Naona historia ya wenge ungepata grade D. Na hakuna album ya surprise kapangala. Rapper walikuwa ni ekokota wunda na tutu kaludgi. Bill kalondji alikuwa ni wa akiba. Naona unapotosha kiasi
Kwa pentagon rapper ni wawili Tutu kaludgi na Robert Ekokota wunda Bill Clinton kalonji alikuwa rapper kwa band ya werrason wenge musica maison mère na siyo wenge musica bcbg 4x4
Hii history huifahamu na una unga unga tu.Hujui habari ya album ya Alain Makaba japokuwa umeitaja jina.pia habari za muanzilishi wa wenge huzijui.Raper wa kwanza wa wenge hujui,mpiga drum kabla ya Titina anaitwa Maradona, humjui.na mabo meengi umechapia.Fake history
@@switbertchenya6362 very very true huyu jama hajui kabisa history ya wenge musica bcbg 4x4 Didier masela ndio founder wa band ya wenge na Werrason, Blaise bula, Alain makaba na Adolphe Dominiquez.. Jb mpiana akaja badae kidogo
Hao sio maadui Tena Ni marafiki Sana jb mpiana na werasoni ila simuulizi yako Ni kama ya uchonganishi Sana werrason hakujifungia ndani na kulia aliendelea na kujiweka sawa juu ya band aliyo ianzisha
Historia ya hizi bands usitoe mtaani na kuwaletea watu humu. Unajikosesha credibility na subscribers. Ni vizuri either kuongea na wahusika wenyewe au na watu wanawafahamu waliokuwa karibu nao kikazi au kwenye maisha. Ukikurupuka utakutana na wengi watakaokukosoa humu. Kama ya wenge musical bcbg imekushinda, sasa usiwaganganye watu kuhusu ya extra muzica bpbl zangul
Kidogo kuhusu Album ya Solo, haikua JB alianza bali ni Alain Makaba na wimbo ukiitwa PILE OU FACE, kisha baadae JB Mpiana akaja na hiyo Feux D'e La Amour. Ama mwanzoni alikua ni Didier Massela, Adolphe Dominguez, na Ngiama Makanda.
Wenge aile Paris hawakuwa watoto wa matajiri. Walikuwa ni wanamuziki waajiriwa kwenye wenge. Akina jb na werra walitumia fake passports kuelekea kufanya concert Paris. Wale wengine walifanikiwa na waliamua kufanya makazi kule. Sio matajiri kabisa, na bendi haipo tena
Nooma saana 🥰🥰🥰
Naona historia ya wenge ungepata grade D. Na hakuna album ya surprise kapangala. Rapper walikuwa ni ekokota wunda na tutu kaludgi. Bill kalondji alikuwa ni wa akiba. Naona unapotosha kiasi
Kweli kabisa, jamaa anapotosha sana- Adolphe Dominguez na Emelia hawakuwa mnamo mwa waanzilishi bali walijiunga baadaye.
Majina tu ya bana wenge huyajui hata kuya tamka. Hata majina ya Albums za wenge kabla ya Pentagon huyajui.we feki
Asante mkuu ntajirekebisha
Nime kubari historia nzuri sana
Asante
Rapa wa kwanza wa wenge alikua anaitwa manda ndo alie rap kwenye kala yi boing
Acha uongo, unaudaganya ulimwengu. Historia ya wenge umeikosea sana machache tu ndio umeipatia.
Kwa pentagon rapper ni wawili Tutu kaludgi na Robert Ekokota wunda Bill Clinton kalonji alikuwa rapper kwa band ya werrason wenge musica maison mère na siyo wenge musica bcbg 4x4
Hii history huifahamu na una unga unga tu.Hujui habari ya album ya Alain Makaba japokuwa umeitaja jina.pia habari za muanzilishi wa wenge huzijui.Raper wa kwanza wa wenge hujui,mpiga drum kabla ya Titina anaitwa Maradona, humjui.na mabo meengi umechapia.Fake history
Yeah Bill Clinton alikuwa wenge maison merre ya Werrason. Pia huyu jamaa hajui Didier Masella ana history gani na band
@@switbertchenya6362 very very true huyu jama hajui kabisa history ya wenge musica bcbg 4x4 Didier masela ndio founder wa band ya wenge na Werrason, Blaise bula, Alain makaba na Adolphe Dominiquez.. Jb mpiana akaja badae kidogo
Clinton kwanza alianza wenge el pars, baadae ndio akaingia kwa werason
Hao sio maadui Tena Ni marafiki Sana jb mpiana na werasoni ila simuulizi yako Ni kama ya uchonganishi Sana werrason hakujifungia ndani na kulia aliendelea na kujiweka sawa juu ya band aliyo ianzisha
Huna unachojua kuhusu Wenge Musica BCBG 4x4 all terrain,Bill Clinton Kaluze Mukeba hakuwepo
Tupe pia historia ya extra musica
Poa poa, endelea kutufatilia
@@BONGOLEO maelezo yako yana mapungufu saaana kwa kifupi sijakuelewa
@@joramkiango5434 sawa tunashkuru kwa maoni tutalifanyia kazi hlo
Historia ya wenge haijui, sidhani kama atapata grade D historia ya extra musical zangul. Labda grade F kabisa
Historia ya hizi bands usitoe mtaani na kuwaletea watu humu. Unajikosesha credibility na subscribers. Ni vizuri either kuongea na wahusika wenyewe au na watu wanawafahamu waliokuwa karibu nao kikazi au kwenye maisha. Ukikurupuka utakutana na wengi watakaokukosoa humu. Kama ya wenge musical bcbg imekushinda, sasa usiwaganganye watu kuhusu ya extra muzica bpbl zangul
Sawa nimekuelewa mkuu,
kwamba hayupo sahihi ama?
Bro safi sana kuskia unaiongelea wenge yetu,
Ila kuna baadhi ya taarifa umezichanganya kama vile majina ya album na nyimbo.
Ok nashkuru pia kwa kurekebisha,
Kweri naomba historia ya extra musc
Ondoa shaka
Wenge walianza na Didier masela, Alain Makaba, werrason na jb Mpiana. Muda mfupi baadae jb akawaleta Adolphe Dominguez na Blaise bula. Hao 6 ndio wamiliki wa original wenge. Hao akina afande walikuja baadae. Akina Manda chante, baadae kabisa akina amelia lias demingongo
Kaka we muongo
Kaka wewe ni MUONGO
Historia ya Wenge haipo Ivo
Adolph hakua mwanzilishi
Many of the story is not correct
Aisee, jamaa unasimulia kama mastori ya mtaani. Unaongea kishabiki na uongo mwingi
kaka mimi nimekuelewa sana
Thanx
Kidogo kuhusu Album ya Solo, haikua JB alianza bali ni Alain Makaba na wimbo ukiitwa PILE OU FACE, kisha baadae JB Mpiana akaja na hiyo Feux D'e La Amour.
Ama mwanzoni alikua ni Didier Massela, Adolphe Dominguez, na Ngiama Makanda.
Duh bro hii umechapia vingi mno alafu kama kitu hujui usiweke ushabiki
Nashukru kwa maoni
Kaka naona umesahau , bend ilyokua ya watoto wa matajiri iliitwa Wenge Paris na walliishi Paris
Nashkuru
Wenge Paris ilikuja baada ya Wenge Music kuvunjika
Wenge aile Paris hawakuwa watoto wa matajiri. Walikuwa ni wanamuziki waajiriwa kwenye wenge. Akina jb na werra walitumia fake passports kuelekea kufanya concert Paris. Wale wengine walifanikiwa na waliamua kufanya makazi kule. Sio matajiri kabisa, na bendi haipo tena
Muongo muongo muongo