Historia ya FALLY IPUPA /Tuhuma za Kuua Wazazi wake/Mapenzi ya Jinsia moja (USHOGA)

Sdílet
Vložit

Komentáře • 142

  • @smithlegrande
    @smithlegrande Před 3 lety +3

    El Rey Mago,Le King Fally Ipupa aigle🦅

  • @lumierekalonji6613
    @lumierekalonji6613 Před 3 lety +2

    Mon Star préfère fière d'être congolais, tu fait la fierté de notre pays toujours lokolo

    • @ezrabaker2617
      @ezrabaker2617 Před 3 lety

      i know Im kinda randomly asking but do anybody know a good site to stream new tv shows online?

  • @violadominick1944
    @violadominick1944 Před 3 lety +10

    Nampenda sn fally anajua napenda wimbo wake wa mon amour booonge la rhumba big up kwake

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Před 3 lety +2

    Ahsante sana! Nimekupata vizuri.

  • @vctor6768
    @vctor6768 Před 6 dny

    Msenge tuu huyu fally ipupa

  • @guymonya6323
    @guymonya6323 Před 3 lety +5

    Les warriors, manifestez-vous !

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 Před 3 lety +4

    Da mtu bila woga anasema anampenda Sana mtu fulan kwa kuwa ni maarufu watakusaidia nn kesho yako Akhera ,,mpende mtume Muhammad SAW, Issa bin Mariam ,Mussa aleh sallaam mwisho wa siku utakuwa nao kesho Akhera ,,umarufu wa binadam unaishia dunian

    • @florahLomwadi
      @florahLomwadi Před 4 měsíci

      bibilia inasema tupendan kwahiyo sio dhambi kumpend mtu

  • @joelmwasa770
    @joelmwasa770 Před 3 lety +21

    mama yake aliondoka dunia bado angali mdongo sana alikuwa bando anja anza kuimba iyo historia ni ongo mutupu

  • @danielbrazius3469
    @danielbrazius3469 Před 3 lety

    Asante namkubali sana

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 Před 3 lety

    Mungu akubariki sana kwa kuwasaidia yatima mungu akupe umri

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 Před 3 lety +2

    Inalilillah wa inalilillah rajuuhn ni wale wale ,,Unawajua mapapa ww,, Allah atunusuru tuwe na mwisho mwema ,,tuletee historia za waja wema mbona wako wengi tu ,,wanamziki watakusaidia nn kesho Akhera ?

  • @lectureafrica714
    @lectureafrica714 Před rokem

    Fally is master

  • @josuebaremba3216
    @josuebaremba3216 Před 3 lety

    El -pub la fierté congolaise 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @petitkisinini3341
    @petitkisinini3341 Před 2 lety

    DROIT CHEMIN FALLY hakusaidiwa na Koffi na aliitunga akiwa na group yake F'Victeam na alomsaidia kufankisha ni papa TCHATCHO MBALA KASHOGY hata Tabou fatou Top modele aliwek mkono wake piya kusaidiya hii album

  • @sengasule9759
    @sengasule9759 Před 3 lety +1

    Tunakubali kabisa

  • @khadijakayuzi8471
    @khadijakayuzi8471 Před 3 lety +1

    Nimekupata vizuri mtangazaji

  • @motivational2556
    @motivational2556 Před 3 lety +3

    Fally ipupa is the king and they call him Michael Jackson of Africa and I hope people who listen to this never compare him with diamond,David,they call him king 👑

  • @patrickbob1986
    @patrickbob1986 Před 3 lety +1

    Kazi na Dawa

  • @MabrukiNgereza-gj7mz
    @MabrukiNgereza-gj7mz Před měsícem

    Bonjour 👋. Donner des sacrifices humaines pour devenir célèbre, c’est triste

  • @fareastmovement9604
    @fareastmovement9604 Před 3 lety

    dzevopresheee

  • @priscajustine2183
    @priscajustine2183 Před 3 lety +1

    Huyu kaka namupenda ningemupa buree

  • @mosesnyirenda6359
    @mosesnyirenda6359 Před 3 lety +1

    Dola million hamsin haiwezi kuwa sawa na trillion kadhaa!! Hiyo Ni sawa billion 100+ kwa hela ya kitanzania.

  • @DaisyKiprop25
    @DaisyKiprop25 Před 3 lety +1

    His name is Fally N'simba Ipupa

  • @kasealutajr6492
    @kasealutajr6492 Před 3 lety +5

    Yaani najua sisi wacongo tuna wongo lakini watanzania mtazidi. Mutu hauna full information lakini unatunga tu

    • @user-pi6od6rs9v
      @user-pi6od6rs9v Před 3 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂msamehe tu

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před 2 měsíci

      Kweli hawafanyi utafiti wa kitu ,watu wanatumia pesa kusafiri mpaka kijijini kutafuta historia ya mtu sio kufuata kwa watu

    • @StelaJohn-nj5yf
      @StelaJohn-nj5yf Před 17 dny

      huyu sio Mbongo sikiliza anapotamka matamshi yake!!!

    • @vctor6768
      @vctor6768 Před 6 dny

      😂😂😂😂

    • @vctor6768
      @vctor6768 Před 6 dny

      Yani haya yote sikweli

  • @obertinatibamanya415
    @obertinatibamanya415 Před 3 lety

    Napenda anavyokata uno

  • @deliahipupa7111
    @deliahipupa7111 Před 3 lety +3

    NSIMBA! Nsimbu aza nani?

  • @jeankotongolukozi315
    @jeankotongolukozi315 Před 3 lety

    Waongo sana

  • @severinnkanza8392
    @severinnkanza8392 Před 3 lety +2

    Faustin jina la marehemu baba yake na mama yake Elizabeth naye marehemu , #Ipupa #Nsimba #Fally

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 3 lety

    Mtangazaji wewe mwehu sana mama yke alikufa akiwa bado ajanza kuimba

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Před 3 lety

    😂😂😂 ktisha jmaaa anaimba Sana

  • @josuebaremba3216
    @josuebaremba3216 Před 3 lety +1

    Fally Ipupa N'simba njo jina ile na wazazi wake walishaka kufa wote

  • @laurentjozee8777
    @laurentjozee8777 Před 3 lety +5

    Hapo kwenye dola milion 50 kuwa tililion hapana ni bilion Kama 💯 hivi

  • @geremiscrame2516
    @geremiscrame2516 Před 3 lety +7

    Acha zako wewe, Droite Chemine ilitolewa na Fally baada ya kuondoka QL. Ndio maana Koffi akatoa dis track ya Diabolos. Fanya utafiti kwanza, siku hizi kuna mtandao

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  Před 3 lety

      Tunashkuru kwa ushauri, lakin sisi hatujatoa mtandaon ila tumeish na fally kwa miaka 7

  • @uzuriwabure6204
    @uzuriwabure6204 Před 3 lety +1

    Binaadam nishida kwakweli kwa kukuza mambo

  • @jermanminsori663
    @jermanminsori663 Před 6 měsíci

    kwani shoga hazai?

  • @mdathirukajumulo9181
    @mdathirukajumulo9181 Před 4 lety +2

    Story nzuri

  • @mgawesaid5137
    @mgawesaid5137 Před 3 lety +1

    Suzuki hajawai kuwa Q academia,waliokuwa kule mi kina modogo

  • @mcsailas8328
    @mcsailas8328 Před 3 lety +1

    🇳🇬🇳🇬🇳🇬

  • @mwanahawabakari718
    @mwanahawabakari718 Před 2 lety

    Labda ndio mashart ya fremasons.nilazima ue shoga

  • @Allan_O._Muthiga
    @Allan_O._Muthiga Před 3 lety +1

    Completely misleading headline. I should report it.

  • @francinaeofficial4370
    @francinaeofficial4370 Před 3 lety +1

    Yani ww Kaka nani kakudanganya na iyo historia ya uongo😂😂😂😂 wazazi wake wote wamshaga fariki zamani sana .

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  Před 3 lety

      Ndivyo nlivyokuwa najua toka mwanzo kumbe nlikuwa naelewa tofaut

  • @jeremiahmsemwa8323
    @jeremiahmsemwa8323 Před 3 lety +1

    Tilioni na bilioni ni tatizo, fanya tena calculation

  • @fisjaykitamuliko1183
    @fisjaykitamuliko1183 Před 3 lety

    Jama muongo unadanganya wa tz hufahamu atachochote kuhusu ipupa

  • @adijaadija9923
    @adijaadija9923 Před 3 lety +1

    Nimtihani

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 Před 3 lety

    N' Simba sio N'simbu

  • @selfmanagementtv5138
    @selfmanagementtv5138 Před 3 lety +5

    Ushamba tu naomba wa kongo wote na nynyi ambao mna uzunika ebu tuishitaki chanel iyi kutangaza uongo ili iondolewe kabisa

  • @mcsailas8328
    @mcsailas8328 Před 3 lety

    Duuu

  • @guelordmuyenga8365
    @guelordmuyenga8365 Před 3 lety +7

    Rekebesha kuandika kwako kama aujui stori ya ukweli wacha kudanganya watu stupid

  • @mumberebinstone3601
    @mumberebinstone3601 Před 3 lety +3

    Ninge penda ni mukosoe commenter mwenzangu hapa jini hilo nikosa kabisa ,ikipenda kumukosowa mutangazaji tumia busara nahekima kwani huu nimtandao bwana tfl rekebisha asante sana

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  Před 3 lety

      Uko sahihi kaka lakin ni vizuru kuwapa watu nafasi waweze kusema kile wanachojisikia

    • @joelmwasa770
      @joelmwasa770 Před 3 lety

      mubere mama yake alifariki bado angali mdongo sana alikuwa anja imba watu wana pendanga kusema tu

  • @guelordmuyenga8365
    @guelordmuyenga8365 Před 3 lety +1

    Kkkkkk wadanya watu ivio sipoa

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 Před 3 lety

      Hujaitwa humu

    • @mkosolamasterjr230
      @mkosolamasterjr230 Před 3 lety

      Namkubali sana huyu jamaa hasa ngoma zake za bakandnja na original ,ila tatizo letu wabongo ni mtu akiwa na mafanikio hawachelewi kusema ni Freemason tuache unafiki.

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 Před 3 lety +1

    Umehadithia vyema.. lakin album ya droit chemen hakupewa pesa na koffi aitowe . Na ikumbukwe tu ni album ambayo koffi ilimuuma saana .

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  Před 3 lety

      Nashkuru kwa kuniongezea hlo

  • @mjm135
    @mjm135 Před 3 lety +1

    "attentat" yamaanisha "attack" si "jaribio" tafadhali

  • @benjoe3868
    @benjoe3868 Před 3 lety +1

    Eti nimeskia olivia alikua bibi ya nani?

  • @magisterialdj7551
    @magisterialdj7551 Před 3 lety

    Danganya wasiojuwa STORY ya fally ipupa, Akuna ulichosema cha KWELI hapo

  • @tresorviwe5655
    @tresorviwe5655 Před 3 lety

    la fierté congolais

    • @ndevundavo7798
      @ndevundavo7798 Před 3 lety

      Stop ndombolo don't let Rwanda take Congo because u guys are stupidddd

    • @abufauzan9417
      @abufauzan9417 Před 3 lety

      @@ndevundavo7798 wote baadhi yamaelezo wamepatia nabaadhi yamaelezo wamekosea nimiaka 25 nikiwanao mtaa mmoja witwao monflorie(monflori) Kinshasa ndipo anapoishi koffi na ndipo alipokuwa akiishi Fally kipindi akiwa ktk kundi lakoffi litwalo quartier latin (kartie laten)

  • @255kwetu8
    @255kwetu8 Před 3 lety

    Wekeni na picha mapimbi nyinyi

  • @thetriplesofbethlehem6095

    Fally Ipupa wamezaliwa watoto 14 kwenye familia yao mzee kwani research zenu mnazitowawapi?

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu Před 16 dny

    Uongo mbiguni mtakusikia wivu tu

  • @hadijashabani890
    @hadijashabani890 Před 3 lety

    Mkipewa nyie hizi kazi mnaweza kufanya naon mnamkosowa mtangazaji muwache aeleze anachokijuwa

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  Před 3 lety

      Nimekuelewa sana hadija

    • @kaisarimbisso7579
      @kaisarimbisso7579 Před 3 lety

      Hawezi kuachwa kupotosha umma. Kweli journalism ni profession inayochezewa kabisa

    • @freddiemwanyika3804
      @freddiemwanyika3804 Před 3 lety

      kama muongo aachwe?

    • @freddiemwanyika3804
      @freddiemwanyika3804 Před 3 lety

      hizi kazi wawaachie wenyew nafikiri basata isimamie hili na kuwapitisha kwa vigezo maalum.

    • @freddiemwanyika3804
      @freddiemwanyika3804 Před 3 lety

      hizi kazi wawaachie wenyew nafikiri basata isimamie hili na kuwapitisha kwa vigezo maalum.

  • @williammbasila2573
    @williammbasila2573 Před 3 lety +1

    Wala si story nzuri, au tuseme story nzuri ila haina mghani yaani msimuliaji.Kwani story huanza na kuzaliwa lini wapi wazazi ni wa kinanani baadaye mengine yanaendelea.

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  Před 3 lety

      Sawa tunashkuru kwa ushaur tutajirekebisha

  • @gegemocke8213
    @gegemocke8213 Před 3 lety +1

    nyinyi wote amu fahamu hakika habari za huyu mwana muziki!!!! Baba na mama yake Fally wame kufa katika sacrifice ya ki Free Macon!!

  • @christianmwashala276
    @christianmwashala276 Před 3 lety

    Yaaaaaaan watanzania ujuaji bhana ndo tumezid, w mtu unakosoa tu Tena kwa maneno mabaya duh, msiwavunje mioyo watu wanao jua vitu na kuona nivizur washeee nasis ambao atujui, sas nyie mwenzenu katoa nyie mnatoa povu sa mlitaka akae nayo Kama nyie, Kwa taarifa yenu mim kanisimlia nimesikiliza na nimemuelewa ko nyie Kama mnayenu mtakoma, brooo tuandalie na nyingine tena

  • @emanuelndembeka6959
    @emanuelndembeka6959 Před 3 lety +2

    Muongo wewe,Suzuki hakuwahi kuwa Quartin Latin Academia

    • @mjm135
      @mjm135 Před 3 lety

      wajielewa kweli wewe? Suzuki Luzubu alikuwepo ndo waanzilishi wa Quartier Latin! hujuwi historia ya mziki wa Rhumba

    • @ihanomadili
      @ihanomadili Před 3 lety

      Alikuwepo

  • @officialmariecongo8026
    @officialmariecongo8026 Před 3 lety +1

    Munahongelea wenzenu nayenu inawazidi anamke nawatoto 6 nawewe nishoga mbona hujihanike kuma wewe

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Před 3 lety +2

    Mapenzi ya jinsia moja ni uchawi kikongo huwa ni kama kafara yao

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa9887 Před 3 lety +5

    Wewe bwege kabisa unaongea upuhuzi, stop nonsense nani alikwambia Faly alitowa album yake yakwanza akiwa bado yuko QL? Hata kufanya utafiti unashindwa, danganya wajinga wenzako. Wasani gani: Koffi, Werrason, JB, Act.... kwa mziki wa congo alie kubali Artist wake atowe Album wakati bado yupo under management yako? Unajuwa kilicho tokea wakina: Feregola, Bil cliton, and Mlopwe. Kwa Werrason? Wewe bwege tuu unaongea vitu huyui and una post in social media, rubbish tumia akili achakutumia makamasi our generation uwezi leta upuhuzi kama huu

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  Před 3 lety

      Asante

    • @ruthugerard7679
      @ruthugerard7679 Před 3 lety +2

      😂😂😂 kaka sikwa povu hilo

    • @juliusjaliwa9887
      @juliusjaliwa9887 Před 3 lety +1

      @@ruthugerard7679 🤣🤣🤣 Kaka kunawatu wanashobokea social media hawajui zumun au maana ya media, ila mtu akishiba ugali dagaa basi hata kufikiria au kufanya utafiti wajambo mtu anapost na kuzungumuza ujinga tuu

    • @christianmwashala276
      @christianmwashala276 Před 3 lety +1

      Ningependa naww utuandalie stor hi af uirushe tupime wap ni wap

    • @christianmwashala276
      @christianmwashala276 Před 3 lety +3

      Ungerusha nawww yako tu ingependez Zaid, ila hi nimeielewa kasimlia vizr

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 Před 3 lety +1

    Ana miliki watoto ? Mjifunze hii kazi jinsi ya kuongea

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  Před 3 lety +1

      Sawa mkuu tutajirekebisha

    • @ismailkatala4792
      @ismailkatala4792 Před 3 lety +1

      Duh! Mbona mnakosoa Sana kwa vitu ambavyo hata haviathiri substance ya story, hebu tujikite kwenye mambo ya muhimu

  • @ezapesambili2130
    @ezapesambili2130 Před 3 lety

    Hivi vitu vinawatu wake rudii shule naona bado mchanga hufai kusikilizwa

    • @dannyelias382
      @dannyelias382 Před 3 lety +1

      Ukikosea ni rahisi kujifunza kuliko kuacha kabisa so nakushauri MPE ushauri ili azidi kufanya vizur

    • @abdallahmwinyi2106
      @abdallahmwinyi2106 Před 3 lety

      @@dannyelias382 kumshambulia sio sawa Jambo jema ni kusahihisha na kuongeza taarifa. Nakuunga mkono kiongozi

  • @steveohito3950
    @steveohito3950 Před 3 lety

    There is no need of seeking reviews by spreading lies. Haitakusaidia mwanangu. Cheap journalism is for idiots. So wacha Fally atuimbie. Kama hauridhishwi na maisha yake enda ukamwambie pekee yako.

  • @justinebitariho1129
    @justinebitariho1129 Před 3 lety

    FAKE STORY 😡

  • @kaisarimbisso7579
    @kaisarimbisso7579 Před 3 lety

    We jamaa muongo sana. Olivia mke wa 50¢? $50mil ni trillions za kitanzania? Droit chemin imetoka 2006? Fally's networth ni $50mil? Wazazi wake wako hai na wanaishi Kinshasa? Charles ni mojawapo ya majina ya Koffi Olomide? Na mengine mengi umedanganya. Aisee, unapoteza credibility kabisa

  • @shukridjibril6848
    @shukridjibril6848 Před 3 lety

    Duh toka weeee. It's not true. U don't fkn know anything about this guy. Stop roho mbaya wewe.

  • @Jesus_is_KING563
    @Jesus_is_KING563 Před rokem

    Wewe umbwa kabisa ,shoga ni wewe,tafuta pesa acha wivu,I love rhumba for free,Frontline ikiwa na Fally na Ferre ,the list is endless,have respect for people you don't know,stupid!

  • @petitkisinini3341
    @petitkisinini3341 Před 2 lety

    DROIT CHEMIN FALLY hakusaidiwa na Koffi na aliitunga akiwa na group yake F'Victeam na alomsaidia kufankisha ni papa TCHATCHO MBALA KASHOGY hata Tabou fatou Top modele aliwek mkono wake piya kusaidiya hii album