Jibu la LULU kwanini hatishwi na RANGE ROVER ya HAMISA lamuibua MANGE, ni mapovu kama yote!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Komentáře • 83

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 Před rokem +4

    Lulu wangu mie❤❤❤❤❤

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Před rokem +21

    Jamani mtu aache kumpost mwanaye kisa kuna mtu kanunuwa Gari???
    Hiyo commente apo hayikuwa na nafasi na sioni makosa ya Lulu...

  • @saudashani5981
    @saudashani5981 Před rokem

    Mmmh, hataleee sana

  • @constancekarisa1605
    @constancekarisa1605 Před rokem +7

    Hamisa akjibu njooni mniambie😅

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Před rokem +4

    Happy birthday Genesis🎉🎉🎉

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Před rokem +10

    Binafsi nampenda Lulu, mama mwenye mijengo na viwanja Karibu na lami na siyo huyo anayeringia mabati waliyobondabonda..

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem +3

      Maisha ya uwongo kudanganya watanzania hv kwa kazi gn aliyonayo mm sipendi watu wanaodanganya wezao na ndio maaan wengine wanayatka maisha ya wasanii kumbe waongo

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 Před rokem +4

    Mange wangu hapitwi nakitu😂😂😊😂😂

  • @shadiathemedshadiathemed8699

    Magari sio ishu

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 Před rokem +11

    Kweli Lulu kapanic😂 kinyamaa 😂😂😂

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem +2

      Wamezidi mtu asifanye yake kwa sababu ya mtu mwengine tatizo la watanzania wanaskiliza sna hyu mange yy hta choo cha box hna uko uzunguni

    • @svt3
      @svt3 Před rokem +2

      Mke wa mme atapanic aje na malaya aliye zalishwa na wanaume tofauti na kumuacha akitapa tapa

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 Před rokem +1

      ​@@svt3 ndo nashanga Lulu kaholewa hamisa malaya . Kazalishwa nakutupwa😅😅😅😅😅😅

    • @svt3
      @svt3 Před rokem +1

      @@p.kasongot979 tena kuzalishwa na wanaume tofauti na wote hakuna anaye mtaka kama mke kuchezewa tu na kuachwa malaya mchafu huyo

    • @shamsakiobia6421
      @shamsakiobia6421 Před rokem

      Unataka fantasi

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem +1

    Asate mange❤😂😂😂😂😂😂😂

  • @lydiahboyani1021
    @lydiahboyani1021 Před rokem +1

    Hamisa ako na vitu mob but hasira ziiii#happy birthday G❤❤

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 Před rokem

    Safi lulu good answer

  • @prettynayally2177
    @prettynayally2177 Před rokem +10

    Lulu ni jirani ya dadayang pia kimara alijenga toka mwaka 2012 dadang anajenga na yy alikuwa anajenga ❤ bonge la jumba

    • @shadiathemedshadiathemed8699
      @shadiathemedshadiathemed8699 Před rokem

      Lulu anawekez Ata majizzo akimuacha yupo vzr

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 Před rokem

      @@Maggie824 😄😆😅🤣😂😂🤣😆😁😄😃😃😀😀😀😀😃😃😄😁😆😅🤣😂🤣😅😆😁😁sa mbona umeogea kwa hasira hiv uwii duniani tutajionea vingi eti kapuguza umri hahhahaa uwiii

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 Před rokem

      @@Maggie824 sasa Kenya na Rwanda nd umeona kwa matajiri hahhaa habby come t dubai uone matajiri hapo Kenya hiz nyimb za mabati si bora za tz acheni makasiriko mm nimeogea kitu nilikiona na kiko nakiona acha kupank kamuuaa kanuba ulikuwek ama ww ndo jaji lulu tumemuona anakuwa wenyew suala la umri ingekuwa mtt wako analala na mwanaume mtu mzima ugekubali ama wawezenu t ndo wnakosea eti malaya na huyo hamisa kaza na wagap ama katembea na wagapi saa ahapo unatetea nn walahi wa tz washamba sna na sijaogelea kuhus hamisa hana sijasema anayo ama hana watajua wenyew kwa upande wangu sioni cha kupamabnisha wqtu watajua wenyew mm naogea nikiona kitu finish

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 Před rokem

      @@Maggie824 hebu nipishe mie kanuba kanuba kamfufue basi alaa hebu acheni mungu aganye yake kila mtu na kifo chake

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 Před rokem

      @@Maggie824 unakaa kubishana eti kanuba sasa ulitakaje kila mmoja atete familia yake acha hasira na lulu kwnaz nenepa kidg wqtu wembamba mnanuwaga na hasira za haraka n mfupa huwa inagongana na roho na mshipa ya fahamu🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃😃😊

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Před rokem +3

    Ivi lulu kapoteza nini jamani 🙌 asipost mtoto wake mtoto mdg anawapashida wazee kisa gari la mtu jamani 🙌

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Před rokem

    Genesis Wauw Shalom 🙏

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila watu wanapenda chokochoko😂😂😂

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Před rokem

    Jibu la lulu 🔥🔥🔥

  • @ikentertainment3145
    @ikentertainment3145 Před rokem +5

    All this started over a simple comment from a delusional fan who is at home laughing now over a commotion he started

  • @Dorrisshoppnah
    @Dorrisshoppnah Před rokem +1

    Sometimes I just don't understand Tzns women with umbea,if it were in Kenya 🤔🤔

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +1

    Yani bro sky unavyosoma comment kama umeununua wewe ugomvi 😂😂😂nafurahi tu hapa, nikiwa Muscat.

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před rokem

    ❤❤❤❤❤🎉

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Před rokem

    Sasa anapewa leseni ya makazi Ina maana kiwanja ni kidogo sana hakijafika hadhi ya kupewa kumilikishwa na wizara ya ardhi hati miliki

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Před rokem

    I LOVE YOU LULU💋💋💋

  • @stevenchenga1978
    @stevenchenga1978 Před rokem

    #sns asaiv mpo bize kupost umbea wa Mange so hamjui Mondi kaishika no1 Trending Nigeria kwa wapopo huko!😅😅😅... kipindi young killer kashika trending mlikua wa kwanza kupost😅na mlifurahi ili ety kuidhihirishia umma Simba kashuka kimuziki..asaiv anawakokota wapopo uko kwao mnajifanya hamuoni..mtanyooka mwaka huu #July to January

  • @akimanaarlene851
    @akimanaarlene851 Před rokem +1

    Kujenga kunanunua hayo magari kumi ebu unajua ujenZi visuli😅

  • @winfridapeter9455
    @winfridapeter9455 Před rokem

    Mama wa kambo mbona hasiraaaa😅😅😅

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 Před rokem

    Nawasalimu sana ndugu zangu katika ujumbe wangu ni kuwambia mchunge baadhi ya wanawake wachafu wenye kutaka sifa zama Mali kupitia mme huyu mara yuhu

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 Před rokem

    Kistuli ana makasiriko hatari 😂kila kona anaenda kuacha waraka wa comment

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před rokem

    😂😂 😂😂waja wanamaneno ati kama kakuchukulia figo yako,utumbo wako nusu kilo du 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hassanguzo8026
    @hassanguzo8026 Před rokem

    Dada wataifa ni mmoja nae ni mange kimambi ni mmoja tuu dada letu la taifa hana bay 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😘😘😘

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 Před rokem

    Baadhi ya wasani wa bongo flava na bongo movie niwachafu Tena wachafu sana

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před rokem +1

    Ila mange una nongwa ww 😂😂😂

  • @rastaman2546
    @rastaman2546 Před rokem

    Ni mawazo hayo

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 Před rokem +1

    kwanj hamissa njo nani huo mange atulie jamani kwani mbona hamissa ana mabwana wengi jamani wamuache

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před rokem

    Lulu anamijibuuu😂😂😂

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila Lulu ndo kakosea kujibu ana onekana ameumia

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu7258 Před rokem

    Nampenda lulu hadi naumwa jmn😂😂😂

  • @shadiathemedshadiathemed8699

    Sasa asimpost mwanae

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Před rokem

    Lulu yani🤔

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před rokem

    Mange atuonyeshe yy ana nini kikubwa

  • @mizzainallahwainailalhiraj8576

    😂😂😂😂😂😂

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Před rokem

    Mange kisha jibu

  • @kigoracredit7314
    @kigoracredit7314 Před rokem

    Ustani mzigo😢

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣😅😅

  • @celinekanda1850
    @celinekanda1850 Před rokem

    Kinaroho mbaya hako andunje

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Před rokem

    Lulu hongera ishi vile unavo taka

  • @aminaanab1071
    @aminaanab1071 Před rokem +1

    Yani anathani hamisa nimjinga..wevu hamisa chunga usimpeleke mtoto wako kwa huyo muaji😂

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Před rokem +2

    Hela zenye hamisa anamhongaga kamange ili kutukana watu siku moja zitaisha tu...lulu potezea huyo kichaa

  • @PriscaPhedrick-pl6ve
    @PriscaPhedrick-pl6ve Před rokem

    Mange mafanikio Ya lulu yanakutesa Sana Yaani asiposti vitu vyake kisa Kuna mtu kahongwa gari?

    • @marrypius576
      @marrypius576 Před rokem

      Anajidai kumsema lulu mbon yeye alikuwag anaenda kujiuza huko dubai ten kwa waarabu analishwa hadi mavi ili apate pesa mange alikuwag member wa port porta 😂😂😂😂 nenda kagoogle hili neno ni maajab yap huko

  • @marrypius576
    @marrypius576 Před rokem

    Katika wanawake mastaa ninaowakubali ni lulu tu

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před rokem

    Wanaume wanahonga gari wanajua hain maiah marefu nyumba ni fixed aseet miak 200