Jomireso voices Tz - Sogea (Official Video) 4k
Vložit
- čas přidán 29. 12. 2022
- Artist: JOMIRESO VOICES TZ ( +255 765 766 438)
Song : SOGEA
COMPOSER: Majogoro
Audio : Pro EPHRAIM (+255 745 772 120)
Video : Dr. RJ (+255769 672 995)
HILO TATIZO SIO KUBWA
Usuluhishaji wa migogoro katika mwili wa Kristo ni muhimu kwa sababu kadhaa.
¶Kuepuka migogoro, bila jitihada za kutatua, kunaficha uhalisia na majibu sahihi na kueneza tatizo kulifanya kuwa kubwa zaidi.
¶Ikiwa Kuna makwazo yametokea Kati yetu tunapaswa kutoa nafasi kuzungumza mezani pamoja. Hii itatoa fursa ya kulimaliza tatizo*
¶Lengo la ufumbuzi wa migogoro ni *umoja*, na umoja katika kanisa huwa tishio kwa shetani.
¶Ukikaa na makwazo moyoni bila kukaribisha mazungumzo na ndugu yako, unaweza kudhani na kuliona tatizo hilo kuwa kubwa. Wakati kinyume chake tatizo hilo ni dogo sana likiwa mezani
¶Pia tunaambiwa tusiruhusu "mizizi ya uchungu" kuongezeka kati yetu, na kusababisha matatizo na uchafu (Waebrania 12:15).
¶ #SOGEA
kaa na ndugu yako meza moja, imba, farijiana nae #tatizosiokubwa
Zaburi 133:1-3 - Hudba
Use your time to get close to someone you think you had problems with in 2022, talk to him, maybe the problem is not that big and it may end before the starts of another coming year.🔥❤️❤️
#Sogea 🔥🔥🔥🔥
❤️❤️❤️🔥
Ameeeeen,👏👏
😮😮😮😮
pll lol
Amen kazi nzuri
Amina
Mmenifariji sanaaa, kwenye huu wakat huu mgumuuu, Asante Sana aaaaa
Amina barikiwa
mbarikiwe sana Jomireso voice, kaz yenu n nzuri,imenibariki
Amina Sana barikiwa zaidi
Ooh my , haki huyu soloist is on another level big up sana.
amen👋
🙏🙏
Barikiwa
amen
JOMIRESO THE BEST
Sogea 👏
Amina
NAFURAH SANA KUWASIKILIZA JOMIRESO NANAMUONA RAFIKIYANGU WA PRIMARY HAPPINESS JOSIAH MPENI SSALAMU NAMPENDA SANA
Amina Sana
mbarikiwe sana
Amina
Amina sana barikiweni
Amen
The lead guy sound likes that guy was Nyegezi.. one of the best and smoth lead i have heard so far so good.
its very nice
Amen
❤jomireso for life one day nitawaona live na tutaimba wote mbinguni
Amina barikiwa
Daaah❤
❤️
Stay blessed always
Nyie watu si mbarikiwe tu, kazi zenu ni nzuri mnoooooo🤲🙏🙌
Amina... Jina la Bwana lihimidiwe
Sogeaaaaaaa sogeaaa huenda likakoma likaisha yenyewe karibu am so Blessed Twin W'ingan
Amen be blessed much
Aminaaa nabarikiwa sana
Amen
Mibaraka tele🙏🙏🙏🙏
Amen
Hallelujah Bwanaaaa.
🔥🔥🔥🔥🔥
Mnanisogeza Sana Miguuni pa Yesu
Amina Sana
Nawapenda Sana Mungu awabark
Amina akubariki pia
Amen amen❤❤❤❤
Hallelujah
Message constructive sana ....hii ndo maana ya wimbaji ,,,nawapenda sana Mungu azidi kuwatumia
Amina ubarikiwe pia
Jmn MUNGU awabaliki sana mkae Kwa upendo mkiiba Kwa furaha ❤❤❤❤
Amen. Sogea
Amina
Huu wimbo jmnii😭😭umenifanya nifarijike mnoo,sitakata tamaa tena mzidi kubarikiwa mnoo nawapenda zaidi yani bila kuusikiliza huu wimbo silali kbsaa big up kwa mwalimu
Amen barikiwa sana ❤️🙏🙏🙏
Sogea karibu nami,soooogea huyo jamaa wa mbele ameutendea kazi kweli kweli.
AMINA SANA 🙏
wowwww sweet music @jomireso
Amen
Hongereni sanaa wimbo mzuriii
Amina
Aiiiii wakuu huiki kitu ni kizito mnoo Barikiwa kuliko..
Hiyo lead Ooh hallelujah
Amen
Wimbo mpya mzuri sana.
Exellence my youth
Amen
Aisee nyie watu mnabariki sanaaa. Mungu azidi kuwainua
Amen!! Barikiwa zaidi
🔥🔥🔥❤️nawapenda buuuure❤️❤️❤️❤️
❤️🔥
Yaani nimeurudia mpaka,,,hngrn sanaaaaah
Amen ❤️ ❤️
Endeleen kubarikiwa sanaaa
Amina Sana
Nice song tukisogea mengi yanaisha 🤗🤗
Hakika 🔥🙏🙏🙏
barikiweni sana kwakweli🙏🏽
Amen
Nawapenda bure.karibuni Kenya#VoP Africa Sing To Save Season 3
Amina
Hongereni Sana wapendwa
Haleluya kwa Bwana 🙏 🙏
Amen SOGEA
Amen! Nimesogea
Haleluya
Mbarikiwe San watumish,nimebarikiwa
Amina barikiwa pia
Amen, barikiweni sana wapendwa na BWANA azidi kuwatumia katika kuifanya kazi yake
Amina barikiwa pia
Mbaraka kweli
Amina
Mungu awabariki . Kazi nzuri
Amen
Nimebarikiwa sana na wimbo huu mbarikiwaeee sana
Amina Sana!!! Haleluya kwa Bwana
Mbarikwe sana VIJANA kwa ustadi ndani ya BWANA
Amen
Aaaahi my Lord what a creative things,nikiwa mkubwa nitaimba namna ya kimtukuza Mungu jomy am impressed a lot na kasabato kamekua kazuri ❤️❤️❤️❤️💘
, ❤️❤️Amina barikiwa sana
I can fly to TZ just to be blessed by you guys, much much love from Kenya.😇😇😇
😀 😀 Welcome
Amina , songea karibu tukae Pamoja nimebalikiwa
Amina Sana Mr.
JOMIRESO Mungu awabariki. Mnajua aisee.
Haleluya kwa Bwana 🙏 🙏 🙏
Mbarikiwe kwa nyimbo amani tele inatawala sogea❤❤❤
Asante sana ,Jomireso kwa kazi kubwa , Realy wimbo juu ume tubariki sana ,hapo kongo Mungu azidishe vipaji vienu kusonga mbele zaidi .
Amina sana mbarikiwe zaidi na zaidi wapendwa
Wonderful song we love you from Rwanda(@kugana yesu choir)
Amen 🙏🙏🙏get blessed friends
Kwa yesu yawezekana yote
Hakika
Amaizing👬👭👩👩👦👦
🙏🙏
Majogoro sogeaaaaaa
🔥🔥
Ninasogea 😇😇😇
When a legeng Mwl Maiga majogoro he is on a lead voice it is always⚡️⚡️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥, MY BIG5 to Sir Majogoro🙌🏽🙌🏽🙌🏽
🔥🔥
Jamani mda mwingine unajiuliza uu wimbo walitungia mbinguni kabisa maana unanipa raha unanipa matumaini yakusogea tena Mungu awabarki sanaa
Amen 🙏 BARIKIWA ZAIDI
amen
Amen
Mwl Majogoro na timu yako nimebarikiwa sana na huu wimbo
Amina
Singing for God pays. I love you Lord...thank you Jesus for giving us such sweet melodies and great composition. Glory to God!
Amen!! Hallelujah to Jesus
Looking for you
Blessed majogoro and Ephraim
Amen
Barikiweni sana Jomireso Tz,Dua zetu kwa Mwenyezi MUNGU Msonge mbele zaid na zaidi🙏
Amen
Sasa hii ni Kali zaidi👏👏👏👍👍👍👍
😀 Amen
Jamani mnaimba sana sahivi nawafurahia sana, Mungu awasimamie muinuke kiuchumi kiroho muendelee kuwa pamoja kwa kazi ya Baba
Amina na ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
Namuona Jamaangu Edu.
Mbarikiwe sana marafiki zangu.
Amen. Barikiwa pia
Kijana barikiwa sana 😂🔥
Nimefurahi 🔥🔥🔥😂😂😂
Amen
Haleluyaaaa,,,✨✨✨✨🙏🙏🙏 another hit song,,, Mungu aendelee kuwainua zaidi na zaidi #rjproduction #jomiresovoicestz
Hallelujah
Eeeh 🤲. never dissapoint lads. GOD is able👊
🔥🙏🙏🙏
Very wonderful song, we love you so much
Amen be blessed ❤️
Ewaaah🤓🤗💞 be blessed guys....MUNGU awabarikiii muendelee kumtumikiaaa
Hallelujah
💪💪💪💪💪
🔥🔥🔥
Wow...thank you for this educative piece...Twashukuru kwa wimbo huu mtamu..nawafuata sana kutoka Kenya
Amina Sana barikiwa sana mtu wa Mungu
Aaaah nyie nyie nyie😭🥰, from the amaizing writer,to the arranged and melodious voice..... God bless you Jomy
Amen ❤️ be blessed
Wonderful Song... Naguswa sana na Nyimbo zenu. Mbarikiwe na mwende mbali hadi kuingia uzima wa milele 🙏
Amen ubarikiwe zaidi mtu wa Mungu
Amazing work
Thanks a lot 😊
Uimbaji ni ibada, nanyi mnaitendea haki ibada ya nyimbo nasi tunabarikiwa.
#Nawaombea mzidi kuwa imara na bora Zaidi 👏
Amina sana na ubarikiwe pia
Ameen❤
Hallelujah
Ameeen❤❤
Wimbo mtamuu😍😍😍😍 mbarikiwe sana
Amina Sana
Song composer niwalevel nyingineee 💪💪💪
Hallelujah kwa Bwana
My friends good job
Amen
Mungu azidi kuwainua mpaka juu kwake 🔥🔥🔥
Amina Sana
To GOD be the Glory for your ministry👏👏☺️
Amen
You did it again 🥰. Im happy
Amen be blessed @maureenadhis2491
i love you guys, May almighty God Bless you
Amen 🙏 🙏 🙏
Kwa kweli, mnatubariki. Mwenyezi Mungu Awabariki sana.
Zaburi 133:1 (Psalms 133:1). "Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja. Ni kama mafuta mazuri yatiririkayo kichwani, mpaka kwenye ndevu zake ..." 🙏🏽🎵💯
Amen barikiwa zaidi
nice song family b blcd
Amen
Wat a song🥰
❤️❤️❤️🔥Woow!! Thanks be blessed
@@jomiresovoicestz amen sana mbarikiwe
Aminaaa🌺
Haleluya
So gorgeous 🍓❤️
Hallelujah to Jesus
Blessed more blessings
Hallelujah
Wow, so sweet
Hallelujah
Ameen!
Amen
Jamaniii my family, mibaraka tele wimbo mtamu haukerii masikioni, Mungu awainue mfike mbali zaidi nawapenda mnoo
Amina Sana @kijanchimani2464
Mwani bariki Sana hamjuwitu
🙏🙏🙏Amen
Mungu awalinde nakuwapa nguvu zaidi kubariki nyoyo zaidinazaidi
nawapenda wapendwa Mungu azidi kuwainua zaidi.napona napockiliza nyimbo zenu🙏
Haleluya kwa Bwana
sogeaaa so nicee
🔥🔥🔥
It feels good seeing my TUCASA colegeous making a sweet melody wow🎉
Amen