Utapenda simulizi hii ya Mwana FA kuhusu wimbo wake Mabinti

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 12. 2017
  • Mabinti ni moja ya nyimbo za Mwana FA bora zaidi za muda wote. Kwenye Chill na Sky, FA alielezea mambo kibao kuhusu wimbo huo ambayo mengi hujawahi kuyasikia
  • Zábava

Komentáře • 31

  • @Hector-cq9dt
    @Hector-cq9dt Před 5 lety +6

    huyu jamaa nibonge la Presenter..anauliza maswali magumu na anatumia akili nyingi na pia amefanya research kwa vitu anavyouliza BIG UP bro..

  • @abdulbakari4122
    @abdulbakari4122 Před 6 lety +3

    Mshairi wng bora wa mda wote

  • @fauziashabibu1467
    @fauziashabibu1467 Před rokem +1

    Yaani nyimbo mabinti imeimbwa mimi bado sjazaliwa jaman sasa nimekuwa nimemkuta mwana fa bado kijana

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety +1

    Nakukubali sana Baba *MARIKA* Nyimbo zako zote azichuji.

  • @rashid0mar181
    @rashid0mar181 Před 5 lety +3

    Dah we need dis kind of artist for sure

  • @jamesm.darnes640
    @jamesm.darnes640 Před 5 lety +3

    Huyu jamaa akili yake watu 10000

  • @Manfilly
    @Manfilly Před 6 lety +4

    Huyu jamaa ni sayari nyingine

  • @allytauka8196
    @allytauka8196 Před 5 lety +1

    fa ni sawa na akina diamond wote

  • @athmanrajab7740
    @athmanrajab7740 Před 5 lety +2

    Bro I salute you

  • @anthonyemanuel8614
    @anthonyemanuel8614 Před rokem

    Musically you are the real philosopher
    Usiache music kaka
    Tunakusikiliza

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Před 6 měsíci

    Mwana fa: Kila Kitabu na zama zake!

  • @jacobhunter2593
    @jacobhunter2593 Před 6 lety +1

    Mtu mzma uyo lazma ujiume ulimi. ...hebu skia hawa mabinti ni waajabu sana. Na ma mc je.

  • @rashid0mar181
    @rashid0mar181 Před 5 lety +1

    genius yani uongeaji tu unamtofautisha na wasanii wengi hababaiki kabisa

  • @husseingwanone7825
    @husseingwanone7825 Před 5 lety +2

    Watu Wenye Akili #MWANA FA

  • @peter1018ful
    @peter1018ful Před 6 lety +7

    camera-man play with camera precisely...anaongea FA camera ipo kwa mtangazaj

  • @mohamedsalum8343
    @mohamedsalum8343 Před 4 lety

    Msanii wangu mm Bora duniani sijawahi kuona au kusikia kitu kibaya kutoka kwake

  • @lilakhhassan6896
    @lilakhhassan6896 Před 5 lety

    Hamis akiwa kwenye interview hakiamumungu burudani sana nina kisema amelelewa vizuri ana adabu

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta6258 Před 5 lety +1

    Miriam ikoa unaweza utangaze ndoa ....umemsahau

  • @geofreymdemu1938
    @geofreymdemu1938 Před rokem

    Ukiacha ya kuwa presenter mzuri, Sky walker ni mkali pia DJ mkali sana!!

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 Před 5 lety

    Nice

  • @mfaumeramadhani4772
    @mfaumeramadhani4772 Před 5 lety

    Ww fundi fa

  • @famousbox9525
    @famousbox9525 Před 6 lety +7

    huyu jamaa hata aimbe mavi nasupport tu 😂😂😂😂😂😂yani anything aisee

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 Před 2 lety

    Kibibi Bendera

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 Před 3 lety

    Hujaelezea wimbo wako unahusiana vipi na Kama Unataka Dem wa JayMo? Maana nasikia ulikuwa ushirikishwe na JayMo kwenye wimbo wake wewe ukaibuka na wako😂😂😂. Ila cha kushukuru Mungu zote zilikuwa hit