Na hii hadithi yamaanisha nini nayo? Amesema Mtume (s.a.w.w): “Mimi nitawatangulia kufika kwenye hodhi (birika la maji) na wanaume miongoni mwenu watanikimbilia lakini hawatanifikia. Nitasema: Ewe Mwenyezi Mungu! Masahaba wangu! Na nitaambiwa: “Hakika wewe hujui waliyoyazusha baada yako”. Basi itatolewa amri waingizwe Motoni. Nami nitasema: Maangamio! Maangamio!~ Ni kwa wale walioyageuza na kuyabadilisha mafunzo ya Uislamu baada yangu.” Na Mtume anasema katika hadithi nyingine ambayo maneno yake au madhumuni yake yana maana yafuatayo: “Kikundi cha masahaba wangu kitaamriwa kuingia Motoni. Nitasema: kwa nini wanaingizwa Motoni?” Nitaambiwa: Hakika wao waliritadi kwa kuurejea ukafiri.”
Huja elewa hadithi,hv unakumbuka mtume alikuwa na daftari la wanafiqi?na unajua alipokufa alimwachia nani?na je walizokuwa ktk Hilo dftar hao ulowakusudia walikuwwmo?je unawajua waliobashiriwa Pepo na mtume he hao unaowakusudia hawamo?
@taurehassan7399 sidiki wenu pamoja na Faruku wake,pamoja na Khalifa wenu wa3 pamoja na bani-Umaya wote na bani-Abass, pamoja na masahaba wao walioshirikiana kuwatesa na kuwaiwa kikatili watu wa nyumba ya mtume saw.
19:04 Sababu ya ulaini na uswahiba wa Watu wa watwarika kwa #mashia. 19:13 anaogopa kusema kuna #unafiq pia ndani ya watu wa maulidi, lkn ni kama kweli vile, ulaini na uswahiba wote kwa maadui wa #mana_zetu si bure bure. 21:07 Istiqamah (msimamo) ni kitu kikubwa sana walichokikosa wengi. Istiqamah ndio sababu ya kupata utukufu Duniani na Akhera. 19:23 anafahamu hata hayo maneno aliyoyanena yatam 'cost' lakini potelea mbali kayasema kuihami dini na kutafuta Radhi za Allah ﷻ. Masheikh wenzake wengi sana #hawawezi, bali watakuwa ndio wa mwanzo kumruka.
Na hakuwa Muhammad ila ni Mtume tu.Wamepita kabla yake Mitume (wengi kabisa). Je, Akifa au akauwawa ndiyo mtarudi nyuma (kwa visigino vyenu),.... muwe makafiri kama zamani?” (Aaali-Imran, 3:144) Hii Aya yamaanisha nini? Sayyid Swaleh
Sisi #waislam tunampenda Allah na Mtume wake ﷺ . Pia twawapenda Maswahaba zake na Watu wa nyumbani kwake kwa #mapenzi ya kikweli kweli yaliyo ya dhati tena ya kisheria, bila ya kuvuka mipaka katika kuwapenda. Kuhusu #mashia wao yao ni madai tu na wala si wakweli katika madai yao ya kuwapenda #AhlulBayt. Hicho ni kichaka mlichokitumia kuuficha #ukafiri na #uzandiki wenu na ni uchochoro mnaoutumia kutapika nyongo zenu za chuki kali mliyonayo kwa kwa watu bora kabisa katika Uislam nao ni #Maswahaba wa Mtume Muhammad ﷺ. Pazia mlilojifichia linafanana na pazia walilolitumia #wakristo kujifichia na kudai eti wanampenda Iysaa na mama yake kikweli kweli kumbe ni #uongo. Kama kweli Wangempenda Iysaa (yesu) Wangempenda na kumuamini Mtume Muhammad ﷺ. Nanyi #mashia tunawaambia; kama kweli mngekuwa mnawapenda #Ahlul_Bayt basi mngewapenda #maswahaba na #wake za Mtume ﷺ #mama_za_waumini. Mnapoanza kutafuta visababu sababu na hoja za kuokoteza na kuunga unga ni Dalili na #ushahidi tosha kuwa nyinyi #mashia ni #WAONGO na wala hamuwapendi #AhlulBayt, mnajifichia nyuma yao ili mpitishe #agenda zenu chafu za kuutusi na #kuubomoa Uislam na hamtafanikiwa #mtashindwa kama walivyoshindwa wenzenu waliowatangulia katika #kufru na #unafiq na #uzandiki.
@MoA-uw3gf kwa sababu hao maswahaba ndio walio anzisha mtafaruku no mzozo kati ya waislam baada ya kifo cha mtume saw, baada ya kifo cha mtume swa,hao ma Khalifa wenu wametishia kuchoma nyumba ya Ally na BiFatma, na Faruku wenu ajambananisha BiFatma na mlango mpaka ikamsababishia mimba kutoka.
@@razackndeze-pv5bm Mashia kwa uongo hamjambo wala hatushangai mnapozua tuhuma nzito nzito. Yaani mnaushambulia na kuubomoa Uislam kwa jina la uislam!!!
@@razackndeze-pv5bm Mashia kwa uongo hamjambo hivyo hatushangai mnapozua Amesema Imam Shafi (Rahimahullah) "sijawahi kumuona watu waongo sana kuliko Rafidhwah (Mashia)" Akasema pia: "Mimi nakubali ushahidi wa watu wa ahwaa wote isipokuwa #Rafidhwah (Mashia)" Akasema pia Imam Shafi Rahimahullah: "Mm naona Allah hakuzuia (midomo ya) watu kuwatusi maswahaba wa Mtume wake isipokuwa ili #awazidishie_thawabu wakati matendo yao yatakapo katika (baada ya kufa kwao, waovu waendelee kuwatusi tu)" Rej.📚 مناقب الإمام الشافعي للرازي ص127 قال الشافعي: "ما أرى أن الله تعالى لا يمنع الناس عن شتم أصحاب رسول الله إلا ليزيدهم ثوابًا عند انقطاع أعمالهم" 📚 مناقب الإمام الشافعي للرازي ص127
@@razackndeze-pv5bm Mbaya zaidi #uongo kwenu ndio #dini yenu na ndio dini ya baba zenu na hana dini asiye kuwa #muongo!!! Amesema #Jafar_Swadiq imam wa 6 (hapa mnamsingizia kama kawaida yenu) "Taqiyyah (uongo) ndio dini yangu na ndio dini ya wazee wangu, na hana imani asiyekuwa na Taqiyyah (yaani asiye muongo hana imani!)" Bali kwa #mashia asilimia 90% ya dini yao yooote ni uongo (usaniii) asilimia zilizobakia ndio mambo mengine! Amesema Jafar Swadiq "sehemu 9 ya dini yote (90%) ni #taqiyyah (uongo) na hana dini asiyekuwa na #taqiyyah (asiye muongo)!!!" Kasome 📚Alkaafi ya Kuleini juz. 2 uk.218
Mashi'a hawatukuwi Maswahaba wote wako sawa. Huyu bwana (tena Sharifu) atatumbiya nini Maswahaba walomuuwa Khalifa wa pili na wale waloshiriki kumuuwa Khalifa wa tatu na wa nne? Wale piya ni Mswahaba! Maswahaba walipigana wenyewe kwa wenyewe sasa tumfuate nani. Jee nyinyi munaomwita Abu Twalib kafiri. Jee wale waloitwa wanaafiq piya ni Maswahaba
swahaba ni bora kuliko sisi..najiuliza ubora upo wapi kwa swahaba khalid bin walid kumchinja swahaba mwenzie Maliki bin nuwaira na kumwingilia kinyume na ridhaa mjane wake akijidei ni mateka wa vita ngawira?naomba kujua ubora wao tafadhali?
@@medimisi6930 ooh kinyume na maumbile? mbona mikoa ya pwani yenye asilimia kubwa ya wasuni NDIYO INAYOONGOZA KWA USHOGA NA LIWATI? MAUSTADH WA MADARASA ZA KISUNI MBONA WANAONGOZA KUWALAWITI VIJANA WA KIUME ?
ndo nini sasa sisi tunaongea uhalali wa imani ww unaleta porojo hao shia wao ndani ya dini yao ni halali hilo jambo. sasa wao wa pwani wakifanya ndo nini.
@user-xe7yc1wk1e baada ya Kuja kusilim mtume akampa mgongo kumu ignore, Sasa huko si kumkosea mtume adabu,yaani mtume ajiwe na mja wa Allah ataka kusilim halafu yeye ampe mgongo inaingia akilini hiyo jiulize
shekhe alhabiib swalehe allwaah akuhifadhi. ila yakupasa utambue kuwa mashia hao unaowakusudia ni wenzako lakini kwa sababu ya fitna zilizotukia hapo nyuma ndio zimesababisha hilo. allwaah akubariki wewe na mashia walosafika
Shek mbona watu wanamtukana MTUME NA WANAMCHORA KATUNI UMECHUKUA JUKUMU GANİ????? Acha unafik , shekh hata maswabwa walikuwa na Surtul Bakra na sura zingine pia lakini bado walichaguana Saqifa Shekh elimu unayo ila ipembenuaji HUNA
kwani ni matusi au ukweli wanaosema mashia fikra za mashekhe wengi ni fupi kudhani kwamba maswahaba wote ni wema ingali waovu wapo uovu walioufanya nd usemwe ili tufuate wema na sio waovu.
Msema kweli ww unaonaje ukaanza kutuorodheshea uovu wa wazee wako waliokuzaa kisha ututajie na maovu ya kina ayatollaat Khomeini, Khamenei, na sistani. Au unataka kusema walikuwa wema na hawana uovu walioufanya? Tuambie tu ewe shujaa msema kweli,,, Anza na hao kwanza kisha ndio uje kwa Marafiki na Vipenzi vya Mtume wetu Muhammad ﷺ utatukuta tunakusubiri.
14:47 hakuna ukaribu kati ya #Waislam na #mashia 15:59 jiulize hili swali Muhimu sana ewe muislam kama unajitambua 17:57 kwani shida ni nini? Ni hoja na dalili nzito nzito za #mashia? Shida ni mali na njaa za wengi katika Ahlu twariqa ndio zimetufikisha huko!! وأخرى تحبونها Mna mengine #myapendayo zaidi nayo ni Dunia na #Mali! Lkn ukweli unaoumiza ni kwamba vyote hatujaja navyo na #hatutoondoka_navyo. 18:05 #pesa na #mizigo ni mizigo ya siku ya Qiyama. Subhanallah
KWA KWELI HAYA MAMBO NI MAGUMU NA INAONEKANA HUYU SHEKH HAJACHUKUA MUDA KUYATWALII. -KAMA KUMTUKQNA SWAHABA NI HARAMU MBONA WAO WALITUKANANA? -KAMA LAANA NI HARAMU MBONA MASWAHABA WALILAANIANA? -MBONA WALIUANA? -MBONA WALIZUA TARAWEHE,TALAKA 3PAMOKA,SWALATU KHEIRUN MINA NNAUM N.K? -MBONA BAADHI YAO WALIRITADI? -KUWA MKE WA NABII NI SABABU YA MKE KUWA MTUKUFU NA HAKOSEI?MBONA WAKE WA BAADHI YA MANABII WAMEPIGIWA MFANO WA UBAYA NDANI YA QURAN?
Sasa kama wake wa mtume s.a.w. walikua waovu na makafiri kwanini Quran haikuelezea ukafiri wao Bali iliwatakasa na kuwaahidi pepo? Aswalaat khairu mina naumi haikuzuswha iliadhiniwa kipindi Cha mtume s.a.w. Wala hakuipinga, na tarawehe sio uzushi alianza kuisali mtume s.a.w. je ni mtume Gani au imamu Gani Alie asisi adhana ya kishia kwa ujumla? Yaani ashahadu ana Aliya waliyu llah n.k. vitabu vya kishia vimekua kama biblia agano jipya, vitawapoteza Sana kwasababu vimejaa historia za kutunga za uongo zenye chuki,fitina,kufuru na ushirikina, kuweni makini Sana nyie mnaokurupuka nakuingia kwenye ushia kwasababu ya vyakula na pesa kid
inatakiwa haswaa kutunza heshima za wake za mtume saww wala hakuna ubishi..je kusema mabaya waliyoyafanya ni kukosa adabu?..vipi kumvunjia heshima imam wa zake kulikofanywa na mama ayisha kwenda kumpiga vita imam ali a.s?pia hili anastahili heshima tusiseme?
Mashia mna laana, na mkiisoma Quran hamuielewi pia,Quran imeelezea habari za maswahaba r.a na wake za mtume s.a.w. . Ina maana hata Allah alikosea kuwaridhia na kuwaahidi pepo? Na kama hao maswahaba r. a na wake za mtume s.a.w. walikua makafiri baada kufa mtume ilikuaje Allah amchagulie mtume wake kipenzi watu wabaya na Ilihali alijua kua watakuja kua makafiri? Na kwanini mtume s.a.w. aliwabashiria pepo hao maswahaba kina Abubakar r.a, umaru r .a uthman r.a n.k? Ina maana mtume s.a.w. aliwabashiria pepo watu waovu? USHIA NI UKAFIRI HASWAA,ACHENI KUJIITA WAISLAAMU,
@@taurehassan7399, nini haki Sema :- 1) Amemsema Abubakar hadharani ila hamuonyeshwi wala hamsomeshwi Soma REHADHASWALIHI , BIBI AISHA ALIPIGANA VITA NA ALI SA , KUTOA AMRI YA KURUDISHWA MADINA NI KUHESIMU KUWA NI MKE WA MTUME HAIMAINISHI AMEMSAMEHE HEDU NIAMBIE WEWE UKIPIGANA VİTA NA ABUBAKAR VIPI ITAHESABIWA WEWE NANI ???? MUOVU MKOSA HESHIMA AU NINI ????
pambanua kiilmu Sio kila Alie muona mtume nimwema jee walio mpiga vita Imam Ali wakauwa watu Kwa panga vitani Akins twalha Na akkina zubeir Na wengi muawiyya kwenu Ni swahaba Na Hali aliuwa maswaha wa Imam Ali Alayh Salam Jee yaamanisha Imam Ali si khalifa wenu was nne? tieni akili jamaa Kuna Na kufa.
Al-ajeeb, nyinyi ndio mmewakaribisha Kila mahali kwa kisingizo Cha maulidi, Kisha Sasa mnawakana kivp? Hzi ni qaul za kufumba watu macho, tamaa za mapesa za Iran
@@MohammedSaid-zk7yg vitabu vya mashia vimejaa madudu kiasi ambacho mtu mwenye akili timamu akivisoma ana jiuliza kulikoni! Kwamfano, wanazuoni wakishia wanadai kumuingilia mwanamke kinyume Cha maumbile ni Hali, mavi na mikojo ya maimamu12 inanukia kama miski, atakae kula mavi na akanywa damu za maimamu ataharamishiwa moto, n.k. mi nafikiri wanazuoni wengi wakishia pamoja na chuki zao dhidi ya waislaamu na uislaamu,watakua wanavuta bangi,kwasababu haiwezekani mwandishi mwenye akili timamu akaandika upuuzi kama huo, wanasihini hao waandishi wenu wa kishia waache kuandika habari potofu,kwa sababu wanazidi kuudhalilisha ushia na mashia.
Nyundo gani?!?! Upuuzi mtupu. Kwani maswahaba wote walikuwa wema?!? La wengi wao walikuwa wanafiki na makatili, vile vile sio wake wote wa mtume walikuwa wema, la kuna baadhi waliokuwa na tabia mbaya, ndio sababu naipenda Shia kwa sababu wanaelezea historia ya uislam kama ilivio bila kuweka pazia. Nyinyi endeleeni na mapenzi yenu kwa asuhaabuSakiifa, nasi ma Shia tutaendelea na mapenzi yetu kwa Ahlul-Bayt. Mind you're on business & leave us with ours. Kila siku hutuba zenu Shia,shia.shia, hamuna kazi nyingine ya kufanya.
@@razackndeze-pv5bm shia ni makafiri tu,Wala hawana history yoyote ya ukweli,we endelea kuipenda shia kwasababu ya kula na SI vinginevyo.shia kafiri no1 duniani
@HamadHamduni Nyinyi hamna jipya bali fikra zenu sawa sawa na ISIS na babu zenu Baniumaya na As-hab sakiifa, kila anaetofautiana nanyi ni kafiri, nawatakia kila la kheri kamikaze jana yenu na akina Wahashi na Bibi yenu Hindi pamoja na Babu yenu Abusofiani.
Nyie masufi na masunni hamjielewi. Kwani maswahaba ni Abuu bakar,Omar na Uthman pekee?? Maswahaba wako wengi. Kuna wale ambao ni waovu kama akina Muawiya, Waliid bin utba, Khalid bin waliid na wengeneo ambao hawafai.
Sheikh jahili kweli huyu Ameanza vizuri kuhusu msimamo nikadhani anataka zungumzia vita vya makafiri dhidi ya uislam kumbe anazungumzia hawa wapuuuzi talafy? Sheikh ovyooo kabisa huyu
hivi kama masuni ndiye uislamu kamili..mbona hakuna dhehebu moja tuu katika suni?mara utakuta malik,shafii,hambali,hanafi mara wahabi mara salafi mara answaru sunna?HUU UISLAMU GANI WA MATABAKA KWA WALE MNAOJIITA MASUNI?
"قُل لَّا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ أَجْرًا إِلَّا الْمَوَدَّةَ فِي الْقُرْبَىٰ" surat shura verse no: 23
Na hii hadithi yamaanisha nini nayo?
Amesema Mtume (s.a.w.w):
“Mimi nitawatangulia kufika kwenye hodhi (birika la maji) na wanaume miongoni mwenu watanikimbilia lakini hawatanifikia. Nitasema: Ewe Mwenyezi Mungu! Masahaba wangu! Na nitaambiwa:
“Hakika wewe hujui waliyoyazusha baada yako”. Basi itatolewa amri waingizwe Motoni. Nami nitasema: Maangamio! Maangamio!~ Ni kwa wale walioyageuza na kuyabadilisha mafunzo ya Uislamu baada yangu.”
Na Mtume anasema katika hadithi nyingine ambayo maneno yake au madhumuni yake yana maana yafuatayo:
“Kikundi cha masahaba wangu kitaamriwa kuingia Motoni. Nitasema: kwa nini wanaingizwa Motoni?” Nitaambiwa: Hakika wao waliritadi kwa kuurejea ukafiri.”
Huja elewa hadithi,hv unakumbuka mtume alikuwa na daftari la wanafiqi?na unajua alipokufa alimwachia nani?na je walizokuwa ktk Hilo dftar hao ulowakusudia walikuwwmo?je unawajua waliobashiriwa Pepo na mtume he hao unaowakusudia hawamo?
Hya tuambie waliorejea ktk ukafir ni Nan na nani?
@@taurehassan7399tafuta kitabu kimoja kinaitwa maisha ya maswahabah
@@taurehassan7399
Kwani hao wanafiq si walikuwa ni miongoni mwa Maswahaba?
@taurehassan7399 sidiki wenu pamoja na Faruku wake,pamoja na Khalifa wenu wa3 pamoja na bani-Umaya wote na bani-Abass, pamoja na masahaba wao walioshirikiana kuwatesa na kuwaiwa kikatili watu wa nyumba ya mtume saw.
19:04 Sababu ya ulaini na uswahiba wa Watu wa watwarika kwa #mashia.
19:13 anaogopa kusema kuna #unafiq pia ndani ya watu wa maulidi, lkn ni kama kweli vile, ulaini na uswahiba wote kwa maadui wa #mana_zetu si bure bure.
21:07 Istiqamah (msimamo) ni kitu kikubwa sana walichokikosa wengi. Istiqamah ndio sababu ya kupata utukufu Duniani na Akhera.
19:23 anafahamu hata hayo maneno aliyoyanena yatam 'cost' lakini potelea mbali kayasema kuihami dini na kutafuta Radhi za Allah ﷻ. Masheikh wenzake wengi sana #hawawezi, bali watakuwa ndio wa mwanzo kumruka.
Na hakuwa Muhammad ila ni Mtume tu.Wamepita kabla yake Mitume (wengi kabisa). Je, Akifa au akauwawa ndiyo mtarudi nyuma (kwa visigino vyenu),.... muwe makafiri kama zamani?” (Aaali-Imran, 3:144)
Hii Aya yamaanisha nini? Sayyid Swaleh
mashaAllah mashaAllah ALLAH akulipe kwa kusema haq
Danganya watu SIO WALOSOMA
Barakallahufik sheikh wetu
Allahuma amin
Sisi #waislam tunampenda Allah na Mtume wake ﷺ . Pia twawapenda Maswahaba zake na Watu wa nyumbani kwake kwa #mapenzi ya kikweli kweli yaliyo ya dhati tena ya kisheria, bila ya kuvuka mipaka katika kuwapenda.
Kuhusu #mashia wao yao ni madai tu na wala si wakweli katika madai yao ya kuwapenda #AhlulBayt.
Hicho ni kichaka mlichokitumia kuuficha #ukafiri na #uzandiki wenu na ni uchochoro mnaoutumia kutapika nyongo zenu za chuki kali mliyonayo kwa kwa watu bora kabisa katika Uislam nao ni #Maswahaba wa Mtume Muhammad ﷺ.
Pazia mlilojifichia linafanana na pazia walilolitumia #wakristo kujifichia na kudai eti wanampenda Iysaa na mama yake kikweli kweli kumbe ni #uongo. Kama kweli Wangempenda Iysaa (yesu) Wangempenda na kumuamini Mtume Muhammad ﷺ.
Nanyi #mashia tunawaambia; kama kweli mngekuwa mnawapenda #Ahlul_Bayt basi mngewapenda #maswahaba na #wake za Mtume ﷺ #mama_za_waumini.
Mnapoanza kutafuta visababu sababu na hoja za kuokoteza na kuunga unga ni Dalili na #ushahidi tosha kuwa nyinyi #mashia ni #WAONGO na wala hamuwapendi #AhlulBayt, mnajifichia nyuma yao ili mpitishe #agenda zenu chafu za kuutusi na #kuubomoa Uislam na hamtafanikiwa #mtashindwa kama walivyoshindwa wenzenu waliowatangulia katika #kufru na #unafiq na #uzandiki.
Maswahaba wa mtume ni wengi sio moja au wawili
Swali unayotakiwa kuuliza ni kwa nn wanatukana masahaba hawa tu na sio wengine
@MoA-uw3gf kwa sababu hao maswahaba ndio walio anzisha mtafaruku no mzozo kati ya waislam baada ya kifo cha mtume saw, baada ya kifo cha mtume swa,hao ma Khalifa wenu wametishia kuchoma nyumba ya Ally na BiFatma, na Faruku wenu ajambananisha BiFatma na mlango mpaka ikamsababishia mimba kutoka.
@@razackndeze-pv5bm
Mashia kwa uongo hamjambo wala hatushangai mnapozua tuhuma nzito nzito.
Yaani mnaushambulia na kuubomoa Uislam kwa jina la uislam!!!
@@razackndeze-pv5bm
Mashia kwa uongo hamjambo hivyo hatushangai mnapozua
Amesema Imam Shafi (Rahimahullah)
"sijawahi kumuona watu waongo sana kuliko Rafidhwah (Mashia)"
Akasema pia:
"Mimi nakubali ushahidi wa watu wa ahwaa wote isipokuwa #Rafidhwah (Mashia)"
Akasema pia Imam Shafi Rahimahullah:
"Mm naona Allah hakuzuia (midomo ya) watu kuwatusi maswahaba wa Mtume wake isipokuwa ili #awazidishie_thawabu wakati matendo yao yatakapo katika (baada ya kufa kwao, waovu waendelee kuwatusi tu)"
Rej.📚 مناقب الإمام الشافعي للرازي ص127
قال الشافعي: "ما أرى أن الله تعالى لا يمنع الناس عن شتم أصحاب رسول الله إلا ليزيدهم ثوابًا عند انقطاع أعمالهم"
📚 مناقب الإمام الشافعي للرازي ص127
@@razackndeze-pv5bm
Mbaya zaidi #uongo kwenu ndio #dini yenu na ndio dini ya baba zenu na hana dini asiye kuwa #muongo!!!
Amesema #Jafar_Swadiq imam wa 6 (hapa mnamsingizia kama kawaida yenu)
"Taqiyyah (uongo) ndio dini yangu na ndio dini ya wazee wangu, na hana imani asiyekuwa na Taqiyyah (yaani asiye muongo hana imani!)"
Bali kwa #mashia asilimia 90% ya dini yao yooote ni uongo (usaniii) asilimia zilizobakia ndio mambo mengine!
Amesema Jafar Swadiq "sehemu 9 ya dini yote (90%) ni #taqiyyah (uongo) na hana dini asiyekuwa na #taqiyyah (asiye muongo)!!!"
Kasome 📚Alkaafi ya Kuleini juz. 2 uk.218
Amiiiin Yaa Rabbbb Alaamiiin
Amiiiiin ya Rwabiiii Shukraaan
Mashi'a hawatukuwi Maswahaba wote wako sawa. Huyu bwana (tena Sharifu) atatumbiya nini Maswahaba walomuuwa Khalifa wa pili na wale waloshiriki kumuuwa Khalifa wa tatu na wa nne? Wale piya ni Mswahaba! Maswahaba walipigana wenyewe kwa wenyewe sasa tumfuate nani. Jee nyinyi munaomwita Abu Twalib kafiri.
Jee wale waloitwa wanaafiq piya ni Maswahaba
Kwahiyo vp Ali r .a alivyopigana na Muawiya r.a? Kwahiyo tuwaite wote ni makafiri?
Mimbari zikiachiwa hawa basi kazi iendelee
@@HamadHamduniRudi katika maneno ya mtume kamuelezea vp aly as na vp kaelezewa muawiya na ukoo wao na historia yao utajua ndg yang pumba na mchele
@@RajabuAbdallah-yp5dp well done akhui
@@HamadHamduni jiulize muawiya alikuwa nani kwanza na usome kuhusu uongozi wake sio kutosoma
Shkh wangu mbona ndo unakumbuka shuka kumekucha!!!
Halafu msalie mtume vizuri shkh wang..
Hawa Wana dini yao ya SHIA lakini Wana dai wao ni waslamu
Shukran ust,Maswahaba ni Bora kuliko sisi mara nyingi,hishima ni muhimu.
swahaba ni bora kuliko sisi..najiuliza ubora upo wapi kwa swahaba khalid bin walid kumchinja swahaba mwenzie Maliki bin nuwaira na kumwingilia kinyume na ridhaa mjane wake akijidei ni mateka wa vita ngawira?naomba kujua ubora wao tafadhali?
Kuna maswahabah wamefnya vituko afadhali mm na ww
@@hamynasmnadanganywa na vitabu vyenu vya kishia hivyo. kaz kuwaingilia kinyume na maumbile wake zenu tu.
@@medimisi6930 ooh kinyume na maumbile?
mbona mikoa ya pwani yenye asilimia kubwa ya wasuni NDIYO INAYOONGOZA KWA USHOGA NA LIWATI?
MAUSTADH WA MADARASA ZA KISUNI MBONA WANAONGOZA KUWALAWITI VIJANA WA KIUME ?
ndo nini sasa sisi tunaongea uhalali wa imani ww unaleta porojo hao shia wao ndani ya dini yao ni halali hilo jambo. sasa wao wa pwani wakifanya ndo nini.
Kweli kutukana yoyote haifai. Lakini jee nyinyi munaomtukana Mtumi (s.a..w. w) kusema alimgeuziya uso Ibn Ummi Maktoum.
soma aya za kwanza katika suratul abbasa aya zinamzungumzia ibun umm makhtoum alipo kuja kusilimu
@user-xe7yc1wk1e baada ya Kuja kusilim mtume akampa mgongo kumu ignore, Sasa huko si kumkosea mtume adabu,yaani mtume ajiwe na mja wa Allah ataka kusilim halafu yeye ampe mgongo inaingia akilini hiyo jiulize
@@MohammedSaid-zk7ygtueleze wewe sasa amekusudiwa nani katika zile aya takribani 8😊😊😊😊
@@user-gy5og1ts9n hata nikikuambia aliyekusudiwa utaamini wewe ushakunywa maji ya bendera ya banii umayahh na bani abbas na dola zao za kidhwaalim
shekhe alhabiib swalehe allwaah akuhifadhi. ila yakupasa utambue kuwa mashia hao unaowakusudia ni wenzako lakini kwa sababu ya fitna zilizotukia hapo nyuma ndio zimesababisha hilo. allwaah akubariki wewe na mashia walosafika
Fitina zipi tena juma? Kwani amenunuliwa na mawahabi au ameamua kunena ukweli?
Basi wewe unene huo ukweli
Shek mbona watu wanamtukana MTUME NA WANAMCHORA KATUNI UMECHUKUA JUKUMU GANİ????? Acha unafik , shekh hata maswabwa walikuwa na Surtul Bakra na sura zingine pia lakini bado walichaguana Saqifa Shekh elimu unayo ila ipembenuaji HUNA
Kwani mashia wao wapokundi mmoja acha uchizi ushia ni upotevu
Na Uwahabi ni upotevu zaidi
kwani ni matusi au ukweli wanaosema mashia fikra za mashekhe wengi ni fupi kudhani kwamba maswahaba wote ni wema ingali waovu wapo uovu walioufanya nd usemwe ili tufuate wema na sio waovu.
Wao walikuwa ni wanadamu na ndio maana tunawaombea dua, lakini wanayosema mashia ni ya kuzusha dhidi ya maswabaha!!!
Msema kweli ww unaonaje ukaanza kutuorodheshea uovu wa wazee wako waliokuzaa kisha ututajie na maovu ya kina ayatollaat Khomeini, Khamenei, na sistani.
Au unataka kusema walikuwa wema na hawana uovu walioufanya? Tuambie tu ewe shujaa msema kweli,,,
Anza na hao kwanza kisha ndio uje kwa Marafiki na Vipenzi vya Mtume wetu Muhammad ﷺ utatukuta tunakusubiri.
Wacheni kuongea kando ebu itisha mjadala wa2 wanatafuta ilmu kwnu lkni ukiongea kando ww ni mrongo
14:47 hakuna ukaribu kati ya #Waislam na #mashia
15:59 jiulize hili swali Muhimu sana ewe muislam kama unajitambua
17:57 kwani shida ni nini? Ni hoja na dalili nzito nzito za #mashia?
Shida ni mali na njaa za wengi katika Ahlu twariqa ndio zimetufikisha huko!!
وأخرى تحبونها
Mna mengine #myapendayo zaidi nayo ni Dunia na #Mali! Lkn ukweli unaoumiza ni kwamba vyote hatujaja navyo na #hatutoondoka_navyo.
18:05 #pesa na #mizigo ni mizigo ya siku ya Qiyama. Subhanallah
KWA KWELI HAYA MAMBO NI MAGUMU NA INAONEKANA HUYU SHEKH HAJACHUKUA MUDA KUYATWALII.
-KAMA KUMTUKQNA SWAHABA NI HARAMU MBONA WAO WALITUKANANA?
-KAMA LAANA NI HARAMU MBONA MASWAHABA WALILAANIANA?
-MBONA WALIUANA?
-MBONA WALIZUA TARAWEHE,TALAKA 3PAMOKA,SWALATU KHEIRUN MINA NNAUM N.K?
-MBONA BAADHI YAO WALIRITADI?
-KUWA MKE WA NABII NI SABABU YA MKE KUWA MTUKUFU NA HAKOSEI?MBONA WAKE WA BAADHI YA MANABII WAMEPIGIWA MFANO WA UBAYA NDANI YA QURAN?
ww ni mbora kuwashinda?
Ikiwa wazazi wako watatukanana je, wewe mtoto itafaa kuwatusi wazee wako kwa hoja hiyooo?
Sasa kama wake wa mtume s.a.w. walikua waovu na makafiri kwanini Quran haikuelezea ukafiri wao Bali iliwatakasa na kuwaahidi pepo? Aswalaat khairu mina naumi haikuzuswha iliadhiniwa kipindi Cha mtume s.a.w. Wala hakuipinga, na tarawehe sio uzushi alianza kuisali mtume s.a.w. je ni mtume Gani au imamu Gani Alie asisi adhana ya kishia kwa ujumla? Yaani ashahadu ana Aliya waliyu llah n.k. vitabu vya kishia vimekua kama biblia agano jipya, vitawapoteza Sana kwasababu vimejaa historia za kutunga za uongo zenye chuki,fitina,kufuru na ushirikina, kuweni makini Sana nyie mnaokurupuka nakuingia kwenye ushia kwasababu ya vyakula na pesa kid
Huyu ni chizi tuu hakuna usayyid wowote
الحمدلله وجزاك الله خيرا unaafiq, na hizo bahasha ndio zinaharibu Dini . Mufti , masheikh wa mikoa msiwakumbatie mashia. Tamkeni na nyie!
Hilijambo lakuwatukana maswahaba sijambo jema wao wapombele yahaki sisi tufanye yaletulio amrishwa mbona hatufanyi leo tarkusala niwengi Sana sheikh
inatakiwa haswaa kutunza heshima za wake za mtume saww wala hakuna ubishi..je kusema mabaya waliyoyafanya ni kukosa adabu?..vipi kumvunjia heshima imam wa zake kulikofanywa na mama ayisha kwenda kumpiga vita imam ali a.s?pia hili anastahili heshima tusiseme?
Mashia mna laana, na mkiisoma Quran hamuielewi pia,Quran imeelezea habari za maswahaba r.a na wake za mtume s.a.w. . Ina maana hata Allah alikosea kuwaridhia na kuwaahidi pepo? Na kama hao maswahaba r. a na wake za mtume s.a.w. walikua makafiri baada kufa mtume ilikuaje Allah amchagulie mtume wake kipenzi watu wabaya na Ilihali alijua kua watakuja kua makafiri? Na kwanini mtume s.a.w. aliwabashiria pepo hao maswahaba kina Abubakar r.a, umaru r .a uthman r.a n.k? Ina maana mtume s.a.w. aliwabashiria pepo watu waovu? USHIA NI UKAFIRI HASWAA,ACHENI KUJIITA WAISLAAMU,
Mbona mwenyewe Ali hakusema Tena alimsaidia bi Aisha?au na ww umesahau bi Aisha ni Nan ktk upande wa fmly ya mtume na ni nani ktk mlango wa elimu?
@@taurehassan7399, nini haki Sema :-
1) Amemsema Abubakar hadharani ila hamuonyeshwi wala hamsomeshwi Soma REHADHASWALIHI , BIBI AISHA ALIPIGANA VITA NA ALI SA , KUTOA AMRI YA KURUDISHWA MADINA NI KUHESIMU KUWA NI MKE WA MTUME HAIMAINISHI AMEMSAMEHE HEDU NIAMBIE WEWE UKIPIGANA VİTA NA ABUBAKAR VIPI ITAHESABIWA WEWE NANI ???? MUOVU MKOSA HESHIMA AU NINI ????
@@HamadHamduni, kaka kwa kutukana umejaaliwa hoja huna
@@HamadHamduniSema wewe ndiye unalaana, na haufahamu Qur’ani. Jione hata jinsi unavyofanya udhu ni kinyume na mafundisho ya Qur’ani.
pambanua kiilmu Sio kila Alie muona mtume nimwema jee walio mpiga vita Imam Ali wakauwa watu Kwa panga vitani Akins twalha Na akkina zubeir Na wengi muawiyya kwenu Ni swahaba Na Hali aliuwa maswaha wa Imam Ali Alayh Salam Jee yaamanisha Imam Ali si khalifa wenu was nne? tieni akili jamaa Kuna Na kufa.
Hasani acha upuuzi ikiwa huelewi kasomeshwe na wapuuzi wenzio
Sisi sooote niwaislam maneno hayana natija
shia Ithna asharia sio waislamu wanasema hii qur an hawaiamini sasa uislamu uko wp
Kunahaja kubwa tukae kuzungumza kuliko kuwa napaparazi zakuwa mamboyetu yadini mitandaoni
Al-ajeeb, nyinyi ndio mmewakaribisha Kila mahali kwa kisingizo Cha maulidi, Kisha Sasa mnawakana kivp? Hzi ni qaul za kufumba watu macho, tamaa za mapesa za Iran
Wewe ni seyyid wa tumbo tumbo. Hakuna seyyid ambaye anakubali wauwaji wa imam Hussein na familia zake.
tutajie hao walomuua na kama yy amewakubali?
Halafu kumswalia huku mtume kwa wap hz ndio bidaaa sasa Swalallahu alayhi waswahabih wasallam ya wap hii
Surati alimunafiqina imeteremka Kwa watu gani wacha kuyaangalia mambo Kwa jaziba wewe una chochote ninda na jaziba zako.
Huyu Swaleh anatuambiya nini juu ya Walid Bin Utbah
Muawiyah, khalid bin alwaalid,Marwan bin lhakam,amru bin aas, wengi tu akhy
Kwani bila kutukana maswahaba huingii peponi. pia ALLAH amekataa kusema ubaya wa mtu isipokuwa kwa kutafuta haki
@@MohammedSaid-zk7yg vitabu vya mashia vimejaa madudu kiasi ambacho mtu mwenye akili timamu akivisoma ana jiuliza kulikoni! Kwamfano, wanazuoni wakishia wanadai kumuingilia mwanamke kinyume Cha maumbile ni Hali, mavi na mikojo ya maimamu12 inanukia kama miski, atakae kula mavi na akanywa damu za maimamu ataharamishiwa moto, n.k. mi nafikiri wanazuoni wengi wakishia pamoja na chuki zao dhidi ya waislaamu na uislaamu,watakua wanavuta bangi,kwasababu haiwezekani mwandishi mwenye akili timamu akaandika upuuzi kama huo, wanasihini hao waandishi wenu wa kishia waache kuandika habari potofu,kwa sababu wanazidi kuudhalilisha ushia na mashia.
Nyundo gani?!?! Upuuzi mtupu. Kwani maswahaba wote walikuwa wema?!? La wengi wao walikuwa wanafiki na makatili, vile vile sio wake wote wa mtume walikuwa wema, la kuna baadhi waliokuwa na tabia mbaya, ndio sababu naipenda Shia kwa sababu wanaelezea historia ya uislam kama ilivio bila kuweka pazia. Nyinyi endeleeni na mapenzi yenu kwa asuhaabuSakiifa, nasi ma Shia tutaendelea na mapenzi yetu kwa Ahlul-Bayt. Mind you're on business & leave us with ours. Kila siku hutuba zenu Shia,shia.shia, hamuna kazi nyingine ya kufanya.
@@razackndeze-pv5bm shia ni makafiri tu,Wala hawana history yoyote ya ukweli,we endelea kuipenda shia kwasababu ya kula na SI vinginevyo.shia kafiri no1 duniani
@@razackndeze-pv5bm Wala mashia hamna mapenzi na ahlilibayt. Mnawapakaa ahlibayt mafuta kwa mgongo wa chupa.
@HamadHamduni Nyinyi hamna jipya bali fikra zenu sawa sawa na ISIS na babu zenu Baniumaya na As-hab sakiifa, kila anaetofautiana nanyi ni kafiri, nawatakia kila la kheri kamikaze jana yenu na akina Wahashi na Bibi yenu Hindi pamoja na Babu yenu Abusofiani.
@@razackndeze-pv5bmAlokosa adabu ni mke wako ww kama amekushinda useme
@swabrianwar1020 always ISIS huwa hamjuwi dini na hoja zenu za kijinga, akili zenu sawa sawa na za sidiki wenu pamoja na faruku wake.
Nyie masufi na masunni hamjielewi. Kwani maswahaba ni Abuu bakar,Omar na Uthman pekee?? Maswahaba wako wengi. Kuna wale ambao ni waovu kama akina Muawiya, Waliid bin utba, Khalid bin waliid na wengeneo ambao hawafai.
ww ndo wafaa?
Sheikh jahili kweli huyu
Ameanza vizuri kuhusu msimamo nikadhani anataka zungumzia vita vya makafiri dhidi ya uislam kumbe anazungumzia hawa wapuuuzi talafy?
Sheikh ovyooo kabisa huyu
hivi kama masuni ndiye uislamu kamili..mbona hakuna dhehebu moja tuu katika suni?mara utakuta malik,shafii,hambali,hanafi mara wahabi mara salafi mara answaru sunna?HUU UISLAMU GANI WA MATABAKA KWA WALE MNAOJIITA MASUNI?
Huja elewa mwambieni jalala akufhmishe maana alisomeshwa na Hawa watu wa twariqh tamaa ya duni ndio ilomfkisha hpo
@@taurehassan7399Na hawa elimu hii wameitoa kwa imam Ali bin Abii Twalib. Na imam Ali hakuwa msunni wala hajui usunni.
@@taurehassan7399 wewe ndiye mjuzi nifahamishe nijue..nashangaa unanirejesha kwa jalala tena. ..akili zako za hovyo kabisa
@@taurehassan7399 nataka wewe ulielewa unijibu..unamwambiajea jalala ajibu swali la madhehebu yako?taahira kabisa wewe
@@hamynas unajua nyny ndomaana mnakosa akili na elimu,swali kaulizea sheikh na mwanafunzi anatkiwa ajibu sheikh,acha uzuzu km madhehemu yngu hawez kujibu mbna anatoa fatwa za madhebu yngu kw baadhi y maswali?hv mwanafunzi anakuuliza unamjibu akatafte mwenyewe ssa anaenda kutoa wapi majbu na ww ndo sheikh?acha kugandisha akili bro unayumba na unafeli