleydidy2585
      @messiasulleydidy2585 Před rokem +1

      Wew angel ameachn na Gody?

    • @janethvincent7572
      @janethvincent7572 Před rokem +1

      Hakuna anayejua nini kiliwakuta jaman usisimamie upande mmoja tu

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Před rokem

      @@messiasulleydidy2585 et mwayego ndo namm nimebaki nashangaa wameachana nayy ameisha olewa uko uko USA

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Před rokem

      @@janethvincent7572 ni kweli unacho sema ila waimbaji wa gospel wa KIBONGO wengi wanazingua wakifanikiwa tu wanawaacha waume zao

    • @AntonyDova
      @AntonyDova Před 11 měsíci

      Maisha haya

  • @hopesengo6972
    @hopesengo6972 Před rokem +12

    Kaka unahekima Sana,ubarikiwe.

  • @abrahamkanuya1076
    @abrahamkanuya1076 Před rokem +11

    Mtu anaimba lakn afati maandiko Mungu atusaidiee😢

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před rokem +2

    Binadamu na waasi by nuture, Mungu atusaidie

  • @pastor_benjie
    @pastor_benjie Před rokem +26

    Uyu jamaa anaye hojiwa Ana akili kubwa na uwezo mkubwa sana.

  • @evangelistdanielsenyagwa4018

    Waimbaji wengi sana Wanaachika ase

  • @zumasamson6603
    @zumasamson6603 Před rokem +2

    Dah jamani Angel na mumewe ...what happened?...imeshindikana Kabisa kutatua changamoto zao ...dah maisha haya

  • @yustaishengoma8526
    @yustaishengoma8526 Před rokem +3

    Duh! Mungu tuwezeshe jamani

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 Před rokem +15

    Watoto watatu baba tofauti sasa na mume wa NNE!!
    Na bado anaitwa mtumishi!!
    Mungu tusamehe😭😭.

  • @EvaInnocent-nd2vg
    @EvaInnocent-nd2vg Před 8 měsíci

    Mungu wajua yote jaman uwiiii haya

  • @marianablessed7135
    @marianablessed7135 Před rokem +8

    Shetani ni muongo sana, yaani ni kuzidi tu kumwomba Mungu atusaidie.

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Před rokem

      Kwamba hatumombi? Tunamwomba jamaniiiiiii ila nass wanadam tupunguze tamaa na mihemko

  • @FloraMarinyo
    @FloraMarinyo Před 4 měsíci

    Mtu unamuacha mume wako au mnaachana tena wewe ni mtumishi halafu unaenda kufunga ndoa na mwanaume mwingine na unaamani kabisa na unaendelea na hudùma kweli.....ivi mnajua mnatupa uguu gani wakuhubiri au kutangaza neno la Mungu ukishakuwa mtumishi jaman unakua barua watu wanqkusoma wewe matendo yko mpk maneno yako ....unakua kiooo kwamataifa na nikitu ambacho kinaleta utukufu kwa Mungu ...aisee Mungu atusaidie sanaa

  • @marrynaftali7969
    @marrynaftali7969 Před rokem

    My wizo favie

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 Před rokem +5

    huo mwanamke anajificha eti kaokoka nyumba anatabia mbaya

  • @evangelistdanielsenyagwa4018

    Amejibu vema sana huyu mtu

  • @catherinekiwipa9271
    @catherinekiwipa9271 Před rokem +1

    Duuu kweli

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 Před 3 měsíci

    Waimbaji wengi wanatamaa

  • @hamisikibwana6642
    @hamisikibwana6642 Před rokem

    SAFI SANA

  • @jacklineanyumba5413
    @jacklineanyumba5413 Před rokem

    Ni kweli haya

  • @8019bm
    @8019bm Před rokem

    Hamnaga ndoabya mfano. Kila ndoa ni unique.

  • @danielkullwa1613
    @danielkullwa1613 Před rokem

    Jesus...hsysa mambo yametokeaje tena...ok hakuna aliye mkamilifu but ...

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Před rokem +1

    Mmmh walokolo wengi hawajiombei ila wanapoteza muda mwingi kulaumu na kuwakosoa ambao hawajaokoka. Walokole jirekebisheni. Mnaturudisha nyuma kimaombi

    • @evodiaaloyce3670
      @evodiaaloyce3670 Před 11 měsíci

      Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe. Wasikurudishe nyuma maana Kila mtu anawajibikia maisha yake

  • @user-gm1rp9qp1f
    @user-gm1rp9qp1f Před rokem +2

    Naona huu mrembo anaeza bada olewa mara tena iwe tena ndoa tatu

  • @neypaul6416
    @neypaul6416 Před rokem

    😭😭

  • @TullyDaudi
    @TullyDaudi Před 8 dny

    We kaka unahekima ila enje kama kweli umeachana na mume wako urudi kwa mungo up ya au umeenda kwa mungo singing

  • @anessabinery5654
    @anessabinery5654 Před rokem

    eehehehehehe

  • @aliethlwaitama9592
    @aliethlwaitama9592 Před rokem

    Ninachokijua katika ukristo kwa maana katika ulokole ,Mke mmoja mume mmoja mpaka kifo kiwatenganishe,atakayeipenda nafsi yake ataiangamiza Bali atakeichukia nafsi yake ataiokoa

  • @nereaigogo4442
    @nereaigogo4442 Před rokem +1

    What I can say is
    Don't judge

  • @ennykyambiki2680
    @ennykyambiki2680 Před rokem

    So sad kwakweli,.angel,Shetani anamtumia sanaa.

  • @hamisikibwana6642
    @hamisikibwana6642 Před rokem

    HONGERA

  • @deborahrehema4066
    @deborahrehema4066 Před 8 měsíci

    Mungu wangu Angel ameolewa ndoa ya tatu ?? Ooh my God the enemy is at work kabisa

  • @marymarie9941
    @marymarie9941 Před rokem +1

    Tusihukumu jamani wanaojua ukweli kati yao ni wao wenyewe, usinyooshe kidole wakat vingine vinne vinakurudia, emb tumuache MUNGU ndie muhukumu sahihi

  • @macdonaldmwakisambwe6494

    Inatisha aisee Mungu atusaidie ila akumbuke hayo ni yadunia tu ila kuna mbingu, na mwisho wa mambo yote umekaribia

  • @tumainimsigomba4117
    @tumainimsigomba4117 Před rokem

    duu angel bernad nimekosa neno la kuongeza

  • @ezzyzephania2597
    @ezzyzephania2597 Před rokem

    MUNGU atusaidie wanaume!

  • @user-eb7un9fv2b
    @user-eb7un9fv2b Před rokem +2

    Waimbaji wa kike wengi wanaachana na waume zao
    Shetani yupo kazini jamani sio wao ni roho ya uharibifu kwa kazi wanayofanya
    Kinachotakiwa ni wao wakae katika maombi ya kina ili kuepuka uovu ulioandaliwa na ibilisi dhidi yao.

  • @GraceSimba
    @GraceSimba Před rokem

    Kaka, ulishawahi kuwa mtangazaji was prez power radio?

  • @gracemwita4167
    @gracemwita4167 Před rokem

    Ila angle n too much,Mungu amusaidie asee

  • @kiswahilimovierecaps2024

    MADEM WAHUNI HAHAHA

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Před rokem

    Huyu angle ajitathmn ase sjapenda mm,, kabla ya kuolewa alibeba mimba, akazaa mtoto, alipoanza kuwa maarufu akaolewa akazaa watoto wawili, so ameacha huyo mume ndo kaolewa na mwingne so sadness sjapenda hata kidogo

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před rokem

      Alizaa na Nick shaboka kabla hajaolewa 🙌
      Kumbe Kwa mumewe kazaa watt2? Sikujua ,nilidhani 1

    • @elizabethmabula6044
      @elizabethmabula6044 Před rokem

      Mpendwa ni vita tuu wewe muombeee,, unapokuwa na kitu kikubwa zaidi ndo unazidi fatiliwa zaidiii

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem +1

    Dada amesha ingia mjini ame pata mabawa 😂

  • @happysimle991
    @happysimle991 Před rokem +2

    Huyu kaka anaonhea kwa upeo sana yupo rohoni, nilazima tuwe makini maana shetani pia yupo kazini

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +10

    Kumbe uyu Dada anaishi Marekani sikuizi

  • @josephatn5040
    @josephatn5040 Před rokem +5

    Theologia ina evolve?!!!. Ni sawa na kusema Mungu anabadilika kulingana na wakati. Mie napita!

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 Před rokem +4

    Sijaelewa, ni nini?, ,Angel au mwingine?, Mbona ndo mwimbaji ambae nilikuwa nafikiri ana akili na anamjua MUNGU

  • @mariammbwaga8463
    @mariammbwaga8463 Před rokem

    🤦 Mungu tusaidie

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před rokem

    Hiv waimbaj wanawake asa wa gospel mko na shida gani???😢😢😢;,mkipta umaarufu tu kidgo kosaa mnakimbiaa ndoaa zenu?? Mbona mnatuimbiaa kuhusu ukuu wa MUNGU?? Anaweza kurejesha ndoa yko?? Inakuwaje ashindwe kusaidiaa ndoaa zenu???😢😢😢😢;waimbaj rudini magotin pa MUNGU hukumu inakuja uzinz wenu usifanye YESU atukukanwe n watu kisha muende jehanamu😢😢😢😢.tubun ufalme wa MUNGU umekujaaa??😢😢😢