Caf club championship msimu ulioisha, Chama ndiye aliyewavusha simba mchezo wa kwanza na Power Dynamo, hadi half time simba walishafungwa goli mbili bila,NI CHAMA ALIYEFUNGA MABAO MAWILI mkamaliza mbili mbili. Chama aliingiza simba makundimsimu uliopita.
Kungekuwa na watu kumi wenye uelewa ktk simba kama Samm timu ingekuwa mbali mnoo !!!!!!!
Wewe ni chawa wa utopolo ubwa wew fara
Mashabiki kama Sam ndiyo tunaowataka kwenye mpira wetu
Good
Caf club championship msimu ulioisha, Chama ndiye aliyewavusha simba mchezo wa kwanza na Power Dynamo, hadi half time simba walishafungwa goli mbili bila,NI CHAMA ALIYEFUNGA MABAO MAWILI mkamaliza mbili mbili. Chama aliingiza simba makundimsimu uliopita.
Sam mm nakukuba Sana tena Sana unasema Ukwel Kabsa
Huyo kisugu, bangi xinamzingua
Safi sn,unaongea points🎉🎉🎉🎉
Sam unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki kbs mkuu
wewe unazungumza chama wa zamani si chama wa leo tena chama amekwishaaaa sasa
Kisugu sio mshabiki wa mpira uyo wacha aongeee tuuu
Asante. Sam. Simba. Ongea. Ukweli. Huyo. Kisugu. Mnafiki. Waaambieni. Ukweli. Maana. Ukweli. Utakuweka. Huru. Ndugu. Yangu. Sam
Kisugu nichizi wasizitaki mbichihiziiii😅😅
Wewe broo unajua mpira siyo wapuuzi wengine hawa
Hakika sam umenikosha wewe ni bonge la mshabiki mimi ni simba kweli wanaomtukana chama siyo mashabiki wa mpira.
Mseng aondk uy alitukuta na timu yet aondk atuachie timu yet
Simba kwanza wamtafute kocha ndiyo wasajili
Nguvu nyingi,akili kidogo😂😂😂😂😂😂 Kibu Deniiiiiiiiiisi😂😂😂😂😂
Weweeee
Huyohuyo kisugu alisema chama akihama Simba ataacha kuishabikia Simba...aache sasa
Kisugu si Chawa tu
Sam wewe unajua kushabiikia mpira
Mimi ni mshabiki wa yanga ila wewe kaka unajua wacha nikupe sifa yko
Sasa jamani kisugu anajua mpira au mipasho tu kama msemaje wake wa club
Kisugu ni senge maji
pole nikwamau mivu Wana simba
Kumbee inawaumaa
😂😂😂😂😂😂😂😂
😢😢😢😢😢😢😢
Kisugu bado mtoto nichawa
Kweli nyani aoni kundule 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwa wanasemaga yanga tunang'ang'ania wachezaji tuna watukana wachezaji Kiko wapi kisugu Leo kwenuuuuuuuuuuu atutaki porojo tukutane uwanjani . Sam Simba ni wewe tu peke yako c mbumbumbu nakupa mauwa yko kisugu mbumbumbu FC ata Moira ajui
Wewe pia ni wahovyo bora hata kisungu koliko wewe