NYUNDO YA SAYYID SWALEH AL-AHDALY KWA MASHIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 194

  • @user-il9wb1tx4h
    @user-il9wb1tx4h Před měsícem +1

    "قُل لَّا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ أَجْرًا إِلَّا الْمَوَدَّةَ فِي الْقُرْبَىٰ" surat shura verse no: 23

  • @mwinyiashaka
    @mwinyiashaka Před měsícem +8

    Na hii hadithi yamaanisha nini nayo?
    Amesema Mtume (s.a.w.w):
    “Mimi nitawatangulia kufika kwenye hodhi (birika la maji) na wanaume miongoni mwenu watanikimbilia lakini hawatanifikia. Nitasema: Ewe Mwenyezi Mungu! Masahaba wangu! Na nitaambiwa:
    “Hakika wewe hujui waliyoyazusha baada yako”. Basi itatolewa amri waingizwe Motoni. Nami nitasema: Maangamio! Maangamio!~ Ni kwa wale walioyageuza na kuyabadilisha mafunzo ya Uislamu baada yangu.”
    Na Mtume anasema katika hadithi nyingine ambayo maneno yake au madhumuni yake yana maana yafuatayo:
    “Kikundi cha masahaba wangu kitaamriwa kuingia Motoni. Nitasema: kwa nini wanaingizwa Motoni?” Nitaambiwa: Hakika wao waliritadi kwa kuurejea ukafiri.”

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před měsícem

      Huja elewa hadithi,hv unakumbuka mtume alikuwa na daftari la wanafiqi?na unajua alipokufa alimwachia nani?na je walizokuwa ktk Hilo dftar hao ulowakusudia walikuwwmo?je unawajua waliobashiriwa Pepo na mtume he hao unaowakusudia hawamo?

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před měsícem

      Hya tuambie waliorejea ktk ukafir ni Nan na nani?

    • @MauroZaratte-r4r
      @MauroZaratte-r4r Před měsícem

      ​@@taurehassan7399tafuta kitabu kimoja kinaitwa maisha ya maswahabah

    • @salmanmagwe222
      @salmanmagwe222 Před měsícem

      ​@@taurehassan7399
      Kwani hao wanafiq si walikuwa ni miongoni mwa Maswahaba?

    • @razackndeze-pv5bm
      @razackndeze-pv5bm Před měsícem

      @taurehassan7399 sidiki wenu pamoja na Faruku wake,pamoja na Khalifa wenu wa3 pamoja na bani-Umaya wote na bani-Abass, pamoja na masahaba wao walioshirikiana kuwatesa na kuwaiwa kikatili watu wa nyumba ya mtume saw.

  • @SonofJacol-t6h
    @SonofJacol-t6h Před měsícem

    19:04 Sababu ya ulaini na uswahiba wa Watu wa watwarika kwa #mashia.
    19:13 anaogopa kusema kuna #unafiq pia ndani ya watu wa maulidi, lkn ni kama kweli vile, ulaini na uswahiba wote kwa maadui wa #mana_zetu si bure bure.
    21:07 Istiqamah (msimamo) ni kitu kikubwa sana walichokikosa wengi. Istiqamah ndio sababu ya kupata utukufu Duniani na Akhera.
    19:23 anafahamu hata hayo maneno aliyoyanena yatam 'cost' lakini potelea mbali kayasema kuihami dini na kutafuta Radhi za Allah ﷻ. Masheikh wenzake wengi sana #hawawezi, bali watakuwa ndio wa mwanzo kumruka.

  • @mwinyiashaka
    @mwinyiashaka Před měsícem +2

    Na hakuwa Muhammad ila ni Mtume tu.Wamepita kabla yake Mitume (wengi kabisa). Je, Akifa au akauwawa ndiyo mtarudi nyuma (kwa visigino vyenu),.... muwe makafiri kama zamani?” (Aaali-Imran, 3:144)
    Hii Aya yamaanisha nini? Sayyid Swaleh

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před měsícem +1

    mashaAllah mashaAllah ALLAH akulipe kwa kusema haq

  • @hassanal-husseiny9144
    @hassanal-husseiny9144 Před měsícem +6

    Danganya watu SIO WALOSOMA

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 Před měsícem

    Barakallahufik sheikh wetu

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 Před měsícem

    Allahuma amin

  • @SonofJacol-t6h
    @SonofJacol-t6h Před měsícem

    Sisi #waislam tunampenda Allah na Mtume wake ﷺ . Pia twawapenda Maswahaba zake na Watu wa nyumbani kwake kwa #mapenzi ya kikweli kweli yaliyo ya dhati tena ya kisheria, bila ya kuvuka mipaka katika kuwapenda.
    Kuhusu #mashia wao yao ni madai tu na wala si wakweli katika madai yao ya kuwapenda #AhlulBayt.
    Hicho ni kichaka mlichokitumia kuuficha #ukafiri na #uzandiki wenu na ni uchochoro mnaoutumia kutapika nyongo zenu za chuki kali mliyonayo kwa kwa watu bora kabisa katika Uislam nao ni #Maswahaba wa Mtume Muhammad ﷺ.
    Pazia mlilojifichia linafanana na pazia walilolitumia #wakristo kujifichia na kudai eti wanampenda Iysaa na mama yake kikweli kweli kumbe ni #uongo. Kama kweli Wangempenda Iysaa (yesu) Wangempenda na kumuamini Mtume Muhammad ﷺ.
    Nanyi #mashia tunawaambia; kama kweli mngekuwa mnawapenda #Ahlul_Bayt basi mngewapenda #maswahaba na #wake za Mtume ﷺ #mama_za_waumini.
    Mnapoanza kutafuta visababu sababu na hoja za kuokoteza na kuunga unga ni Dalili na #ushahidi tosha kuwa nyinyi #mashia ni #WAONGO na wala hamuwapendi #AhlulBayt, mnajifichia nyuma yao ili mpitishe #agenda zenu chafu za kuutusi na #kuubomoa Uislam na hamtafanikiwa #mtashindwa kama walivyoshindwa wenzenu waliowatangulia katika #kufru na #unafiq na #uzandiki.

  • @MoA-uw3gf
    @MoA-uw3gf Před měsícem +1

    Maswahaba wa mtume ni wengi sio moja au wawili
    Swali unayotakiwa kuuliza ni kwa nn wanatukana masahaba hawa tu na sio wengine

    • @razackndeze-pv5bm
      @razackndeze-pv5bm Před měsícem +1

      @MoA-uw3gf kwa sababu hao maswahaba ndio walio anzisha mtafaruku no mzozo kati ya waislam baada ya kifo cha mtume saw, baada ya kifo cha mtume swa,hao ma Khalifa wenu wametishia kuchoma nyumba ya Ally na BiFatma, na Faruku wenu ajambananisha BiFatma na mlango mpaka ikamsababishia mimba kutoka.

    • @SonofJacol-t6h
      @SonofJacol-t6h Před měsícem

      ​@@razackndeze-pv5bm
      Mashia kwa uongo hamjambo wala hatushangai mnapozua tuhuma nzito nzito.
      Yaani mnaushambulia na kuubomoa Uislam kwa jina la uislam!!!

    • @SonofJacol-t6h
      @SonofJacol-t6h Před měsícem

      ​@@razackndeze-pv5bm
      Mashia kwa uongo hamjambo hivyo hatushangai mnapozua
      Amesema Imam Shafi (Rahimahullah)
      "sijawahi kumuona watu waongo sana kuliko Rafidhwah (Mashia)"
      Akasema pia:
      "Mimi nakubali ushahidi wa watu wa ahwaa wote isipokuwa #Rafidhwah (Mashia)"
      Akasema pia Imam Shafi Rahimahullah:
      "Mm naona Allah hakuzuia (midomo ya) watu kuwatusi maswahaba wa Mtume wake isipokuwa ili #awazidishie_thawabu wakati matendo yao yatakapo katika (baada ya kufa kwao, waovu waendelee kuwatusi tu)"
      Rej.📚 مناقب الإمام الشافعي للرازي ص127
      قال الشافعي: "ما أرى أن الله تعالى لا يمنع الناس عن شتم أصحاب رسول الله إلا ليزيدهم ثوابًا عند انقطاع أعمالهم"
      📚 مناقب الإمام الشافعي للرازي ص127

    • @SonofJacol-t6h
      @SonofJacol-t6h Před měsícem

      ​@@razackndeze-pv5bm
      Mbaya zaidi #uongo kwenu ndio #dini yenu na ndio dini ya baba zenu na hana dini asiye kuwa #muongo!!!
      Amesema #Jafar_Swadiq imam wa 6 (hapa mnamsingizia kama kawaida yenu)
      "Taqiyyah (uongo) ndio dini yangu na ndio dini ya wazee wangu, na hana imani asiyekuwa na Taqiyyah (yaani asiye muongo hana imani!)"
      Bali kwa #mashia asilimia 90% ya dini yao yooote ni uongo (usaniii) asilimia zilizobakia ndio mambo mengine!
      Amesema Jafar Swadiq "sehemu 9 ya dini yote (90%) ni #taqiyyah (uongo) na hana dini asiyekuwa na #taqiyyah (asiye muongo)!!!"
      Kasome 📚Alkaafi ya Kuleini juz. 2 uk.218

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991 Před měsícem

    Amiiiin Yaa Rabbbb Alaamiiin

  • @hassanal-husseiny9144
    @hassanal-husseiny9144 Před měsícem +4

    Mashi'a hawatukuwi Maswahaba wote wako sawa. Huyu bwana (tena Sharifu) atatumbiya nini Maswahaba walomuuwa Khalifa wa pili na wale waloshiriki kumuuwa Khalifa wa tatu na wa nne? Wale piya ni Mswahaba! Maswahaba walipigana wenyewe kwa wenyewe sasa tumfuate nani. Jee nyinyi munaomwita Abu Twalib kafiri.
    Jee wale waloitwa wanaafiq piya ni Maswahaba

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před měsícem

      Kwahiyo vp Ali r .a alivyopigana na Muawiya r.a? Kwahiyo tuwaite wote ni makafiri?

    • @user-ms1xg1fp4v
      @user-ms1xg1fp4v Před měsícem

      Mimbari zikiachiwa hawa basi kazi iendelee

    • @RajabuAbdallah-yp5dp
      @RajabuAbdallah-yp5dp Před měsícem +2

      ​@@HamadHamduniRudi katika maneno ya mtume kamuelezea vp aly as na vp kaelezewa muawiya na ukoo wao na historia yao utajua ndg yang pumba na mchele

    • @SaidJuma-ru7vm
      @SaidJuma-ru7vm Před měsícem

      ​@@RajabuAbdallah-yp5dp well done akhui

    • @haifatymohar
      @haifatymohar Před měsícem

      @@HamadHamduni jiulize muawiya alikuwa nani kwanza na usome kuhusu uongozi wake sio kutosoma

  • @baqirmkilindi9369
    @baqirmkilindi9369 Před měsícem

    Shkh wangu mbona ndo unakumbuka shuka kumekucha!!!
    Halafu msalie mtume vizuri shkh wang..

  • @ibnuyussuf
    @ibnuyussuf Před měsícem

    Hawa Wana dini yao ya SHIA lakini Wana dai wao ni waslamu

  • @kassimhassan8426
    @kassimhassan8426 Před měsícem

    Shukran ust,Maswahaba ni Bora kuliko sisi mara nyingi,hishima ni muhimu.

    • @hamynas
      @hamynas Před měsícem +3

      swahaba ni bora kuliko sisi..najiuliza ubora upo wapi kwa swahaba khalid bin walid kumchinja swahaba mwenzie Maliki bin nuwaira na kumwingilia kinyume na ridhaa mjane wake akijidei ni mateka wa vita ngawira?naomba kujua ubora wao tafadhali?

    • @MauroZaratte-r4r
      @MauroZaratte-r4r Před měsícem +2

      Kuna maswahabah wamefnya vituko afadhali mm na ww

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před měsícem

      ​@@hamynasmnadanganywa na vitabu vyenu vya kishia hivyo. kaz kuwaingilia kinyume na maumbile wake zenu tu.

    • @hamynas
      @hamynas Před měsícem +2

      @@medimisi6930 ooh kinyume na maumbile?
      mbona mikoa ya pwani yenye asilimia kubwa ya wasuni NDIYO INAYOONGOZA KWA USHOGA NA LIWATI?
      MAUSTADH WA MADARASA ZA KISUNI MBONA WANAONGOZA KUWALAWITI VIJANA WA KIUME ?

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před měsícem

      ndo nini sasa sisi tunaongea uhalali wa imani ww unaleta porojo hao shia wao ndani ya dini yao ni halali hilo jambo. sasa wao wa pwani wakifanya ndo nini.

  • @hassanal-husseiny9144
    @hassanal-husseiny9144 Před měsícem +1

    Kweli kutukana yoyote haifai. Lakini jee nyinyi munaomtukana Mtumi (s.a..w. w) kusema alimgeuziya uso Ibn Ummi Maktoum.

    • @user-xe7yc1wk1e
      @user-xe7yc1wk1e Před měsícem

      soma aya za kwanza katika suratul abbasa aya zinamzungumzia ibun umm makhtoum alipo kuja kusilimu

    • @MohammedSaid-zk7yg
      @MohammedSaid-zk7yg Před měsícem +1

      ​@user-xe7yc1wk1e baada ya Kuja kusilim mtume akampa mgongo kumu ignore, Sasa huko si kumkosea mtume adabu,yaani mtume ajiwe na mja wa Allah ataka kusilim halafu yeye ampe mgongo inaingia akilini hiyo jiulize

    • @user-gy5og1ts9n
      @user-gy5og1ts9n Před měsícem

      ​@@MohammedSaid-zk7ygtueleze wewe sasa amekusudiwa nani katika zile aya takribani 8😊😊😊😊

    • @MohammedSaid-zk7yg
      @MohammedSaid-zk7yg Před měsícem

      @@user-gy5og1ts9n hata nikikuambia aliyekusudiwa utaamini wewe ushakunywa maji ya bendera ya banii umayahh na bani abbas na dola zao za kidhwaalim

  • @Jumaupnda
    @Jumaupnda Před měsícem

    shekhe alhabiib swalehe allwaah akuhifadhi. ila yakupasa utambue kuwa mashia hao unaowakusudia ni wenzako lakini kwa sababu ya fitna zilizotukia hapo nyuma ndio zimesababisha hilo. allwaah akubariki wewe na mashia walosafika

    • @SonofJacol-t6h
      @SonofJacol-t6h Před měsícem

      Fitina zipi tena juma? Kwani amenunuliwa na mawahabi au ameamua kunena ukweli?
      Basi wewe unene huo ukweli

  • @azizaj776
    @azizaj776 Před měsícem +1

    Shek mbona watu wanamtukana MTUME NA WANAMCHORA KATUNI UMECHUKUA JUKUMU GANİ????? Acha unafik , shekh hata maswabwa walikuwa na Surtul Bakra na sura zingine pia lakini bado walichaguana Saqifa Shekh elimu unayo ila ipembenuaji HUNA

  • @Yunus-qv8ep
    @Yunus-qv8ep Před měsícem +1

    Kwani mashia wao wapokundi mmoja acha uchizi ushia ni upotevu

  • @salumahmad7503
    @salumahmad7503 Před měsícem +3

    kwani ni matusi au ukweli wanaosema mashia fikra za mashekhe wengi ni fupi kudhani kwamba maswahaba wote ni wema ingali waovu wapo uovu walioufanya nd usemwe ili tufuate wema na sio waovu.

    • @chuggaboy9877
      @chuggaboy9877 Před měsícem

      Wao walikuwa ni wanadamu na ndio maana tunawaombea dua, lakini wanayosema mashia ni ya kuzusha dhidi ya maswabaha!!!

    • @SonofJacol-t6h
      @SonofJacol-t6h Před měsícem

      Msema kweli ww unaonaje ukaanza kutuorodheshea uovu wa wazee wako waliokuzaa kisha ututajie na maovu ya kina ayatollaat Khomeini, Khamenei, na sistani.
      Au unataka kusema walikuwa wema na hawana uovu walioufanya? Tuambie tu ewe shujaa msema kweli,,,
      Anza na hao kwanza kisha ndio uje kwa Marafiki na Vipenzi vya Mtume wetu Muhammad ﷺ utatukuta tunakusubiri.

  • @MauroZaratte-r4r
    @MauroZaratte-r4r Před měsícem +1

    Wacheni kuongea kando ebu itisha mjadala wa2 wanatafuta ilmu kwnu lkni ukiongea kando ww ni mrongo

  • @SonofJacol-t6h
    @SonofJacol-t6h Před měsícem

    14:47 hakuna ukaribu kati ya #Waislam na #mashia
    15:59 jiulize hili swali Muhimu sana ewe muislam kama unajitambua
    17:57 kwani shida ni nini? Ni hoja na dalili nzito nzito za #mashia?
    Shida ni mali na njaa za wengi katika Ahlu twariqa ndio zimetufikisha huko!!
    وأخرى تحبونها
    Mna mengine #myapendayo zaidi nayo ni Dunia na #Mali! Lkn ukweli unaoumiza ni kwamba vyote hatujaja navyo na #hatutoondoka_navyo.
    18:05 #pesa na #mizigo ni mizigo ya siku ya Qiyama. Subhanallah

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 Před měsícem +3

    KWA KWELI HAYA MAMBO NI MAGUMU NA INAONEKANA HUYU SHEKH HAJACHUKUA MUDA KUYATWALII.
    -KAMA KUMTUKQNA SWAHABA NI HARAMU MBONA WAO WALITUKANANA?
    -KAMA LAANA NI HARAMU MBONA MASWAHABA WALILAANIANA?
    -MBONA WALIUANA?
    -MBONA WALIZUA TARAWEHE,TALAKA 3PAMOKA,SWALATU KHEIRUN MINA NNAUM N.K?
    -MBONA BAADHI YAO WALIRITADI?
    -KUWA MKE WA NABII NI SABABU YA MKE KUWA MTUKUFU NA HAKOSEI?MBONA WAKE WA BAADHI YA MANABII WAMEPIGIWA MFANO WA UBAYA NDANI YA QURAN?

    • @swabrianwar1020
      @swabrianwar1020 Před měsícem

      ww ni mbora kuwashinda?

    • @SonofJacol-t6h
      @SonofJacol-t6h Před měsícem

      Ikiwa wazazi wako watatukanana je, wewe mtoto itafaa kuwatusi wazee wako kwa hoja hiyooo?

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před měsícem +1

      Sasa kama wake wa mtume s.a.w. walikua waovu na makafiri kwanini Quran haikuelezea ukafiri wao Bali iliwatakasa na kuwaahidi pepo? Aswalaat khairu mina naumi haikuzuswha iliadhiniwa kipindi Cha mtume s.a.w. Wala hakuipinga, na tarawehe sio uzushi alianza kuisali mtume s.a.w. je ni mtume Gani au imamu Gani Alie asisi adhana ya kishia kwa ujumla? Yaani ashahadu ana Aliya waliyu llah n.k. vitabu vya kishia vimekua kama biblia agano jipya, vitawapoteza Sana kwasababu vimejaa historia za kutunga za uongo zenye chuki,fitina,kufuru na ushirikina, kuweni makini Sana nyie mnaokurupuka nakuingia kwenye ushia kwasababu ya vyakula na pesa kid

  • @rajabuhashimu-bv8qt
    @rajabuhashimu-bv8qt Před měsícem

    Huyu ni chizi tuu hakuna usayyid wowote

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 Před 23 dny

    الحمدلله وجزاك الله خيرا unaafiq, na hizo bahasha ndio zinaharibu Dini . Mufti , masheikh wa mikoa msiwakumbatie mashia. Tamkeni na nyie!

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i Před měsícem

    Hilijambo lakuwatukana maswahaba sijambo jema wao wapombele yahaki sisi tufanye yaletulio amrishwa mbona hatufanyi leo tarkusala niwengi Sana sheikh

  • @hamynas
    @hamynas Před měsícem +5

    inatakiwa haswaa kutunza heshima za wake za mtume saww wala hakuna ubishi..je kusema mabaya waliyoyafanya ni kukosa adabu?..vipi kumvunjia heshima imam wa zake kulikofanywa na mama ayisha kwenda kumpiga vita imam ali a.s?pia hili anastahili heshima tusiseme?

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před měsícem +1

      Mashia mna laana, na mkiisoma Quran hamuielewi pia,Quran imeelezea habari za maswahaba r.a na wake za mtume s.a.w. . Ina maana hata Allah alikosea kuwaridhia na kuwaahidi pepo? Na kama hao maswahaba r. a na wake za mtume s.a.w. walikua makafiri baada kufa mtume ilikuaje Allah amchagulie mtume wake kipenzi watu wabaya na Ilihali alijua kua watakuja kua makafiri? Na kwanini mtume s.a.w. aliwabashiria pepo hao maswahaba kina Abubakar r.a, umaru r .a uthman r.a n.k? Ina maana mtume s.a.w. aliwabashiria pepo watu waovu? USHIA NI UKAFIRI HASWAA,ACHENI KUJIITA WAISLAAMU,

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před měsícem +1

      Mbona mwenyewe Ali hakusema Tena alimsaidia bi Aisha?au na ww umesahau bi Aisha ni Nan ktk upande wa fmly ya mtume na ni nani ktk mlango wa elimu?

    • @azizaj776
      @azizaj776 Před měsícem

      @@taurehassan7399, nini haki Sema :-
      1) Amemsema Abubakar hadharani ila hamuonyeshwi wala hamsomeshwi Soma REHADHASWALIHI , BIBI AISHA ALIPIGANA VITA NA ALI SA , KUTOA AMRI YA KURUDISHWA MADINA NI KUHESIMU KUWA NI MKE WA MTUME HAIMAINISHI AMEMSAMEHE HEDU NIAMBIE WEWE UKIPIGANA VİTA NA ABUBAKAR VIPI ITAHESABIWA WEWE NANI ???? MUOVU MKOSA HESHIMA AU NINI ????

    • @azizaj776
      @azizaj776 Před měsícem

      @@HamadHamduni, kaka kwa kutukana umejaaliwa hoja huna

    • @ismailosanoomar3326
      @ismailosanoomar3326 Před měsícem

      ​@@HamadHamduniSema wewe ndiye unalaana, na haufahamu Qur’ani. Jione hata jinsi unavyofanya udhu ni kinyume na mafundisho ya Qur’ani.

  • @user-hl7lj6yc4g
    @user-hl7lj6yc4g Před měsícem

    pambanua kiilmu Sio kila Alie muona mtume nimwema jee walio mpiga vita Imam Ali wakauwa watu Kwa panga vitani Akins twalha Na akkina zubeir Na wengi muawiyya kwenu Ni swahaba Na Hali aliuwa maswaha wa Imam Ali Alayh Salam Jee yaamanisha Imam Ali si khalifa wenu was nne? tieni akili jamaa Kuna Na kufa.

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Před měsícem

    Hasani acha upuuzi ikiwa huelewi kasomeshwe na wapuuzi wenzio

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i Před měsícem

    Sisi sooote niwaislam maneno hayana natija

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před měsícem

      shia Ithna asharia sio waislamu wanasema hii qur an hawaiamini sasa uislamu uko wp

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i Před měsícem

    Kunahaja kubwa tukae kuzungumza kuliko kuwa napaparazi zakuwa mamboyetu yadini mitandaoni

  • @abdulwahidmohamedali4474
    @abdulwahidmohamedali4474 Před měsícem

    Al-ajeeb, nyinyi ndio mmewakaribisha Kila mahali kwa kisingizo Cha maulidi, Kisha Sasa mnawakana kivp? Hzi ni qaul za kufumba watu macho, tamaa za mapesa za Iran

  • @ismailosanoomar3326
    @ismailosanoomar3326 Před měsícem +2

    Wewe ni seyyid wa tumbo tumbo. Hakuna seyyid ambaye anakubali wauwaji wa imam Hussein na familia zake.

  • @RajabuAbdallah-yp5dp
    @RajabuAbdallah-yp5dp Před měsícem

    Halafu kumswalia huku mtume kwa wap hz ndio bidaaa sasa Swalallahu alayhi waswahabih wasallam ya wap hii

  • @SadatiDauda
    @SadatiDauda Před měsícem

    Surati alimunafiqina imeteremka Kwa watu gani wacha kuyaangalia mambo Kwa jaziba wewe una chochote ninda na jaziba zako.

  • @hassanal-husseiny9144
    @hassanal-husseiny9144 Před měsícem +2

    Huyu Swaleh anatuambiya nini juu ya Walid Bin Utbah

    • @MohammedSaid-zk7yg
      @MohammedSaid-zk7yg Před měsícem +2

      Muawiyah, khalid bin alwaalid,Marwan bin lhakam,amru bin aas, wengi tu akhy

    • @HabibuUrasa
      @HabibuUrasa Před měsícem

      Kwani bila kutukana maswahaba huingii peponi. pia ALLAH amekataa kusema ubaya wa mtu isipokuwa kwa kutafuta haki

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před měsícem

      @@MohammedSaid-zk7yg vitabu vya mashia vimejaa madudu kiasi ambacho mtu mwenye akili timamu akivisoma ana jiuliza kulikoni! Kwamfano, wanazuoni wakishia wanadai kumuingilia mwanamke kinyume Cha maumbile ni Hali, mavi na mikojo ya maimamu12 inanukia kama miski, atakae kula mavi na akanywa damu za maimamu ataharamishiwa moto, n.k. mi nafikiri wanazuoni wengi wakishia pamoja na chuki zao dhidi ya waislaamu na uislaamu,watakua wanavuta bangi,kwasababu haiwezekani mwandishi mwenye akili timamu akaandika upuuzi kama huo, wanasihini hao waandishi wenu wa kishia waache kuandika habari potofu,kwa sababu wanazidi kuudhalilisha ushia na mashia.

  • @razackndeze-pv5bm
    @razackndeze-pv5bm Před měsícem +2

    Nyundo gani?!?! Upuuzi mtupu. Kwani maswahaba wote walikuwa wema?!? La wengi wao walikuwa wanafiki na makatili, vile vile sio wake wote wa mtume walikuwa wema, la kuna baadhi waliokuwa na tabia mbaya, ndio sababu naipenda Shia kwa sababu wanaelezea historia ya uislam kama ilivio bila kuweka pazia. Nyinyi endeleeni na mapenzi yenu kwa asuhaabuSakiifa, nasi ma Shia tutaendelea na mapenzi yetu kwa Ahlul-Bayt. Mind you're on business & leave us with ours. Kila siku hutuba zenu Shia,shia.shia, hamuna kazi nyingine ya kufanya.

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před měsícem

      @@razackndeze-pv5bm shia ni makafiri tu,Wala hawana history yoyote ya ukweli,we endelea kuipenda shia kwasababu ya kula na SI vinginevyo.shia kafiri no1 duniani

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni Před měsícem

      @@razackndeze-pv5bm Wala mashia hamna mapenzi na ahlilibayt. Mnawapakaa ahlibayt mafuta kwa mgongo wa chupa.

    • @razackndeze-pv5bm
      @razackndeze-pv5bm Před měsícem +1

      @HamadHamduni Nyinyi hamna jipya bali fikra zenu sawa sawa na ISIS na babu zenu Baniumaya na As-hab sakiifa, kila anaetofautiana nanyi ni kafiri, nawatakia kila la kheri kamikaze jana yenu na akina Wahashi na Bibi yenu Hindi pamoja na Babu yenu Abusofiani.

    • @swabrianwar1020
      @swabrianwar1020 Před měsícem

      ​@@razackndeze-pv5bmAlokosa adabu ni mke wako ww kama amekushinda useme

    • @razackndeze-pv5bm
      @razackndeze-pv5bm Před měsícem

      @swabrianwar1020 always ISIS huwa hamjuwi dini na hoja zenu za kijinga, akili zenu sawa sawa na za sidiki wenu pamoja na faruku wake.

  • @ismailosanoomar3326
    @ismailosanoomar3326 Před měsícem

    Nyie masufi na masunni hamjielewi. Kwani maswahaba ni Abuu bakar,Omar na Uthman pekee?? Maswahaba wako wengi. Kuna wale ambao ni waovu kama akina Muawiya, Waliid bin utba, Khalid bin waliid na wengeneo ambao hawafai.

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před měsícem

    Sheikh jahili kweli huyu
    Ameanza vizuri kuhusu msimamo nikadhani anataka zungumzia vita vya makafiri dhidi ya uislam kumbe anazungumzia hawa wapuuuzi talafy?
    Sheikh ovyooo kabisa huyu

  • @hamynas
    @hamynas Před měsícem

    hivi kama masuni ndiye uislamu kamili..mbona hakuna dhehebu moja tuu katika suni?mara utakuta malik,shafii,hambali,hanafi mara wahabi mara salafi mara answaru sunna?HUU UISLAMU GANI WA MATABAKA KWA WALE MNAOJIITA MASUNI?

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před měsícem

      Huja elewa mwambieni jalala akufhmishe maana alisomeshwa na Hawa watu wa twariqh tamaa ya duni ndio ilomfkisha hpo

    • @ismailosanoomar3326
      @ismailosanoomar3326 Před měsícem

      ​@@taurehassan7399Na hawa elimu hii wameitoa kwa imam Ali bin Abii Twalib. Na imam Ali hakuwa msunni wala hajui usunni.

    • @hamynas
      @hamynas Před měsícem

      @@taurehassan7399 wewe ndiye mjuzi nifahamishe nijue..nashangaa unanirejesha kwa jalala tena. ..akili zako za hovyo kabisa

    • @hamynas
      @hamynas Před měsícem

      @@taurehassan7399 nataka wewe ulielewa unijibu..unamwambiajea jalala ajibu swali la madhehebu yako?taahira kabisa wewe

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před měsícem

      @@hamynas unajua nyny ndomaana mnakosa akili na elimu,swali kaulizea sheikh na mwanafunzi anatkiwa ajibu sheikh,acha uzuzu km madhehemu yngu hawez kujibu mbna anatoa fatwa za madhebu yngu kw baadhi y maswali?hv mwanafunzi anakuuliza unamjibu akatafte mwenyewe ssa anaenda kutoa wapi majbu na ww ndo sheikh?acha kugandisha akili bro unayumba na unafeli