MAZINGE AMUUMBUA VIBAYA SANA PASTA ODADA KATIKA MASWALI NA MAJIBU JIJINI MWANZA 2004 MWAKA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 516

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 3 lety +18

    Mashallah tabarak Rahman sheikh mazinge mungu akuzidishie ilmi yarab ameen 🥰🥰🥰🥰🇴🇲👌

  • @rawchah9920
    @rawchah9920 Před 3 lety +8

    allh akujaalie maisha marefu pro mazinge kaka

  • @mwitaproduction5380
    @mwitaproduction5380 Před 3 lety +11

    Mungu akupe umri mrefu uzidi kuisambaza dini ya Allah pia ushinde changamoto zitakazo kukabil katika kazi nzito ya Allah

  • @maherzain615
    @maherzain615 Před 3 lety +28

    Allah akupe umri mrefu na afya. sheikh wetu mazinge.wakristo yataka mumshukuru sana mazinge ana hamu yakuwaokoa na moto

    • @henryshiyo5374
      @henryshiyo5374 Před 3 lety

      Mnamdihaki mungu kipuzi tu hapa mnatoa tafusiri zakibinadamu tena za ulimwengu huu hakika moto upo karbu yenu yalio alioandikwa ni mafumbo hivyo ya paswa kufumbuliwa kwa hekima si kushindana kama mpira wa miguu

    • @ellykiupa3696
      @ellykiupa3696 Před 3 lety

      @@henryshiyo5374 wewe hujielewi pole sana

    • @henryshiyo5374
      @henryshiyo5374 Před 3 lety

      @@ellykiupa3696 siku zote nyanyi haoni kundule ukweli hauna tabia ya kukubalika mapema hivyo sasa utaona sijielewi kwasababu tu ulishalishwa ya kipuziiii

    • @badruhamisi7289
      @badruhamisi7289 Před 2 lety

      @@henryshiyo5374

    • @badruhamisi7289
      @badruhamisi7289 Před 2 lety

      @@henryshiyo5374 *p*
      *pp***

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před 3 lety +9

    Mashallah professor Mazinge DD Allah akuweke. 😍

  • @raziaidd2392
    @raziaidd2392 Před 3 lety +5

    Ma shaa Allah sheikhe mazinge Allah awalipe kila la kheir

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 Před 3 lety +13

    Anord wa mihadhara Ni mazinge maana kwenye anga zake mtu Haruki😀😀😀😀 mazinge na Jopo loote la waisilamu mwenyezimungu Awaweke kwa usalama na Amani Duniani na Akhera 🙏

  • @shakila3982
    @shakila3982 Před 3 lety +7

    Yaani kwa Mazinge huruki, alafu mwenye kipaza sauti kanimaliza, yaani akiambiwa achukue mike, ni kama radi chwa chwa mike inachukuliwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 Před 3 lety +9

    MashaAllah, sheikh mazinge na wenzio. Allah awalipe kila la kheri

  • @suleimanabdull1958
    @suleimanabdull1958 Před 3 lety +9

    Ahsante Swaim this is Mazinge classic ninayo lkni kwenye video cassette Leo nimefurahi. Thanks.

  • @ashourarashid289
    @ashourarashid289 Před 3 lety +4

    Uislam ndio dini ya kweli allah atupe mwisho mwema

  • @XhinunaHumoud
    @XhinunaHumoud Před měsícem

    Mashaallah hongera sana mazinge

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid7475 Před rokem

    Maa Shaa Allaah
    Alhamdulillah
    Kiboko yao Sheikh p

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 Před 2 lety +4

    Mazinge unatisha baba Allah azidi kukufunilia hingera sana big up Ma shaa Allah🙏

  • @neemainabikorwa5570
    @neemainabikorwa5570 Před 3 lety +3

    Cheikh Mazinge na muomba Allah akupe umri mrefu wenye kheri na bakara, na wa islam wote .

  • @barkyabdallahsuleiman7069

    Mazinge may Allah guide you mashaallah

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Před 3 lety +10

    Pro. Mazinge mpaka Sasa duniani basi Allah sw kakupa kipaji cha pekee. Maana huna stori 😂. Mtu akijamba tu unatoa andiko😂. Sichoki kukusikiliza tokea enzi hizo

  • @baaliyanuun416
    @baaliyanuun416 Před 3 lety +52

    Kiboko ya wakiristo komando wa uislam prof MAZINGE 🤣🤣🤣

    • @mangeraalbert7982
      @mangeraalbert7982 Před 3 lety +1

      Amri wetu

    • @farhatislam6550
      @farhatislam6550 Před 3 lety +4

      Nampenda kwA ajili ya allah..yaarab mlinde kwA kila shari.

    • @joezeno8
      @joezeno8 Před 3 lety

      Hana lolote

    • @joezeno8
      @joezeno8 Před 3 lety

      Mazinge hana lolote

    • @farhatislam6550
      @farhatislam6550 Před 3 lety

      @@joezeno8 Sasa Kama wewe jiná pekee linaitwa Joe zero umebakisha nini mwenye sufuri 😆😆😆

  • @ahmedotuman109
    @ahmedotuman109 Před 3 lety +4

    Mazinge Allah akujaalie pumz ili uzd kufubdsha makafir hawa

  • @jumjumsaid3552
    @jumjumsaid3552 Před 3 lety +5

    Huyu professor kweli

  • @user-bu9wq4lp3f
    @user-bu9wq4lp3f Před 3 lety +3

    Wakristo ingieni katika dini ya haki ukapate raha za milele

    • @kichenjekichenje2072
      @kichenjekichenje2072 Před 3 lety

      Dini iloyotolewa kwa mtu acyejua kusoma wala kuandika!Alitokewa na mtu akamwambia soma! Mohammed ,yeye alijibu nini?Huoni kama pale ndio mwanzo wa kupotoka kwenu,mana alimezeshwa maneno ambayo hakuyajua hata tafcr yke.Na alipotoka pale alikuwa na mapepo,sasa jiulizeni mapepo yanatoka kwa nani?

    • @user-bu9wq4lp3f
      @user-bu9wq4lp3f Před 2 lety

      @@kichenjekichenje2072 huyo yesu nae alisomea wapi jamani

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Před 3 lety +3

    Allah atawalipa nyinyi wote mnatetea Dini ya Allah

  • @user-ty1fq7sw4l
    @user-ty1fq7sw4l Před 10 měsíci

    Anafurahsha can maznge

  • @falidiamiiamii-jz5pf
    @falidiamiiamii-jz5pf Před měsícem

    Huy sh taungia ktamb kibok mpak leo sh mazng allah akuzdishie

  • @SodanaMrisho-hu4by
    @SodanaMrisho-hu4by Před 6 měsíci

    Mungu akujaze kheri

  • @rajabomar4505
    @rajabomar4505 Před 3 lety +5

    Pasta odada ana hasira kweli naona amehamaki kweli hahahahahahahah

  • @edikiumbe7391
    @edikiumbe7391 Před 2 lety

    USTADH MAZINGE TUNAOMBA KABLA KUISHA HUU MWAKA WA 2022 UJE UJE UFANYE MDAHALO ZANZINBAR WAZANZIBARI YANI TUNAKUPENDA SANA NA TUNATAMANI HII MADA IFANYIKE KWETU ZANZIBAR INSHA- ALLAH

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 Před 3 lety +4

    Mazinge 😀 Allah akupe umri mrefu

  • @victornzai93
    @victornzai93 Před 3 měsíci

    17:10-14, reading: 'And God spoke to Abraham saying: … This is my covenant which you shall keep between me and you and thy seed after you - every male child among you shall be circumcised. '

  • @msellemseif3102
    @msellemseif3102 Před 2 lety

    Professional.Habib Mazinge

  • @costazia6507
    @costazia6507 Před 3 lety

    Pastor big up sana mtumishi
    MUNGU wetu akubariki sana mtumishi unaongea ukweli
    Ila ata biblia inasema wengine wanaambiwa kwa mafumbo ili ata wakiambiwa wasielewe
    Pambana na kazi ya bwana wetu yesu kristo thawabu yako ipo 🙏🙏

    • @ahmedshaffiq8888
      @ahmedshaffiq8888 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ww kalale

    • @khatibramadhan8740
      @khatibramadhan8740 Před 2 lety

      Polee

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 10 měsíci +1

    mazinge umefeli muhamadi ajatairiwa toka akiwa hause boy muhadi mpaka kumpata mjane adija

  • @calvinmangwea9249
    @calvinmangwea9249 Před 3 lety

    Shekh maulana

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Před 2 lety

    Quoran kwenye vicwa vyenu .....bible kwenye vicwa vyenu Allah awaingizeni peponi bila isabu mnaifanya kazi kubwa

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 Před 3 lety +2

    ALLAH BARIIK

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 Před 3 lety +3

    Mazinge Allah will protect you, amin

    • @aminamohammed5373
      @aminamohammed5373 Před 3 lety

      Profesa mazinge aallaha akuweke akupe afya kila penye uzito allaha akufanyie wepes inshaallah tunakupenda ❤

  • @gideonmwangi3535
    @gideonmwangi3535 Před 8 měsíci

    Mazinge kazi yake nikurukaru bado anajidifedi na bibilia kwakiristo sitoki

  • @KambaleShabani
    @KambaleShabani Před rokem

    A s l m a l km.nashukuru.kwa.mihadharz

  • @sumaonemaloko1815
    @sumaonemaloko1815 Před 3 lety +1

    Hatari sana Mazinge mungu ampe maisha marefu na ya baraka🙏🤝🤲🏼🤲

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo Před 5 měsíci

    nachokipenda Kwa waislamu ukiwauliza swali la kimaandiko kama kunaandiko atakujibu Kwa kujupa haya lakini wakristo unamuuliza we tarehe 25 mwezi wa kumi na mbili ni suku ya kuzaliwa yesu anaacha kujibu kama aya ipo au haipo ye anaanza kuangaika na vitu ambavyo havipo

  • @abdallahbinzayd3464
    @abdallahbinzayd3464 Před 3 lety +1

    Takbiriii

  • @suleimansuleiman1127
    @suleimansuleiman1127 Před 3 lety +2

    Usihame kwanza Mike 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @latifalatifa2838
    @latifalatifa2838 Před 2 lety

    Nakupenda sana mazingi

  • @wazoboy1319
    @wazoboy1319 Před 2 lety

    Mazinge ni mfano wa kuigwa ,,ni mtu ambaye amejariwa ,,kipaji maarum kwajiri ya kuitangaza dini kwa makafiri ,,mora ampe maisha marefu azidi kuipigania dini

  • @jamilaalfarsi7712
    @jamilaalfarsi7712 Před 3 lety +6

    Yanimikafiri mm naishangaa mn yanakuja kuuliza maswali nahayajajipanga au yanafkiri yenyewe hatoulizwa? Yani yakiulizwa maswali yenyewe hujubabaisha kanakwamba hayaelewi kiswahili

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 Před 3 lety

      Tena wanajifanyaga wamekomoa kweli sasa wakijibiwa na kuulizwa wao wamajizunguushaaaa weeeee

    • @jamilaalfarsi7712
      @jamilaalfarsi7712 Před 3 lety

      @@ummuhkhalfan5542 umeona eeee yani hujakwenye midahalo kwamarefu namapana namiswali yao yakijinga wakijitapa Leo naenda kuwaumbua waislamu yakiuliza na yakajibiwa hujifanya hayaelewi na yakiulizwa yenyewe maswali hujifanya viziwi mikafiri mwana

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 Před 3 lety

      @@samuelcn9253 Masha'Allah kama ilivyo shule somo hilo hilo akija mwalim huyu humuelew na huyu unamuelewa sana ndo hivyo hivyo ktk dini umpate mueleweshan na mdadavuaji tatizo la mazinge hafundishi yeye anajibu swali tu vipi ushasilim ndugu yangu kabla malakul maut hajakupitia

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 Před 3 lety

      @@samuelcn9253 Kuna mhadhara wa mitume wa zamani walikuwa dini gani ndo nafatilia wanaonyesha channel mbalimbali

    • @omarykseko9876
      @omarykseko9876 Před 3 lety

      Usiwatukane wenzio kenge we

  • @khatibjuma9455
    @khatibjuma9455 Před 3 lety

    Allah akupe nguvu zakuwashinda makafiri waongoke njia

  • @hajiahmad2328
    @hajiahmad2328 Před 3 lety +2

    Mazinge kiboko yenu wakiristo

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z Před 3 lety +3

    Allahu Akibaru

  • @bmstatic8150
    @bmstatic8150 Před 3 lety +1

    Mash'Allah

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842

    Mashalah mfundisheeee huyo hajui

  • @ummsalyass1096
    @ummsalyass1096 Před 2 lety +1

    I hate the way mazinge anakuwa so rude anaongelesha mwenzake anampeleka kama mtoto 😢😢😢hatujaambiwa tufunze dini kwa njia hii, lazima tukuwe Wapole na hikma sio kwa design hii sheikh maizinge😢😢😢

  • @abdullahyusufutabu3521

    Thanks

  • @user-im2db1nc9b
    @user-im2db1nc9b Před 3 lety

    Ni vizuri mtu akiuliza kwa utulivu basi mnamjibu kwa Busara sio ugomvi uislam ni Salaam hata tukamilishe Uislam wetu kwa usalama

  • @mussaluhizo5693
    @mussaluhizo5693 Před rokem

    Doh unanfurahisha sana mazinge

  • @mswabumhogo1334
    @mswabumhogo1334 Před 3 lety +1

    ety akili imeingiwa na mafut ya taaaaa

  • @lawrenceomwenga7289
    @lawrenceomwenga7289 Před 3 lety +2

    Kutahiri katika kitabu kitakativu kina maana yake kinyume na njinzi Mazinge anavyo fikiri.Mazinge anafikiria kibinadamu tu.
    Mbona wasilamu hawana malaika au roho mtakativu ya kuwaongoza but wanaamini marehemu Muhammad SAW.

  • @salmamwanyiro8348
    @salmamwanyiro8348 Před 3 lety +2

    Huyu pastor kakurupuka akujui shekh mazinge huyo kwenye sura yake kashindwa

  • @thedriver.michael.3975

    Sikuja kuitengua torati bali kuitimiliza 😲😳 huyu Odada aitwe Okaka 🇸🇿🇹🇿

  • @thabitimzungu8381
    @thabitimzungu8381 Před 3 lety +1

    Takbiiiir

  • @zaitunimrisho6377
    @zaitunimrisho6377 Před 3 lety +1

    Mazinge kiboko

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 2 lety

    Mie shekh mazinge nakuombea duwa tu basi

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA Před 11 měsíci

    Torati Ndio Ndio Kitabu Anacho idai Mazingira Wewe Unasimamia Kitu hukijui , Wewe umedai kolaani imeteremshwa Maneno Hayo kaongea Mtume Torati Ni Musa kaongea Kupitia maongezi Na Mungu Sasa Wewe unachoamini Niujumbe alipokea muhamadi unavuruga Wenzio

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Před 11 měsíci

    mhadhara mzuri

  • @yahyasalum5634
    @yahyasalum5634 Před 3 lety +1

    Mashaallah

  • @user-bu9wq4lp3f
    @user-bu9wq4lp3f Před 3 lety +3

    Wewe ndio mjinga acha kubabaika onyesha injili ww

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842

    Mueleweshe Shekhe wetu

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 Před 3 lety +5

    mda wote nimekaa natazama sjaona ata mara moja pastor katoa andiko ata moja

  • @marimyussuf3374
    @marimyussuf3374 Před 3 lety

    😂😂lazima ubabaike 2 odada ukirist cio din jmniiiiiiii

  • @Jabaman207-ue6sk
    @Jabaman207-ue6sk Před 4 měsíci

    M,a mazinge

  • @yusufjoseph6094
    @yusufjoseph6094 Před 3 lety +2

    hoyee 😂😂😂 nmecheka ety maneno ya watu ubwee watumia mdomo mazinge kudanganya watu sii msaafu au vitabu vinene bro , Mbona matusi sasa , muhathara wa mabavu mbona kumpokonya kipaza 😆 sauti # kama wee mwanaume # kafiri hio ni upuzi

  • @mathayopapiasi8872
    @mathayopapiasi8872 Před 2 lety +1

    Aneona mazinge kwamba hana hekima alake hapo.

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 Před 2 lety

    Huyu pastor anaitwa odada au dada😀😀😀

  • @abdallahsultan8528
    @abdallahsultan8528 Před rokem

    Huyu mwamba noma

  • @user-ty1fq7sw4l
    @user-ty1fq7sw4l Před 10 měsíci

    Waggum sema mazinge kayatimba

  • @RtnhunterRenixy-ej3zp
    @RtnhunterRenixy-ej3zp Před 10 měsíci

    Aisee mazinge hatari nakukubali Kwa hoja zako

  • @MakataWaMakatani
    @MakataWaMakatani Před 5 měsíci

    😂 subhanallah 🤣 ALLAHu swwamaad ❤

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 Před 3 lety +2

    Subhanallhaaa

  • @peterpaul6665
    @peterpaul6665 Před 3 lety +1

    Hakuna pasta apo huyonni muislamu mwenzako ...akili ndogo sana....

  • @fatahhugan8978
    @fatahhugan8978 Před 3 lety

    Takbiir allahu akbar

  • @nassoroseif8576
    @nassoroseif8576 Před 3 lety +3

    Mazinge nimwalim wa walim

  • @jamilaalfarsi7712
    @jamilaalfarsi7712 Před 3 lety +4

    Limeshidwa majibu ilokafiti linababaisha ss kwann yy kashindwa kutoa andiko baibol nimkusamyiko wavitabu?? Lisikuumize kichwahilo mazinge linakimbia swali kwasababu halinajibu kafiri iloooo

  • @faridalitela8730
    @faridalitela8730 Před 9 měsíci

    Mazinge wapeleke darasani hao

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Před 8 měsíci

    Duuh kumbe odada zunga😂😂😂😂

  • @omarychipeta3148
    @omarychipeta3148 Před rokem

    allah a2pe mwisho mwema

  • @dcharles4647
    @dcharles4647 Před 3 lety +1

    Haaaah..Huyo mazinge anamtafakari Mungu kibinadamu namnahiyo hakika anawapoteza..MUNGU awarehemu.

    • @sadyrajabu9318
      @sadyrajabu9318 Před 3 lety +1

      Wewe ndo unamtafakari mungu kibinadumu unasema kaja kapigwa kauliwa

    • @dcharles4647
      @dcharles4647 Před 3 lety

      Na MUNGU akupe neema ya kuelewa kwanini Kupigwa na kufa kwa Yesu.La sivyo waganga watakulizia kuku ndugu.
      Na bado nasema MUNGU u katika roho hayo wanayojadiri hapo katka Ufalme wa MUNGU ni kituko.Musipotezwe fungekeni akiri hizo.Kama mnasoma quran yale maneno ya Mungu yatafakarini kiupana katka roho na co kiuprofesa mnapotea.

    • @lillykhalayi80
      @lillykhalayi80 Před 3 lety

      Na nyie wakristo mliposema mungu wenu yesu kafa,kasulubiwa,huo sio kuongelea mungu kibinadamu? Mazinge hajamfananisha Mungu na yeyote au chochote maanake anaelewa maafa ya kufanya hivyo. Mwislamu yeyote hata awe mwenda wazimu huwezi kamwe kumlinganisha Allah na yeyote,hayo ni mambo ya wakristo wasiomjua Mungu wao, wanafiki na makafiri nyie wakristo

    • @lillykhalayi80
      @lillykhalayi80 Před 3 lety

      @@sadyrajabu9318 kabisa Hawa wakristo hawajiwlewi

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 Před 3 lety +4

    Watakuwelewa2 komando wetu lazma watasalut ww ndo kiboko ya o

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Před rokem

    John 6-45

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 3 lety +4

    😂😂😂😂Mkono WA sweta mazinge

  • @kinyanyaonline3658
    @kinyanyaonline3658 Před 3 lety +2

    Allah akupe umri mrefu Aamin

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 Před 3 lety

    Wewe mazinge jibu swali acha kuzunguka mbuyu kwa maneno ya kejeli

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 Před 3 lety +1

    Huyo hana lolote, sheikh Mazinge unapoteza mda

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA Před 11 měsíci

    Mazinge Ni Muongo , Vitabu corani Inadai Kitabu Cha Mungu Nani Kakuletea Ni Muhadi Muhadi Alikuwa Nani ? Nimtu na Yeye Ndio alisema kaongea na Mungu ,

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 Před 3 lety +1

    Watatairiwa wapi wakristo wote magozi vifumbu virefu

    • @lillykhalayi80
      @lillykhalayi80 Před 3 lety

      Hahahaa kweli,Paulo mwanzilishi wa ukristo hakutahiriwa,wakristo watatahiriwa vipi?

  • @sabrinakhamis7731
    @sabrinakhamis7731 Před 3 lety +1

    Pasta wacha uongo...umemuota shuzniger..waenda toa uongo kanisani

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Před rokem

    Mwanzo 17-24 kutahiriwa

  • @MwenbapoleKambili
    @MwenbapoleKambili Před 5 měsíci

    Coroani ni maneno ya nani

  • @kulthumhaji6928
    @kulthumhaji6928 Před 3 lety

    Mdahalo ni mzuri na ni Darasa zuri.

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 3 lety

    huyu jamaa anajua mpk mazinge kalazimisha mada nyingine, amekosa mada iwe nyingine! toa andiko acha kuzunguka!

  • @mathayopapiasi8872
    @mathayopapiasi8872 Před 3 lety +3

    Mazinge hanajipya kazi kupotosha tu subilia kuingia (Ufunuo20:10

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 Před 3 lety

      Jipya analo mchungaji wako anaejua ukweli af kauficha kwa kutafuta ulaji na hata kama hajui bac wa juu yake anaujua

  • @mickmonster9140
    @mickmonster9140 Před 3 lety

    Taqbireeee