Mabinti ni moja ya nyimbo za Mwana FA bora zaidi za muda wote. Kwenye Chill na Sky, FA alielezea mambo kibao kuhusu wimbo huo ambayo mengi hujawahi kuyasikia
Hujaelezea wimbo wako unahusiana vipi na Kama Unataka Dem wa JayMo? Maana nasikia ulikuwa ushirikishwe na JayMo kwenye wimbo wake wewe ukaibuka na wako😂😂😂. Ila cha kushukuru Mungu zote zilikuwa hit
huyu jamaa nibonge la Presenter..anauliza maswali magumu na anatumia akili nyingi na pia amefanya research kwa vitu anavyouliza BIG UP bro..
Mshairi wng bora wa mda wote
Yaani nyimbo mabinti imeimbwa mimi bado sjazaliwa jaman sasa nimekuwa nimemkuta mwana fa bado kijana
Nakukubali sana Baba *MARIKA* Nyimbo zako zote azichuji.
Dah we need dis kind of artist for sure
instaBlaster...
Huyu jamaa akili yake watu 10000
Huyu jamaa ni sayari nyingine
fa ni sawa na akina diamond wote
Bro I salute you
Musically you are the real philosopher
Usiache music kaka
Tunakusikiliza
Mwana fa: Kila Kitabu na zama zake!
Mtu mzma uyo lazma ujiume ulimi. ...hebu skia hawa mabinti ni waajabu sana. Na ma mc je.
genius yani uongeaji tu unamtofautisha na wasanii wengi hababaiki kabisa
Watu Wenye Akili #MWANA FA
camera-man play with camera precisely...anaongea FA camera ipo kwa mtangazaj
Msanii wangu mm Bora duniani sijawahi kuona au kusikia kitu kibaya kutoka kwake
Hamis akiwa kwenye interview hakiamumungu burudani sana nina kisema amelelewa vizuri ana adabu
Miriam ikoa unaweza utangaze ndoa ....umemsahau
Ukiacha ya kuwa presenter mzuri, Sky walker ni mkali pia DJ mkali sana!!
Pia ni muimbaji
Nice
Ww fundi fa
huyu jamaa hata aimbe mavi nasupport tu 😂😂😂😂😂😂yani anything aisee
Busara na hekima zinakuweka kuwa tofauti na wengine uko juu
😂😂😂😂😂
Me too
Kibibi Bendera
Hujaelezea wimbo wako unahusiana vipi na Kama Unataka Dem wa JayMo? Maana nasikia ulikuwa ushirikishwe na JayMo kwenye wimbo wake wewe ukaibuka na wako😂😂😂. Ila cha kushukuru Mungu zote zilikuwa hit
Binamuuuuuuuuuih