Poleni sana ndugu zetu, Mungu awatie nguvu kipindi hiki kigumu,Wapumzike kwa Amani wapendwa wetu wote waliopoteza maisha. Na wapokee uponyaji wote waliopata majeraha.Mungu baba wa Mbinguni tushindie na kutulinda kwenye kipindi mabadiliko ya tabia nchi.
Ndugu yangu mafuriko ni Mafuriko hakuna nchi unayoijua duniani ambayo haijawahi kupata athari ya mafuriko including marekani ambayo wako mbele kwa maendeleo ya miondombinu, pia watu wanafariki kwa mafuriko. Yes tupange miji yetu vzr, ila si kweli hiyo ni sababu pekee ya kuyazuiaa mafuriko, tuombe Mungu tu.
Poleni sana wahanga na Mungu awalaze mahali pema peponi ndugu zetu marehemu. Namuona Mungu katika tukio hili, turudi tutubu na tumuombee Sana huruma yake. Hii Dunia na haya maisha ni hamna kitu bila Mungu. Anaweza kumaliza ulimwengu maramoja kama alivyoimaliza enzi za Nuhu. Ee Mungu utuhurumie sisi na Dunia nzima. 😭
Poleni sana ndugu zetu, Mungu awatie nguvu kipindi hiki kigumu,Wapumzike kwa Amani wapendwa wetu wote waliopoteza maisha. Na wapokee uponyaji wote waliopata majeraha.Mungu baba wa Mbinguni tushindie na kutulinda kwenye kipindi mabadiliko ya tabia nchi.
Wa nyumban poleni sana mwenyenz Mungu aisaidie hasa maeneo yaliyo athirika poleni sana wa gendabi mwambao wa mlima hanang mwenyenz Mungu awatie nguvu
Poleni sana ndugu zangu mungu awafanyie wepesi
Poleni sana Ndugu zetu. Mwenyezi Mungu awaepushe na hili.
Mungu azilaze roho za marehmu wote mahal pema peponi
AMiana
Daah inauma Sanaa poleni ndugu zetu tupo pamoja
Pole sana ndugu zetu mungu awake nguvu ameen😢
Poleni sana ndugu zetu wa katesh Mungu afanyike faraja kwa kipindi hiki Cha majonzi mazito ya kuwapoteza ndugu zetu kwa mafuriko
Polen sn ndg zetu ktk kipind hiki kigumu Mwenyez Mungu azd kuwatia nguv na faraja zake ktk kipind hik kigumu
.poleni Sana Wana kateshi MUNGU awape subra katika kipindi hi kigumu Cha maafa
Mungu iokoe Tanzania
Polen sana watu wa manyara
Poleni Sana Ndugu zetu
Poleni ndugu zetu tupo pamoja kwa ibada
Polen sana jaman
Poleni sana
Poleni Wakazi wa manyala
Poleni Sana Ndugu zetu!
Poleni sana Wana Hanangw mungu awasaidie katika maafa hayo.
Eeee Mungu wa Mbingunii tuepushe mafuriko yasiwe ni sehem yetu
Poleni sana ndugu zangu wa Hanang mungu yupo na nye inshaallah tunawaombea
Polen
Poleni sana ndg zangu
Daaah poleni jamn
Jaman poleni sana
Mwenyezi Mungu AWAFANYIE WEPESI
Amen
duuu!! polen sana
Mungu awake uvumilivu na polen sanaa
Asante sana 3:44 Millard
😭😭😭😭Allah atunusur jaman na awapumzishe mahal pema wapendwa wetu
Daah mtihani huu 😢😢😢😢
Pole I jamani
Pole sote kwetu ni huzun sana
Wa nyumbani poleni sana sana
Poleni tanzania
Mungu simamaaa
Mungu aturehemu jamani
Jamani katesh sio kijiji imeripotiwa kimakosa,,anyway Pole kwa wote waliodhurika kila kitu kitakua sawa
Polenisana nduguzangu kwamjangahayo
***Duh huyu mkuu wa mkoa anajua kujieleza sana tangia Akiwa Iringa nampenda sana***
Polen Sana ndugu zetu m/ mungu awatie nguv
Poleni sana ila barabara azina mitaro nikubwa ya kupitisha maji
Polen san
Na hii ni sababu ya miundo mbinu mibovu. Watu wa mipango miji hapo sasa wamepanga nini kwa siku zijaxo?.
Ndugu yangu mafuriko ni Mafuriko hakuna nchi unayoijua duniani ambayo haijawahi kupata athari ya mafuriko including marekani ambayo wako mbele kwa maendeleo ya miondombinu, pia watu wanafariki kwa mafuriko.
Yes tupange miji yetu vzr, ila si kweli hiyo ni sababu pekee ya kuyazuiaa mafuriko, tuombe Mungu tu.
Inna lillahi wainna ilaihi raajiuni😢😢😢
Enyi ndugu wa katesh poleni kwa mafuriko
Subhana Allah mawe pia yemesukumwa na maji subhana Allah ghariba
😅
Poleni sana wahanga na Mungu awalaze mahali pema peponi ndugu zetu marehemu.
Namuona Mungu katika tukio hili, turudi tutubu na tumuombee Sana huruma yake.
Hii Dunia na haya maisha ni hamna kitu bila Mungu. Anaweza kumaliza ulimwengu maramoja kama alivyoimaliza enzi za Nuhu. Ee Mungu utuhurumie sisi na Dunia nzima. 😭
Kwa kweli tutubuni Sana.... MUNGU ni warehema Sana atatusamehe.
@@uhurujan2244AMEN
Hiyo kazi ya usafi ni kazi ya watu wa zimamoto wakisimamiwa na jeshi. Waje hapo zimamoto wafanye kazi.
Jitahidi kuandika jambo jema Kwa ajili ya taifa letu.
USAFI ni jukumu la Kila raia Kwa kushirikiana na vyombo husika vya serikali.
picha yenu mbovu
Mrudie Mungu wenu 😢😢
Wewe umemrudia mungu kwa kasi gani?
@@godsondeo7539 uliza mamako mxiuuu
Hujielewi wewe😢
@@CHIIZATV-hl4zu ww kama wajielewa ungejiita kutombana, uchafu umezidi ombeni maghfira kila siku mikasa
Daa poleni Dana mkoa wa manyala😂😂😂😂😂
Unajua matumizi ya emoji?
Haya ni maafa mbona umeweka emoji za kucheka? Poleni Sana ndugu zetu wa Katesh
Poleni sana ndugu zetu.
Poleni sana
Poleni sana
Poleni sana