Mnamdihaki mungu kipuzi tu hapa mnatoa tafusiri zakibinadamu tena za ulimwengu huu hakika moto upo karbu yenu yalio alioandikwa ni mafumbo hivyo ya paswa kufumbuliwa kwa hekima si kushindana kama mpira wa miguu
@@ellykiupa3696 siku zote nyanyi haoni kundule ukweli hauna tabia ya kukubalika mapema hivyo sasa utaona sijielewi kwasababu tu ulishalishwa ya kipuziiii
Anord wa mihadhara Ni mazinge maana kwenye anga zake mtu Haruki😀😀😀😀 mazinge na Jopo loote la waisilamu mwenyezimungu Awaweke kwa usalama na Amani Duniani na Akhera 🙏
Pro. Mazinge mpaka Sasa duniani basi Allah sw kakupa kipaji cha pekee. Maana huna stori 😂. Mtu akijamba tu unatoa andiko😂. Sichoki kukusikiliza tokea enzi hizo
Dini iloyotolewa kwa mtu acyejua kusoma wala kuandika!Alitokewa na mtu akamwambia soma! Mohammed ,yeye alijibu nini?Huoni kama pale ndio mwanzo wa kupotoka kwenu,mana alimezeshwa maneno ambayo hakuyajua hata tafcr yke.Na alipotoka pale alikuwa na mapepo,sasa jiulizeni mapepo yanatoka kwa nani?
USTADH MAZINGE TUNAOMBA KABLA KUISHA HUU MWAKA WA 2022 UJE UJE UFANYE MDAHALO ZANZINBAR WAZANZIBARI YANI TUNAKUPENDA SANA NA TUNATAMANI HII MADA IFANYIKE KWETU ZANZIBAR INSHA- ALLAH
17:10-14, reading: 'And God spoke to Abraham saying: … This is my covenant which you shall keep between me and you and thy seed after you - every male child among you shall be circumcised. '
Pastor big up sana mtumishi MUNGU wetu akubariki sana mtumishi unaongea ukweli Ila ata biblia inasema wengine wanaambiwa kwa mafumbo ili ata wakiambiwa wasielewe Pambana na kazi ya bwana wetu yesu kristo thawabu yako ipo 🙏🙏
nachokipenda Kwa waislamu ukiwauliza swali la kimaandiko kama kunaandiko atakujibu Kwa kujupa haya lakini wakristo unamuuliza we tarehe 25 mwezi wa kumi na mbili ni suku ya kuzaliwa yesu anaacha kujibu kama aya ipo au haipo ye anaanza kuangaika na vitu ambavyo havipo
Mazinge ni mfano wa kuigwa ,,ni mtu ambaye amejariwa ,,kipaji maarum kwajiri ya kuitangaza dini kwa makafiri ,,mora ampe maisha marefu azidi kuipigania dini
@@samuelcn9253 Masha'Allah kama ilivyo shule somo hilo hilo akija mwalim huyu humuelew na huyu unamuelewa sana ndo hivyo hivyo ktk dini umpate mueleweshan na mdadavuaji tatizo la mazinge hafundishi yeye anajibu swali tu vipi ushasilim ndugu yangu kabla malakul maut hajakupitia
I hate the way mazinge anakuwa so rude anaongelesha mwenzake anampeleka kama mtoto 😢😢😢hatujaambiwa tufunze dini kwa njia hii, lazima tukuwe Wapole na hikma sio kwa design hii sheikh maizinge😢😢😢
Kutahiri katika kitabu kitakativu kina maana yake kinyume na njinzi Mazinge anavyo fikiri.Mazinge anafikiria kibinadamu tu. Mbona wasilamu hawana malaika au roho mtakativu ya kuwaongoza but wanaamini marehemu Muhammad SAW.
Torati Ndio Ndio Kitabu Anacho idai Mazingira Wewe Unasimamia Kitu hukijui , Wewe umedai kolaani imeteremshwa Maneno Hayo kaongea Mtume Torati Ni Musa kaongea Kupitia maongezi Na Mungu Sasa Wewe unachoamini Niujumbe alipokea muhamadi unavuruga Wenzio
hoyee 😂😂😂 nmecheka ety maneno ya watu ubwee watumia mdomo mazinge kudanganya watu sii msaafu au vitabu vinene bro , Mbona matusi sasa , muhathara wa mabavu mbona kumpokonya kipaza 😆 sauti # kama wee mwanaume # kafiri hio ni upuzi
Na MUNGU akupe neema ya kuelewa kwanini Kupigwa na kufa kwa Yesu.La sivyo waganga watakulizia kuku ndugu. Na bado nasema MUNGU u katika roho hayo wanayojadiri hapo katka Ufalme wa MUNGU ni kituko.Musipotezwe fungekeni akiri hizo.Kama mnasoma quran yale maneno ya Mungu yatafakarini kiupana katka roho na co kiuprofesa mnapotea.
Na nyie wakristo mliposema mungu wenu yesu kafa,kasulubiwa,huo sio kuongelea mungu kibinadamu? Mazinge hajamfananisha Mungu na yeyote au chochote maanake anaelewa maafa ya kufanya hivyo. Mwislamu yeyote hata awe mwenda wazimu huwezi kamwe kumlinganisha Allah na yeyote,hayo ni mambo ya wakristo wasiomjua Mungu wao, wanafiki na makafiri nyie wakristo
Mashallah tabarak Rahman sheikh mazinge mungu akuzidishie ilmi yarab ameen 🥰🥰🥰🥰🇴🇲👌
Amina Yarab alamin
آمين
Ææåååååæææææååæååææ
🎉🎉@@Nadir_Abdullah
allh akujaalie maisha marefu pro mazinge kaka
Mungu akupe umri mrefu uzidi kuisambaza dini ya Allah pia ushinde changamoto zitakazo kukabil katika kazi nzito ya Allah
Amin ya rabbi❤
Allah akupe umri mrefu na afya. sheikh wetu mazinge.wakristo yataka mumshukuru sana mazinge ana hamu yakuwaokoa na moto
Mnamdihaki mungu kipuzi tu hapa mnatoa tafusiri zakibinadamu tena za ulimwengu huu hakika moto upo karbu yenu yalio alioandikwa ni mafumbo hivyo ya paswa kufumbuliwa kwa hekima si kushindana kama mpira wa miguu
@@henryshiyo5374 wewe hujielewi pole sana
@@ellykiupa3696 siku zote nyanyi haoni kundule ukweli hauna tabia ya kukubalika mapema hivyo sasa utaona sijielewi kwasababu tu ulishalishwa ya kipuziiii
@@henryshiyo5374
€
@@henryshiyo5374 *p*
*pp***
Mashallah professor Mazinge DD Allah akuweke. 😍
Amiin
@@eshasalim5496 9ps
Ma shaa Allah sheikhe mazinge Allah awalipe kila la kheir
Amiin Ya Rabb
Anord wa mihadhara Ni mazinge maana kwenye anga zake mtu Haruki😀😀😀😀 mazinge na Jopo loote la waisilamu mwenyezimungu Awaweke kwa usalama na Amani Duniani na Akhera 🙏
Yaani kwa Mazinge huruki, alafu mwenye kipaza sauti kanimaliza, yaani akiambiwa achukue mike, ni kama radi chwa chwa mike inachukuliwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nami nimeona kama upepo
Nimecheka mno
@@onlyonetztv610 😂😂😂😂😂mimi ndio kabisaaa
Ahahahahha nimemuona kwel Ahahahahha dah
MashaAllah, sheikh mazinge na wenzio. Allah awalipe kila la kheri
Amiiin
Shekh mazinge nakupenda sana shekh wetu
Amiin Ya Rabb
Mazinge mwehu tu
@@wiliamramadhan6274 wee ndo mwehu
Ahsante Swaim this is Mazinge classic ninayo lkni kwenye video cassette Leo nimefurahi. Thanks.
czcams.com/video/gmmdhdhaQlQ/video.html
Uislam ndio dini ya kweli allah atupe mwisho mwema
Ameen ameen ya rabb
Mashaallah hongera sana mazinge
Maa Shaa Allaah
Alhamdulillah
Kiboko yao Sheikh p
Mazinge unatisha baba Allah azidi kukufunilia hingera sana big up Ma shaa Allah🙏
Cheikh Mazinge na muomba Allah akupe umri mrefu wenye kheri na bakara, na wa islam wote .
Mazinge tafadhali naomba uokoke jehanam inakuhusu
Mazinge may Allah guide you mashaallah
Pro. Mazinge mpaka Sasa duniani basi Allah sw kakupa kipaji cha pekee. Maana huna stori 😂. Mtu akijamba tu unatoa andiko😂. Sichoki kukusikiliza tokea enzi hizo
🤣🤣🤣
Wallah mazinge kwa uwezo wa manan amejaaliwa sana
Kiboko ya wakiristo komando wa uislam prof MAZINGE 🤣🤣🤣
Amri wetu
Nampenda kwA ajili ya allah..yaarab mlinde kwA kila shari.
Hana lolote
Mazinge hana lolote
@@joezeno8 Sasa Kama wewe jiná pekee linaitwa Joe zero umebakisha nini mwenye sufuri 😆😆😆
Mazinge Allah akujaalie pumz ili uzd kufubdsha makafir hawa
Huyu professor kweli
Wakristo ingieni katika dini ya haki ukapate raha za milele
Dini iloyotolewa kwa mtu acyejua kusoma wala kuandika!Alitokewa na mtu akamwambia soma! Mohammed ,yeye alijibu nini?Huoni kama pale ndio mwanzo wa kupotoka kwenu,mana alimezeshwa maneno ambayo hakuyajua hata tafcr yke.Na alipotoka pale alikuwa na mapepo,sasa jiulizeni mapepo yanatoka kwa nani?
@@kichenjekichenje2072 huyo yesu nae alisomea wapi jamani
Allah atawalipa nyinyi wote mnatetea Dini ya Allah
Anafurahsha can maznge
Huy sh taungia ktamb kibok mpak leo sh mazng allah akuzdishie
Mungu akujaze kheri
Pasta odada ana hasira kweli naona amehamaki kweli hahahahahahahah
USTADH MAZINGE TUNAOMBA KABLA KUISHA HUU MWAKA WA 2022 UJE UJE UFANYE MDAHALO ZANZINBAR WAZANZIBARI YANI TUNAKUPENDA SANA NA TUNATAMANI HII MADA IFANYIKE KWETU ZANZIBAR INSHA- ALLAH
Mazinge 😀 Allah akupe umri mrefu
17:10-14, reading: 'And God spoke to Abraham saying: … This is my covenant which you shall keep between me and you and thy seed after you - every male child among you shall be circumcised. '
Professional.Habib Mazinge
Pastor big up sana mtumishi
MUNGU wetu akubariki sana mtumishi unaongea ukweli
Ila ata biblia inasema wengine wanaambiwa kwa mafumbo ili ata wakiambiwa wasielewe
Pambana na kazi ya bwana wetu yesu kristo thawabu yako ipo 🙏🙏
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ww kalale
Polee
mazinge umefeli muhamadi ajatairiwa toka akiwa hause boy muhadi mpaka kumpata mjane adija
Shekh maulana
Shekh maulana
Quoran kwenye vicwa vyenu .....bible kwenye vicwa vyenu Allah awaingizeni peponi bila isabu mnaifanya kazi kubwa
ALLAH BARIIK
Mazinge Allah will protect you, amin
Profesa mazinge aallaha akuweke akupe afya kila penye uzito allaha akufanyie wepes inshaallah tunakupenda ❤
Mazinge kazi yake nikurukaru bado anajidifedi na bibilia kwakiristo sitoki
A s l m a l km.nashukuru.kwa.mihadharz
Hatari sana Mazinge mungu ampe maisha marefu na ya baraka🙏🤝🤲🏼🤲
Tutaelewatu,
nachokipenda Kwa waislamu ukiwauliza swali la kimaandiko kama kunaandiko atakujibu Kwa kujupa haya lakini wakristo unamuuliza we tarehe 25 mwezi wa kumi na mbili ni suku ya kuzaliwa yesu anaacha kujibu kama aya ipo au haipo ye anaanza kuangaika na vitu ambavyo havipo
Takbiriii
Usihame kwanza Mike 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakupenda sana mazingi
Mazinge ni mfano wa kuigwa ,,ni mtu ambaye amejariwa ,,kipaji maarum kwajiri ya kuitangaza dini kwa makafiri ,,mora ampe maisha marefu azidi kuipigania dini
Yanimikafiri mm naishangaa mn yanakuja kuuliza maswali nahayajajipanga au yanafkiri yenyewe hatoulizwa? Yani yakiulizwa maswali yenyewe hujubabaisha kanakwamba hayaelewi kiswahili
Tena wanajifanyaga wamekomoa kweli sasa wakijibiwa na kuulizwa wao wamajizunguushaaaa weeeee
@@ummuhkhalfan5542 umeona eeee yani hujakwenye midahalo kwamarefu namapana namiswali yao yakijinga wakijitapa Leo naenda kuwaumbua waislamu yakiuliza na yakajibiwa hujifanya hayaelewi na yakiulizwa yenyewe maswali hujifanya viziwi mikafiri mwana
@@samuelcn9253 Masha'Allah kama ilivyo shule somo hilo hilo akija mwalim huyu humuelew na huyu unamuelewa sana ndo hivyo hivyo ktk dini umpate mueleweshan na mdadavuaji tatizo la mazinge hafundishi yeye anajibu swali tu vipi ushasilim ndugu yangu kabla malakul maut hajakupitia
@@samuelcn9253 Kuna mhadhara wa mitume wa zamani walikuwa dini gani ndo nafatilia wanaonyesha channel mbalimbali
Usiwatukane wenzio kenge we
Allah akupe nguvu zakuwashinda makafiri waongoke njia
Mazinge kiboko yenu wakiristo
Allahu Akibaru
Mash'Allah
Mashalah mfundisheeee huyo hajui
I hate the way mazinge anakuwa so rude anaongelesha mwenzake anampeleka kama mtoto 😢😢😢hatujaambiwa tufunze dini kwa njia hii, lazima tukuwe Wapole na hikma sio kwa design hii sheikh maizinge😢😢😢
Wakristo wajanja sana na waongo usiwache waongo waonge
Thanks
Ni vizuri mtu akiuliza kwa utulivu basi mnamjibu kwa Busara sio ugomvi uislam ni Salaam hata tukamilishe Uislam wetu kwa usalama
Doh unanfurahisha sana mazinge
ety akili imeingiwa na mafut ya taaaaa
Kutahiri katika kitabu kitakativu kina maana yake kinyume na njinzi Mazinge anavyo fikiri.Mazinge anafikiria kibinadamu tu.
Mbona wasilamu hawana malaika au roho mtakativu ya kuwaongoza but wanaamini marehemu Muhammad SAW.
Acha ujinga
Huyu pastor kakurupuka akujui shekh mazinge huyo kwenye sura yake kashindwa
Sikuja kuitengua torati bali kuitimiliza 😲😳 huyu Odada aitwe Okaka 🇸🇿🇹🇿
Takbiiiir
Mazinge kiboko
Mie shekh mazinge nakuombea duwa tu basi
Torati Ndio Ndio Kitabu Anacho idai Mazingira Wewe Unasimamia Kitu hukijui , Wewe umedai kolaani imeteremshwa Maneno Hayo kaongea Mtume Torati Ni Musa kaongea Kupitia maongezi Na Mungu Sasa Wewe unachoamini Niujumbe alipokea muhamadi unavuruga Wenzio
mhadhara mzuri
Mashaallah
Wewe ndio mjinga acha kubabaika onyesha injili ww
Ww kalale tuh mkafiri
Mueleweshe Shekhe wetu
mda wote nimekaa natazama sjaona ata mara moja pastor katoa andiko ata moja
😂😂lazima ubabaike 2 odada ukirist cio din jmniiiiiiii
M,a mazinge
hoyee 😂😂😂 nmecheka ety maneno ya watu ubwee watumia mdomo mazinge kudanganya watu sii msaafu au vitabu vinene bro , Mbona matusi sasa , muhathara wa mabavu mbona kumpokonya kipaza 😆 sauti # kama wee mwanaume # kafiri hio ni upuzi
Wote wasamehewe bure
@@thamanihalisi1858 😂😂😂
Aneona mazinge kwamba hana hekima alake hapo.
Huyu pastor anaitwa odada au dada😀😀😀
Huyu mwamba noma
Waggum sema mazinge kayatimba
Aisee mazinge hatari nakukubali Kwa hoja zako
😂 subhanallah 🤣 ALLAHu swwamaad ❤
Subhanallhaaa
Hakuna pasta apo huyonni muislamu mwenzako ...akili ndogo sana....
Mazinge hajui kujibu maswali.
Takbiir allahu akbar
Mazinge nimwalim wa walim
Limeshidwa majibu ilokafiti linababaisha ss kwann yy kashindwa kutoa andiko baibol nimkusamyiko wavitabu?? Lisikuumize kichwahilo mazinge linakimbia swali kwasababu halinajibu kafiri iloooo
Wewe jamila umeonaje
Mazinge wapeleke darasani hao
Duuh kumbe odada zunga😂😂😂😂
allah a2pe mwisho mwema
Haaaah..Huyo mazinge anamtafakari Mungu kibinadamu namnahiyo hakika anawapoteza..MUNGU awarehemu.
Wewe ndo unamtafakari mungu kibinadumu unasema kaja kapigwa kauliwa
Na MUNGU akupe neema ya kuelewa kwanini Kupigwa na kufa kwa Yesu.La sivyo waganga watakulizia kuku ndugu.
Na bado nasema MUNGU u katika roho hayo wanayojadiri hapo katka Ufalme wa MUNGU ni kituko.Musipotezwe fungekeni akiri hizo.Kama mnasoma quran yale maneno ya Mungu yatafakarini kiupana katka roho na co kiuprofesa mnapotea.
Na nyie wakristo mliposema mungu wenu yesu kafa,kasulubiwa,huo sio kuongelea mungu kibinadamu? Mazinge hajamfananisha Mungu na yeyote au chochote maanake anaelewa maafa ya kufanya hivyo. Mwislamu yeyote hata awe mwenda wazimu huwezi kamwe kumlinganisha Allah na yeyote,hayo ni mambo ya wakristo wasiomjua Mungu wao, wanafiki na makafiri nyie wakristo
@@sadyrajabu9318 kabisa Hawa wakristo hawajiwlewi
Watakuwelewa2 komando wetu lazma watasalut ww ndo kiboko ya o
Mazige huna jipmy
Waooo maashaallahh mwenyez mungu akulinde
@@issackkachega8392 amina ishalla naww piya
John 6-45
😂😂😂😂Mkono WA sweta mazinge
😂😂😂😂😂😂
Allah akupe umri mrefu Aamin
Wewe mazinge jibu swali acha kuzunguka mbuyu kwa maneno ya kejeli
Huyo hana lolote, sheikh Mazinge unapoteza mda
Hana hoja yyt upumbav m2pu
Ee ukirsto sio din jmn ...
Mazinge Ni Muongo , Vitabu corani Inadai Kitabu Cha Mungu Nani Kakuletea Ni Muhadi Muhadi Alikuwa Nani ? Nimtu na Yeye Ndio alisema kaongea na Mungu ,
Watatairiwa wapi wakristo wote magozi vifumbu virefu
Hahahaa kweli,Paulo mwanzilishi wa ukristo hakutahiriwa,wakristo watatahiriwa vipi?
Pasta wacha uongo...umemuota shuzniger..waenda toa uongo kanisani
Hi
Mwanzo 17-24 kutahiriwa
Coroani ni maneno ya nani
Mdahalo ni mzuri na ni Darasa zuri.
huyu jamaa anajua mpk mazinge kalazimisha mada nyingine, amekosa mada iwe nyingine! toa andiko acha kuzunguka!
Mazinge hanajipya kazi kupotosha tu subilia kuingia (Ufunuo20:10
Jipya analo mchungaji wako anaejua ukweli af kauficha kwa kutafuta ulaji na hata kama hajui bac wa juu yake anaujua
Taqbireeee