MFANYABIASHARA MKENYA AMLILIA RAIS SAMIA -AKWAMA ARUSHA ADAI KUPEWA KESI ya UHUJUMU UCHUMI KIMKAKATI
Vložit
- čas přidán 4. 05. 2024
- MFANYABIASHARA MKENYA AMLILIA RAIS SAMIA -AKWAMA ARUSHA ADAI KUPEWA KESI ya UHUJUMU UCHUMI KIMKAKATI
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Nenda kwa Rc Makonda atamaliza Holi swàla!Wala Holi halimwitaji Mh.Raisi!
Aisee pole sana kaka...Everything will be fine...Mwandishi msidie kwa kwenda kwa mkuu wa mkoa solution itapatikana chap...
Yeah Global mmefanya kaz nzuri sana kumsaidia ndg yetu huyu toka kenya 🇰🇪 ila mpelekeni kwa makonda atasaidiwa mara moja hakuna kitakachoharibika makonda ni mtu wa haki sana atamsaidia...
Mm ni mtz ilanimeumia sana nakupata huruma kwa kaka angu mkenya
mwandishi msomi, that was a very good interview, keep it up
Kwa nini msiende law RC?makoda yuko vizuri kwa mambo hayo
Huyo business partners wake wa Arusha ndio mtihani
Kolumba uko vizuri sana kwa habari ya ku 15:38 hoji. Big up sana!
Pole sana mkenya yataisha tuu Mungu atakusimamia najua atakua amekuchoma kutaka kumsingizia uongo.
Jibu swali Koka.Rejea taarifa ya wakili, wewe kuwa na hofu ya Mungu wacha kumtendea binadamu mwenzio haya.
Makonda kesho yuko kwa office
Pole sana brother...makonda atamaliza usikonde
Mahakama si chini ya miaka kumi kesi ndiyo itaisha je ataweza kenya Tanzania kila mwezi uonevu mtupu muogopeni Mungu hamuendi na mali wala kampuni utaenda kama ulivyozaliwa hacheni ujambazi
Wabongo wengi uaminifu shida…
Wachaga ukifanya nae biashara apo anataka kumzurum
Kenyan is our neighbour and needs support from honest individuals or organisations.
Babu rama na yeye kesi yake ilianza kama mchicha mpaka akajiua .Mungu ampe haki huyu jamaa
Ongea ya mlalamikaji linadhihirisha kwamba huyo kaka sio utawezaji kukata simu wakati unaojiwa
Yaani uchunguzi wa kesi za hapa Tanzania zinachukua hata miaka 10
Usifanye biashara na mchaga atakudhulumu kwa sababu krismas lazima akaonyeshe alichoiba kwa huo mwaka mzima
pole sana ,itaisha na utaendelea na biashara yako
Makonda makonda Boss WA wote huu unyanyasaji utaisha maana umekuja,makonda makonda mtoto WA mungu uko wapi,unyanyasaji sio mnzuri kabisa Mimi nikitoka tz nikapumua hakufai kwa wakenya lakini Watz karibuni kwetu hatuna makumbwa
Uzuri Kaka angu Makonda alishasema ikipita Mei mosi atazungumza na wafanyabiashara wa Namanga. Usijali jirani( Mkenya). Yupo mwamba hapo Makonda 🔥🔥. Watanyoka hao majizi!
Sasa ndio utajua jizi ni huyo Mkenya anaetafuta huruma
jamani mtu wa watu asaidiwe kwa kweli
Hili suala linavuruga wawekezaji kuja kuwekeza nchini,hatimae atatakiwa amlipe fidia kubwa huyu mkenya😢
Wabongo tuache janjajanja, mwogopeni Mungu.
Makonda mpenda haki ajaona nn mkuu wetu wa mkoa arusha tunaomba umsaidie huyo ndugu yetu mkenya hapate haki yake mkuu
Mr koka nitapeli na hii itareta shida kwa watanzania wengine wasije wakenya wakalipiza kisasi kwa watanzania wengine huko Kenya wewe koka ni mtu hatari unatumia polisi kumzuru mfanyabiasha WA nchi jirani ni hatari sana na nyiye polisi hebu mumtende haki huyo mkenya huwo ni uhasama mujuwe
Unamfahamu Mr. Koka ndg fadhil?
Fadhil una maana polisi wa Tanzania wanashirikiana na tapeli?
Anamaanisha tapeli aweza kuwadanganya polisi au pia huwenda amewahonga@@sisterlbloodofjesus4084
Tatizo watanzania hawako straight kwenye Kila kitu ukiangalia maelezo ya Mr koka unaona yana ubabaishaji mwingi ambao mwishoni ili ashinde ataingia kwenye rushwa,,, daaaah pole kaka yetu kutoka Kenya bado tunakupenda hili lisikukatishe tamaa na kutuharibia taswira ya nchi yetu naamini haki itapatikana tuu✍️✍️🇹🇿🇹🇿
Umesema kweli kabisa. Koka he is not good man
jmni wamsaidie kaka wa watu daah
HAPO MOJA KWA MOJA HUYO UTAJIRI KOKA ANATENGENEZA MGOGORO WA RAIA KWA RAIA
Huyo Mtanzania anatengeneza mazingira ya kumzulumu mwenzake.
Jamani mfanyie haki jamani mkenya ni ndg yetu jamni.
Angekuwa tapeli asingeomba msaada kwa rais.
Alete namba zake za simu tufanye biashara ya usafirishaji wa abiria
Uovu hauna nchi wala kabisa hata wakenya wapo madhalimu lkn kma dhuluma ni mbaya zaidi kumdhulum mgeni maana ni mnuko utakaonukia wenzenu ugenini
Ni makosa ya polisi. Kumushikilia mtu bila sheria. Hapa pesa inatumika na sio kisheria.
Unyanyasaji utaisha lini tz kwa wakenya???????????????? Makonda uuuwiiiiiii uko wapi mdogo wake magufuli jamani
Haki itendeke tafadhali😮.Mako n da msaidie😮
Pigia wakenya wezio wazui shato zote mpaka muafaka upatikane
Dhamana hata kama ni sikukuu dhamana inatolewa
Kwa mazingira hayo inaonyesha Polisi wamepewa rushwa!!
Wabongo shida kufanyanao biashara Jamani.
Huwajui Wakenya wewe
Tunaijui hii
Mbona kuna Ubarozi mdogo wa Kenya apo Arusha na Mkuu wa Mkoa ni rahisi kumaliza ilo swala
Polisi na mahakama wakifanya kazi gani?
Sio vizuri kumuonea patna wako kwakua tu eti uko kwenu hata wewe unassfiri
wabongo wengi hawana uaminifu
Duh!
Hawa watu jamani 😢
Tanzania itakuwa kizingiti kikubwa kwa maingiliano ya Africa mashariki kuna dhuluma kubwa hasa polisi mahakama na CID. Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pitisha ufagio wa chuma katika idara hizo zimejaa matapeli na watumishi wasio waaminifu pole sana kijana inasikitisha sana dhulma ya namna hiyo
Naenda kwa makonda chap Kama upepo hy inaisha mkuuu haki itendeke kwa kila binadam
Hii inazidi kutufundisha Business partner is not a good aider , maana hapo inaonekana wazi kabisa tamaa , ndo imechukua nafasi
Pole nenda kwa MAKONDA HAPO HAINA HAJA YA MAMA MAKONDA ANATOSHA
Kwani Makonda keshakua mahakama?
Kamateni raia wote wa kigeni wasiibe chochote ndani ya Tanzania,sukuma wote gerezani walipe walichoiba
Ukichimba kisima unaingia mwenyewe kwanza kaa vizuri
IMEPANGWA NA HUYO MWENZIYO.
Shareholder anatuletea aibu ndogondogo, sasa kama wewe ni shareholder na mwenzako iweke umpeleke polisi, finish your differences
mr makonda RC YUPO
Wewe umemuita unajua kila kit u achen fitna mafanikio sio unafk
Naomba serekeli iingilie kati kwani sisi tukiwa kenya tuna sikilizwa sana
Mtafuteni mkuu wa Mkoa Makonda
Nenda kwa RC Makonda atamsaidia maana tayari police wamehongwa na huyo Mtz kwahiyo mkenya hatotendewa HAKI yake, cha msingi serikali yetu imsaidie ndugu njeri apate HAKI zake zote ikiwemo simu na laptop na nguo na apewe stahiki zake anazostahili katika kampuni tusingependa kabisa kuona mtu akionewa na ni jirani yetu mwema.
Chunguza hapa Tanzania ni kampuni zipi za share holders zimesonga mbele kimaslahi? Kampuni nyingi za share holder huanza vizuri lakini pesa zikianza kuwa nyingi tamaa huanza kati yao na hapo kampuni huanza kuyumba!! Kibiashara wakenya wako active sana kuliko watanzania. Ndio maana kuna wakenya watatu wanafanya biashara pamoja huko marekani wanamiliki zaidi ya malori 300!!
Makonda ingilia kati hii issue isije haribia mkoa wako ambao umeunadi unataka uwe wa kitalii
Hata mkoa wa kitalii sheria lazima ifuatwe Mkenya akifanya utapeli sheria itamshughulikia
Ukichomoka Arusha usirudi kuna kila aina ya matokeo
hii italeta shida kati ya nchi hizi mbili. viongozi wachangamke kumsaidia huyu jirani yetu. Jamni mkenya wa watu hebu hangaikeni kumsaidia kwa kweli
Wahini kwa makonda fasta
Jeshi la Polisi lina tumika kufanya dhuluma
Wabongo ao akili nyingi
Huyo Koka nae aeleza ukweli
Eleza wewe unaejua ukweli
Wakenya tunapata shida sana when in business with Tanzanians
KWANZA HAKI YA BINADAMU IKO WAPIIII ALE WAPI ALALE WAPI??
Jamani jamani watz kwa kutuonea wakenya tumezoea lakini mkumbuke mungu alali, kingine watz wameishi Kenya wengi tu na sisi hatuna maneno,wachaga wamejaa hapo kikomba lakini hamna mtu anaweza kuwaonea, hapo nmg watz wamefungia hoteli nyingi upande WA Kenya lakini upande WA tz uwezi dhubutu mara kibali Cha kuishi, mara dependant pass mara hiki, yaani tuvitu tudogo yaani unashagaa kwa Nini hayo, muheshimiwa makonda uko wapi mtenda ukweli, mama Samia uko wapi mama yetu
Mini mchagaAisee kwenye village yetu pekee nafahamu zaidi ya 100 wako nairobi wanauza nguo gicomba, kijiji chetu kina watu zaidi ya elfu 60 wapo kikomba.. kuna gar zinaitwa naekana sacco.zinakuja ad hapa mpaka wa Tanzania hata 30 kwa sku to Nairobi ,kaka Yangu wa kwanza anauza viatu Nairobi..tangu nkiwa mdogo the place of hope and hustle ni nairobi, nkiwa la 7 shule ya msingi watu walikua wanajifelisha mtihani waende Kenya kutafta good life,...
So sjui why kenyans are welcoming yetu we cant reciprocate that
Inasikitisha. Ila kwa ushauri unapotaka kuingia ubia na mtu fanya upekuzi (due diligence) ya kina. Huyo mzee kuna kitu anakificha. Kama kampuni inashukiwa basi wabia lazima washukiwe wote.
Huyo koka anaonekana si mtu mzuri. Ila askari wetu wanapaswa waangalie pande zote mbili Kwa sababu ni watu walikuwa partner katika biashara yao
Arusha please taratibu msiaribu cv ya mtu kumbuka Kenya ni jiran ytu mpeni haki yake
Hili Jambo litaleta shida kubwa lisiposhughulikiwa kwa busara na haki,shuttle za Tz itakuwa ngumu kuingia Kenya.
Mchaga kwenye hera anaweza kuku
Yaani akili ya mkenya bado anaitaka wakati anamfanyia fujo .aaaaaaaa ye mtz mwenzetu aliye amekwama fyuuuu
Yani mambo mnayoyafanya kwamasrah yenu yatatuhalibia taifa zima tutaonekana watanzania ote niwashenzi hayo co maisha
mama Samia hamsadii MTU na kamwe hawezi kukusaidia
Mkuu Makonda lichungulie hilo lalamiko la huyo Mkenya,Kuna baadhi ya watumishi wa Uma (askari)hapo Arusha huenda wanatumika kinyume na maadili na hiyo inachafua jeshi letu la Polisi.
Mmh
Na huyo Mtanzania anayemzunguka kunyakua haki ya business partner wake toka Kenya.hiyo sio sawa dhuruma haina tija.
Pesa tu kweli?
Ss watanzania wengine tunarohombaya huyo mwenziwe anachoyo
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Sisi watu wengi weusi tuna kasumba gani ya kutotendeana haki?
Watanzania tuweni na huruma
Police hana ruhusa yakumziwa mtu masaa 24
Ivi hawa polisi wa Tanzania mnawaonaje jamani??
Mbona pamoja na dc kutoa hoja ya kuzuiliwa lkn naye simuelewi iweje awe na maisha magumu hapo mjini kma ni bosi wa madereva hao? Lkn pia kma ni tapeli wa mtandaoni ni ushahidi umeonekana iweje achiwe uraiani akiteseka mtaani kwa nini asiwe kizuizini?lkn pia huyu anayetuhumiwa asingeweza kuendelea kukaa hapo a geisha zake kma simu zake na laptop hakuna ushaidi ni uonevu mtupu
Achakuibia mwenzenu mutakufa
Pamoja na hayo ni vema kesho ukaenda kwa RC
Shuttle zote za Arusha zifungiwe kenya , huu ni ushenzi
Kweli kabisa wafungiwe wala wasifanye biashara kenya
uende kwa raila odinga muingie kwa bara bara haraka
Nenda Kwa makonda tu
Uchunguzi gani wakati kila kitu kipo wazi wewe koka acha ujanjaujanja unatumia pesa kumkandamiza mwenzio acha ujinga .
Kama halali hajatosha hata halamu haitofaaa
Biashara as watzd bomu dhulumati kibao😅
Acheni dhulma WA Tanzania, mutaharibu mahusiano na wakenya, mutatuma watanzania walioko kenya kenya nao tuwadhalilishe
Fanyen kama mnaweza! Unataka kenya iwr sehem ya Tz
Katika maisha tusiwe wepesi wa kuaminiana kwenye kipato haswa pesa hata awe ndugu, huyu kafanyiwa ivi kijua huyu mkenya kwaiyo anafanyiwe usumbufu tu,dhuluma watu hawana hofu ya mungu unafanya ivi hujuwi kesho yako ukifa utazikwanazo mali jamani daa.
Unamjua huyo Mkenya wewe?
Mzee koka huyu achunguzwe pia
POLE SANA.
Koka utaishia kwenye jeneza unawajua wakenya au unawasikia?unajichimbia kaburi mchanakweupe acha utapeli hizopesa hutazitumia hatashilingi kwao miundombinu inauzwa sokoni kamanyanya ukifika kuzimu utanikumbuka kwaheri
Mh.Wakili mshauri huyu mteja wako amwone mh.RC Makonda, yeye ni muwakilishi wa Rais.
Tunaheshimu utendaji wake.Hakuna uzembe kwake wala ubabaishaji.