UTAPENDA : RAYVANNY ALIVYO MSURPRISE MR BLUE NA MKE WAKE KWENYE USIKU WA BONGO FLAVA HONORS...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 06. 2023
  • #rayvanny #harmonize #diamondplatnumz

Komentáře • 72

  • @user-fg8sz4jz1m
    @user-fg8sz4jz1m Před 5 měsíci

    Ni sawasawa na kuulizia polisi makofi,,, waaambie,,,,mafanikio kwako bro,,one love

  • @user-fg8sz4jz1m
    @user-fg8sz4jz1m Před 5 měsíci

    Love rayvanny 4 surpot,,,

  • @SheikhHusein
    @SheikhHusein Před 8 měsíci +1

    Muwe mnauliza sawa

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 Před rokem +2

    Mama la mama ngoma ya van boy kqmshirikisha Mr blue kua na kumbukumbu vzr.

  • @jeanclaudekamanzi9678
    @jeanclaudekamanzi9678 Před rokem +3

    Duh!! Blue unatisha, uongeaji wako au interview zako . Unaonekana akili inachaji sana mwanangu. Hongera kwa tuzo ulopata badaa ya 20 yrs ndani ya gemu la bongoflava aisee !!!

  • @user-ow2xu8kh2c
    @user-ow2xu8kh2c Před rokem +1

    😮 Oya nyie mkiingiaga CZcams andika reyvanny ft baisa tueshimiane

  • @kboss1866
    @kboss1866 Před rokem +1

    Leo niekuwa wa kwanza

    • @jamesjefwa7233
      @jamesjefwa7233 Před rokem +1

      PTV presenter I wish ungesomea hii kazi bro hujui kitu kabsaa ungetulia tu wenzako ndo waulze maswali

  • @SheikhHusein
    @SheikhHusein Před 8 měsíci +1

    Babu sema ujui walishafanya nyimbo hao

  • @founderke
    @founderke Před rokem +2

    Eti haijawai onekani mr blue kufanya ngoma na Rayvanny uyu mtangazaji muongo sana

    • @samsonmpangala1481
      @samsonmpangala1481 Před rokem +1

      Tena mpuuzi sana na inaonekana ameanza leo kufuatilia music leo

    • @ponyoduguru
      @ponyoduguru Před rokem

      Pumbafu zake uyu jamaa eti RAYVANNY ajawai kufanya collabo na Mr Bl

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Před rokem +1

    Blou akili kubwasana unahongea kihustarabu yani wewe blou mungu akulinde bb

  • @kingreagen
    @kingreagen Před rokem +2

    Mtuu wangu sn ✊️

  • @kingsumalee7211
    @kingsumalee7211 Před rokem +1

    MTANGAZAJI ANDAZI KWLI SASA ALOIMBA MAMA LA MAMA NANI SHEEENZI KWLI😅😅

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Před rokem +1

    Nimependa sana

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 Před rokem

    You are Great!!!! You have beautiful wife!!

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Před rokem +1

    Nice Chuiii🐅🐯🐯🐯

  • @paulocheiacachimo2913
    @paulocheiacachimo2913 Před rokem +1

    Chuuuuuiiiiiii foreva🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shebbylovemsafi903
    @shebbylovemsafi903 Před rokem

    Acha uongo mre blue ananyimbo na Rayvan akiwa wasafi

  • @whitemusic1419
    @whitemusic1419 Před rokem

    Mr bru

  • @saddyeffect
    @saddyeffect Před rokem +1

    mtangazaji haufatilii mziki

  • @man_killerOG
    @man_killerOG Před rokem +1

    Huyu anaumwa kweli et hawajawah kukutana huyu ni pumbu music huujui

  • @williadfredy1950
    @williadfredy1950 Před rokem +2

    Mtangazaji hufuatilii mziki 😂😂😂😂

  • @hakizimanamoosa1157
    @hakizimanamoosa1157 Před rokem +1

    Chui ❤

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 Před rokem +1

    Mke wa mr blue duh so pw

  • @asl6295
    @asl6295 Před rokem +1

    Abby skills kwa mbali namuona

  • @SalmaAli-ly4jx
    @SalmaAli-ly4jx Před rokem +1

    Acha uongo ata kufatilia hufatilii hawana nyimbo ya pmj awo nyama weee

  • @antidiusegbert5562
    @antidiusegbert5562 Před rokem +1

    Huyu jamaa

  • @RigeuneMalik-vb9fy
    @RigeuneMalik-vb9fy Před rokem

    Unasema uongo ba liimba mama la mama

  • @coudinendayishimiye9589
    @coudinendayishimiye9589 Před rokem +1

    Ndugu mtangazaji umekosea kusema. Ulisema eti ahijawayi kutokea rayvanny na mr bleu kufanya collabo Si kweli. Wana collabo moja inahitwa ''mama ''

  • @user-hs6em4yb1s
    @user-hs6em4yb1s Před rokem +1

    Ww bizzzziiiiii

  • @musajuma5364
    @musajuma5364 Před rokem +1

    We jamaa hujui kufatilia mziki kaa ebu afukuzwe kazi

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 Před rokem +1

    We mwandishi wa p tv inabid ufukuzwe kazi ,,pumbavu kabsa kabsaa mr blue hajawah fanya kaz na rayvanny?

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Před rokem

    Wasafi yote watoto wadogo kwa blue

  • @dizzomontana7219
    @dizzomontana7219 Před rokem

    We Kuma kama hujui vitu kaa kimya rayvanny kakutana na brue kwenye goma zaid ya moja labda tukupe iyo mkundu wako

  • @FrankFashionnova-jz2qo
    @FrankFashionnova-jz2qo Před rokem +1

    Wamefanya mama

  • @abdallahmwambeyu-rb2ol
    @abdallahmwambeyu-rb2ol Před rokem +1

    Pumbavvv zko mtangazaji mpuzi mkubwa....fuatilia mitandao sio kubwata hujui wa bwatia nn

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Před rokem +1

    Wewe mtangazaji wawapi ambaye ujui km raivany n'a blou km walisha himba kwapamoja alafu ule wimbo wa mama watangazaje wachanga kweli ajuwi ata kama walisha himba kwapamoja

  • @user-rw8ph6bg8g
    @user-rw8ph6bg8g Před rokem +2

    😂😂😂 uyu mtangazaj hajuwi anacho ongeya kbx

  • @akajackso
    @akajackso Před rokem +1

    Zangu jamani

  • @Tariq2240
    @Tariq2240 Před rokem +1

    Hujui unacho ongea

  • @B26online
    @B26online Před rokem

    Mtangazaji kimeo

  • @platueswimmer3672
    @platueswimmer3672 Před rokem

    Hapo mtangazaji umetudanganya tafuta wimbo wa Rayvanny_ft_Mr Blue_Mama la mama utajua wamewai kufanya kazi pamoja au hawajawai😂😂😂

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 Před rokem +1

    Ndio maana huwa nasema watangazaji ni waongo waongo mno pia wanafiki sana, eti reyvan hajawai kuimba wimbo na mr blue 😂 😂 😂, nisiwe mnafiki mke wa mr blue ni mzuri mno kiukweli ila sauti ya chidi benzi 😂 😂 mtoto wa kike unatakiwa uwe na sauti ya kinanda bana

  • @kboss1866
    @kboss1866 Před rokem +1

    Likes zangu jamani

  • @somanda8140
    @somanda8140 Před rokem

    Waandishi wengine ni puuu sana yani hawajui nawala hawafatiliii eti hawajawahi kufanya nyimbo daaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kabandilwafariala6093
    @kabandilwafariala6093 Před rokem +1

    Who sang Mama La Mama???🤔🤔🤔🤔

  • @mkazy6550
    @mkazy6550 Před rokem +1

    Alikibà shoga tu hatakikusapot

  • @Evibezafrica
    @Evibezafrica Před rokem +1

    Ile nyimbo ya MAMA wewe ndo uliimba na Rayvany..bro do your research well

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před rokem +1

    Waandishi wetu kuhoji mtu Bado sana

    • @joezeno8
      @joezeno8 Před rokem

      Kweli hawajui kuhoji maswali ya maana

  • @iscoohguminho7622
    @iscoohguminho7622 Před rokem +9

    Waliimba pa1. Nyimbo ya MAMA LA MAMA. Mtangazaj acha uongo🤣🤣🤣

  • @mukithedon9767
    @mukithedon9767 Před rokem

    Ww nimtangazaji ila huijui industri ya mziki 😂😂😂 ngoma ipo Ray na blue

  • @RamaMkarim-yo1cn
    @RamaMkarim-yo1cn Před rokem

    Acha uwongo Wana nyimbo kibabao

  • @officialsquizy
    @officialsquizy Před rokem +3

    mtangazi huna hakili kabisa… unasema rayvan hajawai kufanya nyimbo na mr blue wala mr blue hajawai kufanya rayvan.. mama la mama ni wimbo ya mr Ebbo na Harmonize!?

  • @mataizytembo7043
    @mataizytembo7043 Před rokem +1

    Punguza maneno mengi mama la mama waaliifanya na wewe

  • @mahmoodmohammed1679
    @mahmoodmohammed1679 Před rokem

    Watazamaji Wana content na facts kuliko mtangazaji😂😂😂presenter fanya research kabla hujapost...rayvanny wamefanya Ngoma na Mr blue 😂

  • @mwavitadundo4880
    @mwavitadundo4880 Před rokem

    Wamewaiwi kufnya nyimbo wewe sio mtangazaji bali wewe mtanga

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 Před rokem

    Nyinyi waandishi mnauliza mmaswali ya kijinga saana!!Eti kwa nini hujapewa tunzo really!!!

  • @salimmbarak618
    @salimmbarak618 Před rokem

    Sasa nyimbo ya MAWE waliimba nani ... Mtangazaji ovyoo